Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Wakuu tupate burudani kidogo 😊🤓
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndizi, nimejaribu kula ila siwezi,Wakuu niongezeeni list ya vyakula baada ya hivi
Wali
Tambi
Ndizi
Pilau
Haya ni matumizi mabaya ya mboga, weka ugali hapoHaya Sasa.View attachment 2632173
Usipende kushobokea wanaume usiowajua wewe bwabwa.Unabwabwata sijui Ni unapakuliwa ,, em malizwa kwanza
dronedrake 🤣🤣🤣KATAA UGALI
Usipende kushobokea wanaume usiowajua wewe bwabwa.
Yani ukiona mwanaume hapendi ugali anapenda vyakula vya dada zake hilo ni punga kama wewe tu.
Harusi kibao zina ugali zingine Hadi chai kabisa. Nenda makambako harusini mnapewa chai na uji kabisaMkuu ukitaka kujua ugali hauna hadhi NDIO maana kwenye masherehe.................
Siku ukihudhulia sherehe mf. Harusi alafu ukajiandaa kisaikolojia utakula biriyani au pilau au hata wali wa maji alafu ukakuta ugali harusini.....🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂
Yaah,Harusi kibao zina ugali zingine Hadi chai kabisa. Nenda makambako harusini mnapewa chai na uji kabisa
Kweli mtu hapendi ugali???Usipende kushobokea wanaume usiowajua wewe bwabwa.
Yani ukiona mwanaume hapendi ugali anapenda vyakula vya dada zake hilo ni punga kama wewe tu.
Kweli mtu hapendi ugal
Ni hatari mkuu! Shiba ugali wako kama huo then shusha maji Lita MojaKweli mtu hapendi ugali???View attachment 2632464View attachment 2632467
Alafu ww inaonekana ni laini laini sana umelegea mpaka mat*kBaba ako tunakula nae chips hapa anasema zisikaushwe sana
Alafu ww inaonekana ni laini laini sana umelegea mpaka mat*k
Mtoto wa kiume wewe chips waachie watoto wa kike
Sasa hizo nchi za Afrika kwa kutokula ugali wamekua na akili gani? Ni jambo gani wamefanya kuonyesha kwamba hua hawali ugali?Hata hivyo Ugali umedumaza sana Ubongo za watu wengi na jinsi ulivyo wengi wanaamini ni chakula ya Mtu mweusi kumbe nayo ilililetwa na Mabeberu zipo Nchi nyingi Afrika Ugali sio kipaumbele chao kama hapa kwetu...
mkuu matumbo yakizoa kula chakula fulani, kingine hayataweza. Wengine tumezoa kula ugali ndio tunashiba vizuri kuliko wali na ndizi. Ugali ndio chakula cha kushiba, vyakula vingine vinapoza tu njaa. Hizo nchi kwa kuwa hazitumii ugali labda wana vyakula vyao ambavyo wakila wanashiba kisawasawaNenda hapo Uganda, Rwanda, Burundi, CAR, South Afrika, uone kama ugali ndo chakula chao
tena ugali na yale madagaa ya ziwa victoria!! Sio kwa nia mbaya au nina ego hapana
Nadhani uwele ndo nafaka ya asili ya Africa, na ulitimika kwa ugali na uji. Hizi nafaka nyingine nyingi zimeletwa ma wazungu. Problem ya uewele production yake ni ngumu sana. Unaliwa sana na ndege...hivyo ndo maana njaa zilikuwa haziishi.Madogo hamjui historia ya wabantu...kabla ya mahindi babu zetu walikua wanakula ugali wa nafaka mbalimbali...Tatizo madogo ujuaji mwingi na elimu zenu za degree.