Siri iliyofichwa kuhusu BIBLIA

Siri iliyofichwa kuhusu BIBLIA

Nachohisi ni kwamba kuna baadhi ya mambo tunafichwa na kikundi cha watu wachache maana kuna vitabu vilitolewa kwa sababu A na vingine vyenye kasoro hiyo hiyo viliachwa. Nahisi ni cover up, uzi ujao ntaongelea Injili ya Yuda Iskariot na Barua ya paulo kwa laodecia nafikiri utapata picha nachodai tunafichwa ni kipi.
Tuhoji na Quran ilivyoandikwa sio biblia tu!!!Au una chuki binafsi na wakristo mdogo wangu??????
 
Mkuu wikipedia inaingiaje hapa. Tunavyoongea tayari kuna biblia versions 9 na mzee zaidi ni KJV maana ndio ilikuwa ya mwanzoni na mpya zaidi ni NIV (2011) na ndio inadai chanzo cha watafsiri wa KJV ni text receptus waliokuwa nayo 1600 lakini hawa wa NIV waliikuta text receptus ya zamani zaidi kutoka dead sea scrolls ambayo haikuwa na hayo maneno 64,000 na hiyo mistari niliyoorodhesha sasa basi wakasema KJV ilichakachuliwa na ndio leo hii NIV ndio inayotumika zaidi duniani yaani kwenye kila biblia 100 zaidi ya 50 ni NIV ila bible ya kiswahili ilitoholewa kutoka KJV ndio nauliza sasa nani mkweli kati ya KJV na NIV?

Na kama NIV ni mkweli (wanatheolojia 80% wanakiri) je nini hatma ya uhalali wa Biblia kama imewahi kuchakachuliwa

ujibu kwanza hili ambalo halihitaji wikipedia bali uwe na biblia mbili tu ya KJV na NIV ili ujengee hoja
Mkuu nini hatima ya Qur'an kama imewahi kuchakachuliwa na MUDI na issues zake za kukopi na kupesti??????WEWE NIA YAKO NI KUIDHARIRISHA BIBLIA TAKATIFU!!!!!
 
Kuhani nyabhingi.

Asalaam Aleikum, Waramatullah Wabarakatuhu
Ni salamu hiyo kwa Lugha ya Kiarabu.
Nasema hivi Kuhani,
Umeshatueleza mara nyingi tu kuwa kutokana na kitabu chako unachokiamini cha
" The Book Of The Dead "
Yesu Kristo hajawahi kuwepo hapa duniani, na habarizake zote ni za kutunga na kuzushiwa.
Sasa ni vipi unasema tena kuwa

" Mathayo 16:28 Yesu alisema uongo " ?

Huyo Yesu ambaye hakuwahi kuwepo, halafu tena huyohuyo aseme uwongo, umempata wapi Kiongozi.
Unajua Kuhani ni mtu wa kuaminika ha hapaswi kujikanganya kwenye maelezo yake mara kwa mara.
Sasa wewe ni mfuasi wa MUDI na umeanza kutusalimia kwa Lugha ya kiarabu basi tayari tushajua mlengo wako!!!NA SISI PIA TUNAJUA MUDI ANA STORI ZA KUUNGA UNGA!!!UNAJUA MTUME NI MTU WA KUAMINIKA SANA HAPASWI KUJIKANGANYA KWENYE MAELEZO YAKE!!!!SISI HATUMUAMINI MUDI NA WEWE HUMUAMINI YESU BASI NGOMA DROO!!!!TATIZO LIKO WAPI????
 
Mkuu MWANA ileje nimeelewa post yako na mimi hakuna mahala nimesema biblia ni kitabu kibaya concern yangu mimi ni kwanini Pseudipigrapha zilitolewa kwenye biblia ilihali sababu zilezile zilizopelekea kutolewa bado zipo kwenye baadhi ya vitabu vya kibiblia.

Na hii hoja sijaitoa mimi bali ni waandishi wa biblia ya NIV yaani harper-collins inc kundi la wanatheolojia miaka ya 60 walipoifanyia utafsiri upya biblia na kugundua makosa lukuki kwenye tafsiri ya KJV ndio kusema kwa mujibu wa NIV kama biblia ya KJV ilichakachuliwa na ndio imetumika kutafsiri biblia ya kiswahili kivipi sasa walitoa zile Pseudipigrapha na wakaacha vitabu vyenye utata vilivyoainishwa na NIV hadi kupelekea maneno 64,000 kufutwa kwenye biblia

Hapa tuna biblia mbili zote zinakinzana hivyo mnaposema tunapinga Biblia unakosea labda ungesema BIBLIA ZINAZOPINGANA ZINAKOSEA maana wao ndio walioleta huu mjadala sio akina sisi zitto junior so hamtutendei haki kutushambulia tunaoleta mijadala inapaswa muswashambulie KJV au NIV
Kuna mahala umesema kwa mtazamo wako Quran ndio kitabu sahii!!!Wewe lengo lako uwakosoe wakristo afu sijui utafaidika na nini????
 
