Sipendi wanaohalalisha Infidelity

Sipendi wanaohalalisha Infidelity

duh...mj bana sasa apo wewe wa moto au wabaridi? Mbona naona kuna ujumbe hatarishi pia umeutuma na unaulizia matokeo? Carmel si nke wa ntu? Lol

naamini hauwezi kuwa ujumbe hatarishi kwa kuwa msimao wangu uko wazi. No cheating! Na wewe unacheat b?
 
iknow, and i agree. Ndo maana xpin alitakiwa aiweke hivi, kuna baadhi wana mapungufu yao na sio kusema haiwezekani kabisa. Mapungufu yake si mapungufu ya wengine.

Hahahaha Mungu huyu kwa nini alituumba hivi??
Kama ndo hivyo ndo maana infidelity inahalalishwa pale tu kwenye mapungufu au sio?
 
A person is innocent until proven guilty au sivyo? sasa kma mtu ana maovu yake, za mwizi ni arobaini siyo? otherwise huna haja ya kuishi kwa wasiwasi au kutomuamini mwezio wakati hajakupa reason yoyote ya kumdauti. Halafu mwenza wako ni wako, nyie ni mwili mmoja, you should have an opinion about him no matter how naive you might be, othewise unakuwa huna uhakika na uliposimama, n that is terrible. Kwenye ile movie ya "The diary of a tired black man" kuna habari hii hii ya kwamba mdada ana mume mzuri mwaminifu na anaempenda, lakini tu kwa kuwa huyu binti amekua akiona betrayals all her life, na yeye mwenyewe kashatendwa sana, na marafiki zake wanatendwa kila kukicha, yeye akashindwa kumuamini alie naye japokuwa alikuwa mtu mzuri. Hii waliita black women syndrome, yani women drive their men away for lack of trust. So jamani acheni mioyo yenu iwe free, love freely, acheni wasiwasi.

thnx carmel, mie cna wacwac na wa kwangu kabisa, ila ndio hapo tu cwezi kumpa 100%, lakini nimekufurahia sana wewe na shemeji yangu, Mungu awabariki, kwanza wewe kupata mume mwema/mwaminifu, pili kwa shemeji kujitunza/heshimu mwenyewe....
 
ndio kaizer hana, labda aanze leo kwa kuona hii league niloanzisha hapa jf, na afanye hivyo kwa kuniprove wrong ili apate huo uanaume ambao ndio mnaouhubiri hapa jf kwamba to be a man you have to cheat, otherwise you are less than a man lol.

haya tupe source ya hapo nilipobold...

leo sina mengi carmel...
 
Hommie kakague kule nimafanza nini yaani mi hapa leo ni kugonga senks tu maadamu gari imeniacha.....duh!
Tatizo hommie una do the needful kwa kuchelewa. Ni sawa unaenda bar unamkuta Eliza anafunga mlango wa kaunta!

Duh...MJ bana sasa apo wewe wa moto au wabaridi? mbona naona kuna ujumbe hatarishi pia umeutuma na unaulizia matokeo? carmel si nke wa ntu? LOL
Hahaha! hommie bana. We men are all the same! Watu wanavikimbia vivuli vyao kijanja janja! Stuka!
 
naamini hauwezi kuwa ujumbe hatarishi kwa kuwa msimao wangu uko wazi. No cheating! Na wewe unacheat b?
Maadam hapa si kimbari cha maungamo, you will not be cheated! Ngoja tusubiri jibule.
 
A person is innocent until proven guilty au sivyo? sasa kma mtu ana maovu yake, za mwizi ni arobaini siyo? otherwise huna haja ya kuishi kwa wasiwasi au kutomuamini mwezio wakati hajakupa reason yoyote ya kumdauti. Halafu mwenza wako ni wako, nyie ni mwili mmoja, you should have an opinion about him no matter how naive you might be, othewise unakuwa huna uhakika na uliposimama, n that is terrible. Kwenye ile movie ya "The diary of a tired black man" kuna habari hii hii ya kwamba mdada ana mume mzuri mwaminifu na anaempenda, lakini tu kwa kuwa huyu binti amekua akiona betrayals all her life, na yeye mwenyewe kashatendwa sana, na marafiki zake wanatendwa kila kukicha, yeye akashindwa kumuamini alie naye japokuwa alikuwa mtu mzuri. Hii waliita black women syndrome, yani women drive their men away for lack of trust. So jamani acheni mioyo yenu iwe free, love freely, acheni wasiwasi.

apo inategemea unatumia mfumo upi wa sheria binamu, kuna wengine mfumo wao ni kwamba 'you are NOT guilty untill proven beyond reasonable doubt...ndio maana kunatakiwaga na ushahidi wa nguvu usio na mashaka.


by the way, kuna hii hapa:

"Mpendazoe alisema kwa mujibu wa sheria inayompa madaraka msajili wa vyama vya siasa, hawezi na hapaswi kukataa kutoa usajili kwa chama vya siasa kwa kisingizio cha kukosa bajeti ya shughuli alizopaswa kuzifanya.
“Yeye kama msajili alitakiwa kuelewa kwamba mwaka huu kuna vyama vingepeleka maombi ya usajili, kwa nini ofisi yake isitenge bajeti itakayomuwezesha kutekeleza majukumu yake,” alisema Mpendazoe ambaye alisalimisha ubunge wa jimbo la Kishapu na kujiunga na chama hicho kipya."(Mwananchi, 27/05/2010)
 
naamini hauwezi kuwa ujumbe hatarishi kwa kuwa msimao wangu uko wazi. No cheating! Na wewe unacheat b?

Mimi si cheat ila nina nyumba ndogo binamu na inafahamika kabisa......lol

je hujawahi kucheat binamu kwa hali yoyote? (apa najua ni pagumu manake kuna PM ya MJ uko kunako usinibishie)
 
Mimi si cheat ila nina nyumba ndogo binamu na inafahamika kabisa......lol

je hujawahi kucheat binamu kwa hali yoyote? (apa najua ni pagumu manake kuna PM ya MJ uko kunako usinibishie)
mmmm hmmm Kaizer .........
 
thnx carmel, mie cna wacwac na wa kwangu kabisa, ila ndio hapo tu cwezi kumpa 100%, lakini nimekufurahia sana wewe na shemeji yangu, Mungu awabariki, kwanza wewe kupata mume mwema/mwaminifu, pili kwa shemeji kujitunza/heshimu mwenyewe....

ASANTE kw akuelewa Nyamayao, cha msingi ni kumuomba Mungu aendelee kumpa huo ujasiri wa kuwa tofauti.
 
Mimi si cheat ila nina nyumba ndogo binamu na inafahamika kabisa......lol

je hujawahi kucheat binamu kwa hali yoyote? (apa najua ni pagumu manake kuna PM ya MJ uko kunako usinibishie)
imebidi tu nicheke mie lol kaizer.
 
Mimi si cheat ila nina nyumba ndogo binamu na inafahamika kabisa......lol

Hahahahaha mpwa hiyo nyumba ndogo kabla ya kujihalalishia ulicheat kwanza ndo ukaamua kuweka wazi.
Lakini kabda hujaimiliki au hujaanza kurusha makombora ulitakiwa uweke kwanza wazi msimamo wako kuwa nataka nikamate nyumba ndogo in future hapo usinge kuwa una cheat.
 
Mimi si cheat ila nina nyumba ndogo binamu na inafahamika kabisa......lol

je hujawahi kucheat binamu kwa hali yoyote? (apa najua ni pagumu manake kuna PM ya MJ uko kunako usinibishie)

Hapo kwenye bold ni mimi mzungumziwa?
 
Mmh keil,
You know these things so much. R u a psychologist or are you a participant in the game of cheating? ( I am just curious).

Kufahamu haya mambo siyo lazima uwe participant, kuna shuhuda nyingine ambazo ni za wazi kabisa kutoka maofisini, mtaani kwenye ndoa/mahusiano ambayo yanakumbwa na migogoro na hatimaye kuomba ushauri. Rejea post ya Nyamayao kuhusu shemejie, hicho ndicho nilikuwa ninakiongelea. Mtu akiamua ku-cheat na kuficha, unaweza kusema ni malaika kashuka (very perfect person).

Ile mada yako ya kura imekaa vibaya, huwezi kupata takwimu sahihi kwa kuwa hakuna ambaye anapenda ajulikane kwamba yeye ni cheater, ku-cheat ni sifa mbaya na ndio maana wanaocheat huwa wanafanya kwa siri sana ili wasijulikane.
 
Infidelity is relative, tuache uzungu, tutukuze Uafrika, Mume mmoja, mke mmoja ni uzungu. Waafrika mume mmoja wake wengi, ndio maana wengi wana mke mmoja kutimizwa matakwa ya kizungu na dini zao, halafu wana vimada kadhaa.
Inapotokea kwa mke kwenda nje, hiyo ni issue nyingine kabisa ila the bottom line ni aliyenaye ama anashindwa kumtimizia, hivyo anatoka nje ili kupunguza nakisi, ama anashindwa kumtosheleza, hivyo anatoka nje ili atosheke.
Issue sio kuhalalisha, bali society inakuwa too open.

Mmh!
 
Ile mada yako ya kura imekaa vibaya, huwezi kupata takwimu sahihi kwa kuwa hakuna ambaye anapenda ajulikane kwamba yeye ni cheater, ku-cheat ni sifa mbaya na ndio maana wanaocheat huwa wanafanya kwa siri sana ili wasijulikane.

Wala haijakaa vibaya!

Tuwe wakweli nafsini mwetu na hii itatumbanua miongoni mwetu kuwa hapa kuna wasemaji na wapiga debe! Nenda kapige kura kule ndio uje tuendelee.
 
Back
Top Bottom