Siri iliyofichwa kuhusu BIBLIA

sasa mbona hata KJV nayo ina contradict sehemu nyingi
 
Earthen scrolls nyingi ziliongezwa aidha kupunguzwa aidha kubadilishwa na COSTANTINE WA ROMA!
IPO SHIDA ETHIOPIC SCROLL NYINGI NI ZA KALE ZAIDI KULIKO SCROLL ZA KOKOTE KULE DUNIANI, VERY COMFUSED! HATA ETHIOPIC BIBLE SCROLL ZINATENGENEZA BIBLIA KUBWA KWELI YA KUSTAAJABISHA!
 
All in all biblia ni juu au tuseme inafichua juu ya
1.uumbaji wa Mungu,
2.chanzo cha dhambi
3.madhara ya dhambi
4.ukombozi kutoka kwenye dhambi
5.dunia mpya-yaani kwenda mbinguni
Sasa kama kuna kitabu kitakuwa na mada tofauti na hizo lazima kitolewe
 
Unakuja na hidithi za kjv au ubora wa neno la MUNGU
 
Haya biblia ina kasoro,tufate kitabu gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…