Sipo tayari kufanya ajira take home chini ya milioni moja

Sipo tayari kufanya ajira take home chini ya milioni moja

unazarau kazi.wenzako tuna familia na 380k mwisho wa mwez huyoo atm unatombesha atm kadi zinatoka inakuwa inakafeeling flan amaizing vile zinatoka.unaona kama haziishi
 
Kweli umeongea point. Endelea kudanga kama ulivyokuwa unafanya hapo IFM.

Kama ukilala na madanga mawili kwa siku kila danga likakupa elfu 30 hiyo hiyo ni elfu 60 kwa siku mara siku 30 inakuja 1,800,000. Toa siku nne unazokuwa period 240,000 inabaki 1,560,000.
una maesab makali arifu
 
Mimi wakati naanza kazi mwezi wa pili mwaka huu boss alinitajia mshahara wa laki 3 kwa mwezi lakini mbali na hapo ilitakiwa nifanye probation kwa miezi mitatu huku nikilipwa nusu ya pesa yani laki moja na nusu, baada ya kumaliza interview na kunitajia hiyo offer yao boss akaniambia nenda kafikirie halafu unipe jibu.

Nikafikiria sana ila nikaona ngoja nikomae nikakomaa miezi mitatu ikaisha ile nianze kupokea laki 3 sasa kama mshahara baada ya probation boss akaniambia kuanzia mwezi huu nitakulipa laki 4 baada ya miezi miwili akaniongezea tena laki moja nyingne nikawa nalipwa laki 5 mwezi November kaniongezea tena sasa nalipwa laki 6.

Acha kudharau kazi mkuu mtaani maisha ni magumu sana labda kama wewe ni mtoto wa kigogo sawa.
Anadharau sana huyu bata maji mimi ni mlinzi nalipwa laki na nusu, yeye anajikuta!
 
Mie ni muhitimu wa Degree ya Kwanza ya Banking na Finance mwaka huu wa 2020 na nimepata GPA kubwa. Kinachonishtua ni ofa zinazo patikana ni mishahara kiduchu mno!

Kiukweli, over my dead body, sipo tayari kwa ajira ambayo take home yake ni chini ya milioni moja.

Hope zinapatikana bila shaka.

Ni vyema ukajua GPA yako na degree are not achievements, you have a very long way to go!

Ngoja tu utapata hiyo unyotaka, ila sasa sijui sisi ndo wenye kazi au inatuhusu nini sasa mpaka utupigie kelele!
 
Hamna ukigogo hapo labda ni mtoto wa kihaya ambaye kwao wanauza mbege [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wazee wa ofcoz nina degree na in fact sitakubali kulipwa chini ya 1M
 
Ukweli ni kwamba hakuna boss ata risk kuchukua fresh graduate Bongo amlipe kiasi hiki. Waajiri ndio wanajua gharama na hasara za hii kitu. Kama hujawahi kuwa mwajiri hutaelewa.

Huyu jamaa lazima aliongeza thamani sana kwenye biashara. Vinginevyo asingeongezwa zaidi ya kupumzishwa baada ya probation
Kiukweli nilipambana sana kipindi cha probation na probation nilikaa kazini kama mwezi mmoja baada ya hapo corona tukawa hatuendi ofisini tunafanya kazi za nje, ambapo ilikua ni kazi ngumu zaidi kuliko tungekua ofisini mana maeneo tulikua tunaenda kuna mvua na matope kiasi kwamba gari haiwezi kupita hivyo tunalazimika kutembea kwa miguu halafu mwisho wa mwezi unaandika report unamtumia boss.

Sasa kulingana na report moja niliandika boss akaita kikao na kusema imemsaidia kupata sponsor wengi wa taasisi.
20201203_071957.jpg
 
Mabosi wakizungu niwazuri tena akilipa mwenyew lakini akiwa mbongo katikati hyo ni jam tayar
Sisi mshahara anapanga mwenyewe mzungu cashier (mbongo) anaambiwa tu flani kuanzia mwezi huu tunamlipa kiasi kadhaa
 
Yaani kusoma kote huko,GPA kubwa haijakusaidia kuona mbali,how if uajiriwe kwa mshahr kidogo then ukatmia oportunity ya kupata loan ukawa msing wa wewe kuanzsha biashra zako badala ya kuajiriwa?.baada ya mda u quit the ofisi ukaanza kurun biashra zako.
 
Back
Top Bottom