Better take that chance, fanya kwa bidii, onyesha thamani yako na tengeneza umuhimu wako kiasi kwamba siku ukitaka kutoka wanahisi kupoteza human capital ya muhimu. Kuhusu matumizi, jibane, ishi kuendana na kipato..Ni wachache sana wanaobahatika kuanzia unapopataka.
NAFASI UWEZO JINA PESA, hii ni chain muhimu sana ambayo ukiizingatia itakupa zaidi ya hiyo milion moja...Chukua nafasi, Onyesha uwezo, tengeneza jina then ingiza pesa.
Usisahau, your value depreciates with time. Better understand that. Gud luck