Siri iliyofichwa kuhusu BIBLIA

Siri iliyofichwa kuhusu BIBLIA

Unayoongea ni dhahiri shahiri unaoongea kitu usichokifaham vema.. na haishangazi hata kuona hustuswhi na contradictions kibao zilizoko kwenye bible.. wakati wewe ukiamini kuwa bible iliandikwa ili watu wamjue Mungu na waokoke ili waende peponi sivyo ilivyo..

Jingine ni kuamini kwamba bible iliandikwa na jopo la watu walioongozwa na roho mtakatifu.. hili nalo halina mashiko.. hasa kama hujui historia sahihi na halisi ya bible. Bible iliandikwa na watu.. na mengine mengi ya kubuni yakujaongezewa baadaye sana ili kukamilisha lengo flani
heri mimi mwenye kumjua Mungu kuliko wewe 'kafiri'.
unazungumza kama mjuaji ila si kueleweshwa nadhani ukitaka nikufafanulie jifunze kuandika kwa uelewa.
 
Dar wewe bana kiboko ya rigwaride ulisomea seminary ya wapi kijana. Umri wako tafadhali?
Wengine ni mapadri,siyo Bure tufungue kanisa tu. la wana jamii forum.napmba mchagiue vyeo.
ila mimi niwe mtunza fedha wa church.
 
Mengi hapo ni maelezo ya Devil worshipers kupitia the knight of Columbus,the skull and Bones ya akina Bush, John Kerry etc
Biblia ni kitabu kitakatifu
 
Mungu wa kwenye biblia anapigana "wrestling" na binaadam, kama hiyo haitoshi, Mungu wa biblia anawashika binaadam mpaka "uvungu wa mapaja"!

Biblia, mwanzo 32:
24 Yakobo akakaa peke yake; na mtu mmoja akashindana naye mweleka hata alfajiri.
25 Naye alipoona ya kuwa hamshindi, alimgusa panapo uvungu wa paja lake; ukateguka uvungu wa paja la Yakobo alipokuwa akishindana naye.
26 Akasema, Niache, niende, maana kunapambazuka. Akasema, Sikuachi, usiponibariki.
27 Akamwuliza, Jina lako n'nani? Akasema, Yakobo.
28 Akamwambia, Jina lako hutaitwa tena Yakobo, ila Israeli, maana umeshindana na Mungu, na watu, nawe umeshinda.
29 Yakobo akamwuliza, akasema, Niambie, tafadhali, jina lako? Akasema, Kwa nini waniuliza jina langu? Akambariki huko.
30 Yakobo akapaita mahali pale, Penueli, maana alisema, Nimeonana na Mungu uso kwa uso, na nafsi yangu imeokoka.
 
Mengi hapo ni maelezo ya Devil worshipers kupitia the knight of Columbus,the skull and Bones ya akina Bush, John Kerry etc
Biblia ni kitabu kitakatifu
Mkuu jikite kwenye hoja nini mtazamo wako kwa NIV kufuta mistari zaidi ya 64,000 iliokuwepo kwenye King james Version (Ambayo Biblia ya kiswahili ilitoholewa humo) na wamedai iliongezwa kimakosa na wahuni...... Je NIV wako sahihi kufuta?? Je kama kweli iliongezwa na wahuni nini hatma ya Biblia kma kitabu kitakatifu??

Pia kama NIV wameifuta kimakosa.... Je nini hatma ya Biblia kama mtu yeyote anaweza punguza/ongeza mistari ya Biblia anavyotaka.... Je hizo version wanazotengeneza zinaifanya bado Biblia kuwa kitabu kitakatifu au wanakuwa wameinajisi??

Pia nini msimamo wako juu ya kitabu cha wimbo ulio bora, Vitabu 4 vya injili na waebrani n.k ambavyo mpaka leo mwandishi wake hafahamiki lakini vimewekwa kwenye Biblia?? Je kwanini vitabu kma Enoch au Gospel of Judas Iskariot vimezuiwa kisa mwandishi hafahamiki vizuri ila hivi vya injili vimechukuliwa ilihali mwandishi mpaka leo hajulikani??? Huoni kuna double standards hapo mkuu??

Karibu
 
Shetani mwenyewe kaja kivingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu jikite kwenye hoja nini mtazamo wako kwa NIV kufuta mistari zaidi ya 64,000 iliokuwepo kwenye King james Version (Ambayo Biblia ya kiswahili ilitoholewa humo) na wamedai iliongezwa kimakosa na wahuni...... Je NIV wako sahihi kufuta?? Je kama kweli iliongezwa na wahuni nini hatma ya Biblia kma kitabu kitakatifu??

