Siri iliyofichwa kuhusu BIBLIA

Siri iliyofichwa kuhusu BIBLIA

Mkuu Malyenge,
Hoja kwamba Roho mtakatifu anapatikana vipi si muhimu hapa na kwa wakati huu na vile vile Biblia iko very clear on how to receive the Holy Spirit.
Aidha, makosa yaliyomo kwenye Biblia ni ya kiuandishi au niseme ni ya kibinadamu na wala siyo ya kitheolojia kwamba yanaweza sababisha mkanganyiko wa kiimani!

Hata hivyo, mambo haya uwa proved practically ktk uwanja wa kazi (kanisani) ambapo kwa nguvu ya Neno watu hugeuzwa kutoka maisha ya uovu na kuwa waadilifu kwenye jamii, wengine huponywa magonjwa yao na mambo kama hayo.

All in all is to prove and validate the authenticity of the Bible.

Ahsante.
 
Aisee mkuu nimekuelewa sana umejibu mada kwa busara na kunielewesha vizuri kabisa bila matusi wala kejeli.... sasa wewe ndio great thinker umefanya analysis ya pande zote mbili

Ubarikiwe mkuu
Matusi, kejeli, vijembe kwa mtoa hoja badala ya kuikabili hoja ni alama ya utoto na jeuri tu itokanayo na roho ya kukosa maarifa!
 
Aidha, makosa yaliyomo kwenye Biblia ni ya kiuandishi au niseme ni ya kibinadamu na wala siyo ya kitheolojia kwamba yanaweza sababisha mkanganyiko wa kiimani!

Hata hivyo, mambo haya uwa proved practically ktk uwanja wa kazi (kanisani) ambapo kwa nguvu ya Neno watu hugeuzwa kutoka maisha ya uovu na kuwa waadilifu kwenye jamii, wengine huponywa magonjwa yao na mambo kama hayo.

All in all is to prove and validate the authenticity of the Bible.

Ahsante.
Huyo Roho Mtakatifu ni nani? Na wako Roho Mtakatifu Wangapi?
Huwa ananenaje na sisi binadamu?
 
Biblia is the greatest scam ever made!

Na hawa wazee wa kipumbavu wa kiyahudi waliyoitunga ni wakuchoma kabisa!

F.uck jews,f.uck god,f.uck all religions,f.uck everybody...and if you mind,F.UCK YOU TOO!
 
Mkuu Malyenge,

Kwa kuwa tunazungumza kwa muktadha wa Biblia, naomba nikupe nukuu hii kutoka Matendo 10.

Inaelezea vizuri na kujibu vyema swali lako.

9 Hata siku ya pili, walipokuwa wakisafiri na kuukaribia mji, Petro alipanda juu darini, kwenda kuomba, yapata saa sita ya mchana;


10 akaumwa na njaa sana, akataka kula; lakini walipokuwa wakiandaa, roho yake ikazimia,


11 akaona mbingu zimefunuka, na chombo kikishuka kama nguo kubwa, inatelemshwa kwa pembe zake nne hata nchi;


12 ambayo ndani yake walikuwamo aina zote za wanyama wenye miguu minne, na hao watambaao, na ndege wa angani.


13 Kisha sauti ikamjia, kusema, Ondoka, Petro, uchinje ule.


14 Lakini Petro akasema, Hasha, Bwana, kwa maana sijakula kamwe kitu kilicho kichafu au najisi.


15 Sauti ikamjia mara ya pili, ikimwambia, Vilivyotakaswa na Mungu, usiviite wewe najisi.


16 Jambo hili likatendeka mara tatu; kisha kile chombo kikapokewa tena mbinguni.


17 Hata Petro alipokuwa akiona shaka ndani ya nafsi yake, maana yake ni nini maono hayo aliyoyaona, wale watu waliotumwa na Kornelio, wakiisha kuiulizia nyumba ya Simoni, wakasimama mbele ya mlango,


18 wakaita; wakauliza kwamba Simoni aitwaye Petro anakaa humo.


19 Na Petro alikuwa akiyafikiri yale maono. Roho akamwambia, Wako watu watatu wanakutafuta.


20 Basi ondoka ushuke ufuatane nao, usione tashwishi, kwa maana ni mimi niliyewatuma.


21 Petro akawashukia wale watu, akanena, Mimi ndiye mnayemtafuta. Mmekuja kwa sababu gani?
 
Mkuu Malyenge,

Kwa kuwa tunazungumza kwa muktadha wa Biblia, naomba nikupe nukuu hii kutoka Matendo 10.

