Jerry Ekky
JF-Expert Member
- May 6, 2018
- 1,683
- 5,236
Zitto junior ameleta janga, na janga nalo limezidi kuwatafuna wahanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivyo vitabu navipata wapi nikavisome aisee?Waislam hatuwezi kusoma Bible ila tutasoma Injili, zaburi, taurati, na Qur'an tu. Sisi hatujui na wala hatuamini kuwa Bible ni kitabu cha Mungu.
@zitto junior pitia hiiBaada ya Kristo Yesu kupaa kurudi mbinguni kwa baba na kuketi mkono wake wa kuume hata pale baba atakapowaweka maadui zake chini ya miguu yake, kanisa likapitia adha kuu na mateso mengi, huu ulikuwa ni mpango wa shetani wa kuliua kanisa.
Tunaweza kuona wale mitume kumi na moja na Paulo akiwa wa kumi na mbili kwa nafasi ile aliyoipoteza Yuda Iskariote jinsi walivyopitia adha na mateso mengi, hata jinsi mtume wa mwisho Yohana Wa Kisiwa Cha Patmo alivyochemshwa kwenye tank la mafuta lakini hakufa, walipoona hafi wakaona ngoja tukamtupe katika kisiwa cha Patmo, kisiwa hicho hakina watu na huko kunaishi viumbe hatari na majoka hivyo walidhani basi huko hao viumbe wangemwua, lakini huko ndiko akapewa Ufunuo wa Yesu kristo wa matukio ya siku za mwisho uitwao "Ufunuo Wa Yesu Kristo Kwa Yohana", hili jina linalotumika sasa "Ufunuo Wa Yohana" lilibadilishwa na watu flani katika harakati hizihizi za upinga Kristo, nitaeleza kwanini. Ikumbukwa huyu Yohana ndiye yule mwanafunzi wa Yesu ambaye Yesu alimpenda sana, na pia alikuwa ndugu yake Yesu, ikafika mahali wanafunzi wengine walifikiri huyu Yohana hafi.
Biblia tuliyonayo sasa ya vitabu sitini na sita imeandikwa na watu tofauti tofauti wapatao arobaini ambao hawakuwahi kufikiri hata siku moja kwamba vitabu vyao vitakuja kuunganishwa na kuwa kitabu kimoja, na watu hawa waliandika vitabu vyao kwa nyakati tofauti tofauti, hawakukaa pamoja wala kujadiliana wala kushirikiana katika kuviandika.
Baada ya mtume wa mwisho kuondoka duniani, Yohana, miaka kadhaa baadae, ndipo shetani alijiuliza sana kwamba kwa nini kadiri anavyozidi kulitesa kanisa ndivyo hivyo kanisa linavyozidi kuongezeka kwa kasi na watu kuwa na imani ya Kristo na kuutetemesha ufalme wake wa giza zaidi.
Baada ya shetani kujiuliza sana ndipo akaja na mbinu mpya ya kuanzisha kanisa lingine ambalo litakuwa mfano wa nuru na watumishi wake watakuwa mfano wa mwana kondoo(mfano wa Yesu). Na pia shetani akaleta amani kati ya kanisa na serikali za kidunia na ikatolewa nafasi kwa viongozi wa kanisa kuchukua nafasi pia za uongozi serikalini. Kanisa likapata raha pasipo kugundua kumbe ilikuwa mpango wa shetani kwa sababu aliingiza watu wake katika kanisa walio ndugu wa uongo walioingizwa kwa siri katika kanisa.
Sasa shetani akawa amefanikiwa hilo lakini akawa anapiga hesabu ni namna gani ataingiza sanamu katika kanisa kwa sababu bado kuna watu wenye imani waliojichanganya kwenye kanisa lake la uongo alilolianzisha hivyo alijua atapingwa.
Sasa siku mpango wa kuingiza sanamu katika kanisa ndipo hapo mpango huo ulipingwa na vita kali ilitokea na watu wengi kuuawa kwa kuitetea imani. Na shetani akafanikiwa kuingiza sanamu katika kanisa lake alilolianzisha na ni kipindi hicho Biblia Original zilichomwa moto na zingine kutupwa baharini Biblia tulizonazo sasa zimepunguzwa maneno na vitabu.
