Siri iliyofichwa kuhusu BIBLIA

Siri iliyofichwa kuhusu BIBLIA

hii

hii habari yote imeandikwa kama hadithi za abunuwaasi au sungura na fisi hakuna rejea yoyote wala ushahidi,ulijuaje ka shetani alikaa akaanza kujiuliza sana ,nanialikua nae wakati anajiuliza.baada ta yesu kuketi kuume kwa mungu ndio kanisa likaanza kuteswa ,yani kanisa liteswe wakati yesu tayari amekutana na Mungu mkuu mwenye nguvu ameketi pembeni yake upuuzi na upumbavu mtupu

Huna hoja sanasana naona umeandika pumba hata sijakuelewa unamaanisha nini. LETA HOJA
 
Ningependa kujua nani wakunithibishia kama biblia siyo story ya kufunga au composed novel mixed with true events plus fictions wakuweza kunielekeza kindaki mdak wa haya mambo
 
Hakuna apologetics wazuri humu ndani.
 
Habari za jioni wana JF mada ya leo pia ni sensitive kidogo maana inagusa imani za watu ila kutokana na kuwepo hitaji la kuweka rekodi sawa nimeona nilete uzi huu ili tujifunze zaidi

Na sababu kubwa ya kuleta uzi huu ni kutokana na mada nazoleta humu nyingi zinatumia pia vitabu nje ya biblia kama source ya taarifa na kumekuwa na wengi wanaokuja na hoja kwamba chochote kilicho nje ya biblia sio kweli yaani quran, Midrash, Tanakh/torah, zohar, apocrypha, Pseudipigrapha zote ni batili sasa ni kutokana na hoja hiyo imenipelekea kuandaa uzi huu hivyo tuusome kwa makini na tuujadili kwa ustaarabu tu yote kwa yote kujifunza. Nitaugawa uzi huu kwa sehemu mbili ili iwe rahisi kuusoma na ningependa kabla ya kuchangia uusome wote na kuuelewa. Karibuni

View attachment 830330

UTANGULIZI
1. Biblia ni mjumuiko wa vitabu vya manabii walivyoandika kuhifadhi matukio katika historia ya imani yao kwa Mungu na ilikusanywa katika karne ya 3 baada ya Yesu baada ya kuonekana vitabu vya kiimani viko vingi vinakinzana hivyo wakaamua wawe na kitabu kimoja cha kutumika na wote na ilikuwa katika kigiriki na kiebrania. Baada ya karne zaidi ya 10 kupita biblia ya mapema kabisa kutafsiriwa kuingia kwenye kilatin iliyokuwa lugha ya Roma, ilikuwa ''Vulgate'' iliyotoholewa kutoka kiebrania na kigiriki kwenda kilatin na padre Jerome karne ya 14 ila tafsiri ya kiingereza ilikuwa king james version karne ya 15 ambayo hata biblia za kiswahili na lugha zingine maelfu zimetoholewa hapo na ambacho wengi hatujui ni kwamba vitabu ambavyo leo tunaviita apocrypha vilikuwepo kwenye KJV ya kwanza ila mataifa mengi yalipotafsiri hayakuvijumuisha hivyo vitabu 14! Na leo hii ukivitumia humu JF kujenga hoja utaambiwa ni vya kishetani wakati biblia ya kwanza ya english iliviweka??

Miaka mingi ikapita ndipo yakaja matoleo mengine tofauti ila kwa karne hii biblia inayotambulika kutumika dunia nzima ni NIV yaani New International Version ya 1973, ambayo ilikuja kufanya utafiti na kutumia vyanzo mbalimbali vya nyuma zaidi na kutengeneza tafsiri yake na muhimu hapa tufahamu NIV iligundua makosa kwenye KJV na ikafuta mistari hiyo kwa kigezo kwamba mistari hiyo haikuwepo kwenye vyanzo vya mwanzo ikimaanisha viliongezwa baadae sana. Baadhi ya mistari ilioongezwa na ambayo NIV imeifuta ama kutoitambua Ni Marko 11:26, 15:28,9:44,9:46 Mathayo 23:14,18:11,17:21, Luka 17:36 Yohana 5:3-4, Matendo 8:37 n.k kwa uchache wake ila mingi zaidi iligundulika haikuepo kwenye vyanzo vya mwanzoni kabisa na kwamba vimeongezwa kinyemela.