Inaelezea vizuri na kujibu vyema swali lako.

9 Hata siku ya pili, walipokuwa wakisafiri na kuukaribia mji, Petro alipanda juu darini, kwenda kuomba, yapata saa sita ya mchana;


10 akaumwa na njaa sana, akataka kula; lakini walipokuwa wakiandaa, roho yake ikazimia,


11 akaona mbingu zimefunuka, na chombo kikishuka kama nguo kubwa, inatelemshwa kwa pembe zake nne hata nchi;


12 ambayo ndani yake walikuwamo aina zote za wanyama wenye miguu minne, na hao watambaao, na ndege wa angani.


13 Kisha sauti ikamjia, kusema, Ondoka, Petro, uchinje ule.


14 Lakini Petro akasema, Hasha, Bwana, kwa maana sijakula kamwe kitu kilicho kichafu au najisi.


15 Sauti ikamjia mara ya pili, ikimwambia, Vilivyotakaswa na Mungu, usiviite wewe najisi.


16 Jambo hili likatendeka mara tatu; kisha kile chombo kikapokewa tena mbinguni.


17 Hata Petro alipokuwa akiona shaka ndani ya nafsi yake, maana yake ni nini maono hayo aliyoyaona, wale watu waliotumwa na Kornelio, wakiisha kuiulizia nyumba ya Simoni, wakasimama mbele ya mlango,


18 wakaita; wakauliza kwamba Simoni aitwaye Petro anakaa humo.


19 Na Petro alikuwa akiyafikiri yale maono. Roho akamwambia, Wako watu watatu wanakutafuta.


20 Basi ondoka ushuke ufuatane nao, usione tashwishi, kwa maana ni mimi niliyewatuma.


21 Petro akawashukia wale watu, akanena, Mimi ndiye mnayemtafuta. Mmekuja kwa sababu gani?
Hoja?
 
MAANDIKO YENYE UTATA
Kuna mistari mingine ambayo ni halali kibiblia ila imebadilishwa maeneo husika ipo mistari zaidi ya 50 kwenye agano jipya mfano Yohanna 7:53-8:11 kuhusu Yesu kuwepo hekaluni ila ghafla kipande kati ya 7:52 na 8:11 vimechomeka story ya mwanamke kahaba alietaka kupigwa mawe na ghafla mstari wa 12 unaendelea Yesu akiwa hekaluni hii inakubaliwa na wanatheolojia wote kuwa kilichomekwa na hakikuwepo kwenye maandiko orijino kama una biblia hapo kasome hiki kipande alafu utaelewa nachosema. Kanisa likaamua kuita vitabu vyenye maandiko na uandishi wa utata kuwa ni disputed books ilihali zina sifa zile zile za kuitwa pseudepigraphi na kutakiwa kufutwa kwenye biblia. Mfano Marko 16 inaishia mstari wa 8 ila 9-20 haikuwepo bali iliongezwa miaka mingi mbele na mtu asiyetambulika ila bado kipo kwenye biblia lakini kitabu cha Enoch au Yuda iskariot vimetolewa kwa hoja hiyo hiyo?? Kuna ajenda gani hapa wakuu?? Kipi tunafichwa?? Anyway disputed books kulingana na mwanatheolojia E. P. Sanders ni waefeso,wakolosai,2 wathesalonike, 1 & 2, Tito na vingine vingi.... Je kama vina kasoro kwanini vimeachwa??

VILIANDIKWA NA MUNGU?
Kuna hoja inasema vitabu vya Biblia viliandikwa kwa uweza wa Roho mtakatifu hivyo vile vilivyoachwa havikuandikwa na Roho mtakatifu sasa tujiulize GT kama kuna mistari ya Biblia imeongezwa na wanadamu mfano isaya,wimbo ulio bora,Tito,Yeremia,marko je bado hoja hii ina mashiko ilihali wanatheolojia wanakiri biblia ilichezewa kwa mifano niliyotoa hapo juu na kama si kweli viliandikwa kwa uweza wa Roho bali fahamu za wanadamu je kwanini basi ilitumika kuzuia vitabu kama Injili ya Yuda ama Thomaso?? Je hakuna agenda ya siri kwanini vilizuiwa alafu sisi tukaaminishwa tu kuwa havikuwa na uvuvio wa Roho mtakatifu??
View attachment 830349
PSEUDEPIGRAPHI ZINAKINZANA NA BIBLE
kuna hoja ilitolewa kwamba vitabu vya biblia vinakinzana na Pseudipigrapha ndio maana vikatolewa kwenye bible ila cha kujiuliza GT mbona kuna taarifa zinakinzana ndani ya biblia lakini havijatolewa??

MIFANO
Mathayo 4:1-11 inasema mara tu baada ya ubatizo Yesu alienda kufunga siku 40 ila Yohana 2:1 anasema siku tatu baada ya kubatizwa Yesu alikua kwenye harusi ya Cana!!

Au mathayo 27:44 wale wezi wawili walimtukana Yesu ila luka 23:39 inasema mmoja alitukana mwingine alimtetea.

Mathayo 28:9 inasema Yesu baada ya kufufuka aliruhusu Mary amshike ila Yohana 20:17 Inaonyesha baada ya kufufuka na kuonana na mary, Yesu akamzuia kumgusa sababu alikua bado hajarudi kwa Baba!!

Hyo ni mifano tu ila kuna mistari zaidi ya mamia inayopishana taarifa ila vimeachwa kwenye bible lakini pseudipigraphi zikipishana hta neno moja ndio wanajengea hoja kwamba ndio sababu havipo kwenye bible je sababu hii ilisababisha vitolewe ama kuna mengi tunafichwa??

HITIMISHO
Kwa kuhitimisha labda niseme tu kumekuwa na maswali mengi juu ya chanzo hasa cha vitabu vingine kutolewa kwenye biblia na vingine kuachwa wakato vina kasoro zile zile..... Na hata mkuu Pendael24 alishawahi kuhoji kwamba kama tunafikiri biblia imechezewa je Mungu haoni hadi aruhusu hilo?? Na akahoji mbona Biblia inatenda ina maana kazi ya forgery inaweza kuwa na nguvu za Mungu na akanihoji je wachungaji wote hawa wakubwa hawalijui hili kiasi Mungu awaache watumie bibloa iliyochakachuliwa?? Kiukweli nilikosa majibu ila nategemea leo humu majibu yote yatapatikana

NB: Mimi nimechokoza mada tu ili kupata maarifa ya GT ila sio msimamo wangu kuwa bible ni batili au Qur'an ndio sahihi hivyo tunapojadili hoja humu tuhakikishe tunazingatia hilo pia udini na kejeli na matusi sio uwanja wake humu, nataka tujadili kwa kujifunza sio kupambana.

Karibuni kwa mjadala
Ikumbukwe ya kwamba,pamoja na ukweli wa MUNGU yupo lakini wakati mzungu na mwarabu wanazitangaza dini ukanda wa Afrika kuna mambo pia waliyaficha ili kulinda makusudi yao.na mahubili mengi yalijaa vitisho ili tusiwasumbue na kuwaondoa kwenye ardhi yetu.swala hapa ni kujua why kitabu fulani na fulani kilichomolewa na kwa manufaa gani wa wakati huo.

kulikua na vitisho vingi na hasa moto wa jehanamu au laana na hukumu,vitu ambavyo mwanadamu yeyote hawezi kuvithibitisha kuwepo au kutokuwepo.
 
Majibu mepesi sana hayo
Hata hivyo, ni muhimu kuelewa kuwa Biblia iliandikwa na watu tofauti tofauti zaidi ya 40 kwa vipindi na nyakati tofauti na inasadikika iliandikwa hadi kukamilika kwa miaka karibu 1,600!

Kwa wingi huo wa watu na tofauti kubwa sana ya majira na nyakati za kuandikwa kwake haijuzu yawemo makosa madogo madogo (ya kibinadamu) ambayo hata hivyo hayaondoi ukweli kwamba maandishi ya Biblia yamevuviwa na Roho ya Mungu.

Ndio maana wachambuzi wa mambo ya kiimani husema ili usome Biblia na kuelewa kilichoandikwa hata kikusaidie wewe na watu wanaokusiliza, huna budi kuzaliwa kwa uwezo wa yule Roho ambaye aliwavuvia waandishi ili akusaidie kuelewa hata mahali wao walipokosea.