Katika Biblia zilizokuwepo kipindi hicho Yesu alizungumza mengi, mpaka mpango wa dini moja utakao tokea nyakati za mwisho na alitabiri mambo mengi ya kipindi hichi, na nyakati za mwisho itakavyokuwa, jinsi kanisa litakavyoondolewa kwenye msingi na jinsi litakavyo rejesha kwenye msingi, jinsi maadui zake watakavyowekwa chini ya miguu yake na ni kwa namna gani n.k n.k n.k, yote hayo yalipunguzwa yasiandikwe kwenye Biblia tuliyonayo sasa tusije tukayasoma tukashtuka na kugundua uongo wao. Na ili tusiweze kupambanua ipi ni nuru halisi ipi ni mfano wa nuru, wapi ni watumishi wa Mungu wa kweli na wapi ni wa uongo. Kitabu cha "Ufunuo Wa Kristo Kwa Yohana", kikabadilishwa jina kikaitwa "Ufunuo Wa Yohana", lengo la yote ni kujaribu kutupotosha sisi kanisa.
Hawakuishia hapo karne ya sita Uislamu ukaasisiwa na Papa wa kipindi hicho na namna ya uendeshaji ibada zao n.k n.k n.k, sielezei sana hili swala ila nnachotaka kusema katika mpango wa dini moja unaosimamiwa na Papa wa sasa tayari wamekwisha kujiunga dini kumi na tatu ikiwemo Islamu wale ambao ni ndugu. Yote haya yalitabiriwa ila yameng'olewa kwenye Biblia tusiyaone.
HITIMISHO
Kwa wale wenzetu wa imani tofauti wanaotushawishi tujiunge nao kwa kusema kwenye Biblia yetu ya zamani kuna maandiko yanataja mji wao mtakatifu ili tuuache ukristo. Napenda kuwapa ujumbe kwamba wanapofichua yaliyomo kwenye Biblia yetu ya zamani wafichue na haya niliyoyaandika.
Biblia Original bado zipo kwenye store za Rumi, nchini Italia.
Ngoja niisome mkuu@zitto junior pitia hii
Rafiki umeandika vingi, lakini vingi vinahitaji nukuu (reference). Kwa maoni yangu kuna vitu umechanganya, ila siwezi sema kitu mpaka utuletee nukuu hizo.Baada ya Kristo Yesu kupaa kurudi mbinguni kwa baba na kuketi mkono wake wa kuume hata pale baba atakapowaweka maadui zake chini ya miguu yake, kanisa likapitia adha kuu na mateso mengi, huu ulikuwa ni mpango wa shetani wa kuliua kanisa.
Tunaweza kuona wale mitume kumi na moja na Paulo akiwa wa kumi na mbili kwa nafasi ile aliyoipoteza Yuda Iskariote jinsi walivyopitia adha na mateso mengi, hata jinsi mtume wa mwisho Yohana Wa Kisiwa Cha Patmo alivyochemshwa kwenye tank la mafuta lakini hakufa, walipoona hafi wakaona ngoja tukamtupe katika kisiwa cha Patmo, kisiwa hicho hakina watu na huko kunaishi viumbe hatari na majoka hivyo walidhani basi huko hao viumbe wangemwua, lakini huko ndiko akapewa Ufunuo wa Yesu kristo wa matukio ya siku za mwisho uitwao "Ufunuo Wa Yesu Kristo Kwa Yohana", hili jina linalotumika sasa "Ufunuo Wa Yohana" lilibadilishwa na watu flani katika harakati hizihizi za upinga Kristo, nitaeleza kwanini. Ikumbukwa huyu Yohana ndiye yule mwanafunzi wa Yesu ambaye Yesu alimpenda sana, na pia alikuwa ndugu yake Yesu, ikafika mahali wanafunzi wengine walifikiri huyu Yohana hafi.
Biblia tuliyonayo sasa ya vitabu sitini na sita imeandikwa na watu tofauti tofauti wapatao arobaini ambao hawakuwahi kufikiri hata siku moja kwamba vitabu vyao vitakuja kuunganishwa na kuwa kitabu kimoja, na watu hawa waliandika vitabu vyao kwa nyakati tofauti tofauti, hawakukaa pamoja wala kujadiliana wala kushirikiana katika kuviandika.
Baada ya mtume wa mwisho kuondoka duniani, Yohana, miaka kadhaa baadae, ndipo shetani alijiuliza sana kwamba kwa nini kadiri anavyozidi kulitesa kanisa ndivyo hivyo kanisa linavyozidi kuongezeka kwa kasi na watu kuwa na imani ya Kristo na kuutetemesha ufalme wake wa giza zaidi.
