Sipendi uongo

Sipendi uongo

Pole
 

Attachments

  • IMG_20190309_154803.jpg
    IMG_20190309_154803.jpg
    72 KB · Views: 1
Upo serious halafu hutaki kunijibu huko pm wewe ni single kweli?

Ninakutaka ujue hebu nijibu sasa
 
Nakutakia kila la heri ila utafiti wa kisayansi unasema kuwa sisi wanaume tunajidanganya mara nane zaidi ya vile tunavyoweza mdanganya mtu mwengine!!
Sina la kuongeza zaidi ya kusema NA IWE.
 
Kudanganywa lazima maana mkiambiwa ukweli hatutafikia lengo kuu la wanaume wa milenia!
10. Kuchakatana!
 
Ni kwamba wanaume wenye wake ndo wanamuonekano mzuri na wakuwavutia. kwa sababu wanafuliwa na kupasiwa.so nikija mimi pm na yeye akaja na wote tukakutumia picha ni wazi utaangukia kwa yule mtanashat.na hapo ndipo mnapofell tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau kama umeoa usije pm .
Tamaa zisije zikakupotezea sura.
Humu mmejaa wanaume mlio nawakee pleasee .
Msifungee bahati zetu kwa,uongo wenu kisa mnataka kutupotezea muda kama upo single unataka kutulia ndio ufunguke ila wanawake waliosingle wamekaa kimya kisa nyie wanandoa mnapretend mko single.
Sio vizuri badilikeni.
Tupeni nafasi yakuitwa wake wahalali sio magumashi please tupo serious kuhusu hili
Weka vigezo kabla Serikali haijakataza kuzurula tuwe tumemaliza yakwetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jisemee wewe personally.
Umetumia sana wingi.Bwana utakayempata hatokuwa wa hizo nafsi unazozisemea.
 
Wadau kama umeoa usije pm .
Tamaa zisije zikakupotezea sura.
Humu mmejaa wanaume mlio nawakee pleasee .
Msifungee bahati zetu kwa,uongo wenu kisa mnataka kutupotezea muda kama upo single unataka kutulia ndio ufunguke ila wanawake waliosingle wamekaa kimya kisa nyie wanandoa mnapretend mko single.
Sio vizuri badilikeni.
Tupeni nafasi yakuitwa wake wahalali sio magumashi please tupo serious kuhusu hili
Borah umetusemea mana kuna wanaume cjui wameoa midoli yaan kutwa wanatafuta nyuchi mpya. Ni uchafuu.
 
Borah umetusemea mana kuna wanaume cjui wameoa midoli yaan kutwa wanatafuta nyuchi mpya. Ni uchafuu.
Kweli jamani yaani kutwa kutusumbua hata sisi tunataka wetu tupumue nawao waliwaoa waliridhika na nyie basi watulie
 
Mimi dini yangu inaniruhusu kuongeza Muke...
 
Back
Top Bottom