Siri iliyofichwa kuhusu BIBLIA

Siri iliyofichwa kuhusu BIBLIA

Ondoa ananena weka neno anajidhihirisha.Asante kwa kunirekebisha.
Imeandikwa KUNENA. Sijakurekebisha bali hili neno lako KUJIDHIHIRISHA ndio unataka kuchomeka! Halimo kwenye biblia.....
 
Hapana mkuu Biblia inasema ukristo ni religion of reasoning yaani sio kila kitu kwa kuwa ni imani tu unakimeza ila lazima uhoji maana mafundisho mengi ya kupotosha soma hapa;

1 Yohana 4:1
1 Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani.

Na hii ni shida kubwa sana wakristo wengi kuna vitu wanapotoshwa ila kwa kuwa wana mentality kama yako basi wao bora liende mwisho wa siku wanapotezwa ona kwa mfano manabii feki walivyojaa wanawauzia sabuni,maji,mafuta eti yakawaponye na wao hawawezi kuhoji maskini wanaingizwa mkenge wakiamini ile ni Roho ya Mungu bila kujua ni ya mpinga kristo!!

Kwa staili hii mpaka Yesu anarudi atakuta walioshika imani hawazidi 10 nyie endeleeni tu kukaririshwa bila kuhoji mtakuja kujuta

Yangu macho!!

Shida ni pale baadhi wanafundisha maandiko yaliyochakachuliwa tayari sasa hapo hata reasoning inakuwa ngumu maana kila hoja unajifunga
 
Imeandikwa KUNENA. Sijakurekebisha bali hili neno lako KUJIDHIHIRISHA ndio unataka kuchomeka! Halimo kwenye biblia.....
Mkuu naona nazunguruka,ila umenifundisha siku za mbeleni nitatumia vifungu vya bibilia ili kuepusha utata.
 
Mkuu wikipedia inaingiaje hapa..... Tunavyoongea tayari kuna biblia versions 9 na mzee zaidi ni KJV maana ndio ilikuwa ya mwanzoni na mpya zaidi ni NIV (2011) na ndio inadai chanzo cha watafsiri wa KJV ni text receptus waliokuwa nayo 1600 lakini hawa wa NIV waliikuta text receptus ya zamani zaidi kutoka dead sea scrolls ambayo haikuwa na hayo maneno 64,000 na hiyo mistari niliyoorodhesha sasa basi wakasema KJV ilichakachuliwa na ndio leo hii NIV ndio inayotumika zaidi duniani yaani kwenye kila biblia 100 zaidi ya 50 ni NIV ila bible ya kiswahili ilitoholewa kutoka KJV ndio nauliza sasa nani mkweli kati ya KJV na NIV?? Na kama NIV ni mkweli (wanatheolojia 80% wanakiri) je nini hatma ya uhalali wa Biblia kama imewahi kuchakachuliwa

ujibu kwanza hili ambalo halihitaji wikipedia bali uwe na biblia mbili tu ya KJV na NIV ili ujengee hoja
Nilijua turn unakoelekea nI huko, kwanza ulianza siri sasa unahoji uhalali usianze kuzunguka sema Shida yako au ushauri wako ni nini? tuachane name Bible tukifuate kitabu unacho kiamini wewe, au na sisi tufanye masahihisho?
 
Nilijua turn unakoelekea nI huko, kwanza ulianza siri sasa unahoji uhalali usianze kuzunguka sema Shida yako au ushauri wako ni nini? tuachane name Bible tukifuate kitabu unacho kiamini wewe, au na sisi tufanye masahihisho?
Siri ni kwamba kuna vitu kwenye Bible walitaka tusivijue mfano

1. Malaika kuzaa na wanadamu hii topic inaepukwa sana hivyo ikabidi Book of Enoch kisiwekwe.

2. Hawakutaka tujue injili ya kweli aliyopewa Yuda iskariot ambayo ni tofauti na ilivyoongelewa kwenye zile injili 4 hivyo kitabu cha Gospel of Judas kikaachwa

3. Hawakutaka tujue siri ya kilicho nyuma ya mnara wa babeli ndio maana kitabu cha Jasher kimeachwa kikachukuliwa cha mwanzo maana ndio kimeongelea in detail maisha ya Nimrod na mnara wa babeli.

4. Pia hawakutaka tujue kisa hasa kilichofanyika Eden ndio maana First Book of Adam/Apocalypse of Moses kiliachwa sababu kinaeleza kwa undani kisa chenyewe na fumbo la tunda.