Baada ya shetani kujiuliza sana ndipo akaja na mbinu mpya ya kuanzisha kanisa lingine ambalo litakuwa mfano wa nuru na watumishi wake watakuwa mfano wa mwana kondoo(mfano wa Yesu). Na pia shetani akaleta amani kati ya kanisa na serikali za kidunia na ikatolewa nafasi kwa viongozi wa kanisa kuchukua nafasi pia za uongozi serikalini. Kanisa likapata raha pasipo kugundua kumbe ilikuwa mpango wa shetani kwa sababu aliingiza watu wake katika kanisa walio ndugu wa uongo walioingizwa kwa siri katika kanisa.
Sasa shetani akawa amefanikiwa hilo lakini akawa anapiga hesabu ni namna gani ataingiza sanamu katika kanisa kwa sababu bado kuna watu wenye imani waliojichanganya kwenye kanisa lake la uongo alilolianzisha hivyo alijua atapingwa.
Sasa siku mpango wa kuingiza sanamu katika kanisa ndipo hapo mpango huo ulipingwa na vita kali ilitokea na watu wengi kuuawa kwa kuitetea imani. Na shetani akafanikiwa kuingiza sanamu katika kanisa lake alilolianzisha na ni kipindi hicho Biblia Original zilichomwa moto na zingine kutupwa baharini Biblia tulizonazo sasa zimepunguzwa maneno na vitabu.
Katika Biblia zilizokuwepo kipindi hicho Yesu alizungumza mengi, mpaka mpango wa dini moja utakao tokea nyakati za mwisho na alitabiri mambo mengi ya kipindi hichi, na nyakati za mwisho itakavyokuwa, jinsi kanisa litakavyoondolewa kwenye msingi na jinsi litakavyo rejesha kwenye msingi, jinsi maadui zake watakavyowekwa chini ya miguu yake na ni kwa namna gani n.k n.k n.k, yote hayo yalipunguzwa yasiandikwe kwenye Biblia tuliyonayo sasa tusije tukayasoma tukashtuka na kugundua uongo wao. Na ili tusiweze kupambanua ipi ni nuru halisi ipi ni mfano wa nuru, wapi ni watumishi wa Mungu wa kweli na wapi ni wa uongo. Kitabu cha "Ufunuo Wa Kristo Kwa Yohana", kikabadilishwa jina kikaitwa "Ufunuo Wa Yohana", lengo la yote ni kujaribu kutupotosha sisi kanisa.
Hawakuishia hapo karne ya sita Uislamu ukaasisiwa na Papa wa kipindi hicho na namna ya uendeshaji ibada zao n.k n.k n.k, sielezei sana hili swala ila nnachotaka kusema katika mpango wa dini moja unaosimamiwa na Papa wa sasa tayari wamekwisha kujiunga dini kumi na tatu ikiwemo Islamu wale ambao ni ndugu. Yote haya yalitabiriwa ila yameng'olewa kwenye Biblia tusiyaone.
HITIMISHO
Kwa wale wenzetu wa imani tofauti wanaotushawishi tujiunge nao kwa kusema kwenye Biblia yetu ya zamani kuna maandiko yanataja mji wao mtakatifu ili tuuache ukristo. Napenda kuwapa ujumbe kwamba wanapofichua yaliyomo kwenye Biblia yetu ya zamani wafichue na haya niliyoyaandika.
Biblia Original bado zipo kwenye store za Rumi, nchini Italia.
Ipi hapo unataka nikupe reference yake katika hayo niliyoyaandika?Rafiki umeandika vingi, lakini vingi vinahitaji nukuu (reference). Kwa maoni yangu kuna vitu umechanganya, ila siwezi sema kitu mpaka utuletee nukuu hizo.
navuta siti hapa stoki nasubil wajuvi... karbnMAANDIKO YENYE UTATA
Kuna mistari mingine ambayo ni halali kibiblia ila imebadilishwa maeneo husika ipo mistari zaidi ya 50 kwenye agano jipya mfano Yohanna 7:53-8:11 kuhusu Yesu kuwepo hekaluni ila ghafla kipande kati ya 7:52 na 8:11 vimechomeka story ya mwanamke kahaba alietaka kupigwa mawe na ghafla mstari wa 12 unaendelea Yesu akiwa hekaluni hii inakubaliwa na wanatheolojia wote kuwa kilichomekwa na hakikuwepo kwenye maandiko orijino kama una biblia hapo kasome hiki kipande alafu utaelewa nachosema. Kanisa likaamua kuita vitabu vyenye maandiko na uandishi wa utata kuwa ni disputed books ilihali zina sifa zile zile za kuitwa pseudepigraphi na kutakiwa kufutwa kwenye biblia. Mfano Marko 16 inaishia mstari wa 8 ila 9-20 haikuwepo bali iliongezwa miaka mingi mbele na mtu asiyetambulika ila bado kipo kwenye biblia lakini kitabu cha Enoch au Yuda iskariot vimetolewa kwa hoja hiyo hiyo?? Kuna ajenda gani hapa wakuu?? Kipi tunafichwa?? Anyway disputed books kulingana na mwanatheolojia E. P. Sanders ni waefeso,wakolosai,2 wathesalonike, 1 & 2, Tito na vingine vingi.... Je kama vina kasoro kwanini vimeachwa??
