Siri gani ambayo huwezi kumwambia mtu yeyote kwenye maisha ya kweli lakini utaisema humu kwa kutumia anonymity? ?

Siri gani ambayo huwezi kumwambia mtu yeyote kwenye maisha ya kweli lakini utaisema humu kwa kutumia anonymity? ?

Kuisema jf bora umwambie MTU maana jf imekuwa shida, labda kama mm ambae sins mazoea ya kujuana na watu jf, sina zaidi ya watu 2 ninaowajua jf, pm wanakuja wengi sijawahi kubali.

Mbaya zaidi nilivyosoma mizozano ya watu, kuhusu ngabu, nilichoka, hata kama, mnatofautiana, utawezaje MTU kuleta hadi mambo ya nyumbani jf?

Ule Uzi ulinifundisha mengi, MTU anaweza jileta kama Rafiki kumbe kaja kwako kupiga picha kitanda unacholalia na kukileta jf.

Mwisho hakuna siri zaidi yako mwenyewe
 
Nimesha lala na mwanaume ambaye nampenda ila yeye hakujua kama nampenda na sikuwahi kumwambia yeye wala mwingine yeyote.

Niliiba kalmati ndani ya kabati na San vita kwa baba taibali bila kulipa. Sikuwahi mwambia yeyote.

Najua kuendesha gari manual ila nilipokuwa na baby hajui kuendesha manual nikamwambia sijui hata kuendesha gari na hadi kesho sijawahi mwambia. Kila nikienda mahali tuonane nachukua uber au bajaji. Nikiwa kwenye misele yangu nabadili gear kama Michael Schumacher.

Kasie Matata.
Si umfundishe kupiga gear baby
 
Jamaa yangu flani hapa job alinileteaga nuksi/uchuro tena nusra nifukuzwe kazi na hiyo ilikuwa baada ya kusimamshwa kazi mara kadhaa, sio mini tu na wenzangu pia. Yeye alikuwa na ukaribu/undugu na boss wetu.
Nikajisemea wacha ninkabidhi kwa Mungu juu ya dhurumati yake. Leo hii ni miezi mitatu tangu ajali ya pkpk, yupo Bugando hospital kavunjika mguu mara 2 na sehemu ya nyonga, kazini boss kashaanza kumsahau.
Sio sawa
 
Back
Top Bottom