5. Book of enoch pia kinaonyesha Nuhu alikuwa mzungu wa kwanza na mababu zake wote walikuwa weusi ndio maana wakamshangaa Huo uzungu katoa wapi hivyo mambo kma haya wakaona yataleta black superiority wakaona wakifiche hii siri.

Hizi ni speculation tu sio facts ndio maana nikaleta uzi kuhoji je hatuoni kuna siri tunafichwa ndio maana baadhi ya vitabu vimetolewa??

Recommendation yangu ni kwamba Biblia ni halali hivyo kusiwepo na double standard katika kuchuja vitabu ndio maana nmeweka ushahidi wa jinsi sababu hizo hizo zilizosababisha book of Enoch kitolewe hazikutumika kukitoa kitabu cha Wimbo ulio bora!! Je huoni kuna shida hapo.

Na ukitaka kujua kuna shida zaidi jiulize kwanini kila dhehebu lina biblia yake kama wangekuwa wameongozwa na Roho mtakatifu kivp watofautiane namba ya vitabu?? Huoni mnapotosha mnaposema vitabu vya Biblia vilipangwa na Mungu ilihali ni mawazo ya watu wachache tu

Huu ndio mzizi wa hoja.....
 
Wizi mtupu" uwongo mwingi" mnooo" kuna jamaa yangu mmoja majuzi aliniambia eti Muhammad alikuwa na miujiza hakuwahi kuwa na kivuli" Aisee ilibaki kidogo nimzabe makofi" ila bahati yake tulikuwa tuna chat watsaap"" yaani mtu amedanganywa" Kama chizi kiasi kile
Hahahahahaaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] inamaana mtume s.w hakuwa kiumbe [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hahahahahaaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] inamaana mtume s.w hakuwa kiumbe [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
hio Quran 18:10 inasema yeye ni mtu tu....
shida nyie mnarukia hadithi huwezi kupata uhakika kwa hadithi tu na zipo hadithi ambazo zinaongelea hio ishu ya kutokua na kivuli but usahihi wake ndio utata ila sisi tunaamini Quran ndio inasema ukweli kua ni mtu.
Screenshot_20181202-095902.jpeg
 
Kufuta na kuongeza maneno kwenye bible si kitu kilichotokea kwa bahati mbaya.. ninachokifahamu ni hivi:

Wazungu (albinos) baada ya kuibuka washindi (triumph) katika mapigano dhidi ya watu wenye rangi walihitaji kuona kuwa isitokee hata siku moja wao kurudi kuwa duni kwani uzeru zeru wao tayari yalikuwa no mateso tosha.

Mambo karibu yote yalikuwa yameandikwa kuhusu watu na matukio katika harakati mbali mbali.. mfano nchi ipi ilikuwa ya kina nani.. walikuwa wa rangi gani etc. Maandiko mengi yalionesha jinsi hao albino wasivyokuwa na historia wala accomplishments kwani ni binadam waliotokea baadaye sana kwenye uso wa dunia kutokea kwenye mapango ya Asia (Caucasus).

Baada ya kupigana vita na kupata ushindi, mambo mengi hayakuwa upande wao.. kwani katika hizo vita walikuwa wamefanya genocide ya kutisha.. swala ambalo lingewafanya salama ilikuwa ni kuharibu ushahidi. Ushahidi ulikuwa overwhelming.. na ilichukuwa miaka zaidi ya elfu kuharibu huo ushahidi.. mojawapo la awali ni kuteketeza au kuficha maandiko ya awali kabisa ambako biblia ilitoholewa (septuagint)..

Hadi mwaka 1600.. mradi wa kupoteza ushahidi ukawa umekamilika.. dunia ikawa haijui tena kilichotokea.. walikalia maeneneo yasiyo ya kwao ambayo leo wao wanajiita wazawa.. hakuna anayejua maana ushahidi waliuteketeza. Wanadai Yesu alikuwa kama wao na hakuna anayepinga maana ushahidi waliuteketeza. Hata wakidai wao ndo mungu huwezi kubisha maana ushahidi waiufutilia mbali.

Kwa hiyo kuongeza au kupunguza maneno ilikuwa katika kuhakikisha bible inawabeba wao zaidi kuliko watu wenye kumiliki hayo maandiko.

Nitarudi
 
Biblia imeandikwa kwa weledi mkubwa sana, sina imani kama wewe huo weledi unao.
Kuamini hivyo ni kukosa elimu na maarifa.. tena ni ujinga. Watu waloelimika hutafuta kwanza evidence kabla ya kuamini. Hiyo bible imeandikwa kwa makini kiasi fulani.. kwa lengo maalum ambalo lilifanikiwa tena sana... ile kwamba wewe ni maskini au huna elimu sahihi au morals ambazo ni independent ni mojawapo ya mafanikio ya bible...
 