VILIANDIKWA NA MUNGU?
Kuna hoja inasema vitabu vya Biblia viliandikwa kwa uweza wa Roho mtakatifu hivyo vile vilivyoachwa havikuandikwa na Roho mtakatifu sasa tujiulize GT kama kuna mistari ya Biblia imeongezwa na wanadamu mfano isaya,wimbo ulio bora,Tito,Yeremia,marko je bado hoja hii ina mashiko ilihali wanatheolojia wanakiri biblia ilichezewa kwa mifano niliyotoa hapo juu na kama si kweli viliandikwa kwa uweza wa Roho bali fahamu za wanadamu je kwanini basi ilitumika kuzuia vitabu kama Injili ya Yuda ama Thomaso?? Je hakuna agenda ya siri kwanini vilizuiwa alafu sisi tukaaminishwa tu kuwa havikuwa na uvuvio wa Roho mtakatifu??
View attachment 830349
PSEUDEPIGRAPHI ZINAKINZANA NA BIBLE
kuna hoja ilitolewa kwamba vitabu vya biblia vinakinzana na Pseudipigrapha ndio maana vikatolewa kwenye bible ila cha kujiuliza GT mbona kuna taarifa zinakinzana ndani ya biblia lakini havijatolewa??
MIFANO
Mathayo 4:1-11 inasema mara tu baada ya ubatizo Yesu alienda kufunga siku 40 ila Yohana 2:1 anasema siku tatu baada ya kubatizwa Yesu alikua kwenye harusi ya Cana!!
Au mathayo 27:44 wale wezi wawili walimtukana Yesu ila luka 23:39 inasema mmoja alitukana mwingine alimtetea.
Mathayo 28:9 inasema Yesu baada ya kufufuka aliruhusu Mary amshike ila Yohana 20:17 Inaonyesha baada ya kufufuka na kuonana na mary, Yesu akamzuia kumgusa sababu alikua bado hajarudi kwa Baba!!
Hiyo ni mifano tu ila kuna mistari zaidi ya mamia inayopishana taarifa ila vimeachwa kwenye bible lakini pseudipigraphi zikipishana hata neno moja ndio wanajengea hoja kwamba ndio sababu havipo kwenye bible je sababu hii ilisababisha vitolewe ama kuna mengi tunafichwa?
HITIMISHO
Kwa kuhitimisha labda niseme tu kumekuwa na maswali mengi juu ya chanzo hasa cha vitabu vingine kutolewa kwenye biblia na vingine kuachwa wakato vina kasoro zile zile..... Na hata mkuu Pendael24 alishawahi kuhoji kwamba kama tunafikiri biblia imechezewa je Mungu haoni hadi aruhusu hilo?? Na akahoji mbona Biblia inatenda ina maana kazi ya forgery inaweza kuwa na nguvu za Mungu na akanihoji je wachungaji wote hawa wakubwa hawalijui hili kiasi Mungu awaache watumie bibloa iliyochakachuliwa?? Kiukweli nilikosa majibu ila nategemea leo humu majibu yote yatapatikana
NB: Mimi nimechokoza mada tu ili kupata maarifa ya GT ila sio msimamo wangu kuwa bible ni batili au Qur'an ndio sahihi hivyo tunapojadili hoja humu tuhakikishe tunazingatia hilo pia udini na kejeli na matusi sio uwanja wake humu, nataka tujadili kwa kujifunza sio kupambana.
Karibuni kwa mjadala
kumbe hicho kitabu kimeandika utopolo namna hiyo ilikuani sahihi kifichwe ili kificha aibu kwa mwandishiyote kwa yote mzee THE BOOK OF ENOCH hiki kitabu kingebaki lengo la shetani kuudanganya ulimwengu lisingepita kiurahisi kama ilivyo leo, yaani leo hii kadiri unavyoelimika ndio unazidi kuwa mpuuzi tu. Mfano kwa kitabu cha Enoch upuuzi ufuatao kamwe usingetushika watu na akili zetu;
1. Kwamba Dunia inazungunguka tena 1000KM/Hr (very nonses to believe) wakati kamwe tangu uzaliwe hujawahi hata kuhisi hatua moja ya mzunguko huo na macho na akili zako zote zinakushuhudia kuwa the world is stationary!!
