Sipendi - Special thread

Sipendi - Special thread

Sipendi wanawake wenye chuki dhidi ya wanaume (sadist) unakuta yeye post zake zote ni kuwaponda wanaume! badilikeni basi
 
sipendi wadada wa humu ukiwafata pm kuwaomba namba wanakukatalia au kuomba yako kwanza sipendiii
 
Sipendi polisi wanavonyanyasa raia, nasema badilikeni maana hakuna namna sasa. Na msipobadilika nasema mpigwe tu tena mpigwe tu. Tumechoka
 
Sipendi tabia ya mwanamke natoka kulala nae nampa hela pale pale anakataa, lakini tukipeana kisogo nakuta sms nirushie basi hiyo hela kwenye simu yangu, alafu kesho tunaweza kuonana tena.
 
Mi sipendi tabia ya mtu kuwa na id yake humu hachangii mada yoyote hata kusema "hi" lakini kazi yake kwenda pm za watu kuwatongoza sipendi kabisa hii tabia kama ni wewe badilika!!!!!!!!

nimeshabadilika na sikutongozi tena.
 
Sipendi tabia za baadhi ya memberz humu kujibu mada kwa matusi na kejeli huju wakiwa hawana la kuchangia
 
,sipendi tabia mtu akianzisha uzi mtu linaangalia tangu ulipojiunga,likes na vinginevyo na mtu kuuliza majina ya watu na selfiee zao wakati ww unatumuia id fake na hafujuani humu....
Sipend mdada au mmama akipost kitu au kukoment unakuta watu kama saba wame kiquote
But akicomment mwanaume hamna atakaye quote labda mmoja

Na sipendi tabia ya mtu kuomba msaada wa mawazo mtu una abusee kama huna cha kuongea si unyamaze au upite kimyaaa

Sipendi tabia, ya mtu kunifuatilia eti anauliza jinsia yangu gani kwani mekuja jiuza ukuuuu
 
Sipendi watu wanaochokonoa pua..tena mbele za watu...bila aibu...KINYAA....ptuu..

Sipendi wanaume ambao hawaoni haja ya kunawa mikono wakitoka haja ndogo.

Sipendi mtu anarudi nyumbani halafu anaenda moja kwa moja kwenye friji kuchukua maji (au kupekua macontainer) bila kunawa...nitamwaga hayo maji mbele yako na kuchemsha mengine kukuonyesha jinsi umenikera.

Sipendi watu wanapokuita mshamba kisa umekataa kufanya wanavyotaka, kama kukataa physical contact.

sipendi wanaume wanaume wanaoamini kazi za nyumbani ni za wanawake. BADILIKENI.

Sipendi wanawake wengi wanavyothibitisha kwamba kweli mwanamke ni dhaifu. yani ikija kwenye wanaume, mwanamke mwenzio ndio adui yako. ndomana wanapenda kweli story za mashemeji. me sitaki kabisaaa
 
Back
Top Bottom