Simply ikimaanisha biblia ya kiswahili tunayotumia hii ya chama cha biblia iliyotokana na KJV tumepotoshwa? Je wakristo tumeambiwa haya kanisani?

Je nani mkweli kati ya KJV na NIV??
View attachment 830331
VITABU VILIVYOPUNGUZWA
Baada ya biblia ya nwanzoni kabisa ya kilatin kuwa na vitabu zaidi ya 76 na version zingine hadi 84 kuna vitabu vilitolewa na kina Jerome kwa sababu mbalimbali ikiwemo kughushiwa majina, kutovuviwa na Roho mtakatifu, kukinzana na vitabu vingine vya Biblia, kuandikwa na manabii wa uongo, utata wa maandiko n.k na vitabu hivyo ni kama 4 Maccabees, Assumption of Moses, Ethiopic Book of Enoch (1 Enoch), Slavonic Second Book of Enoch, Book of Jubilees, 3 Baruch, Letter of Aristeas, Life of Adam and Eve, Ascension of Isaiah, Psalms of Solomon, Sibylline Oracles, 2 Baruch, Testaments of the Twelve Patriarchs na vinginevyo na hii ndio kitovu cha uzi huu embu basi tuchambue kwa pamoja.

View attachment 830333

TATIZO LA UANDISHI
Kuna hoja zilitolewa kwamba hivi vitabu vilivyoachwa kwenye biblia yaani Pseudipigrapha na Apocrypha mfano book of Enoch, Book of Adam & Eve n.k kwamba vilitolewa kwenye biblia sababu kuna utata juu ya waandishi na kwamba kurasa zingine ziliongezwa baadae.... Ila leo hii wanatheolojia wote duniani wanakubali kuwa biblia bado ina pseudipigraphi nyingi mfano Isaya iliandikwa karne 8 kabla ya kristo yaani sura 1-39, ila kipande kuanzia sura 40-55 iliandikwa na mtu ambaye hajatambuliwa mpaka leo huko babeli na sura 56 mpaka 66 imegundulika na wanatheolojia dunia nzima kuwa ziliongezwa baadae yaani miaka mia kadhaa tokea isaya akiandike!!!

Hata Jeremia kuanzia sura ya 26 iliongezwa miaka mamia baadae!! Hivyo swali la kujiuliza kwanini basi vitabu vingine vilitolewa kwa hoja hii ilihali biblia bado ina vitabu vyenye kasoro zilezile? Mfano mingine ni waebrania, Wimbo ulio bora vyote vina utata wa uandishi na mikono zaidi ya miwili imehusika kwa gap la miaka zaidi ya 100!! Je sababu ya kupunguza vitabu vingine kwa kisingizio hiki ni halali au kuna mengine tunafichwa?
Dini ni IMANI

IMANI ni fumbo, vitabu vinavyo ondolewa vinaenda kinyume na fumbo la imani ya dini husika.

Kitabu chochote kiwe cha ukweli au Uongo kama kitaelekea kufumbua fumbo hilo lazima kitapigwa marufuku katika mafundisho ya dini husika.

Kwa muktadha huo, ni halali kwa dini yeyote ile kukataza au kupiga marufuku mafundisho yeyote ya kitabu kinachoweza kuyumbisha imani ya dini husika.
 
Dini ni IMANI

IMANI ni fumbo, vitabu vinavyo ondolewa vinaenda kinyume na fumbo la imani ya dini husika.

Kitabu chochote kiwe cha ukweli au Uongo kama kitaelekea kufumbua fumbo hilo lazima kitapigwa marufuku katika mafundisho ya dini husika.

Kwa muktadha huo, ni halali kwa dini yeyote ile kukataza au kupiga marufuku mafundisho yeyote ya kitabu kinachoweza kuyumbisha imani ya dini husika.
Okay tufanye Book of Enoch na Jasher hakifai na kinapingana na Mainstream Bible je kwanini Kitabu Cha Yuda kina cite Book of Enoch? Na Kwanini Kitabu Cha Yoshua kina cite Book of Jasher?

Kama havifai basi visifae kwa wote sio sisi tunakatazwa kusoma au lucite ilijali mitume wame cite na kuweka maneno ya hivo vitabu kwa Bible?

