Siri iliyofichwa kuhusu BIBLIA

Siri iliyofichwa kuhusu BIBLIA

Eeee umepanic eee...Embu taratib tuanzie hapa..Ni nani anayelingania Injili katika waislamu,namaanisha nataka kumjua uyo shehk alinganiaye injil,kama utakuwa na video au audio walau maandishi kama ushahidi wako itakuwa vyema zaidi.Huenda ukakosa huo ushahidi basi nipe rejea uyo shehk anakoegemea.
Nikupe darsa kidogo mjinga mimi
Ipo iviiii katika nguzo za imani katika uislamu moja wapo ni kuviamini vitamu vya Allah ambavyo ni Torat,Zabur,Injili na Quran kwamba hivi vitabu vya mwenyezi Mungu vilishuka katika za mitume katika zama zao.Vitabu vyote ivyo vya mwanzo wanaadamu wametia maono na fikra zao na kuzusha humo yasiyokuwepo na kutoa waliyoona hayaendani na maslahi yao.Allah alipotumiliza Quran ni ili kulisafisha neno lake na kisha kuilinda dhidi ya mikono ya wanaadam.Na quran imekusanya yaliyo katika vitabu hivyo na kuotoa muongozo mpya ambayo Quran ndio Chakufuatwa baada ya hivyo vingine kuharibiwa.Mimi kama muislamu yanipasa kuamini kwa kweli kuna vitabu hivyo vya awali lakini sio kuvifuata tena katika hukumu na mafunzo wala rejea yoyote humo bali yanipasa Kufuata Quran na Hadithi kama rejea ya mambo yote.
Labda pia nikuage kwa kisa hiki zama za mtume.
Taarabu ni asili ya waislam.ndio umeanza nayo hapo juu.

Umegizwa na nani kuitambua injil ambayo imachakachuliwa,kww akili hizo hizo za kiislam,unadhani ni kwanini umeorodheshewa vitabu vyote pamoja na quran,ambayo unahisi imetimia!!

Tuliza akili ndipo ujibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Write your reply...There's nothing in the Bible BUT God is There.
 
Tutasemezana mengi lakin ukweli ni huu: BIBLIA, QURAN na VITABU VINGINE VYA MAFUNDISHO YA IMAN, ni mkusanyiko tu wa sheria, hekima na busara katika simulizi na matukio vikilenga kuweka mising ya pamoja na imara namna bora binadam awe na mahusiano bora kat yake, na watu, na mazingira pamoja na Mungu.
Suala la Mungu mwenyew ndo alishusha ni katika tu kuvipa nguv ya kuaminika kwazo na kutopingwa kirahis hizo sheria na masimuliz. Kifup ni CODED NORMS. za mahali na nyakati. La binadam kama mnyama ingekuwa ngum kujamiiana vizuri. Uasi ungezid. Watawala pia wasingepata pa kuanzia kuwamudu watu. Asiye na HOFU hatawaliki.
Sijakuelewa mkuu umesimamia pande gani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Taarabu ni asili ya waislam.ndio umeanza nayo hapo juu.

Umegizwa na nani kuitambua injil ambayo imachakachuliwa,kww akili hizo hizo za kiislam,unadhani ni kwanini umeorodheshewa vitabu vyote pamoja na quran,ambayo unahisi imetimia!!

Tuliza akili ndipo ujibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sipo kuisubiri thanks yako najua hilo nigumu kwako hasa ukiwa na kiza na chuki moyoni mwako.Nashukuru huna point tena baada ya kukukrash japo hutaki na huwezi kulithibitisha hilo.Zaidi katika post nimeona kubwabwaja tu kusiko na mashiko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani Biblia ilianza kunichanganya zaidi mwanzo kabisaaa, nikauliza mchungaji wangu jibu hakunipa akazunguka zunguka story ikaisha...

Mwanzo 4:15-17

15 Lakini BWANA akamwambia, “La sivyo, ikiwa mtu ye yote atamwua Kaini atalipizwa kisasi mara saba zaidi.’’ Kisha BWANA akamwekea Kaini alama ili mtu yeyote ambaye angemwona asimwue. 16Kwa hiyo Kaini akaondoka mbele za BWANA akaenda kuishi katika nchi ya Nodi, iliyoko mashariki ya Edeni.
17Kaini akakutana kimwili na mkewe, naye akapata mimba na akamzaa Enoki.

