Siri iliyofichwa kuhusu BIBLIA

Siri iliyofichwa kuhusu BIBLIA

Unaamini ya wana historia waliozaliwa mwaka 1970 wanataka kukupa historia ya biblia iliokusanywa karne ya 3.

Mbinu za shetani kuuvuruga ulimwengu. Wasomi wangekuwa na akili wangeshaipanga hii dunia kuwa mahala bora pa kuishi, ila neno la Mungu leifanya jamii kuwa bora ya kistaarabu. Spati picha bila biblia kama dunia ingekuwa salama
Kabla ya dini dunia ilikuwa salama kuliko tulivyo Sasa .....dini zimeleta chuki ,watu wanatengana na kuishi bila upendo Kama si wa dini moja n.k
Imagine Africa ingekuwa inaishi kila jamii kwa tamaduni zake as it used to be kabla ya dini kutia nanga
 
Kabla ya dini dunia ilikuwa salama kuliko tulivyo Sasa .....dini zimeleta chuki ,watu wanatengana na kuishi bila upendo Kama si wa dini moja n.k
Imagine Africa ingekuwa inaishi kila jamii kwa tamaduni zake as it used to be kabla ya dini kutia nanga
Wewe usipumbaze watu.
 
Kabla ya dini dunia ilikuwa salama kuliko tulivyo Sasa .....dini zimeleta chuki ,watu wanatengana na kuishi bila upendo Kama si wa dini moja n.k
Imagine Africa ingekuwa inaishi kila jamii kwa tamaduni zake as it used to be kabla ya dini kutia nanga
Nani kakudanganya? Kulikuwa na mauji ya koo, na mila potofu, huko Nigeria mapacha waliuawa mara tu baada ya kuzaliwa kwakuwa iliaminika ni laana

Wazee waliuawa kwa kuaminika ni wachawi, wizi wa mifugo kati ya jamii na jamii ilikuwa kubwa. Magonjwa yaliuwa watu vibaya sana.

Wamasai waliua vilema, wagonjwa na watu wafupi. Amani haikuwepo kwakua dunia ilikiwa tayari haina ustaarabu. Dini ilileta haueni
 
Unaamini ya wana historia waliozaliwa mwaka 1970 wanataka kukupa historia ya biblia iliokusanywa karne ya 3.

Mbinu za shetani kuuvuruga ulimwengu. Wasomi wangekuwa na akili wangeshaipanga hii dunia kuwa mahala bora pa kuishi, ila neno la Mungu leifanya jamii kuwa bora ya kistaarabu. Spati picha bila biblia kama dunia ingekuwa salama
Mkuu kama wao wamedanganya ina maana Biblia ya NIV ni upotoshaji si ndio maana yake?? Hivyo unakubali kuwa NENO la Mungu limechezewa na wakristo zaidi ya Billion 2 wanasoma maandiko feki?? Sasa nini hatma ya ukristo kama neno la Mungu linaweza chakachuliwa na mtu yeyote tu.

Embu tuwekane sawa hapo,ina maana shetani ameshinda??
 
Swali jingine tujiulize kwanini vimeondolewa kama biblia ni kitabu tu cha story au sio kitakatifu km wasemavyo wengine?biblia ina siri gani ambayo walitoa hawataki tujue....
Mfano ukweli juu ya watchers walivyoingiliana na wanadamu kama mwanzo 6 inavyosema bado ni topic of controversy na implications zake mpaka leo bado zipo.

Pia ukweli wa kilichotokea garden of Eden kama ilivyoelezewa kwa ufasaha zaidi kwenye 1st book of adam and eve.... Pia issue ya Mnara wa babeli ina controversy nyingi ambazo Biblia haijaziweka wazi zaidi..

Pia such stories mfano Musa alikwenda Ethiopia sio midian kama ilivyoelezwa kwenye Yasher... Pia ukweli juu ya Yuda kama anavyoongelewa kwenye Gospel of Judas tofauti na anavyoitwa msaliti kwenye injili ya mathayo na wenzake n.k such contents ndio nachoita SIRI ILIYOFICHWA
 
Mkuu kama wao wamedanganya ina maana Biblia ya NIV ni upotoshaji si ndio maana yake?? Hivyo unakubali kuwa NENO la Mungu limechezewa na wakristo zaidi ya Billion 2 wanasoma maandiko feki?? Sasa nini hatma ya ukristo kama neno la Mungu linaweza chakachuliwa na mtu yeyote tu.

