Sipendi uongo

Sipendi uongo

MysweetL

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2020
Posts
314
Reaction score
340
Wadau kama umeoa usije pm .
Tamaa zisije zikakupotezea sura.
Humu mmejaa wanaume mlio nawakee pleasee .
Msifungee bahati zetu kwa,uongo wenu kisa mnataka kutupotezea muda kama upo single unataka kutulia ndio ufunguke ila wanawake waliosingle wamekaa kimya kisa nyie wanandoa mnapretend mko single.
Sio vizuri badilikeni.
Tupeni nafasi yakuitwa wake wahalali sio magumashi please tupo serious kuhusu hili
 
Wadau kama umeoa usije pm .
Tamaa zisije zikakupotezea sura.
Humu mmejaa wanaume mlio nawakee pleasee .
Msifungee bahati zetu kwa,uongo wenu kisa mnataka kutupotezea muda kama upo single unataka kutulia ndio ufunguke ila wanawake waliosingle wamekaa kimya kisa nyie wanandoa mnapretend mko single.
Sio vizuri badilikeni.
Tupeni nafasi yakuitwa wake wahalali sio magumashi please tupo serious kuhusu hili
Mkuu Mbona unaongea kama mmetoka kwenye kikako na hayo ndio maadhimio yenu?? nilidhani hii ni issue yako binafsi
 
Wadau kama umeoa usije pm .
Tamaa zisije zikakupotezea sura.
Humu mmejaa wanaume mlio nawakee pleasee .
Msifungee bahati zetu kwa,uongo wenu kisa mnataka kutupotezea muda kama upo single unataka kutulia ndio ufunguke ila wanawake waliosingle wamekaa kimya kisa nyie wanandoa mnapretend mko single.
Sio vizuri badilikeni.
Tupeni nafasi yakuitwa wake wahalali sio magumashi please tupo serious kuhusu hili
Haya, nafasi hii hapa unapewa ila jiandae kuacha jf.. [emoji23] [emoji23]

Tukutane makutano junction (pm).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau kama umeoa usije pm .
Tamaa zisije zikakupotezea sura.
Humu mmejaa wanaume mlio nawakee pleasee .
Msifungee bahati zetu kwa,uongo wenu kisa mnataka kutupotezea muda kama upo single unataka kutulia ndio ufunguke ila wanawake waliosingle wamekaa kimya kisa nyie wanandoa mnapretend mko single.
Sio vizuri badilikeni.
Tupeni nafasi yakuitwa wake wahalali sio magumashi please tupo serious kuhusu hili
Mbona single tupo wengi...
Karibu tu PM miane..!!!

#YNWA

Wrote from Anfield..!!
 
Wadau kama umeoa usije pm .
Tamaa zisije zikakupotezea sura.
Humu mmejaa wanaume mlio nawakee pleasee .
Msifungee bahati zetu kwa,uongo wenu kisa mnataka kutupotezea muda kama upo single unataka kutulia ndio ufunguke ila wanawake waliosingle wamekaa kimya kisa nyie wanandoa mnapretend mko single.
Sio vizuri badilikeni.
Tupeni nafasi yakuitwa wake wahalali sio magumashi please tupo serious kuhusu hili
CV yako tafadhali!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau kama umeoa usije pm .
Tamaa zisije zikakupotezea sura.
Humu mmejaa wanaume mlio nawakee pleasee .
Msifungee bahati zetu kwa,uongo wenu kisa mnataka kutupotezea muda kama upo single unataka kutulia ndio ufunguke ila wanawake waliosingle wamekaa kimya kisa nyie wanandoa mnapretend mko single.
Sio vizuri badilikeni.
Tupeni nafasi yakuitwa wake wahalali sio magumashi please tupo serious kuhusu hili
Acha hasira na kupanic
Mfalme suleiman unakumbuka alikuwa na wale wangapi na masuria je

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom