Sipendi wanaohalalisha Infidelity

Ndio maana yake kiongozi. Soma katikati ya mistari hapo then pitia posts zako halafu ukonekti dots.

Sijapitisha kampeni ya aina yoyote hapa ni JF mpwa Kaizer na Chripin; msg zangu kwa wapwa nikuwa niwe kwenye groups zao as friends na hata wewe nimekupa! Ikiwa nimeweza kusoma nyuma ya mistari :confused2:
 
hehehehe!halafu nina mkakati wa chinichini wa kubadilisha aidii maanake mshiki ni kama ana dalili za kunimonita

carmel............
hapa nadhani kama ni SHUZI basi limepata mjambaji
GO KAIZER GO
 
Duh...MJ bana sasa apo wewe wa moto au wabaridi? mbona naona kuna ujumbe hatarishi pia umeutuma na unaulizia matokeo? carmel si nke wa ntu? LOL

Lol :becky: sikuona hii post samahani; Si wakati wote PM ikawa na nia mbaya; Hata weye Kaizer nimekutumia PM! :becky:
 
Sijapitisha kampeni ya aina yoyote hapa ni JF mpwa Kaizer na Chripin; msg zangu kwa wapwa nikuwa niwe kwenye groups zao as friends na hata wewe nimekupa! Ikiwa nimeweza kusoma nyuma ya mistari :confused2:
Pamoja kamanda. Hommie alitaka kujua hako kaPM kama kalikuwa kana mazingira na vimelea vya cheating LOL........Ilikuwa kuchangamsha jamvi kama kawaida yetu, otherwise thread ingeshasimama hii, na siku isingefika muda huu tukiwa tuna tabasamu.

Sasa turudi kwenye mada INFIDELITY is THERE TO STAY, hilo mpaka sasa hakuna aliyelithibitisha otherwise!!!
 

hahahaha Chripin sikuwezi wewe ...
 

No it is NOT my Broda! We must CHANGE our ways for the SAKE of our GRAND KIDS!
 
No it is NOT my Broda! We must CHANGE our ways for the SAKE of our GRAND KIDS!

U R the MAN of honor MJ...Yes u r ... remember history is made by those who break the rules...(clap ur hands for MJ bredahs and sistazzzz)
 
U R the MAN of honor MJ...Yes u r ... remember history is made by those who break the rules...(clap ur hands for MJ bredahs and sistazzzz)
Clap Clap Clap!!!!

Na mimi pia munipigie wajameni........
 
Hujaamua tu. Ukiataka utaniweza. Au ndio itakuwa cheating tayari? LOL Hii infidelity ya Carmel mbona itatunyima vingi?

wanao cheat kwani wanaogopaga? we cheat tu aisee lol.
 

Hatari...
 
U R the MAN of honor MJ...Yes u r ... remember history is made by those who break the rules...(clap ur hands for MJ bredahs and sistazzzz)

Clap Clap!

A standing ovation for you mamaam!

Nimeona kwa rate hii the FAMILY institution is heading to the rocks! Asa tusipokuwa makini wajukuu zetu watakuwa kama mahayawani!
 
Thank you kwa kumpigia makofi MJ

Ila mimi sikupigii makofi mpaka dada yako bht akubali kama unastahili claps
Nipigie kwanza afu akikuja akakataa kutoa kibali, unanitwanga makonde kadhaa....
 


unajua inasikitisha sana kuona watu wana-generalize kwamba kucheat ni lazima,na wengi humu wameegemea kwa wanaume % kubwa.
unajua ni hulka au tabia ya mtu ndio inamfanya afanye hivo vilevile kukosa self-control kabisa ya mwili na mawazo yako.sio kila mtu aliye ndoani lazima kipindi fulani cha ndoa ata-cheat msipende kuwajumuisha wanaume/wanawake wote na hii tabia ya ku-cheat.
maana unapo-generalize ivo, wewe una takwimu zipi na ulizifanya wapi na kwa akina nani?labda ulichukua sample ya watu kadhaa ulioongea nao,sasa wale wengine ambao hujawahi kukutana nao (nao i idadi gani)unajua maisha yao na iyo cheating???
mada ya carmel imejieleza bayana "cheating sio sifa na wala si hulka ya kila mwanaume/mwanamke chini ya jua"

grow up yu people
 
Nipigie kwanza afu akikuja akakataa kutoa kibali, unanitwanga makonde kadhaa....
hahahhhha ooow my Gosh... Chrispo u r priceless .... ila mie nataka nianze na makonde akikubali kutoa kibali ndio ntakupigia makofi....
 
hahahhhha ooow my Gosh... Chrispo u r priceless .... ila mie nataka nianze na makonde akikubali kutoa kibali ndio ntakupigia makofi....
Your request has been denied by the management of Chrispin and his Body Co.Ltd
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…