Hiyo ndio double standard inayoleta huu mjadala
 
Habari za jioni wana JF mada ya leo pia ni sensitive kidogo maana inagusa imani za watu ila kutokana na kuwepo hitaji la kuweka rekodi sawa nimeona nilete uzi huu ili tujifunze zaidi

Na sababu kubwa ya kuleta uzi huu ni kutokana na mada nazoleta humu nyingi zinatumia pia vitabu nje ya biblia kama source ya taarifa na kumekuwa na wengi wanaokuja na hoja kwamba chochote kilicho nje ya biblia sio kweli yaani quran, Midrash, Tanakh/torah, zohar, apocrypha, Pseudipigrapha zote ni batili sasa ni kutokana na hoja hiyo imenipelekea kuandaa uzi huu hivyo tuusome kwa makini na tuujadili kwa ustaarabu tu yote kwa yote kujifunza. Nitaugawa uzi huu kwa sehemu mbili ili iwe rahisi kuusoma na ningependa kabla ya kuchangia uusome wote na kuuelewa. Karibuni

View attachment 830330

UTANGULIZI
1. Biblia ni mjumuiko wa vitabu vya manabii walivyoandika kuhifadhi matukio katika historia ya imani yao kwa Mungu na ilikusanywa katika karne ya 3 baada ya Yesu baada ya kuonekana vitabu vya kiimani viko vingi vinakinzana hivyo wakaamua wawe na kitabu kimoja cha kutumika na wote na ilikuwa katika kigiriki na kiebrania.

Baada ya karne zaidi ya 10 kupita biblia ya mapema kabisa kutafsiriwa kuingia kwenye kilatin iliyokuwa lugha ya Roma, ilikuwa ''Vulgate'' iliyotoholewa kutoka kiebrania na kigiriki kwenda kilatin na padre Jerome karne ya 14 ila tafsiri ya kiingereza ilikuwa king james version karne ya 15 ambayo hata biblia za kiswahili na lugha zingine maelfu zimetoholewa hapo na ambacho wengi hatujui ni kwamba vitabu ambavyo leo tunaviita apocrypha vilikuwepo kwenye KJV ya kwanza ila mataifa mengi yalipotafsiri hayakuvijumuisha hivyo vitabu 14! Na leo hii ukivitumia humu JF kujenga hoja utaambiwa ni vya kishetani wakati biblia ya kwanza ya english iliviweka??

Miaka mingi ikapita ndipo yakaja matoleo mengine tofauti ila kwa karne hii biblia inayotambulika kutumika dunia nzima ni NIV yaani New International Version ya 1973, ambayo ilikuja kufanya utafiti na kutumia vyanzo mbalimbali vya nyuma zaidi na kutengeneza tafsiri yake na muhimu hapa tufahamu NIV iligundua makosa kwenye KJV na ikafuta mistari hiyo kwa kigezo kwamba mistari hiyo haikuwepo kwenye vyanzo vya mwanzo ikimaanisha viliongezwa baadae sana. Baadhi ya mistari ilioongezwa na ambayo NIV imeifuta ama kutoitambua Ni Marko 11:26, 15:28,9:44,9:46 Mathayo 23:14,18:11,17:21, Luka 17:36 Yohana 5:3-4, Matendo 8:37 n.k kwa uchache wake ila mingi zaidi iligundulika haikuepo kwenye vyanzo vya mwanzoni kabisa na kwamba vimeongezwa kinyemela.

Simply ikimaanisha biblia ya kiswahili tunayotumia hii ya chama cha biblia iliyotokana na KJV tumepotoshwa? Je wakristo tumeambiwa haya kanisani?

Je nani mkweli kati ya KJV na NIV??
View attachment 830331
VITABU VILIVYOPUNGUZWA
Baada ya biblia ya nwanzoni kabisa ya kilatin kuwa na vitabu zaidi ya 76 na version zingine hadi 84 kuna vitabu vilitolewa na kina Jerome kwa sababu mbalimbali ikiwemo kughushiwa majina, kutovuviwa na Roho mtakatifu, kukinzana na vitabu vingine vya Biblia, kuandikwa na manabii wa uongo, utata wa maandiko n.k na vitabu hivyo ni kama 4 Maccabees, Assumption of Moses, Ethiopic Book of Enoch (1 Enoch), Slavonic Second Book of Enoch, Book of Jubilees, 3 Baruch, Letter of Aristeas, Life of Adam and Eve, Ascension of Isaiah, Psalms of Solomon, Sibylline Oracles, 2 Baruch, Testaments of the Twelve Patriarchs na vinginevyo na hii ndio kitovu cha uzi huu embu basi tuchambue kwa pamoja.