Hawa watu walikua wanaambiwa wasimuue Kaini walitoka wapi ikiwa Adam na Hawa ndiyo waliumbwa wakawa wenyew tu? Na Kaini alikua binadamu wa kwanza kuzaliwa, alimuoa nani huko alikoenda? maana hakuna sehem inasema walikuwa watu wengine Duniani zaidi ya familia yao tu
 
Hata wakikoment X 1,000 hawawezi kujibu hoja zako zaidi ya kusema ni suala la kiimani/fumbo la imani

Sasa imani gani inakuwa na mafumbo kama maneno ya kwenye khanga ?
Na kwa kawaida Mapadre wa Kanisa Katoliki huwa hawajibu collections from the web!
 
Well and good basi tukiamini biblia ni kwa ajili ya waumini na sio akina sisi "makafiri" je Roho mtakatifu aliwaongoza hao watafsiri/waandishi wa biblia kwanini zikinzane??

Mfano niliuliza Yakobo alizikwa wapi?? Stephano na Musa wanaeleza tofauti kabisa

Mwanzo 50
13 kwa kuwa wanawe wakamchukuwa mpaka nchi ya Kanaani, nao wakamzika katika pango ya shamba la Makpela, iliyo mbele ya Mamre, aliyoinunua Ibrahimu pamoja na shamba kwa Efroni Mhiti, pawe milki yake pa kuzikia

Matendo 7
15 Basi Yakobo akashuka mpaka Misri; akafa yeye na baba zetu;
16 wakachukuliwa mpaka Shekemu wakazikwa katika kaburi lile, ambalo Ibrahimu alilinunua kwa kima cha fedha kwa wana wa Hamori, huko Shekemu.

Je ikiwa ni Roho mtakatifu kweli aliwaongoza kwanini wakinzane alipozikwa yakobo??

2. Niliuliza tena na bado sijapata jibu mpaka sasa.... Ni biblia gani halali kutumika kwa nyie wafuasi...je ni NIV au KJV yaani KJV imekuwepo kwa miaka kama 400 sasa ila mwaka 1970 NIV ikasema KJV ilichakachuliwa hivyo wakaja na biblia mpya ambayo imefuta maneno 64,000 kutoka KJV pia imefuta mistari mingi zaidi ya 30 na sura kibao zimepunguzwa je ipi ndio biblia sahihi ?? Na kama ni NIV ndio sahihi ina maana kwa miaka 400 tulikuwa tunafundishwa kwa biblia feki?? Na kama KJV ndio sahihi kwanini mmeruhusu NIV kuchapishwa

View attachment 855373

Ntashukuru ukinisaidia hapa
Kwa swali la kwanza: ni tatizo la kufasiri kutoka lugha moja kwenda nyingine: angalia tafsiri hii; 15So Jacob went down to Egypt, where he and our fathers died. 16Their bones were carried backd to Shechem and placed in the tomb that Abraham had bought from the sons of Hamor at Shechem for a price he paid in silver. (Acts 7:15, Berean Bible version).

Kwenye kitabu cha Mwanzo 50:13 anaelezea kifo na maziko ya Yakobo. Kwenye Matendo 7:15 anaelezea mababa wote (hawa walifia Misri ila mifupa yao ilibebwa wakati wana Israeli wakitoka Misri - c.f. Mwanzo 50:24-26).

Kwa hiyo Stepfano katika Mdo 7:15 haelezi mazishi ya Yakobo; anaeleza kifo chake na mazishi ya mifupa ya mababa Yoshua 24:32.
Kwa ndugu zangu hakuna mkanganyiko wowote hapo.
 
Mkuu nimekuelewa sana na nimependa ulivyowasilisha mada bila matusi,kejeli na jazba kama wafia dini wengine wa humu JF for that nakuheshimu sana

Sasa ningeomba unieleweshe now that umeniaminisha kuwa biblia haikinzani na ni halali kabisa (okay at least kwa sisi tusio scholars) je kati ya toleo la NIV na KJV lipi ni halali na lipi ni batili???

yaani KJV imekuwepo kwa miaka kama 400 sasa ila mwaka 1970 NIV ikasema KJV ilichakachuliwa hivyo wakaja na biblia ya tafsiri mpya ambayo imefuta maneno 64,000 kutoka KJV pia imefuta mistari mingi zaidi ya 30 na sura kibao zimepunguzwa je ipi ndio biblia sahihi ?? Na kama ni NIV ndio sahihi ina maana kwa miaka 400 tulikuwa tunafundishwa kwa biblia feki?? Na kama KJV ndio sahihi kwanini mmeruhusu NIV kuchapishwa.

