Mashamba Makubwa Nalima JF-Expert Member Joined Mar 19, 2024 Posts 4,978 Reaction score 2,411 Mar 8, 2025 #281 Ushimen said: Komaa tu kula chips mkuu, mimwenyewe sijawahi kula ugali tangu nizaliwe....π Click to expand... Unasema?
Ushimen said: Komaa tu kula chips mkuu, mimwenyewe sijawahi kula ugali tangu nizaliwe....π Click to expand... Unasema?
Ushimen JF-Expert Member Joined Oct 24, 2012 Posts 40,828 Reaction score 99,523 Mar 9, 2025 #282 Mashamba Makubwa Nalima said: Unasema? Click to expand... Ndio maana hawaishi kutafuta buster...π€£
K Kesisii Member Joined Mar 15, 2025 Posts 5 Reaction score 1 Mar 15, 2025 #283 Kama ugali ungekua unadumaza akili basi waarabu na wapemba wangekua magenius maana hawali kabisa ugali. Ila cha ajabu majority ya wapemba na waarabu tz ni vilaza mashuleni sema wanabebwa na mali za ukoo. Ugali ni mtamu sana aisee
Kama ugali ungekua unadumaza akili basi waarabu na wapemba wangekua magenius maana hawali kabisa ugali. Ila cha ajabu majority ya wapemba na waarabu tz ni vilaza mashuleni sema wanabebwa na mali za ukoo. Ugali ni mtamu sana aisee