Embu tuwekane sawa hapo,ina maana shetani ameshinda??
Yawezekana ikawa fake ndio maana imeandikaa miaka ya 70, namshukuru Mungu biblia ya kiswahili ipo full toka kwa King James version. Wala usione tabu kuona biblia inachakachuliwa biblia iyoiyo ilishatabiri hayo. Ulimwengu huu umeshaanguka
 
Yawezekana ikawa fake ndio maana imeandikaa miaka ya 70, namshukuru Mungu biblia ya kiswahili ipo full toka kwa King James version. Wala usione tabu kuona biblia inachakachuliwa biblia iyoiyo ilishatabiri hayo. Ulimwengu huu umeshaanguka
Hapana mkuu Biblia ya sasa ya kiswahili sio tu king james nimeziona nyingi zilizo sokoni ni za NIV.... Yaani hiyo mistari niliyoitaja hapo juu pia imefutwa hata kwenye Bible ya kiswahili afterall wadhamini ndio hao hao wazungu na ndio wanaotaka NIV itumike zaidi kwahiyo miaka 10 ijayo kutakuwa hakuna kabisa king james bible ya kiswahili.

Yajayo hayafurahishi!!
 
Hapana mkuu Biblia ya sasa ya kiswahili sio tu king james nimeziona nyingi zilizo sokoni ni za NIV.... Yaani hiyo mistari niliyoitaja hapo juu pia imefutwa hata kwenye Bible ya kiswahili afterall wadhamini ndio hao hao wazungu na ndio wanaotaka NIV itumike zaidi kwahiyo miaka 10 ijayo kutakuwa hakuna kabisa king james bible ya kiswahili.

Yajayo hayafurahishi!!
Kusipokuwa na hiyo bible si ndo vzr kusudi Quran itamalaki mkuu!
 
Kusipokuwa na hiyo bible si ndo vzr kusudi Quran itamalaki mkuu!
Tofautisha Bible kutokuwepo na king James BIBLE kutokuwepo..... Ikimaanisha itakuwepo NIV ya kiswahili ambayo imefuta maandiko kadhaa ya Biblia ya KJV kwahiyo swali linabaki nini hatma ya neno la Mungu kama wahuni wachache wa miaka ya 70 wanaweza futa maneno ya Mungu na kuchakachua Biblia hadi kupotosha mabilion ya wakristo??
 
Quran ni kitabu kimoja kinachoelezea mambo ya miaka kumi au zama moja kama sijakosea wakati biblia ni zaidi ya vitabu sabini vinavyo cover zaidi ya karne mia na zaidi.Kinaelezea nyakati na zama nyingi sana na matukio mengi yanayoendana na mabadiliko mbalimbali ya kiteknolojia.Kama kitabu cha zama moja kina makosa ya kisayansi na kibaiolojia itakuwa cha zama nyingi?Kama kitabu cha zama nyingi kina uvuvio wa shetani kwa maana ya some satanic verses itakuwa cha karne zaidi ya mia?Yote yaliyoandikwa na misaafu hii itoshe tu kutuongoza kuwa watu wema na kuachana na maovu.Hili la kuchambua makosa halitatusaidia sana siku ya qiyama
Ushahidi tafadhali
 
Nani kakudanganya? Kulikuwa na mauji ya koo, na mila potofu, huko Nigeria mapacha waliuawa mara tu baada ya kuzaliwa kwakuwa iliaminika ni laana

Wazee waliuawa kwa kuaminika ni wachawi, wizi wa mifugo kati ya jamii na jamii ilikuwa kubwa. Magonjwa yaliuwa watu vibaya sana.

Wamasai waliua vilema, wagonjwa na watu wafupi. Amani haikuwepo kwakua dunia ilikiwa tayari haina ustaarabu. Dini ilileta haueni
Dini ilileta vip ahueni wakati Hadi leo mkristu hawezi kuolewa na muislam ,watu wanajitoa mhanga wakijipa moyo kuua makhafir (ambao si wa dini yao ) unahesabiwa haki ,... Bado mkristu na muislam hawaezi kushirikiana kwenye mambo mengi kwa sababu ya tofauti zao ,mmoja anaona ndio Ana haki na pepo kushinda mwingine automatically anamuona mwenzake wa shetani yeye Ni wa Mungu ,... Bado hata uingiaji wa Christianity iliingia kwa crusade (Kama wewe si mkristu kipindi hicho ulikuwa hupew haki zako za msingi as human being ) ,Islamic ilifanyika jihad kuusambaza halafu unasema dini ilileta ahueni .....