Hiki ni kitabu kisichokua na shaka ndani yake na ni muongozo kwa wamchao mwenyezimungu (Qur an),toka enzi hadi ss kiko vilevile na wanaojaribu kukibadilisha wanapata tabu saana
Hiyo ni imani yako usitulazimishe na sisi kuamini!!!!Kwetu biblia TAKATIFU ndio kitabu cha Yehova hatumjui hiyo Allah
 
MAANDIKO YENYE UTATA
Kuna mistari mingine ambayo ni halali kibiblia ila imebadilishwa maeneo husika ipo mistari zaidi ya 50 kwenye agano jipya mfano Yohanna 7:53-8:11 kuhusu Yesu kuwepo hekaluni ila ghafla kipande kati ya 7:52 na 8:11 vimechomeka story ya mwanamke kahaba alietaka kupigwa mawe na ghafla mstari wa 12 unaendelea Yesu akiwa hekaluni hii inakubaliwa na wanatheolojia wote kuwa kilichomekwa na hakikuwepo kwenye maandiko orijino kama una biblia hapo kasome hiki kipande alafu utaelewa nachosema. Kanisa likaamua kuita vitabu vyenye maandiko na uandishi wa utata kuwa ni disputed books ilihali zina sifa zile zile za kuitwa pseudepigraphi na kutakiwa kufutwa kwenye biblia. Mfano Marko 16 inaishia mstari wa 8 ila 9-20 haikuwepo bali iliongezwa miaka mingi mbele na mtu asiyetambulika ila bado kipo kwenye biblia lakini kitabu cha Enoch au Yuda iskariot vimetolewa kwa hoja hiyo hiyo?? Kuna ajenda gani hapa wakuu?? Kipi tunafichwa?? Anyway disputed books kulingana na mwanatheolojia E. P. Sanders ni waefeso,wakolosai,2 wathesalonike, 1 & 2, Tito na vingine vingi.... Je kama vina kasoro kwanini vimeachwa??

VILIANDIKWA NA MUNGU?
Kuna hoja inasema vitabu vya Biblia viliandikwa kwa uweza wa Roho mtakatifu hivyo vile vilivyoachwa havikuandikwa na Roho mtakatifu sasa tujiulize GT kama kuna mistari ya Biblia imeongezwa na wanadamu mfano isaya,wimbo ulio bora,Tito,Yeremia,marko je bado hoja hii ina mashiko ilihali wanatheolojia wanakiri biblia ilichezewa kwa mifano niliyotoa hapo juu na kama si kweli viliandikwa kwa uweza wa Roho bali fahamu za wanadamu je kwanini basi ilitumika kuzuia vitabu kama Injili ya Yuda ama Thomaso?? Je hakuna agenda ya siri kwanini vilizuiwa alafu sisi tukaaminishwa tu kuwa havikuwa na uvuvio wa Roho mtakatifu??
View attachment 830349
PSEUDEPIGRAPHI ZINAKINZANA NA BIBLE
kuna hoja ilitolewa kwamba vitabu vya biblia vinakinzana na Pseudipigrapha ndio maana vikatolewa kwenye bible ila cha kujiuliza GT mbona kuna taarifa zinakinzana ndani ya biblia lakini havijatolewa??

MIFANO
Mathayo 4:1-11 inasema mara tu baada ya ubatizo Yesu alienda kufunga siku 40 ila Yohana 2:1 anasema siku tatu baada ya kubatizwa Yesu alikua kwenye harusi ya Cana!!

Au mathayo 27:44 wale wezi wawili walimtukana Yesu ila luka 23:39 inasema mmoja alitukana mwingine alimtetea.

Mathayo 28:9 inasema Yesu baada ya kufufuka aliruhusu Mary amshike ila Yohana 20:17 Inaonyesha baada ya kufufuka na kuonana na mary, Yesu akamzuia kumgusa sababu alikua bado hajarudi kwa Baba!!

Hiyo ni mifano tu ila kuna mistari zaidi ya mamia inayopishana taarifa ila vimeachwa kwenye bible lakini pseudipigraphi zikipishana hata neno moja ndio wanajengea hoja kwamba ndio sababu havipo kwenye bible je sababu hii ilisababisha vitolewe ama kuna mengi tunafichwa?