View attachment 830333

TATIZO LA UANDISHI
Kuna hoja zilitolewa kwamba hivi vitabu vilivyoachwa kwenye biblia yaani Pseudipigrapha na Apocrypha mfano book of Enoch, Book of Adam & Eve n.k kwamba vilitolewa kwenye biblia sababu kuna utata juu ya waandishi na kwamba kurasa zingine ziliongezwa baadae.... Ila leo hii wanatheolojia wote duniani wanakubali kuwa biblia bado ina pseudipigraphi nyingi mfano Isaya iliandikwa karne 8 kabla ya kristo yaani sura 1-39, ila kipande kuanzia sura 40-55 iliandikwa na mtu ambaye hajatambuliwa mpaka leo huko babeli na sura 56 mpaka 66 imegundulika na wanatheolojia dunia nzima kuwa ziliongezwa baadae yaani miaka mia kadhaa tokea isaya akiandike!!!

Hata Jeremia kuanzia sura ya 26 iliongezwa miaka mamia baadae!! Hivyo swali la kujiuliza kwanini basi vitabu vingine vilitolewa kwa hoja hii ilihali biblia bado ina vitabu vyenye kasoro zilezile? Mfano mingine ni waebrania, Wimbo ulio bora vyote vina utata wa uandishi na mikono zaidi ya miwili imehusika kwa gap la miaka zaidi ya 100!! Je sababu ya kupunguza vitabu vingine kwa kisingizio hiki ni halali au kuna mengine tunafichwa?
Katika pitapita yangu huku JF nimekutana na andiko lako nimelisoma na nimelielewa,umeeleza vizuri lakini kuna vitu mhimu hujavielezea inawezekana umesahau au umefanya makusudi ili kutimiza malengo yako ya kutuaminisha kuwa biblia ni kitabu chenye makosa mengi kama ulivyoeleza.

Kwanza unaposema kuwa wanatheologia wote duniani kuwa wanakubaliana juu ya swala fulani, je unajua kuwa kuna makundi matano tofauti ya wathiologia duniani? Hao waliokubaliana ni wanathiologia wa kundi lipi? Kama kweli mada hii umeiandika kutokana na ufahamu wako ulionao kuhusu biblia na hujaikopi sehemu je ni kweli hujui vigezo vilivyotumika na macanon ili kukubali vitabu vilivyoingizwa katika Biblia huku vingine vikikosa vigezo.

Je ni kweli hujui kuwa kulikuwa na miaka zaidi ya 500 ya ukimya kati ya agano la kale na jipya miaka ambayo wanadamu waliamua kuandika hadithi wakisema ni Mungu kasema nao,kwa mtililiko wa andiko lako ulipaswa kuyajua hayo pia.
 
Okay tufanye Book of Enoch na Jasher hakifai na kinapingana na Mainstream Bible je kwanini Kitabu Cha Yuda kina cite Book of Enoch? Na Kwanini Kitabu Cha Yoshua kina cite Book of Jasher?
Inawezekana hivi vitabu viliandikwa na waandishi wengi kwa nyakati tofauti (tena baada ya miaka sana mingi kupita kati ya mwandishi mmoja na mwingine).

Hili limeleta ukinzani wa mawazo au maandiko kati yao, hivyo ni rahisi ndani ya kitabu kimoja kuwe na maandiko yanayopingana sababu ya utofauti wa mawazo au kutofautiana kwa historia baina ya waandishi.

Kunukuliwa sidhani kama ni hoja kubwa Sana, inawezekana waliko nukuu ni kwenye maandiko ya waandishi wanaofahamika.

Mfano: nje ya mada

Ukisoma habari za Ibrahimu alipotokewa na malaika watatu waliokuwa wanaenda kuichoma moto Sodoma na Gomora.....(Mwanzo 18:2)

Ila mbeleni wanaonekana malaika wawili walifika nyumbani kwa Lutu, hatujaambiwa yule mwingine alielekea wapi. (Mwanzo 19:1).....hapa Kuna mkanganyiko kuhusu huyu malaika wa 3,je alienda wapi ?