Ahsante.
 
katika zama hizi za imani tumefundishwa mambo mengi ambayo sio uhalisia wake.
imani ya viongozi wa dini ilipelekea kutufundisha hivyo kwa kuamini ndio tutakua na imani kubwa kumbe ni hapana.

walituaminisha kwamba biblia ni maneno ya Mungu wakiwa na maana mwandishi ni Mungu akimwongoza mwanadamu na sisi tukaelewa kwamba binadamu alikua kama mchapa kitabu na mtunzi ni mwingine!!

kwa uelewa wangu ukimwamini Mungu unaanza kuwa mfuasi wake, tokea hapo unaanza kutembea kwa kumwiga yeye. haina maana hatua zako anazcontroo Mungu,hapana ww utaishi kulingana na yale uliyojifunza. hicho ndicho kilichotokea kwa waandishi. hapo ndipo nawasifu na kuiamini biblia. maana waliandika watu tofaut jambo moja kwa mfanano wa karibia 99% inaweza kukosewa kitu kidogo lakin sio maudhui.

roho mtakatifu hakukatazi kutotenda dhambi anakufundisha ubaya wa dhambi. tukisema waandishi waliandika kwa kutumia akili ya Mungu tunamfanya Mungu ni dicteta anaweza kuhodhi akili ya binadamu kwa kipindi fulan. tutofautishe unabii na mafundisho.

nihitimishe kwa kusema biblia ni mafundisho ya pamoja toka kwa watu wa Mungu kiukweli wanashabihiana japo wameishi vipindi tofaut. na wakati mwingine waliandika vitu ambavyo hawajawahi hata kuviona mfano mussa, aliandika mambo ya uumbaji miaka elfu kadhaa
iliyompita.

ni amri kumi tuu ndio Mungu alihusika kwa 100% . hata unabii walifunuliwa baadaye wakaanza kuelezea . kuna wakati waliwahi kusahau ila wakakumbushwa
 
Hakuna jambo zuri kama kujifunza kuhusu mungu na imani kwa ujumula wake.usiwe mfia dini na kukalili tu na usijitie mjuaji tuendelea kujifunza
 
Hao watu waliyopata maarifa ya biblia kupitia Roho mtakatifu mbona hatujawahi kuona kuja kutumegea hayo maarifa?
Wengi hutumia hii kama defence mechanism ila huwa hawamaanishi hasa pale wanapoishiwa hoja ndio maana mijadala mirahisi hawakwambii kamuulize Roho mtakatifu ila mijadala migumu ndio wanajibu hivyo hapo huoni kuna shida??

Kama kweli wangekuwa wanamtumia Roho mtakatifu kusingekuwepo na madhehebu mengi wala version za Biblia nyingi ambazo zimeleta hizi discrepancy bali maaskofu wotte wangejifungia chumba kimoja na kumuuliza Roho mtakatifu dhehebu au Biblia gani ni sahihi basi wangekuwa kitu kimoja ila hawafanyi hivyo lakini walipigwa maswali magumu ndio wanamrushia kete roho mtakatifu??

Huu ndio unafiki mkubwa zaidi
 
Huyo Roho Mtakatifu ni nani? Na wako Roho Mtakatifu Wangapi?
Huwa ananenaje na sisi binadamu?
Roho Mtakatifu ni mmoja aliyeko ndani ya Mungu Baba na Mwana.Ananena kwa kukuongoza binadamu ili usipotoke dhambini,Dhamira inapokusuta kwa tendo ulilofanya hapo ni Roho anafanya kazi.Mimi Si Mchungaji ila kwa uelewa wangu mdogo wa Biblia.
 
Roho Mtakatifu ni mmoja aliyeko ndani ya Mungu Baba na Mwana.Ananena kwa kukuongoza binadamu ili usipotoke dhambini,Dhamira inapokusuta kwa tendo ulilofanya hapo ni Roho anafanya kazi.Mimi Si Mchungaji ila kwa uelewa wangu mdogo wa Biblia.
Uliahawahi kuongea naye? Akinena suti yake inafanana na sauti gani?
 
kama biblia imetungwa na mtu basi huyo mtu atakuwa sio mtu wa kawaida
ni kitabu kilichojaa hekima nguvu uponyaji
hakuna kitabu maarufu dunia zaid ya biblia
mimi huwa nasoma kila siku na kupata vitu vipya

tatizo imani ndio shida usipokuwa na iman utaona kama gazet tu
 
Roho Mtakatifu ni mmoja aliyeko ndani ya Mungu Baba na Mwana.Ananena kwa kukuongoza binadamu ili usipotoke dhambini,Dhamira inapokusuta kwa tendo ulilofanya hapo ni Roho anafanya kazi.Mimi Si Mchungaji ila kwa uelewa wangu mdogo wa Biblia.
Hivi unaelewa maana ya kunena?
Kunena ni kutamka kwa sauti.
Swali:
Je umewahi kuiskia sauti yake?
 
Back
Top Bottom