View attachment 855376
Kuhusu swali la pili: huwezi kusema KJV ni "feki" hapana hata kidogo. kama ulishawahi kutafsiri kutoka lugha moja kwenda nyingie, hata kama ni kiswahili na lugha ya kabila lako kuna mambo nitakayoyaeleza utaelewa kirahisi, hilo ni moja la pili ni kukua au kubadilika kwa lugha. kiingereza cha 1600 ni tofauti sana na hiki cha leo KJV imeaanza kuwa ngumu kueleweka na watu wa kizazi hiki hivyo tafsiri nyingine ilikuwa ni lazima.

Sasa kwa nini tuje na tafsiri mpya kabisa kwa nini tusiboreshe tu kiingereza cha KJV. Kwa sayansi ya kutafsiri KJV inatumia kanuni tofauti na inayotumiwa na NIV, kwa wale wenye utaalamu wa kufasiri mtanielewa, sitaki nigeuze post hii kuwa shule ya sayanzi ya ufasiri.
Kuna post niliituma (post) hapa JF wakati wa nyuma nilieleza kirefu kidogo, sintairudia hapa ila nitaeleza kifupi kwa maneno mengine labda ile haikueleweka.

a) Nyaraka original haiwezekani zikawepo hata sasa maana ziliandikwa kwenye papirus ambazo haziwezi kudumu miaka mingi (kwa waandishi wa Agano Jipya kama miaka 2,020, kwa agano la kale ni miaka mingi zaidi)

b) Nyaraka za zamani tulizonazo ni nakili za nakili zilizokuwa zinanakiliwa kwa mkono, kwa hiyo hizi nakala (manuscripts zinatofautiana kidogo - jambo ambalo ni kawaida kama watu wananakili documents kutoka kwenye nakala). Zingelingana kabisa tungekuwa na wasiwasi wa kwamba hawa jamaa walikula njama.

c) Historia ya Ukristo imepitia miaka mingi ya mateso, ukristo haukuwa na dola ya kuulinda ni mpaka baada ya miaka zaidi ya 300, kwa hiyo haikuwezekana kuwa na maktaba zilizotunzwa vizuri.
 
Freemasons ndio jibu maswala yote ya huu Uzi...

Karne nyingi zilizopita wamisionary walipeleka Dini ya Kikristo Skotland..

Waskotish,walianza kuiona dini waliyopekewa ni ya uongo,hasa pale King James alipopinga kitabu cha biblia cha Wakatolii(Wataliana),na kuandika chake mwenyewe..

Baadhi ya Waskotish walipinga Dini ya Kikristo,walipinga kuwa Mungu ni Binaadamu,na kuunda gurupu la Siri liloitwa Freemason (wajengaji).

Freemasons wanaoitwa "anti Christ", Yani wanaompinga Yesu.,Hawa watu walisakwa na kuuliwa kama wanyama

Msimamo wa Freemasons ni kuwa kuna "Master universe",yani kuna Muumba,Muumba sio Binaadamu, sio Yesu

Lakini,anyway dini ni imani,imani ya mtu inafaa kuheshimiwa
 
Freemasons ndio jibu maswala yote ya huu Uzi...

Karne nyingi zilizopita wamisionary walipeleka Dini ya Kikristo Skotland..

Waskotish,walianza kuiona dini waliyopekewa ni ya uongo,hasa pale King James alipopinga kitabu cha biblia cha Wakatolii(Wataliana),na kuandika chake mwenyewe..

Baadhi ya Waskotish walipinga Dini ya Kikristo,walipinga kuwa Mungu ni Binaadamu,na kuunda gurupu la Siri liloitwa Freemason (wajengaji).

Freemasons wanaoitwa "anti Christ", Yani wanaompinga Yesu.,Hawa watu walisakwa na kuuliwa kama wanyama

Msimamo wa Freemasons ni kuwa kuna "Master universe",yani kuna Muumba,Muumba sio Binaadamu, sio Yesu

Lakini,anyway dini ni imani,imani ya mtu inafaa kuheshimiwa
Kwani Freemasons walianzia Skotland. Source

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jinsi ulivyoweza kupangilia haya mambo pana nguvu za kimungu pia sio mahala pa kujibu kipapara lakini mii binafsi huwa nasoma vitabu vyote na kuomba hekima kama za mfalme solomon mungu anijalie nawaza kusema nafahamu mengi sana na sasa pahala ambapo napaona ni sahihi kwangu ni SABATO aleph and tav shalom maaana hata sabato hii iliyopo tz inamapungufu yake
 
Kwani Freemasons walianzia Skotland. Source

Sent using Jamii Forums mobile app


Google..hii ni kærne ya Information Technology,

ukiwa na utata na Habari ingia Google tafauta,usiiishie JF,..

IMG_20201120_071750.png
 
Back
Top Bottom