Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...?Kumbe wewe ndo mlengwa kwenye ule uzi
Weka vigezo kabla Serikali haijakataza kuzurula tuwe tumemaliza yakwetu.Wadau kama umeoa usije pm .
Tamaa zisije zikakupotezea sura.
Humu mmejaa wanaume mlio nawakee pleasee .
Msifungee bahati zetu kwa,uongo wenu kisa mnataka kutupotezea muda kama upo single unataka kutulia ndio ufunguke ila wanawake waliosingle wamekaa kimya kisa nyie wanandoa mnapretend mko single.
Sio vizuri badilikeni.
Tupeni nafasi yakuitwa wake wahalali sio magumashi please tupo serious kuhusu hili
Mwanaume ni yule anayetambua wajibu wake basi ila kweli mfupi sana nayo sio vizuri kivileWeka vigezo kabla Serikali haijakataza kuzurula tuwe tumemaliza yakwetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Borah umetusemea mana kuna wanaume cjui wameoa midoli yaan kutwa wanatafuta nyuchi mpya. Ni uchafuu.Wadau kama umeoa usije pm .
Tamaa zisije zikakupotezea sura.
Humu mmejaa wanaume mlio nawakee pleasee .
Msifungee bahati zetu kwa,uongo wenu kisa mnataka kutupotezea muda kama upo single unataka kutulia ndio ufunguke ila wanawake waliosingle wamekaa kimya kisa nyie wanandoa mnapretend mko single.
Sio vizuri badilikeni.
Tupeni nafasi yakuitwa wake wahalali sio magumashi please tupo serious kuhusu hili
Kivipi??Jisemee wewe personally.
Umetumia sana wingi.Bwana utakayempata hatokuwa wa hizo nafsi unazozisemea.
Kweli jamani yaani kutwa kutusumbua hata sisi tunataka wetu tupumue nawao waliwaoa waliridhika na nyie basi watulieBorah umetusemea mana kuna wanaume cjui wameoa midoli yaan kutwa wanatafuta nyuchi mpya. Ni uchafuu.