Mambo ya uchawi yalianza kushika Kasi na kuonekana ushenzi baada ya dini kuingia (wakiaminisha uchawi Ni ushetani na kuanza kuwapiga Vita wanaojihusisha na hayo mambo ) na kiukweli watu wameanza kupata negative perception kuhusu uchawi baada ya dini kutamalaki ila uchawi haukuwa wa ajabu kiasi hicho ,..
Ishu ya laana za mapacha kuuwawa ilikuwa Ni baadhi ya iman chache Kati ya nyingi zilizotakiwa kuondolewa na kuendeleza Yale ya msingi (si Imani zote za mababu zetu zilikuwa za kutupa ,zilikuwepo nzuri za kuendeleza Kama part ya tamaduni zilizokuwepo )

Islamic Ni tamaduni za kiarabu
Christianity ilitokana na tamaduni za Western Europe huko
Shiva na hindu Ni tamaduni za Asia

Hata hapa kwetu tungekuwa na nguvu ya kuweka tamaduni zetu za kisukuma mf. Au kihaya n.k tukachambua mazuri na kuya publish na kuyaingiza dunian kwa nguvu zingekuwa Ni dini kubwa tu dunian ndicho ambacho waarabu na Europe walifanya

Kila mtu na arudi kwenye tamaduni zake (Islamic na Christianity sio tamaduni zako muafrica hazikuhusu )
 
Mkuu hii mada niliweka Rai yangu mapema kabisa kuwa nachokoza mada ili kupata maarifa na wala sikusema biblia imekosewa au ina mapungufu ila nimehoji kwamba kwanini sababu zilezile zilizopelekea vitabu nilivotaja kutolewa hazijatumika kuvitoa vingine vyenye kasoro hizo hizo??

Ni vizuri tusome kwansa historia ya Biblia kabla hatujaanza kukosoa maana unaposema kilivuviwa nani amesema hakijavuviwa??? Nachohoji nini kilipelekea ile kamati ya Constantinople kupunguza hivyo vitabu ilihali kasoro walizoainisha ndio hizo hizo zimepatikana kwenye biblia

Hapa ndio mzizi wa mada, ni vizuri tuijadili kwa utulivu na kueleweshana kuliko kuanza kuitana WAFUASI WA SHETANI kisa kuhoji tu hatutafika kwa kweli tujifunze kujihusisha na mjadala ya faida kuliko ushindani.

Ni hayo tu
Unajua tatizo likuja kwa hawa watu wafia dini na imani zao hawataki kuhoji chochote kwenye hivi vitabu vya dini, wanaamini ukianza kuhoji jambo kutoka kwenye bible au quran basi utakua sio muamini au unadhiaki,

Jamani wakistro na waislamu tujiwekee tabia ya kuuliza au ku reason kitu kama ukielewi sio sababu ni kitabu kitakatifu basi ndio ukiamini kwa asilimia zote, kama ukitambua kuwa baadhi ya maandiko yamefanyiwa ukarabati na watu kama wewe kwanini usiamaini kama watu hao wanaweza kukupotosha kwa maandiko hayohayo?
 
kama biblia imetungwa na mtu basi huyo mtu atakuwa sio mtu wa kawaida
ni kitabu kilichojaa hekima nguvu uponyaji
hakuna kitabu maarufu dunia zaid ya biblia
mimi huwa nasoma kila siku na kupata vitu vipya

tatizo imani ndio shida usipokuwa na iman utaona kama gazet tu
Aliyetunga kitabu cha physics, chemistry, biology, sheria nk. hao vp ?? Biblia/ Dini mm huwa naona ni ugunduzi kama gunduzi nyingine dunian, mengine ni mbwembwe tu za binadamu.
 
Hoja yako ni nyepesi sana
Mbona jarida la Playboy ni maarufu duniani kwahiyo limeanzisha na ntu asiye wa kawaida ?
Meme mbna silijui hilo jarida mkuu acha kulinganisha umaashughuli wa biblia na mambo mengine ya kipumbavu
 
Mkuu usichanganye New International Version na New World Translation ni vitu viwili tofauti kabisa, NIV inatumika na protestants ila NWT ndio inatumika na Jehovah witness.