Bwana @zittojunior nafahamu namna unavyoheshimika hapa jf kwa mada tata na vikirishi ila nikusaidie kitu kimoja cheza na mipaka yako katika mambo yanayomuhusu Mungu yaani hapa sizungumzii dini wa dhehebu.

Sijaona utata katika vilivyoandikwa katila bibli kwakua ni vitu vya kiimani na si kisayansi kwamba vinahitaji scientific proof.... Huweizi pata.
Ninauhakika hujisoma biblia ukaielewa nnauhakika hii hoja umeiokota.... Ni kwamba mi si muandishi mzuri ila nishakutana na hoja hizi wakati nafuatilia imani zilizo kinyume na Mungu.....

Ukisoma biblia Agano la kale na jipya limetofautiana kimapokeo tuu lakini kusudio la Mungu lilikua moja tu na bado liko vile vilehata sasa.

Tambu baraza lilipata mamlaka ya kipi kiingie kipi kitoke kutoka kwa Mungu (uvuvio) na huo ndio mpaka wangu wa kuhojik
Unayoongea ni dhahiri shahiri unaoongea kitu usichokifaham vema.. na haishangazi hata kuona hustuswhi na contradictions kibao zilizoko kwenye bible.. wakati wewe ukiamini kuwa bible iliandikwa ili watu wamjue Mungu na waokoke ili waende peponi sivyo ilivyo..

Jingine ni kuamini kwamba bible iliandikwa na jopo la watu walioongozwa na roho mtakatifu.. hili nalo halina mashiko.. hasa kama hujui historia sahihi na halisi ya bible. Bible iliandikwa na watu.. na mengine mengi ya kubuni yakujaongezewa baadaye sana ili kukamilisha lengo flani
 
Mkuu sijui umeelewa hoja yangu??? Nachouliza ni kwanini vitabu A B C vilitolewa kwenye biblia ilihali sababu walizotoa bado zipo kwenye baadhi ya vitabu vya biblia?? Mfano nimekueleza NIV walivyogundua marko 16 ilichezewa na wahuni je kwanini na chenyewe kisitolewe kama kilivyotolewa book of enoch au Gospel of Judas

Hii ndio hoja yangu, karibu
Watu wamemezeshwa tu mambo wasioyajuwa. Akili yao haiko huru kuhoji na kutafuta majibu. Uongo ukirudiwa rudiwa tena kwa muda mrefu na ukahifadhiwa katika maandishi basi uongo huwa hubadilika na kuwa ukweli..

Mfano, story nzima ya kuwepo jesus, kuzaliwa na mama tena bikira, kufufuka baada ya siku tatu na kupaa mbinguni ni mojawapo ya story fake kabisa ambazo watu wanaziamini.. hizi ni story za kufikirika tena zilizoandikwa baada ya Mkutano wa Nicea hapo karne ya nne (325 AD).
Hii ni story iliyokuwa plagiarized kutoka kwenye mythology ya Khemet (Ancient Egypt) ambapo maandiko yao yalimzungumzia Horus.. kama mtu aliyezaliwa na mama bikira.. na ilikuwa ni kama iman ya watu wa Khemet.

Wazungu ili kuonesha kuwa na wao walikuwa watu muhimu katika historia ya dunia hii wakaibuka na story ya Jesus.. uongo. Tukumbuke kuwa miaka ile ya kipindi kinachodaiwa kuwa Yesu aliishi watu walikuwa wameshajuwa kuandika karne nyingi mbele. Katika documents za kiutawala (ambazo ziko hadi sasa) story ya Jesus haikelezwa wala kuandikwa kwnye official communications za Roman empire ya wakati huo. Wakati huo Ceasar wa Roman Empire aliitwa Tiberius.. yaliandikwa mengi sana kuhusu utawala wake.. isingwezekana magoverner wake waliokuwa mashariki ya kati wakashindwa kurecord story nzima ya Jesus.. kwani yaonekana hakuwa mtu wa kawaida na alitishia ustawi wa dola la kirumi huko mashariki ya kati.

Dunia hii ina mambo hatari lani ni vizuri kujibidiisha ili tuelewe. Tusiwe wavivu kuhoji.. kuna mambo yamefichwa maksudi maana kuna watu wanafaidi sana kwa kudanganya watu wengine.