Ila kuna malaika alimwambia Ibrahimu kuhusu Sara kupata mtoto mwakani kwa majira yale (Mwanzo 18:10)...je huenda alikuwa mkuu wa wale malaika wawili na hakuja kwa kazi ya kuichoma Sodoma, ila alikuja kuzungumza tu na Ibrahimu ?

Pia Mungu alizungumza na Ibrahimu kuhusu kusudio lake la kuichoma Sodoma na Gomora kabla ya kuondoka(Mwanzo 18:33 )........hapa pia pana mkanganyo,je huenda aliyekuwa akizungumza na Ibrahimu ni yule malaika ambaye hakushuka kwenda kwa Lutu pamoja na wale wawili ?..

Je huyu malaika ambaye hakwenda kwa Lutu, alikuwa ni malaika kweli ?, maana ametajwa kama 'Bwana' /( Lord ),r ejea mazungumzo yake na Ibrahimu )...

Na kama hakuwa malaika, je alikuwa ni nani ?, Kwanini hakwenda huko Sodoma kwa Lutu ?, Je alielekea wapi ?

Kumbuka ni yeye pekee tu aliyezungumza na Ibrahimu, wale wengine waliongea na Lutu walipofika kwake.
 
Katika pitapita yangu huku JF nimekutana na andiko lako nimelisoma na nimelielewa,umeeleza vizuri lakini kuna vitu mhimu hujavielezea inawezekana umesahau au umefanya makusudi ili kutimiza malengo yako ya kutuaminisha kuwa biblia ni kitabu chenye makosa mengi kama ulivyoeleza. Kwanza unaposema kuwa wanatheologia wote duniani kuwa wanakubaliana juu ya swala fulani, je unajua kuwa kuna makundi matano tofauti ya wathiologia duniani? Hao waliokubaliana ni wanathiologia wa kundi lipi? Kama kweli mada hii umeiandika kutokana na ufahamu wako ulionao kuhusu biblia na hujaikopi sehemu je ni kweli hujui vigezo vilivyotumika na macanon ili kukubali vitabu vilivyoingizwa katika Biblia huku vingine vikikosa vigezo.Je ni kweli hujui kuwa kulikuwa na miaka zaidi ya 500 ya ukimya kati ya agano la kale na jipya miaka ambayo wanadamu waliamua kuandika hadithi wakisema ni Mungu kasema nao,kwa mtililiko wa andiko lako ulipaswa kuyajua hayo pia.
Na ndio hapa napaojua watu hamsomagi threads. Nimeshakwambia Pseudepigrapha na apocrypha ziliachwa kwenye canon.

Sasa swali langu kwanini Biblia hiyo hiyo inatutuma tukasome hizo vitabu vilivyokataliwa kama reference??

Joshua ananakili Book of Jasher whilst Yuda ananakili Book of Enoch why watumie vitabu ambavyo Biblia yenyewe inavipinga? Or rather kwanini mitume waruhusiwe kucite apocrypha ilihali sisi haturuhusiwi?

Kingine unasema vigezo vinajulikana!!? Vigeoz vipi? orthodox, catholic, Protestants wote tuna canon tofauti ilihali tunaamini vitabu vilichaguliwa na Mungu mwenyewe now why wengine wabaki na 66 wengine 72 wengine 84 etc hamuoni tuna contradict wenyewe..
 
Dini ni IMANI

IMANI ni fumbo, vitabu vinavyo ondolewa vinaenda kinyume na fumbo la imani ya dini husika.

Kitabu chochote kiwe cha ukweli au Uongo kama kitaelekea kufumbua fumbo hilo lazima kitapigwa marufuku katika mafundisho ya dini husika.

Kwa muktadha huo, ni halali kwa dini yeyote ile kukataza au kupiga marufuku mafundisho yeyote ya kitabu kinachoweza kuyumbisha imani ya dini husika.
Kumbeee biblia sio kitabu Cha Dini
Asante Sana mkuu 😁
 
Habari za jioni wana JF mada ya leo pia ni sensitive kidogo maana inagusa imani za watu ila kutokana na kuwepo hitaji la kuweka rekodi sawa nimeona nilete uzi huu ili tujifunze zaidi

