Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
una maesab makali arifuKweli umeongea point. Endelea kudanga kama ulivyokuwa unafanya hapo IFM.
Kama ukilala na madanga mawili kwa siku kila danga likakupa elfu 30 hiyo hiyo ni elfu 60 kwa siku mara siku 30 inakuja 1,800,000. Toa siku nne unazokuwa period 240,000 inabaki 1,560,000.
[emoji23][emoji23][emoji23] tumuacheTukwambie ukweli au tukuache [emoji1787][emoji1787]
Anadharau sana huyu bata maji mimi ni mlinzi nalipwa laki na nusu, yeye anajikuta!Mimi wakati naanza kazi mwezi wa pili mwaka huu boss alinitajia mshahara wa laki 3 kwa mwezi lakini mbali na hapo ilitakiwa nifanye probation kwa miezi mitatu huku nikilipwa nusu ya pesa yani laki moja na nusu, baada ya kumaliza interview na kunitajia hiyo offer yao boss akaniambia nenda kafikirie halafu unipe jibu.
Nikafikiria sana ila nikaona ngoja nikomae nikakomaa miezi mitatu ikaisha ile nianze kupokea laki 3 sasa kama mshahara baada ya probation boss akaniambia kuanzia mwezi huu nitakulipa laki 4 baada ya miezi miwili akaniongezea tena laki moja nyingne nikawa nalipwa laki 5 mwezi November kaniongezea tena sasa nalipwa laki 6.
Acha kudharau kazi mkuu mtaani maisha ni magumu sana labda kama wewe ni mtoto wa kigogo sawa.
Itakua ni mtoto wa kigogoAnadharau sana huyu bata maji mimi ni mlinzi nalipwa laki na nusu, yeye anajikuta!
Hamna ukigogo hapo labda ni mtoto wa kihaya ambaye kwao wanauza mbege [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Itakua ni mtoto wa kigogo
Mie ni muhitimu wa Degree ya Kwanza ya Banking na Finance mwaka huu wa 2020 na nimepata GPA kubwa. Kinachonishtua ni ofa zinazo patikana ni mishahara kiduchu mno!
Kiukweli, over my dead body, sipo tayari kwa ajira ambayo take home yake ni chini ya milioni moja.
Hope zinapatikana bila shaka.
Wazee wa ofcoz nina degree na in fact sitakubali kulipwa chini ya 1MHamna ukigogo hapo labda ni mtoto wa kihaya ambaye kwao wanauza mbege [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha huenda ningelipwa lak 2.5 kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nmecheka sana, boss mbongo kichomi... ungelipwa laki3 mpaka kesho
Mabosi wakizungu niwazuri tena akilipa mwenyew lakini akiwa mbongo katikati hyo ni jam tayardaah maboss wa kibongo jau sana, inaonekana boss wako anatabia za kizungu.
Kiukweli nilipambana sana kipindi cha probation na probation nilikaa kazini kama mwezi mmoja baada ya hapo corona tukawa hatuendi ofisini tunafanya kazi za nje, ambapo ilikua ni kazi ngumu zaidi kuliko tungekua ofisini mana maeneo tulikua tunaenda kuna mvua na matope kiasi kwamba gari haiwezi kupita hivyo tunalazimika kutembea kwa miguu halafu mwisho wa mwezi unaandika report unamtumia boss.Ukweli ni kwamba hakuna boss ata risk kuchukua fresh graduate Bongo amlipe kiasi hiki. Waajiri ndio wanajua gharama na hasara za hii kitu. Kama hujawahi kuwa mwajiri hutaelewa.
Huyu jamaa lazima aliongeza thamani sana kwenye biashara. Vinginevyo asingeongezwa zaidi ya kupumzishwa baada ya probation
kabisa yaan... sisi wabongo jau sana hatupendi mtu mwengine afanikiwe!Hahaha huenda ningelipwa lak 2.5 kabisa
Ana tako huyu ndio anachoringia sio GPABado una kamoto moto ngoja kodgo utakuja kuomba hadi kaz za kujitolea na gpa yako kubwa
daah! hao wa katikati ni wachawi balaaMabosi wakizungu niwazuri tena akilipa mwenyew lakini akiwa mbongo katikati hyo ni jam tayar
Sisi mshahara anapanga mwenyewe mzungu cashier (mbongo) anaambiwa tu flani kuanzia mwezi huu tunamlipa kiasi kadhaaMabosi wakizungu niwazuri tena akilipa mwenyew lakini akiwa mbongo katikati hyo ni jam tayar
Tukwambie ukweli au tukuache [emoji1787][emoji1787]
Hapana tumuache kwanza ashuhudie namna chombo kinavyopigwa dhoruba kwenye bahari ya Shamu.Tukwambie ukweli au tukuache [emoji1787][emoji1787]