There is no anonymous in JF... There is classified IDsAsalam ndugu wa jf
Kama kichwa kinavyojieleza hapo
je ni siri gani unayo ambayo huwezi wala hukuwahi kumwambia yeyote in real life
But would on JF using anonimity'''
Siri yangu mimi... sijawahi kuwapenda wenye mtazamo hasi kwangu. Japo nacheka nao
hata mimi nimekuhamu kama maji wakati wa kiu kinene,au wokovu wkt wa dhoruba ulikuwa wapi mpenzi nikupendae..?miss you mnoo
shika hizo story za kupokea sijui ni kweli au vipiYa Dr Shika yako wapi?
Tunataka kusikia ya kwako kwanza!!!Ngoja waje wenye siri zao
Ha ha ha ha ha ha ha haNimesha lala na mwanaume ambaye nampenda ila yeye hakujua kama nampenda na sikuwahi kumwambia yeye wala mwingine yeyote.
Niliiba kalmati ndani ya kabati na San vita kwa baba taibali bila kulipa. Sikuwahi mwambia yeyote.
Najua kuendesha gari manual ila nilipokuwa na baby hajui kuendesha manual nikamwambia sijui hata kuendesha gari na hadi kesho sijawahi mwambia. Kila nikienda mahali tuonane nachukua uber au bajaji. Nikiwa kwenye misele yangu nabadili gear kama Michael Schumacher.
Kasie Matata.
Sema tu tuchambueNatamani niiseme ila ni siri na inahusu uhai wa mtu
Sawa... Usitwambie... Tutajie tu aina ya sabuni unayotumia ili tukuunge mkono [emoji23]Siri ya yangu ya kupiga selfie kwa kutumia sabuni sitamwambia mtu kwakweli!!
Sawa kabisa mkuuThere is no anonymous in JF... There is classified IDs
Weeee nani akuambie kua natumia deto.Sawa... Usitwambie... Tutajie tu aina ya sabuni unayotumia ili tukuunge mkono [emoji23]