Nakushukuru tena mtoa hoja
 
Kuamini hivyo ni kukosa elimu na maarifa.. tena ni ujinga. Watu waloelimika hutafuta kwanza evidence kabla ya kuamini. Hiyo bible imeandikwa kwa makini kiasi fulani.. kwa lengo maalum ambalo lilifanikiwa tena sana... ile kwamba wewe ni maskini au huna elimu sahihi au morals ambazo ni independent ni mojawapo ya mafanikio ya bible...
Unataka nikuamini wewe?? Mambo mengine ni common sense tu.
 
Ukisoma kitabu cha ‘the secrets in the bible’ by Tony bushby ameelezea kwa undani sana vitu ulivyogusia kwenye huu uzi. Hasa kuhusu kuondolewa baadhi ya vitabu, chanzo cha KJV na siri nyingine zilizopo kwenye bible.

Google tu utakipata.
 
Mkuu siri ni hyo kwamba kwanini baadhi ya vitabu vimetolewa kwa sababu X and Y na vingine vimebakizwa ilihali vina madhaifu hayo hayo ya X na Y hapo ndipo kuna siri ambayo natamani wote tui unlock hapa maana kuna uwezekano wachache wanaifahamu kwa gharama ya kupotosha wengine na hyo ndio SIRI inayozungumzwa hapa

Karibu tueleweshane


Kwa sisi tulianza kusoma Biblia kuanzia tukiwa kindergaten mpaka hapa tunakuelewa vizuri sana. Biblia imekaa kinjama njama hivi. Ila imenisaidia kuwa na akili na kuijua dunia. Kwa sasa siiamini
 
Bwana @zittojunior nafahamu namna unavyoheshimika hapa jf kwa mada tata na vikirishi ila nikusaidie kitu kimoja cheza na mipaka yako katika mambo yanayomuhusu Mungu yaani hapa sizungumzii dini wa dhehebu.

Sijaona utata katika vilivyoandikwa katila bibli kwakua ni vitu vya kiimani na si kisayansi kwamba vinahitaji scientific proof.... Huweizi pata.
Ninauhakika hujisoma biblia ukaielewa nnauhakika hii hoja umeiokota.... Ni kwamba mi si muandishi mzuri ila nishakutana na hoja hizi wakati nafuatilia imani zilizo kinyume na Mungu.....

Ukisoma biblia Agano la kale na jipya limetofautiana kimapokeo tuu lakini kusudio la Mungu lilikua moja tu na bado liko vile vilehata sasa.

Tambua baraza lilipata mamlaka ya kipi kiingie kipi kitoke kutoka kwa Mungu (uvuvio) na huo ndio mpaka wangu wa kuhoji kibinadamu zaidi ya hapo najitahidi nifike peponi nikamuulize Mungu mwenyewe.

Baraza lilipata wapi baraka za Mungu Mkuu?
Mungu ni Baba yetu kwa nini tusimzungumzie?
 
Wengi hutumia hii kama defence mechanism ila huwa hawamaanishi hasa pale wanapoishiwa hoja ndio maana mijadala mirahisi hawakwambii kamuulize Roho mtakatifu ila mijadala migumu ndio wanajibu hivyo hapo huoni kuna shida??

Kama kweli wangekuwa wanamtumia Roho mtakatifu kusingekuwepo na madhehebu mengi wala version za Biblia nyingi ambazo zimeleta hizi discrepancy bali maaskofu wotte wangejifungia chumba kimoja na kumuuliza Roho mtakatifu dhehebu au Biblia gani ni sahihi basi wangekuwa kitu kimoja ila hawafanyi hivyo lakini walipigwa maswali magumu ndio wanamrushia kete roho mtakatifu??

Huu ndio unafiki mkubwa zaidi
Katika mechanical engineering, tolerance limit ni 0.01mm. Fikiria kalamu (peni), unapofunga kile kizibo unasikia mlio Fulani. kuonyesha tolerance limit inavyofanya Kazi. Kinyume na hapo kizibo kitakuwa loose na kitadondoka na kalamu itapungua thamani.

Tulitarajia maandiko ya Mungu yanayoongozwa na Roho Mtakatifu yawe more accurate kuliko tolerance limit ya mwanadamu. Ona jinsi Mwezi unavyozunguka Dunia. umewahi kusikia mwezi unagongana na Dunia?? Au Dunia inapoteza diameter yake na Jua na kupotelea angani?? Au Dunia kugongana na sayari zingine?

Allah yupo accurate sana katika maumbile ya vijiduara vinavyoelea angani. Tena kwenye space ambayo iko pana kwelikweli!.
Utaiteteaje biblia na roho mtakatifu katika suala la accuracy na precision? Au Roho mtakatifu yupo so weak and lose?. Nijuavyoa huyo roho mtakatifu yupo kinyume na hayo.
 
Back
Top Bottom