Sipo tayari kufanya ajira take home chini ya milioni moja

Sipo tayari kufanya ajira take home chini ya milioni moja

Ndugu, Bora ningepata hio laki nane, fursa nyingi napata microfinance, na wanataka niwe tayari kuanza na shilingi laki tatu na nusu. Sasa nawaza, maisha ndio yatakuaje? Hio Nile, nipange, niende saloon, nitoe sadaka kha
We ni mwanamke bwana utaolewa hamna tatizo. Ngoja uzeek zeek kwanza.
 
Watz wengi tuna stress za maisha , hongeraa sana mtoa Uzi kwa self confidence...,ndio maana nasema watu kama nyie mpo wachache duniani..kwa kujaribu Na pia una take risk kwa jambo ambalo wengi wana ogopa ....,for sure I can say Ur a risk taker....hongeraa sana ,just focus and make Ur life...
 
Mie ni muhitimu wa Degree ya Kwanza ya Banking na Finance mwaka huu wa 2020 na nimepata GPA kubwa. Kinachonishtua ni ofa zinazo patikana ni mishahara kiduchu mno!

Kiukweli, over my dead body, sipo tayari kwa ajira ambayo take home yake ni chini ya milioni moja.

Hope zinapatikana bila shaka.
kafanye kazi kwanza upate uzoefu wewe.
GPA yako kubwa haiwezi kusaidia kitu utakapopata changamoto ya kikazi,kafanye kazi uoneshe kwamba GPA yako si ya kubahatisha,pili upate uzoefu wa kikazi,vinginevyo utasubiri sana
 
Sasa unanitukana ili iweje? Watanzania wengi mpoje lakini? Sipo Tayari kutoa nguvu zangu na akili mwezi mzima nilipwe laki tatu, hio ninatafuta na kuipata mwenyewe kwa biashara ndogo nilizo anza chuoni.
Usifosi tuwaze sawa.
KENGE WE
Sasa siungefanya kimya kimya nyang'au ww? Sisi hayatuhusi.
 
Mkuu wengine tuna 530
Take home kama 480 na tunadunda tu

Nnaamini zaidi kwenye mipango na sio wingi wa pesa!
 
Hili ndio tatizo la mitoto iliyolelewa kwenye mboga saba tena kwa kudekezwa mama linaita maaaaa na baba linaitwa baaaa
 
Kale GPA yako sasa ya 5.0, cheti PASS.

Ukiona vip nenda migodini ukalipwe 4M+
 
Mie ni muhitimu wa Degree ya Kwanza ya Banking na Finance mwaka huu wa 2020 na nimepata GPA kubwa. Kinachonishtua ni ofa zinazo patikana ni mishahara kiduchu mno!

Kiukweli, over my dead body, sipo tayari kwa ajira ambayo take home yake ni chini ya milioni moja.

Hope zinapatikana bila shaka.
Mkuu, siku ukiqnza kuona aibu kujitangaza na degree ya gpa kubwa na ukaanza kusema una elimu ya kidato cha nne ili upate ajira, tuonane.
 
Mie ni muhitimu wa Degree ya Kwanza ya Banking na Finance mwaka huu wa 2020 na nimepata GPA kubwa. Kinachonishtua ni ofa zinazo patikana ni mishahara kiduchu mno!

Kiukweli, over my dead body, sipo tayari kwa ajira ambayo take home yake ni chini ya milioni moja.

Hope zinapatikana bila shaka.

Naona bado mfukoni kuna visenti kadhaa, sasa suburi vikate akili ikukae sawa kisha ukaombe hata intern za bure!
 
.
10399505_1184148931605888_6730928529764590861_n.jpeg
 
M nashangaa hao wanao comments upupu hata hawaja elewa Uzi unasema nn wameishia kusoma kichwa cha habari tu..😂😂😂 ndio maana nasema kuna watu wana stress ..ebu tulieni...kwanza.
#acheni kukariri maisha..
 
Mleta mada umenifanya nitafakari ule usemi wa kuna tofauti kati yakusoma na kuelimika,mtu unaweza ukawa umesoma ila ukawa hujaelimika,maana elimu yako inakua imeshindwa kukukomboa hasa kifikra.
 
Better take that chance, fanya kwa bidii, onyesha thamani yako na tengeneza umuhimu wako kiasi kwamba siku ukitaka kutoka wanahisi kupoteza human capital ya muhimu. Kuhusu matumizi, jibane, ishi kuendana na kipato..Ni wachache sana wanaobahatika kuanzia unapopataka.

NAFASI UWEZO JINA PESA, hii ni chain muhimu sana ambayo ukiizingatia itakupa zaidi ya hiyo milion moja...Chukua nafasi, Onyesha uwezo, tengeneza jina then ingiza pesa.

Usisahau, your value depreciates with time. Better understand that. Gud luck
Bonge la ushauri, mtoa maada zingatia hii.
 
Hili ndio tatizo la mitoto iliyolelewa kwenye mboga saba tena kwa kudekezwa mama linaita maaaaa na baba linaitwa baaaa
[emoji23][emoji23] watu bhana!
Kwamba Maaaa..

Leo nataka pinuts na sambusa
 
Mie ni muhitimu wa Degree ya Kwanza ya Banking na Finance mwaka huu wa 2020 na nimepata GPA kubwa. Kinachonishtua ni ofa zinazo patikana ni mishahara kiduchu mno!

Kiukweli, over my dead body, sipo tayari kwa ajira ambayo take home yake ni chini ya milioni moja.

Hope zinapatikana bila shaka.
hongera kwa kuwa na pa kula na pa kulala - endelea kutafuta hiyo take home yako - karibu kwenye soko la ajira !!
 
Back
Top Bottom