Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Hujui mambo matamu wewe.Huo kula tu mwenyewe, ugali unadumaza akili, ukishiba ugali hakuna kiungo cha mwili kinaweza kuwa active, unakuwa kama chatu akimeza swala😅😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujui mambo matamu wewe.Huo kula tu mwenyewe, ugali unadumaza akili, ukishiba ugali hakuna kiungo cha mwili kinaweza kuwa active, unakuwa kama chatu akimeza swala😅😅😅
Haina shida😅SIKAZII
Ugali maharage sio unatoka shule ile ya kurudia ndio unatumwa ukafate maharage sokoni hayo utakutana nayo yameiva saa kumi mchana unarudi shule ukitengenezewa mboga za majani unaona kama kama umekosa kitu...Kwa hela yangu sinunui ugali.
Nimekula sana utotoni. Asubuhi mchana na usiku, 24×7 siku 365 na robo.
Unanipa trauma aisee.
......karibu ugali na supu hapa kwanzaHaina shida😅
Sheikh unapiga Kilimanjaro lager na kula kitimotoUgali fulani hv laini, nyama choma nusu kilo, pilipili nyingi sana mixer ndimu, maji ya kunywa lita moja ya baridi. Baada ya hapo nikianza kufungua vizibo sasa naweza nikakata kreti la Kilimanjaro lager aisee.
Jana nilikula ugali nikalala usingizi mzuri..Mwambie hata nafaka kama ngano au mchele anaokula mleta mada nazo ni chakula cha mifugo aache dharau😀Mimi nikila ugali njaa inawahi kuniuma. Sio mpenzi sana wa ugali ila ugali mlaini kwa dagaa unashuka bila kutafuna
Hiyo ni menu ya mchana napendelea vitu simple hata dada anapika vizuri, jioni ndio ndizi,wali,pilau etcHapo kwenye macaroni na spaghetti haujapata suluhisho
Si Bora wangekuwa wanakula ndizi na wali daily
UGALI na supu au chapati na supu?......karibu ugali na supu hapa kwanza
ugali na supu mzeeUGALI na supu au chapati na supu?
Baba angu Dr, Hali dona, hataki eti una sumu🤔Halafu huwa nawaambia watu hili jambo wanashindwa kuamini, ugali uliletwa na mabeberu na mahindi yaliletwa na wareno kama sikosei, hata kama ugali ulikua ukiliwa Africa sidhani kama ni huu ugali wa dona
Mtaalam ambao watu weusi wengi wanaomuamini kama mzalendo Dr sebi alishawahi kusema ugali wa dona ni sumu na unadumaza akili
Hiyo Kula mwenyewe 😂ugali na supu mzee
🤣🤣🤣KhaaaaKwa hela yangu sinunui ugali.
Nimekula sana utotoni. Asubuhi mchana na usiku, 24×7 siku 365 na robo.
Unanipa trauma aisee.
Kabisa..Madogo hamjui historia ya wabantu...kabla ya mahindi babu zetu walikua wanakula ugali wa nafaka mbalimbali...Tatizo madogo ujuaji mwingi na elimu zenu za degree.
Fufu ni ugali wa nafaka gani mkuu???Nchi za Afrika Magharibi wana chakula chao mara nyingi hawatumii ugali utaona hata baadhi ya mambo Senegal,Nigeria na wengine huko akili hazijaganda kama wabongo kutwa na ugali wao harafu wanauamini balaa hamna kitu kabisa zaidi ya kudumaza Ubongo wa watu...kutwa kuulizana vitu vya hovyo hovyo kisa ma Ugali...
Madogo hawajui hawa wamezaliwa 1990,s up to 2000,sKabisa..
Nafaka kama ulezi, mtama, uwele, nk zilikuwa zonasagwa kwa mawe mawili, Moja kubwa lingine dogo, unapata unga laini Kwa ajili ya uji, togwa, ugali..
Waeleze mkuuShida ni ugali au shida ni mahindi.
Maana Kuna ugali wa nafaka za aina mbalimbali
😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Dah jana tu nimetoka kununua unga kilo moja na nusu na samaki wa kukaanga ili niwe nasonga ugali nikirudi gheto
sasa mnanishaurije nimwage unga au?