Book Of Enoch imefafanua wazi sana state ya dunia na universe kwa ujumla kwamba dunia ipo stationary pasipo utata wa kuhoji.
2. Kwamba jua lipo stationary ( Hii ndio highest degree of making us foolish asee) yaani siku zote unalishuhudia jua linavyokata mbuga halafu unasema eti limesimama!!! shetani sio tu ni baba wa uongo lakini pia ni fundi wa kujitengenezea komedi kupitia sisi ili awe anatucheka muda wote wakati anaisubiri adhabu yake. The Book of Enoch imeclarify vizuri tena pasipo utata wa kuuliza swali la nyongeza kwamba, jua liko kwenye motion kuzungunga mduara wa dunia kwa ajili ya ku supply mwanga duniani tu NA WALA JUA SIO CENTER OF SOLAR SYSTEM KAMA TEAM NASA(LIERS) WANAVYOTUDANGANYA NA KISHA KUTUCHEKEA PEMBENI.
3. Kwamba jua lipo mile milion 93 kutoka duniani! (khaaaah) kiuhalisia jua lipo km chache tu kutoka kwenye anga letu na ushahidi ni macho yetu( bila shaka macho yetu hayana lenzi ya kuona mile 93 milion eeeeh)
4.Kwamba dunia ni duara kama tufe, tikiti maji au mpira!! (wanatucheka sana hapa pia) The Book Of Enoch ipo clear kabisa kuwa duania ni flat!! Yeees ni flat, macho akili na hata miguupia inashuhudia kuwa ni juu ya sehemu flat!
5. Kwamba jua ni kubwa kiasi kwamba dunia inaingia kama mara 1000 kwa size ya jua!!! Hahahaha! I hate this kind of fucking science aseee!! The Book of Enoch ime describe vema kabisa kuwa mianga hii miwili, yaani jua na mwezi viko katika same size kasoro moja inatoa mwanga na joto kali wakati mwingine una generate mwanga wake usio na moto taratibu na kisha una extinguish mwenyewe na kugenerate tena. Hii ya kwamba Mwezi unaakisi mwanga kwenye jua kamwe hai make sense na inahitaji nafasi ya kutosha sana kumpanga mtu hadi aamue kukukubalia uongo huu kwa kujilazimisha.
6. Kwamba nyota moja ni kubwa sana kuliko hata dunia, na jua pia ni nyota na kwamba nyota huzaliwa na kufa!!! Yeah The Book Of Enoch imefafanua bila shaka, kwamba nyota ni mianga midogo midogo sana tu ambayo inaning'inia kwenye firmament(anga letu) na kuzunguka pamoja na anga lote.
7. Kwamba mwezini ni somewhere unapoweza kwenda ukashuka ukafanya mambo yako halafu ukarudi!! Nooo, The Book Of Enoch imeu describe Mwezi kuwa mwezi hauna kitu chochote(Yaani sio hard object ambapo mtu anaweza kusimama) bali kitu kinachojaa mwanga taratibu na kisha kufifia na kuzima kabisa na kisha kuanza tena kujaa mwanga upya lakini huku ukiwa kwenye motion kuzunguka mduara wa dunia.
8. Kwamba Antarctika ni bara la saba kwa ukubwa!! Uongo huu ulidumu sana kipindi Mungu hajaruhusu ukweli uanikwe wazi na kila mtu aujue! Najuta kuimba nyimba za kukariri ukubwa wa mabara primary! Antarctika sio bara tena bali ni kingo zilizotufungia mabara na bahari zetu zote.... kitabu fulani Mungu anasema .... nimeiwekea bahari mipaka, wala haitaivuka hata mawimbi yake yakiumuka juu!! yeah ukuta wa antarctica ndio actual boundary ya bahari zote na mabara yote. The Book of Enoch Ime describe hili pia.
9. Kwamba dunia ina nguvu ya uvutano (gravitational Force). Uongo mkubwa mwingine ni huu unaojaribu kuhalalisha kwamba dunia ni duara na linazunguka. Hahahahah hawa jamaa bhana ni sheedah!\
Mengine ni mengi yanayofafanuliwa na book of enoch lakini funga kazi kabisa ni hili:
10. Watu wa awali walikuwa ni blacks, na whites walitokea baada ya fallen angels (watchers) kushuka na kuzini na wanawake wa duniani, kisha kuzaliwa majitu, ambayo mutation yake ikatuletea whites people!! Book Of Enoch inafafanua zaidi kuwa fallen angels (watcher) walikuja na maarifa ya hali ya juu, ya mbinguni ambayo hayakupaswa kuwa sehemu ya maarifa kwa mwanadamu kwakuwa yangemharibu tu. Tazama sas Heavy destructive weapons zinachofanya, na technolijia hizi zinachotufanya! Na tazama jinsi siri hizi za technolojia zinavyomiliwa na wazungu wanaomiliki Wajenzi huru!!
