Sipendi ujinga

Sipendi ujinga

Jamaa mmoja alialikwa
ktk harusi. Akafika
mlango Wa 1 umeandikwa
kulia ni ndugu Wa maharusi,
kushoto ni wageni waalikwa, akaenda kushoto maana yy
alialikwa. Akakuta mlango
wa2 umeandikwa kulia
wenye zawadi kushoto
wasionazawadi yy
hakuwa na zawadi. Mlango
Wa 3 umeandikwa kulia
wanawake kushoto waume
akapita kushoto akajikuta
ametokea mtaani
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1].
Tujifunze kutoa wandugu
[emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji35][emoji35][emoji35]hatupendi ujinga sisi
Kaaa!! nimecheka mpaka watu wote wamenishangaa.
 
Nimejichanga weeeee nikafanikiwa kununua ka Vits kangu cha kunisaidia kwenye misele yangu. Siku moja nipo na baba mkwe wangu nampeleka hospitali, tukiwa tunasubiri kuruhusiwa kwenye mataa pembeni kulikuwa na Range Rover anaendesha kijana kama mimi tu. Baba mkwe wangu akaniuliza, *"mkwe!* *umemuona mwanaume huyo?"* Nilishikwa na hasira nikajikuta nimemjibu *"kuwa na baba mkwe tajiri raha sana, jamaa alipewa hiyo gari kama zawadi na baba mkwe wake siku ya harusi yake"* Basi baba mkwe wangu akanyamaza kimya akawa mdooooooogo.

*Pumbavu!* *huwa sipendi dharau mimi*
Hiyo ni tit for tat.
 
Nimesoma thread hii yote na kuona mmeandika na kukutana na mambo ya ujinga ujinga. Nami nimewaona wote ni wajingawajinga. Nimeamua kutoendelea kusoma ujinga huu.

"Maana Sipendagi ujinga mm kabisaaaaaa"
 
Nimesoma thread hii yote na kuona mmeandika na kukutana na mambo ya ujinga ujinga. Nami nimewaona wote ni wajingawajinga. Nimeamua kutoendelea kusoma ujinga huu.

"Maana Sipendagi ujinga mm kabisaaaaaa"
1474977971117.jpg
 
_[emoji41] *Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyumba ya pili toka kwake. Siku ya 1 kalala asubuhi alipoamka kachungulia kwake kukoje, si kamuona jamaa yuko nje ya nyumba yake kavaa taulo lake anapiga mswaki. Akapiga kelele, 'We nani?', Jamaa akajibu, 'Mshikaji mambo ya mjini, mume wa huyu demu kasafiri kaenda Songea mi ndo najivinjari hapa'. Mume kajibu kwa uchungu, Shenzi mkubwa, ngoja nirudi toka Songea nakuua.*[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]_

*Mniache mimi sipendi Ujinga Ujinga [emoji125]�[emoji125]�[emoji125]�[emoji125]
tafadhari naomba uniache ndo mambo gani ya kunifanya nicheke mpaka natoa machozi.
sipendi ujinga Mimi.
 
Jamaa mmoja alialikwa
ktk harusi. Akafika
mlango Wa 1 umeandikwa
kulia ni ndugu Wa maharusi,
kushoto ni wageni waalikwa, akaenda kushoto maana yy
alialikwa. Akakuta mlango
wa2 umeandikwa kulia
wenye zawadi kushoto
wasionazawadi yy
hakuwa na zawadi. Mlango
Wa 3 umeandikwa kulia
wanawake kushoto waume
akapita kushoto akajikuta
ametokea mtaani
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1].
Tujifunze kutoa wandugu
[emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji35][emoji35][emoji35]hatupendi ujinga sisi
u have made my day @hatupendi ujinga sisi
 
Nimepitia post zooote nikacheka sana nikijua zimeandikwa na Chekechea.....hivyo haraka sana endeleeni kupost ili niendelee kusoma

SIPENDAGI UJINGA MIMI
 
Leo sipendi kelele kabisaa
Ndio maana nipo
Nyumbani nasikiliza
CD empty [emoji37][emoji37][emoji37][emoji37][emoji37]
*sio mtu wa mchezo mchezo mimi*
[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
 
hahahahaaaaa sipendagi ujinga mimi nmecheka sana
 
*Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu, Kainuka na kuanza kumkimbiza kibaka, Kibaka kuona Bibi hakati tamaa akatupa simu, Bibi kaikota na kuendelea kumkimbiza kibaka, Kibaka _"Bibi kama ni simu yako si tayari umechukua"_, Bibi kajibu _"Bado Mtama"_*
*Ujinga sipendagi mimi"*[emoji23]
 
Nimejichanga weeeee nikafanikiwa kununua ka Vits kangu cha kunisaidia kwenye misele yangu. Siku moja nipo na baba mkwe wangu nampeleka hospitali, tukiwa tunasubiri kuruhusiwa kwenye mataa pembeni kulikuwa na Range Rover anaendesha kijana kama mimi tu. Baba mkwe wangu akaniuliza, *"mkwe!* *umemuona mwanaume huyo?"* Nilishikwa na hasira nikajikuta nimemjibu *"kuwa na baba mkwe tajiri raha sana, jamaa alipewa hiyo gari kama zawadi na baba mkwe wake siku ya harusi yake"* Basi baba mkwe wangu akanyamaza kimya akawa mdooooooogo.

*Pumbavu!* *huwa sipendi dharau mimi*
Hahaha hi kaki
 
Welcome to Tanzania where ladies can match their handbags with their shoes but can't match their babies with their father's[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Wadada wa bongo hawapendagi ujingaaaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
*Jamaa aliniuliza uko wapi siku hizi, nikamwambia nipo chuo kikuu cha St John Dodoma mwaka wa tano. Akaniuliza unachukua kozi gani? Nikamjibu nauza ice cream pale*

**[emoji21][emoji21][emoji21][emoji21][emoji21][emoji21][emoji21]**
*sipendagi ujinga mimi*
 
*** *Kichina kimefanywa rahisi* ***

Jifunze kuongea Kichina ndani ya sekunde 30 kwa kusema maneno haya haraka.
*My Shoe Shall Soon Shine*
[emoji23][emoji23][emoji23] rekodi sauti alaf tuma
**sipendagi ujinga mimi**
 
Hivi huu msemo wa "Sipendi ujinga " umetoka wapi ? Nauona tu humu Jf
 
Back
Top Bottom