Sipendi - Special thread

Mi sipendi tabia ya mtu kuwa na id yake humu hachangii mada yoyote hata kusema "hi" lakini kazi yake kwenda pm za watu kuwatongoza sipendi kabisa hii tabia kama ni wewe badilika!!!!!!!!

basi me na ww tutongozane bila pm...
 

wapangaji wenzangu kunivizia kila niendapo chooni kwakuwa wanajua kuwa huwa ninajamba sana huku ushuzi nao ukiwa fantastic!
 
Mm sipendi mwanaume gaidi mtu unamchangamkia,unabembeleza ila anakua kama mwamba wa chumvi(gaidi)
 
Sipendi watu wavivu wa kusoma post ndefu... naona kama hawataki details wanataka tu vichwa vya habari waconclude.. au wapewe summary halafu waanze kuuliza lete details, lete source, lete ushahidi... NASEMA SIPENDI!!!
 
Sipendi kuangalia bongo movie na wanangu wa kike.. wanadhani nafurahia mabinti wanavyovaa mule ndani ya movie na wao wanasema mbona baba hana noma nikivaa hivi!!!
 
sipendi tabia ya mwanamke kuchukua simu ya hawara au bwana wake kusearch na kuanza pigia watu kuwauliza we nani!!!! mkome!!!! kujidhalilisha tu

rubii wewe ndio mke aka wife material umefunguka
 
Last edited by a moderator:
sipend watu wanavyo sema mods wanaibeba ACT na Zitto, sipend.

Sipendi Zitto anavyoitwa Ayottah huku mitaani.

Sipendi ndugu wavyo kosa hutu kuchangia wakati wa shida, ila kwenye wakati wa raha, kama harusi huchangiana.

Sipendi kijana mdogo kuitwa mzee kisa ana pesa,

Sipendi kina mdogo anapo amkiwa na mtu alie mzidi umri.

Sipendi Watu wanavyo kashifu Dini na makabila ya wenzao.
 
rubii wewe ndio mke aka wife material umefunguka

mimi hua nawapa makavu laivu!!! ni tabia mbovu sana mtu humjui unamshobokea kisa namba iko kwenye simu ya bae wako
 
Last edited by a moderator:
Sipendi MTU anakupigia simu usiku wa manane harafu anakuuliza
"vipi baby umelala?"
 

Yaani Hii imeshawah kunitokea tena sio Mara moja. Sasa ivi mtu data aje na machozi ya damu sikopeshi ng'o
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…