HITIMISHO.
Kwa yote hayo yanayobainishwa na The Book Of Enoch ni dhahili wazi lazima kitabu hiki wangekificha ili ajenda zao ziweze kupita na kuimbwa na wote huku wenyewe wakituchekea pembeni huku wakigonga cheers hasa wanapoona tunakomaa kupongeza kugunduliwa kwa sayari ambazo hazipo in reality bt in CGI tu!
kamwe biblia haijawahi kusema dunia ni duara as globe, ila ni duara kama disc! hivi ndivyo wanasayansi hata wa sasa walivyothibitisha, na kufuta uongo uliopenyezwa kwa miaka mingi kuwa dunia ni duara linalozunguka mile 1000 kwa saa.None sense!
hii habari yote imeandikwa kama hadithi za abunuwaasi au sungura na fisi hakuna rejea yoyote wala ushahidi,ulijuaje ka shetani alikaa akaanza kujiuliza sana ,nanialikua nae wakati anajiuliza.baada ta yesu kuketi kuume kwa mungu ndio kanisa likaanza kuteswa ,yani kanisa liteswe wakati yesu tayari amekutana na Mungu mkuu mwenye nguvu ameketi pembeni yake upuuzi na upumbavu mtupuBaada ya Kristo Yesu kupaa kurudi mbinguni kwa baba na kuketi mkono wake wa kuume hata pale baba atakapowaweka maadui zake chini ya miguu yake, kanisa likapitia adha kuu na mateso mengi, huu ulikuwa ni mpango wa shetani wa kuliua kanisa.
Tunaweza kuona wale mitume kumi na moja na Paulo akiwa wa kumi na mbili kwa nafasi ile aliyoipoteza Yuda Iskariote jinsi walivyopitia adha na mateso mengi, hata jinsi mtume wa mwisho Yohana Wa Kisiwa Cha Patmo alivyochemshwa kwenye tank la mafuta lakini hakufa, walipoona hafi wakaona ngoja tukamtupe katika kisiwa cha Patmo, kisiwa hicho hakina watu na huko kunaishi viumbe hatari na majoka hivyo walidhani basi huko hao viumbe wangemwua, lakini huko ndiko akapewa Ufunuo wa Yesu kristo wa matukio ya siku za mwisho uitwao "Ufunuo Wa Yesu Kristo Kwa Yohana", hili jina linalotumika sasa "Ufunuo Wa Yohana" lilibadilishwa na watu flani katika harakati hizihizi za upinga Kristo, nitaeleza kwanini. Ikumbukwa huyu Yohana ndiye yule mwanafunzi wa Yesu ambaye Yesu alimpenda sana, na pia alikuwa ndugu yake Yesu, ikafika mahali wanafunzi wengine walifikiri huyu Yohana hafi.
Biblia tuliyonayo sasa ya vitabu sitini na sita imeandikwa na watu tofauti tofauti wapatao arobaini ambao hawakuwahi kufikiri hata siku moja kwamba vitabu vyao vitakuja kuunganishwa na kuwa kitabu kimoja, na watu hawa waliandika vitabu vyao kwa nyakati tofauti tofauti, hawakukaa pamoja wala kujadiliana wala kushirikiana katika kuviandika.
Baada ya mtume wa mwisho kuondoka duniani, Yohana, miaka kadhaa baadae, ndipo shetani alijiuliza sana kwamba kwa nini kadiri anavyozidi kulitesa kanisa ndivyo hivyo kanisa linavyozidi kuongezeka kwa kasi na watu kuwa na imani ya Kristo na kuutetemesha ufalme wake wa giza zaidi.
Baada ya shetani kujiuliza sana ndipo akaja na mbinu mpya ya kuanzisha kanisa lingine ambalo litakuwa mfano wa nuru na watumishi wake watakuwa mfano wa mwana kondoo(mfano wa Yesu). Na pia shetani akaleta amani kati ya kanisa na serikali za kidunia na ikatolewa nafasi kwa viongozi wa kanisa kuchukua nafasi pia za uongozi serikalini. Kanisa likapata raha pasipo kugundua kumbe ilikuwa mpango wa shetani kwa sababu aliingiza watu wake katika kanisa walio ndugu wa uongo walioingizwa kwa siri katika kanisa.
