Sipendi ugali kabisa na ninaishi

Sipendi ugali kabisa na ninaishi

Sasa hizo nchi za Afrika kwa kutokula ugali wamekua na akili gani? Ni jambo gani wamefanya kuonyesha kwamba hua hawali ugali?

Wewe tu ulichokiandika tu unaonekana huna akili pamoja na kwamba huli ugali.
Akili zimetokea wapi tena mkuu hii ya kujiona una akili zaidi ya wengine ni madhara ya kula ugali sana...mimi siwezi kukutukana uone tofauti
 
Nadhani uwele ndo nafaka ya asili ya Africa, na ulitimika kwa ugali na uji. Hizi nafaka nyingine nyingi zimeletwa ma wazungu. Problem ya uewele production yake ni ngumu sana. Unaliwa sana na ndege...hivyo ndo maana njaa zilikuwa haziishi.
Nafaka za asili za kiafrika zipo nyingi mkuu zaidi ya uwele,,fuatilia
 
Tupate picha kidogo. Wengine hawaujui ugali
images.jpg
 
Kwaio ugali unadumaza akili [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]

Najua una exposure kubwa unaweza uka share mataifa mengi ya ulaya na Asia hata Amerika Huwa hawapendi kutumia hii nafaka katika Milo Yao....
Ugali sehemu nyingi una sumu, basi tu.

 
Ugali sehemu nyingi una sumu, basi tu.

Mm nimewai kuwa ambia watu ugali sio mzur... Wenyewe wanakaza mafuvu..,😀😀😄😄😊😊☺️☺️
 
Ugali ndio kiboko ya muafrika.Jamii nyingi Sana hapa Afrika favourite meal yao Ni ugali
 
mkuu matumbo yakizoa kula chakula fulani, kingine hayataweza. Wengine tumezoa kula ugali ndio tunashiba vizuri kuliko wali na ndizi. Ugali ndio chakula cha kushiba, vyakula vingine vinapoza tu njaa. Hizo nchi kwa kuwa hazitumii ugali labda wana vyakula vyao ambavyo wakila wanashiba kisawasawa
Binadamu hutakiwi shiba, watakiwa utosheke. Mnashiba sana ndo maana hamna akili hadi Bandari mnauza
 
Nadhani uwele ndo nafaka ya asili ya Africa, na ulitimika kwa ugali na uji. Hizi nafaka nyingine nyingi zimeletwa ma wazungu. Problem ya uewele production yake ni ngumu sana. Unaliwa sana na ndege...hivyo ndo maana njaa zilikuwa haziishi.
Hata Mahindi wazungu ndiyo wameleta kipindi cha njaa
 
Katika vyakula ambavyo huwa sivishobokei ni Ugali mimi siupendi kabisa yaani sina stim nao kabisa.

Sazingine huwa nakula tu ndo wife au beki3 kaandaa lakini kiukweli ugali sio chakula nachokipa thamani japo familia yangu mke na watoto wanaupenda balaa.

Ni mara kibao nikirudi nyumbani nikikuta wamepika ugali nitapitiliza tu chumbani kulala au nitaomba wanitafutie mbadala.

Na mara nyingi wakiwa wanaandaa huwa wanajua kabisa kwahiyo mbadala lazima iwepo.

Sazingine huwa nakula tu ili siku ipite lakini ni chakula cha hovyo kabisa, mimi naweza kukaa hata mwaka nisile ugali na nikaona fresh kabisa.

Ni kawaida kwangu siku hizi kukaa wiki au wiki mbili bila kuutia ugali mdomoni.

Kuna kitu huwa kinanishangaza sana, kuna watu wanakula ugali mchana na usiku tena siku 7 za wiki duuuh tena ugali na yale madagaa ya ziwa victoria!! Sio kwa nia mbaya au nina ego hapana mimi ugali hapana bora nile ndizi mwezi nzima lakini sio ugali.


Ni preferences, mimi naweza kula mwaka, tena na hizo hizo dagaa, nasio umaskini
 
Ugali sehemu nyingi una sumu, basi tu.

Uhifadhi wa chakula Tanzania ni mbovu sana. Asilimia kubwa hutumia madawa katika kupanda na kuhifadhi ila hawayaondoi hayo madawa.

Kwenye mashine zetu za kusaga asilimia 99.9 ni mbovu sana ma hawajali usafi
 
Kabisa
Uhifadhi wa chakula Tanzania ni mbovu sana. Asilimia kubwa hutumia madawa katika kupanda na kuhifadhi ila hawayaondoi hayo madawa.

Kwenye mashine zetu za kusaga asilimia 99.9 ni mbovu sana ma hawajali usafi
 
Back
Top Bottom