So bado swali linasimama je NIV na KJV ipi ni sahihi??? Na kama NIV imekubalika kuwa sahihi nini hatma ya waliotumia biblia iliyochakachuliwa kwa miaka zaidi ya 2000?? Na credibility ya biblia haipo mashakani kama tumeshajua kuna uwezekano wa kuwepo mistari iliyoongezwa?? Kumbuka pia maneno zaidi ya 64,000 yamefutwa na mistari zaidi ya 100 imefutwa sasa basi hatma ni ipi kwa uhalali wa biblia kama kitabu muhimu kwa rejea za wakristo
MKUU,

MUNGU ALISHAONA JINSI VITABU VYAKE VINAVYOCHEZEWA NA MIKONO YA WAANDISHI....UKIMPA MWANADAMU KAZI YA KUJADILI MAANDIKO JUA SHETANI NAE HATOCHEZA MBALI NAO,LAZIMA ATIE FITINA ZAKE NDIO KAMA HIVYO INAVYOTHIBITISHWA........
MUNGU KWA KULIONA ILO AKALETA KITABU KINGINE NA KUAHIDI KUKILINDA KUTOKA KTK MIKONO YA WAANDISHI.NAAM YAMETIMIA QURAN HATA UTOE "A" INAGUNDULIKA MANA IKO MEMORIZED KTK VICHWA YAN HUMDANGANYI MTU...PIA QURAN HATA IKATAFSIRIWA KTK LUGHA GANI LAZIMA UIAMBATANISHE NA LUGHA YAKE YA ASILI."Hiki ni Kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake; ni uwongofu kwa wachamungu"(QURAN 2:2)."Hakika Sisi ndio tulio teremsha Ukumbusho huu, na hakika Sisi ndio tutao ulinda."(QURAN 15:9)
CHAKUZINGATIWA WATU WASOME HISTORIA ZA MAMBO MENGI YAMEFUNIKWA KWA MASLAHI YAAA.......
Mkuu haya unayotaka kuleta ni amhubiri juu yaquran yako tukufu! Unatoka nje ya mada ingawa hata iyo quran yako ina mapungufu mengi tu amabayo wewe ujayajua lakini atupo hapa kuelezea kipi kitabu sahihi na kipi sio

Rudi kwenye reli mkuu
 
Tafsiri hizi za watu kubadilishabadilisha Biblia zimekuwepo kwa maelfu ya miaka na mambo mengi wanayoamini atu sasa kwamba ni neno la Mungu kutoka kwenye Biblia, ni tafsiri za watu tu zilizopandiana kwa maelfu ya miaka.

Hayo si maneno yangu mimi mja nisiyejua mengi, ni mawazo ya msomi wa Biblia, Myahudi anayeujua utamaduni wao vilivyo, ambaye kazi yake ni kusoma Biblia na ana Ph.D ya mambo ya Biblia, ambaye kashafundisha mpaka Harvard anaitwa James L Kugel.

Kaandika kitabu kizuri kinaitwa "How To Read The Bible: A Guide To Scriptures, Then Aand Now"

Narudia.

Biblia ni maneno ya watu tu walioandika kuhusu maisha yao.

Si maneno ya Mungu.

Mungu aliyeandikwa katika Biblia hayupo.
Hahah! Kiranga usitupoteze kwenye uzi wetu wa bible kuhusu uwepo wa Mungu subiri wadau wajipange tena tena watakufungulia nyuzi kukubanani juu ya uwepo wa Mungu

Kwasasa acha tuijadili hii biblia tu
 
Hahah! Kiranga usitupoteze kwenye uzi wetu wa bible kuhusu uwepo wa Mungu subiri wadau wajipange tena tena watakufungulia nyuzi kukubanani juu ya uwepo wa Mungu

Kwasasa acha tuijadili hii biblia tu
Unaweza kabisaa kuijadili Biblia seriously kama Mungu anayeelezwa na Biblia ana maswali ambayo huwezi kuyajibu?

Ukaacha kujadili maswali hayo, ukaendelea kujadili biblia tu?

Ukifanya hivyo utakuwa huielewi Biblia wala Mungu.
 
Back
Top Bottom