Na sababu kubwa ya kuleta uzi huu ni kutokana na mada nazoleta humu nyingi zinatumia pia vitabu nje ya biblia kama source ya taarifa na kumekuwa na wengi wanaokuja na hoja kwamba chochote kilicho nje ya biblia sio kweli yaani quran, Midrash, Tanakh/torah, zohar, apocrypha, Pseudipigrapha zote ni batili sasa ni kutokana na hoja hiyo imenipelekea kuandaa uzi huu hivyo tuusome kwa makini na tuujadili kwa ustaarabu tu yote kwa yote kujifunza. Nitaugawa uzi huu kwa sehemu mbili ili iwe rahisi kuusoma na ningependa kabla ya kuchangia uusome wote na kuuelewa. Karibuni

View attachment 830330

UTANGULIZI
1. Biblia ni mjumuiko wa vitabu vya manabii walivyoandika kuhifadhi matukio katika historia ya imani yao kwa Mungu na ilikusanywa katika karne ya 3 baada ya Yesu baada ya kuonekana vitabu vya kiimani viko vingi vinakinzana hivyo wakaamua wawe na kitabu kimoja cha kutumika na wote na ilikuwa katika kigiriki na kiebrania. Baada ya karne zaidi ya 10 kupita biblia ya mapema kabisa kutafsiriwa kuingia kwenye kilatin iliyokuwa lugha ya Roma, ilikuwa ''Vulgate'' iliyotoholewa kutoka kiebrania na kigiriki kwenda kilatin na padre Jerome karne ya 14 ila tafsiri ya kiingereza ilikuwa king james version karne ya 15 ambayo hata biblia za kiswahili na lugha zingine maelfu zimetoholewa hapo na ambacho wengi hatujui ni kwamba vitabu ambavyo leo tunaviita apocrypha vilikuwepo kwenye KJV ya kwanza ila mataifa mengi yalipotafsiri hayakuvijumuisha hivyo vitabu 14! Na leo hii ukivitumia humu JF kujenga hoja utaambiwa ni vya kishetani wakati biblia ya kwanza ya english iliviweka??

Miaka mingi ikapita ndipo yakaja matoleo mengine tofauti ila kwa karne hii biblia inayotambulika kutumika dunia nzima ni NIV yaani New International Version ya 1973, ambayo ilikuja kufanya utafiti na kutumia vyanzo mbalimbali vya nyuma zaidi na kutengeneza tafsiri yake na muhimu hapa tufahamu NIV iligundua makosa kwenye KJV na ikafuta mistari hiyo kwa kigezo kwamba mistari hiyo haikuwepo kwenye vyanzo vya mwanzo ikimaanisha viliongezwa baadae sana. Baadhi ya mistari ilioongezwa na ambayo NIV imeifuta ama kutoitambua Ni Marko 11:26, 15:28,9:44,9:46 Mathayo 23:14,18:11,17:21, Luka 17:36 Yohana 5:3-4, Matendo 8:37 n.k kwa uchache wake ila mingi zaidi iligundulika haikuepo kwenye vyanzo vya mwanzoni kabisa na kwamba vimeongezwa kinyemela.

Simply ikimaanisha biblia ya kiswahili tunayotumia hii ya chama cha biblia iliyotokana na KJV tumepotoshwa? Je wakristo tumeambiwa haya kanisani?

Je nani mkweli kati ya KJV na NIV??
View attachment 830331
VITABU VILIVYOPUNGUZWA
Baada ya biblia ya nwanzoni kabisa ya kilatin kuwa na vitabu zaidi ya 76 na version zingine hadi 84 kuna vitabu vilitolewa na kina Jerome kwa sababu mbalimbali ikiwemo kughushiwa majina, kutovuviwa na Roho mtakatifu, kukinzana na vitabu vingine vya Biblia, kuandikwa na manabii wa uongo, utata wa maandiko n.k na vitabu hivyo ni kama 4 Maccabees, Assumption of Moses, Ethiopic Book of Enoch (1 Enoch), Slavonic Second Book of Enoch, Book of Jubilees, 3 Baruch, Letter of Aristeas, Life of Adam and Eve, Ascension of Isaiah, Psalms of Solomon, Sibylline Oracles, 2 Baruch, Testaments of the Twelve Patriarchs na vinginevyo na hii ndio kitovu cha uzi huu embu basi tuchambue kwa pamoja.