HITIMISHO
Kwa kuhitimisha labda niseme tu kumekuwa na maswali mengi juu ya chanzo hasa cha vitabu vingine kutolewa kwenye biblia na vingine kuachwa wakato vina kasoro zile zile..... Na hata mkuu Pendael24 alishawahi kuhoji kwamba kama tunafikiri biblia imechezewa je Mungu haoni hadi aruhusu hilo?? Na akahoji mbona Biblia inatenda ina maana kazi ya forgery inaweza kuwa na nguvu za Mungu na akanihoji je wachungaji wote hawa wakubwa hawalijui hili kiasi Mungu awaache watumie bibloa iliyochakachuliwa?? Kiukweli nilikosa majibu ila nategemea leo humu majibu yote yatapatikana

NB: Mimi nimechokoza mada tu ili kupata maarifa ya GT ila sio msimamo wangu kuwa bible ni batili au Qur'an ndio sahihi hivyo tunapojadili hoja humu tuhakikishe tunazingatia hilo pia udini na kejeli na matusi sio uwanja wake humu, nataka tujadili kwa kujifunza sio kupambana.

Karibuni kwa mjadala
Uongo wako ni mkubwa na wala hausaidii chochote,hauleti madhara yoyote na kadha wa kadha
 
Kaka una amini kuna watu nyoyo zao zimetulia tuli,kaka Mola hatafutwi kwa mtindo wa voda fasta,Mola anasomwa tena kusomwa haswa. Leo watu wanatumka muda mwingi katika mambo ya kipuuzi,starehe na kuongea umbea umbea tu. Halafu unakuta ana muamini Mola halafu hamjui. Kwanini umuamini Mola usie mjua ? Huo ni uvivu na ujinga usiotakiwa mzee.


Hutakiwi kukata tamaa,madamu una akili timamu,mtafute Mola mpaka umjue.
Upo sawa ila usilazimishe watu maoni yako wayakubali!!!!!Kwa mfano mimi Mungu wangu ni Yesu simujui huyo allah na sina tatizo na dini za watu wengine!!!!Sasa mdogo wangu zito kakosea kama anataka kuangalia mapungufu ya vitabu vya dini asishambulie tu wakristo aseme na waislamu pia na wabudha na wahindu!!!Sio aegemee upande moja!!!!Sasa yeye mlengo wake kashajiweka wazi hivyo lazima ataegemea upande mmoja
 
Hakuna mashaka yoyote kuhusiana na biblia,Ni watu wapumbavu tuu ndio wanatafuta shida ambazo hazina maana na upotevu,Mungu wa biblia Ni practical God na anapatikana ukiamini ,hatuamini juu ya Mungu wa kihistoria mwenye kujikanfanya Bali Ni Mungu mwenye nguvu na uweza,biblia Ni mkusanyiko wa mafunuo ya watu waliotembea na Mungu Zama mbali mbali,kanuni za Za Mungu zipo specific kwa watu wake kwa wakati husika (era)nyakati hizi kanuni zinazotuongoza Ni za agano jipya ingawaje tunapata vitabu vya agano la kale Kama rejea ya kuangalia namna watu wa Mungu walivyooenenda lakini hatutumii kanuni zao nyakati hizi.kwa hiyo vipovitabu ambavyo haviwezi kuwa applicable nyakati hizi Tena ijapokuwa Ni vya kweli kwa wakati wake.Kwa hiyo wakrusto hatuna shaka yoyote na neno la Mungu kwa kuwa Mungu wetu yupo practical sana anajidhirisha tukikiamini neno lake.
 
Biblia Hii Inayotumika Sasa Ina Contradictions Kibao Ambazo Zinaweza Kukupunguzia Imani Yako.

Kwa Ujumla Huwa Nasema Naamini Kuwa ' Yupo Muumba Wa Ulimwengu Na Vyote Vilivyomo ', Awe Ni Mungu Huyu Wa Kwenye Biblia: Sawa, Awe Ni Mwingine: Sawa. Haya Mambo Ya ' Dini ' Ni Pasua Kichwa tu

Kusema Biblia ni Kitabu Kitakatifu Si Sahihi Hata Kidogo. Ni Sawa Ile Katiba Pendekezwa Kutoka Bunge Maalumu!
Kumbuka kuwa biblia haitumiki msikitini na Kuna wapumbavu Kama wewe waliipingakwa vitendo zaidi ya miaka 2000 still bado ipo,still bado watu wanaamini,hicho kitabu chako unachooona hakina shaka kimenakiliwa kutoka kwenye biblia na walevi.
 
