Sipendi Ujinga Special thread!

Sipendi Ujinga Special thread!

_Nipo kwenye daladala siti ya nyuma kabisa nimekaa na mrembo mzurii.sasa nikawa namtongoza kwa sauti ya chini sana watu wengine wasiskie,akawa hanijibu kitu,mala gafra akapayuka kwanguvu na kwa sauti ya juu iliyomshtua kila mtu._
*"Nimesema stakii,stakii tena unikome"*
_Nami nikamjibu kwa sauti ya juu vile vile_
*"Kama umejamba nisikwambie bhanaa,kwani ww nani?"*☹


*_MIMI SIO MTU WA MCHEZO MCHEZO_*
Sipendi kelele kabisaa


Ndio maana nipo
Nyumbani nasikiliza
CD empty


*sio mtu wa mchezo mchezo mimi*


Mliozaliwa mwezi wa tisa tunajua walichokuwa wanafanya wazazi wenu kipindi cha Christmas*

Hatupendi ujinga sisi
Mbavu zangu mie.
 
Ety my ex karekodi video wakiwa na new boi frnd wake chumban na kunitumia akjua nitaumia sana
Na mm nikatfta namba ya Baba ake Kisha nikamtumia Baba ake video ile!!!!!???"
Sipendagi ujinga kabisa.:-🙂-🙂-🙂-(
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
sasa hivi kwenye daladala nimemgusa mtu mtu alokaa mbele ili apunguze sauti ya muziki wa simu yake; kwa kiherehere chake akanipa elfu kumi bila kunitizama akidhani mimi ni konda.
imebidi nishuke palepale kwa raha zangu.

sipendagi ujinga kabisa mimi
 
```Walimu wengine bhana!```

*_Eti ananiuliza swali ili kuona kama najua lugha ya Wazazi wangu_* [emoji15]

```"hivi M'bu mnawaitaje kule kwenu,"```


*_Nikamjibu_* ```{huwa hatuwaiti ila wanakuja wenyewe}```

[emoji3][emoji3] _Nasisitiza sipendagi ujinga mimi._
 
sasa hivi kwenye daladala nimemgusa mtu mtu alokaa mbele ili apunguze sauti ya muziki wa simu yake; kwa kiherehere chake akanipa elfu kumi bila kunitizama akidhani mimi ni konda.
imebidi nishuke palepale kwa raha zangu.

sipendagi ujinga kabisa mimi
Shuka mkuu maana we sio mtu wa mchezo mchezo
 
```Walimu wengine bhana!```

*_Eti ananiuliza swali ili kuona kama najua lugha ya Wazazi wangu_* [emoji15]

```"hivi M'bu mnawaitaje kule kwenu,"```


*_Nikamjibu_* ```{huwa hatuwaiti ila wanakuja wenyewe}```

[emoji3][emoji3] _Nasisitiza sipendagi ujinga mimi._
Mbuu gani hao wa malaria au wa zika
[HASHTAG]#Sipendagi[/HASHTAG] ujinga mimi
 
Mimi sio mtu wa mchezo mchezo bana.

Nimemfunga kengere ya electronic kiunoni demu wangu

Sipendagi ujinga mimi
 
*Mi ni Admin wa group letu flan, sasa Leo asubuhi kuna mtu kanitumia text inbox,_*
```"Mambo vipi Admn please add these two numbers 0712 173 610 and 0758 251 890."```

*_Nimemjibu kishujaa:_*
*0712 173610 +*
*0785 251890 = 1,470,425,500.*

Mi Sipendagi ujinga

0404
 
Mke: Nimempigia simu demu akapokea bwanawake...
akaanza kunitukana..
unampigia nan...
unataka nini...
""""nikamwambia Mimi ni dokta Wa mpenzi wako aliniambia niwe nampigia simu nimkumbushe kumeza dawa za ARV [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] mwanamke kalazwa sahivi...
SIPENDAGI. UJINGA MIMI..

0404
 
*_```Kuna jamaa kaniblock```_* eti kisa baada ya kuniuliza vp uko kwenu mvua inanyesha? *Namimi* _nikamjibu kwani sms niliokutumia ilikuwa na matope._[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

*Sipendagi ujinga mie ujue[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

0404
 
Unakutana na kidemu ndani ya miezi miwili kanataka kaje waona wazazi wako. Dada, mi mwenyewe nlikaa miezi 9 tumboni kabla sijawaona wazazi wangu mwenyewe, usiniletee mapenzi ya Mwendokasi.

Sipendagi ujinga mimi[emoji55][emoji55][emoji55][emoji55]

0404
 
[emoji117]Ujinga wa ndoto ndiyo huu
••Utaota umeokota dolla ukiamka empty...
••Utaota umeokota dhahabu ukiamka kitandani patupu daadeeki OTA Sasa UMEKOJOA.....

NDOTO AZIPENDAGI UJINGA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

0404
 
*Mi ni Admin wa group letu flan, sasa Leo asubuhi kuna mtu kanitumia text inbox,_*
```"Mambo vipi Admn please add these two numbers 0712 173 610 and 0758 251 890."```

*_Nimemjibu kishujaa:_*
*0712 173610 +*
*0785 251890 = 1,470,425,500.*

Mi Sipendagi ujinga

0404
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hii kweli kishujaa
 
[emoji117]Ujinga wa ndoto ndiyo huu
••Utaota umeokota dolla ukiamka empty...
••Utaota umeokota dhahabu ukiamka kitandani patupu daadeeki OTA Sasa UMEKOJOA.....

NDOTO AZIPENDAGI UJINGA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

0404
Tisha sana mkuu,
 
Umekurupushwa huko unakuja unahema unasema unapokea ujinga humu!! Unauhakika kua Milembe ndo humu??
Sipendagi ujinga mm
 
Back
Top Bottom