View attachment 830333

TATIZO LA UANDISHI
Kuna hoja zilitolewa kwamba hivi vitabu vilivyoachwa kwenye biblia yaani Pseudipigrapha na Apocrypha mfano book of Enoch, Book of Adam & Eve n.k kwamba vilitolewa kwenye biblia sababu kuna utata juu ya waandishi na kwamba kurasa zingine ziliongezwa baadae.... Ila leo hii wanatheolojia wote duniani wanakubali kuwa biblia bado ina pseudipigraphi nyingi mfano Isaya iliandikwa karne 8 kabla ya kristo yaani sura 1-39, ila kipande kuanzia sura 40-55 iliandikwa na mtu ambaye hajatambuliwa mpaka leo huko babeli na sura 56 mpaka 66 imegundulika na wanatheolojia dunia nzima kuwa ziliongezwa baadae yaani miaka mia kadhaa tokea isaya akiandike!!!

Hata Jeremia kuanzia sura ya 26 iliongezwa miaka mamia baadae!! Hivyo swali la kujiuliza kwanini basi vitabu vingine vilitolewa kwa hoja hii ilihali biblia bado ina vitabu vyenye kasoro zilezile? Mfano mingine ni waebrania, Wimbo ulio bora vyote vina utata wa uandishi na mikono zaidi ya miwili imehusika kwa gap la miaka zaidi ya 100!! Je sababu ya kupunguza vitabu vingine kwa kisingizio hiki ni halali au kuna mengine tunafichwa?
Utupe pia siri zilizofichwa kwenye Qur'an Mkuu!!!
 
Biblia Hii Inayotumika Sasa Ina Contradictions Kibao Ambazo Zinaweza Kukupunguzia Imani Yako.

Kwa Ujumla Huwa Nasema Naamini Kuwa ' Yupo Muumba Wa Ulimwengu Na Vyote Vilivyomo ', Awe Ni Mungu Huyu Wa Kwenye Biblia: Sawa, Awe Ni Mwingine: Sawa. Haya Mambo Ya ' Dini ' Ni Pasua Kichwa tu

Kusema Biblia ni Kitabu Kitakatifu Si Sahihi Hata Kidogo. Ni Sawa Ile Katiba Pendekezwa Kutoka Bunge Maalumu!
Ila kusema Quran ni kitabu kitakatifu ni sahii mkuu???
 
Haya mambo ya imani magumu, mleta mada tukutane mbinguni, tu maana wakati vinaandikwa hatukwepo haya ni mambo ya kiroho zaidi
Anatulazimisha tuamini maoni yake!!!!Sisi ni wakristo na biblia ni kitabu kitakatifu!!!Mimi namshauri akadili na imani yake tu
 
MAANDIKO YENYE UTATA
Kuna mistari mingine ambayo ni halali kibiblia ila imebadilishwa maeneo husika ipo mistari zaidi ya 50 kwenye agano jipya mfano Yohanna 7:53-8:11 kuhusu Yesu kuwepo hekaluni ila ghafla kipande kati ya 7:52 na 8:11 vimechomeka story ya mwanamke kahaba alietaka kupigwa mawe na ghafla mstari wa 12 unaendelea Yesu akiwa hekaluni hii inakubaliwa na wanatheolojia wote kuwa kilichomekwa na hakikuwepo kwenye maandiko orijino kama una biblia hapo kasome hiki kipande alafu utaelewa nachosema. Kanisa likaamua kuita vitabu vyenye maandiko na uandishi wa utata kuwa ni disputed books ilihali zina sifa zile zile za kuitwa pseudepigraphi na kutakiwa kufutwa kwenye biblia. Mfano Marko 16 inaishia mstari wa 8 ila 9-20 haikuwepo bali iliongezwa miaka mingi mbele na mtu asiyetambulika ila bado kipo kwenye biblia lakini kitabu cha Enoch au Yuda iskariot vimetolewa kwa hoja hiyo hiyo?? Kuna ajenda gani hapa wakuu?? Kipi tunafichwa?? Anyway disputed books kulingana na mwanatheolojia E. P. Sanders ni waefeso,wakolosai,2 wathesalonike, 1 & 2, Tito na vingine vingi.... Je kama vina kasoro kwanini vimeachwa??

