Siri gani ambayo huwezi kumwambia mtu yeyote kwenye maisha ya kweli lakini utaisema humu kwa kutumia anonymity? ?

There is no anonymous in JF... There is classified IDs
 
Siri yangu kuanza drs LA kwanza nikajua kusoma sitamsahau mwl wangu hiyo ndio siri yangu
 
Ha ha ha ha ha ha ha ha
 
Nimewaza siri yangu yoyote nikagundua sina
 
Jamaa yangu flani hapa job alinileteaga nuksi/uchuro tena nusra nifukuzwe kazi na hiyo ilikuwa baada ya kusimamshwa kazi mara kadhaa, sio mini tu na wenzangu pia. Yeye alikuwa na ukaribu/undugu na boss wetu.
Nikajisemea wacha ninkabidhi kwa Mungu juu ya dhurumati yake. Leo hii ni miezi mitatu tangu ajali ya pkpk, yupo Bugando hospital kavunjika mguu mara 2 na sehemu ya nyonga, kazini boss kashaanza kumsahau.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…