Sasa shetani akawa amefanikiwa hilo lakini akawa anapiga hesabu ni namna gani ataingiza sanamu katika kanisa kwa sababu bado kuna watu wenye imani waliojichanganya kwenye kanisa lake la uongo alilolianzisha hivyo alijua atapingwa.
Sasa siku mpango wa kuingiza sanamu katika kanisa ndipo hapo mpango huo ulipingwa na vita kali ilitokea na watu wengi kuuawa kwa kuitetea imani. Na shetani akafanikiwa kuingiza sanamu katika kanisa lake alilolianzisha na ni kipindi hicho Biblia Original zilichomwa moto na zingine kutupwa baharini Biblia tulizonazo sasa zimepunguzwa maneno na vitabu.
Katika Biblia zilizokuwepo kipindi hicho Yesu alizungumza mengi, mpaka mpango wa dini moja utakao tokea nyakati za mwisho na alitabiri mambo mengi ya kipindi hichi, na nyakati za mwisho itakavyokuwa, jinsi kanisa litakavyoondolewa kwenye msingi na jinsi litakavyo rejesha kwenye msingi, jinsi maadui zake watakavyowekwa chini ya miguu yake na ni kwa namna gani n.k n.k n.k, yote hayo yalipunguzwa yasiandikwe kwenye Biblia tuliyonayo sasa tusije tukayasoma tukashtuka na kugundua uongo wao. Na ili tusiweze kupambanua ipi ni nuru halisi ipi ni mfano wa nuru, wapi ni watumishi wa Mungu wa kweli na wapi ni wa uongo. Kitabu cha "Ufunuo Wa Kristo Kwa Yohana", kikabadilishwa jina kikaitwa "Ufunuo Wa Yohana", lengo la yote ni kujaribu kutupotosha sisi kanisa.
Hawakuishia hapo karne ya sita Uislamu ukaasisiwa na Papa wa kipindi hicho na namna ya uendeshaji ibada zao n.k n.k n.k, sielezei sana hili swala ila nnachotaka kusema katika mpango wa dini moja unaosimamiwa na Papa wa sasa tayari wamekwisha kujiunga dini kumi na tatu ikiwemo Islamu wale ambao ni ndugu. Yote haya yalitabiriwa ila yameng'olewa kwenye Biblia tusiyaone.
HITIMISHO
Kwa wale wenzetu wa imani tofauti wanaotushawishi tujiunge nao kwa kusema kwenye Biblia yetu ya zamani kuna maandiko yanataja mji wao mtakatifu ili tuuache ukristo. Napenda kuwapa ujumbe kwamba wanapofichua yaliyomo kwenye Biblia yetu ya zamani wafichue na haya niliyoyaandika.
Biblia Original bado zipo kwenye store za Rumi, nchini Italia.
paulo hakuwa mtume wa 12 ili kuziba nafasi ya yuda. Mtume wa 12 aliye chaguliwa kuziba nafasi ya yuda aliitwa MathiaBaada ya Kristo Yesu kupaa kurudi mbinguni kwa baba na kuketi mkono wake wa kuume hata pale baba atakapowaweka maadui zake chini ya miguu yake, kanisa likapitia adha kuu na mateso mengi, huu ulikuwa ni mpango wa shetani wa kuliua kanisa.
Tunaweza kuona wale mitume kumi na moja na Paulo akiwa wa kumi na mbili kwa nafasi ile aliyoipoteza Yuda Iskariote jinsi walivyopitia adha na mateso mengi, hata jinsi mtume wa mwisho Yohana Wa Kisiwa Cha Patmo alivyochemshwa kwenye tank la mafuta lakini hakufa, walipoona hafi wakaona ngoja tukamtupe katika kisiwa cha Patmo, kisiwa hicho hakina watu na huko kunaishi viumbe hatari na majoka hivyo walidhani basi huko hao viumbe wangemwua, lakini huko ndiko akapewa Ufunuo wa Yesu kristo wa matukio ya siku za mwisho uitwao "Ufunuo Wa Yesu Kristo Kwa Yohana", hili jina linalotumika sasa "Ufunuo Wa Yohana" lilibadilishwa na watu flani katika harakati hizihizi za upinga Kristo, nitaeleza kwanini. Ikumbukwa huyu Yohana ndiye yule mwanafunzi wa Yesu ambaye Yesu alimpenda sana, na pia alikuwa ndugu yake Yesu, ikafika mahali wanafunzi wengine walifikiri huyu Yohana hafi.