VILIANDIKWA NA MUNGU?
Kuna hoja inasema vitabu vya Biblia viliandikwa kwa uweza wa Roho mtakatifu hivyo vile vilivyoachwa havikuandikwa na Roho mtakatifu sasa tujiulize GT kama kuna mistari ya Biblia imeongezwa na wanadamu mfano isaya,wimbo ulio bora,Tito,Yeremia,marko je bado hoja hii ina mashiko ilihali wanatheolojia wanakiri biblia ilichezewa kwa mifano niliyotoa hapo juu na kama si kweli viliandikwa kwa uweza wa Roho bali fahamu za wanadamu je kwanini basi ilitumika kuzuia vitabu kama Injili ya Yuda ama Thomaso?? Je hakuna agenda ya siri kwanini vilizuiwa alafu sisi tukaaminishwa tu kuwa havikuwa na uvuvio wa Roho mtakatifu??
View attachment 830349
PSEUDEPIGRAPHI ZINAKINZANA NA BIBLE
kuna hoja ilitolewa kwamba vitabu vya biblia vinakinzana na Pseudipigrapha ndio maana vikatolewa kwenye bible ila cha kujiuliza GT mbona kuna taarifa zinakinzana ndani ya biblia lakini havijatolewa??

MIFANO
Mathayo 4:1-11 inasema mara tu baada ya ubatizo Yesu alienda kufunga siku 40 ila Yohana 2:1 anasema siku tatu baada ya kubatizwa Yesu alikua kwenye harusi ya Cana!!

Au mathayo 27:44 wale wezi wawili walimtukana Yesu ila luka 23:39 inasema mmoja alitukana mwingine alimtetea.

Mathayo 28:9 inasema Yesu baada ya kufufuka aliruhusu Mary amshike ila Yohana 20:17 Inaonyesha baada ya kufufuka na kuonana na mary, Yesu akamzuia kumgusa sababu alikua bado hajarudi kwa Baba!!

Hiyo ni mifano tu ila kuna mistari zaidi ya mamia inayopishana taarifa ila vimeachwa kwenye bible lakini pseudipigraphi zikipishana hata neno moja ndio wanajengea hoja kwamba ndio sababu havipo kwenye bible je sababu hii ilisababisha vitolewe ama kuna mengi tunafichwa?

HITIMISHO
Kwa kuhitimisha labda niseme tu kumekuwa na maswali mengi juu ya chanzo hasa cha vitabu vingine kutolewa kwenye biblia na vingine kuachwa wakato vina kasoro zile zile..... Na hata mkuu Pendael24 alishawahi kuhoji kwamba kama tunafikiri biblia imechezewa je Mungu haoni hadi aruhusu hilo?? Na akahoji mbona Biblia inatenda ina maana kazi ya forgery inaweza kuwa na nguvu za Mungu na akanihoji je wachungaji wote hawa wakubwa hawalijui hili kiasi Mungu awaache watumie bibloa iliyochakachuliwa?? Kiukweli nilikosa majibu ila nategemea leo humu majibu yote yatapatikana

NB: Mimi nimechokoza mada tu ili kupata maarifa ya GT ila sio msimamo wangu kuwa bible ni batili au Qur'an ndio sahihi hivyo tunapojadili hoja humu tuhakikishe tunazingatia hilo pia udini na kejeli na matusi sio uwanja wake humu, nataka tujadili kwa kujifunza sio kupambana.

Karibuni kwa mjadala
Wewe dili na Quran mdogo wangu Zitto au una chili binafsi kwa Mungu WETU YESU?????MBONA SISI HATUMSEMI MUDI NA KITABU CHAKE CHA KUKOPI!!!Sisi hatuwezi kufuata tamaduni zenu wala kuzijadili!!!!Sisi wenyewe tunaona Quran miyeyusho tu ila tumewaachia wenyewe sababu haituhusu!!!SISI NI WAKRISTO MPAKA KUFA NA HUWEZI KUTUBADILI
 
Mkuu siri ni hyo kwamba kwanini baadhi ya vitabu vimetolewa kwa sababu X and Y na vingine vimebakizwa ilihali vina madhaifu hayo hayo ya X na Y hapo ndipo kuna siri ambayo natamani wote tui unlock hapa maana kuna uwezekano wachache wanaifahamu kwa gharama ya kupotosha wengine na hyo ndio SIRI inayozungumzwa hapa

Karibu tueleweshane
Ushasema kwa mtazamo wako Quran ndio kitabu sahii sasa unataka tujadili nini mdogo wangu????UNGELETA MADHAIFU YA QURAN NA BIBLIA HAPO SAWA ILA KWA MAONI YAKO TUSHAJUA MALENGO YAKO!!!!!
 
Back
Top Bottom