Kuna mahala umesema kwa mtazamo wako Quran ndio kitabu sahii!!!Wewe lengo lako uwakosoe wakristo afu sijui utafaidika na nini????
Mimi sio muislam Sasa kivipi Tena niseme Quran ndio kitabu sahihi? Tatizo lenu mtu alileta mjadala juu ya Biblia automatically anageuka Muislam!!!!
 
Mkuu nini hatima ya Qur'an kama imewahi kuchakachuliwa na MUDI na issues zake za kukopi na kupesti??????WEWE NIA YAKO NI KUIDHARIRISHA BIBLIA TAKATIFU!!!!!
Hilo swali fungus Uzi wake wataalam wa Quran watakujibu Mimi naijua Biblia pekee
 
Mimi sio muislam Sasa kivipi Tena niseme Quran ndio kitabu sahihi? Tatizo lenu mtu alileta mjadala juu ya Biblia automatically anageuka Muislam!!!!
Acha utoto mdogo wangu!!!Pale kwenye uzi wako Mwisho ni ulisemaje au uliandikiwa huu uzi????Kwa mtazamo wako kitabu sahii ni.........!!!!!
 
Hilo swali fungus Uzi wake wataalam wa Quran watakujibu Mimi naijua Biblia pekee
Unaona majibu yako mdogo wangu!!!Maswali yangu fangasi ila maswali yako sio fangasi?????Hapo unnajionyesha wewe ni mtu wa mlengo gani!!!!!Humjui biblia ila umesoma biblia kwa lengo la kuwakashifu wakristo!!!WE ARE VERY PROUDLY CHIRISTIAN NA SISI HATUWEZI KUWA WAISLAMU MPAKA KUFA MDOGO WANGU Hata ukosoe BIBLIA kiasi gani na hatumtambui MUDI NA Allah sisi tunamtambua YESU TU MUNGU WETU!!!Kabla yako walikuwapo wengi tu mdogo wangu
 
Waislam hatuwezi kusoma Bible ila tutasoma Injili, zaburi, taurati, na Qur'an tu. Sisi hatujui na wala hatuamini kuwa Bible ni kitabu cha Mungu.
Hata sisi hatuamini hatutaki wala hatujui kama MUDI NA ALLAH WANATUHUSU NA QURAN ni kitabu cha Mungu WETU (JEHOVAH)
 
Mi naomba nielekezwe tu namna ya kupata bikra 72
 
Ningependa kujua nani wakunithibishia kama biblia siyo story ya kufunga au composed novel mixed with true events plus fictions wakuweza kunielekeza kindaki mdak wa haya mambo
KAKA na mimi pia ningependa kujua nani wa kunithibitishia kama KAMA MUDI NA QURAN SIYO STORY ZA KUTUNGA AU COMPOSED NOVEL MIXED WITH ARABS TRUE EVENTS PLUS FICTION!!!!ANZA WEWE KUNIELEWESHA NA MIMI NITAKUELEWESHA KAKA
 
NIV ni kitabu batili cha biblia na wakristo wote wanatakiwa wazitupe kwenye dustbin au zipelekwe kwenye vijiji visivyo na maji ya kutosha kwa ajili ya kuchambia....Scholars wote walioiandika (New International Version) mkristo una haki ya kuwajua pamoja na tabia zao chafu,,zaidi pia wafadhili wa kuandika hio biblia ni watu wasio sahihi,,,kila mkristo awafatilie ili ajiridhishe kuhusu njama na mwenendo wao ili kuitupa chooni hii version.KING JAMES VERSION ni biblia sahihi ilioandikwa na schollars sahihi wakati bado ulaya kukiwa na hofu ya MUNGU.
Hivyo vitabu kama kitabu cha yashari,,enock,,esdras,,judith,,tobith na vingine vingi vya kihistoria havina nafasi katika biblia yenye lengo kamili la Imani maana vimejaa mashairi na historia isio na faida katika maisha ya kiroho na kiimani kwa mkristo makini aliemuamini YESU KRISTO.Ni vitabu vizuri kwa ajili ya kufundishia darasani.

Mfano miaka michache imepita serikali ya South Afrika imeingiza mtaala wa uchawi katika mtaala wake wa elimu ya juu,,,degree,,masters,,phd nk.Sasa sitoshangaa serikali ya Afrika ya kusini kukitumia kitabu cha enock kama reference.
 
Back
Top Bottom