Biblia tuliyonayo sasa ya vitabu sitini na sita imeandikwa na watu tofauti tofauti wapatao arobaini ambao hawakuwahi kufikiri hata siku moja kwamba vitabu vyao vitakuja kuunganishwa na kuwa kitabu kimoja, na watu hawa waliandika vitabu vyao kwa nyakati tofauti tofauti, hawakukaa pamoja wala kujadiliana wala kushirikiana katika kuviandika.
Baada ya mtume wa mwisho kuondoka duniani, Yohana, miaka kadhaa baadae, ndipo shetani alijiuliza sana kwamba kwa nini kadiri anavyozidi kulitesa kanisa ndivyo hivyo kanisa linavyozidi kuongezeka kwa kasi na watu kuwa na imani ya Kristo na kuutetemesha ufalme wake wa giza zaidi.
Baada ya shetani kujiuliza sana ndipo akaja na mbinu mpya ya kuanzisha kanisa lingine ambalo litakuwa mfano wa nuru na watumishi wake watakuwa mfano wa mwana kondoo(mfano wa Yesu). Na pia shetani akaleta amani kati ya kanisa na serikali za kidunia na ikatolewa nafasi kwa viongozi wa kanisa kuchukua nafasi pia za uongozi serikalini. Kanisa likapata raha pasipo kugundua kumbe ilikuwa mpango wa shetani kwa sababu aliingiza watu wake katika kanisa walio ndugu wa uongo walioingizwa kwa siri katika kanisa.
Sasa shetani akawa amefanikiwa hilo lakini akawa anapiga hesabu ni namna gani ataingiza sanamu katika kanisa kwa sababu bado kuna watu wenye imani waliojichanganya kwenye kanisa lake la uongo alilolianzisha hivyo alijua atapingwa.
Sasa siku mpango wa kuingiza sanamu katika kanisa ndipo hapo mpango huo ulipingwa na vita kali ilitokea na watu wengi kuuawa kwa kuitetea imani. Na shetani akafanikiwa kuingiza sanamu katika kanisa lake alilolianzisha na ni kipindi hicho Biblia Original zilichomwa moto na zingine kutupwa baharini Biblia tulizonazo sasa zimepunguzwa maneno na vitabu.
Katika Biblia zilizokuwepo kipindi hicho Yesu alizungumza mengi, mpaka mpango wa dini moja utakao tokea nyakati za mwisho na alitabiri mambo mengi ya kipindi hichi, na nyakati za mwisho itakavyokuwa, jinsi kanisa litakavyoondolewa kwenye msingi na jinsi litakavyo rejesha kwenye msingi, jinsi maadui zake watakavyowekwa chini ya miguu yake na ni kwa namna gani n.k n.k n.k, yote hayo yalipunguzwa yasiandikwe kwenye Biblia tuliyonayo sasa tusije tukayasoma tukashtuka na kugundua uongo wao. Na ili tusiweze kupambanua ipi ni nuru halisi ipi ni mfano wa nuru, wapi ni watumishi wa Mungu wa kweli na wapi ni wa uongo. Kitabu cha "Ufunuo Wa Kristo Kwa Yohana", kikabadilishwa jina kikaitwa "Ufunuo Wa Yohana", lengo la yote ni kujaribu kutupotosha sisi kanisa.
Hawakuishia hapo karne ya sita Uislamu ukaasisiwa na Papa wa kipindi hicho na namna ya uendeshaji ibada zao n.k n.k n.k, sielezei sana hili swala ila nnachotaka kusema katika mpango wa dini moja unaosimamiwa na Papa wa sasa tayari wamekwisha kujiunga dini kumi na tatu ikiwemo Islamu wale ambao ni ndugu. Yote haya yalitabiriwa ila yameng'olewa kwenye Biblia tusiyaone.
HITIMISHO
Kwa wale wenzetu wa imani tofauti wanaotushawishi tujiunge nao kwa kusema kwenye Biblia yetu ya zamani kuna maandiko yanataja mji wao mtakatifu ili tuuache ukristo. Napenda kuwapa ujumbe kwamba wanapofichua yaliyomo kwenye Biblia yetu ya zamani wafichue na haya niliyoyaandika.
Biblia Original bado zipo kwenye store za Rumi, nchini Italia.
paulo hakuwa mtume wa 12 ili kuziba nafasi ya yuda. Mtume wa 12 aliye chaguliwa kuziba nafasi ya yuda aliitwa Mathia