Pia kama NIV wameifuta kimakosa.... Je nini hatma ya Biblia kama mtu yeyote anaweza punguza/ongeza mistari ya Biblia anavyotaka.... Je hizo version wanazotengeneza zinaifanya bado Biblia kuwa kitabu kitakatifu au wanakuwa wameinajisi??

Pia nini msimamo wako juu ya kitabu cha wimbo ulio bora, Vitabu 4 vya injili na waebrani n.k ambavyo mpaka leo mwandishi wake hafahamiki lakini vimewekwa kwenye Biblia?? Je kwanini vitabu kma Enoch au Gospel of Judas Iskariot vimezuiwa kisa mwandishi hafahamiki vizuri ila hivi vya injili vimechukuliwa ilihali mwandishi mpaka leo hajulikani??? Huoni kuna double standards hapo mkuu??

Karibu
 
Habari za jioni wana JF mada ya leo pia ni sensitive kidogo maana inagusa imani za watu ila kutokana na kuwepo hitaji la kuweka rekodi sawa nimeona nilete uzi huu ili tujifunze zaidi. Na sababu kubwa ya kuleta uzi huu ni kutokana na mada nazoleta humu nyingi zinatumia pia vitabu nje ya biblia kama source ya taarifa na kumekuwa na wengi wanaokuja na hoja kwamba chochote kilicho nje ya biblia sio kweli yaani quran,midrash,tanakh/torah,zohar,apocrypha,Pseudipigrapha zote ni batili sasa ni kutokana na hoja hiyo imenipelekea kuandaa uzi huu hivyo tuusome kwa makini na tuujadili kwa ustaarabu tu yote kwa yote kujifunza. Nitaugawa uzi huu kwa sehemu mbili ili iwe rahisi kuusoma na ningependa kabla ya kuchangia uusome wote na kuuelewa. Karibuni
View attachment 830330

UTANGULIZI
1. Biblia ni mjumuiko wa vitabu vya manabii walivyoandika kuhifadhi matukio katika historia ya imani yao kwa Mungu na ilikusanywa katika karne ya 3 baada ya Yesu baada ya kuonekana vitabu vya kiimani viko vingi vinakinzana hivyo wakaamua wawe na kitabu kimoja cha kutumika na wote na ilikuwa katika kigiriki na kiebrania. Baada ya karne zaidi ya 10 kupita biblia ya mapema kabisa kutafsiriwa kuingia kwenye kilatin iliyokuwa lugha ya Roma, ilikuwa ''vulgate'' iliyotoholewa kutoka kiebrania na kigiriki kwenda kilatin na padre Jerome karne ya 14 ila tafsiri ya kiingereza ilikuwa king james version karne ya 15 ambayo hata biblia za kiswahili na lugha zingine maelfu zimetoholewa hapo na ambacho wengi hatujui ni kwamba vitabu ambavyo leo tunaviita apocrypha vilikuwepo kwenye KJV ya kwanza ila mataifa mengi yalipotafsiri hayakuvijumuisha hivyo vitabu 14!!! Na leo hii ukivitumia humu JF kujenga hoja utaambiwa ni vya kishetani wakati biblia ya kwanza ya english iliviweka??

Miaka mingi ikapita ndipo yakaja matoleo mengine tofauti ila kwa karne hii biblia inayotambulika kutumika dunia nzima ni NIV yaani New International Version ya 1973, ambayo ilikuja kufanya utafiti na kutumia vyanzo mbalimbali vya nyuma zaidi na kutengeneza tafsiri yake na muhimu hapa tufahamu NIV iligundua makosa kwenye KJV na ikafuta mistari hiyo kwa kigezo kwamba mistari hiyo haikuwepo kwenye vyanzo vya mwanzo ikimaanisha viliongezwa baadae sana. Baadhi ya mistari ilioongezwa na ambayo NIV imeifuta ama kutoitambua Ni Marko 11:26, 15:28,9:44,9:46 Mathayo 23:14,18:11,17:21, Luka 17:36 Yohana 5:3-4, Matendo 8:37 n.k kwa uchache wake ila mingi zaidi iligundulika haikuepo kwenye vyanzo vya mwanzoni kabisa na kwamba vimeongezwa kinyemela.

Simply ikimaanisha biblia ya kiswahili tunayotumia hii ya chama cha biblia iliyotokana na KJV tumepotoshwa?? Je wakristo tumeambiwa haya kanisani?

Je nani mkweli kati ya KJV na NIV??
View attachment 830331
VITABU VILIVYOPUNGUZWA
Baada ya biblia ya nwanzoni kabisa ya kilatin kuwa na vitabu zaidi ya 76 na version zingine hadi 84 kuna vitabu vilitolewa na kina Jerome kwa sababu mbalimbali ikiwemo kughushiwa majina, kutovuviwa na Roho mtakatifu, kukinzana na vitabu vingine vya Biblia,kuandikwa na manabii wa uongo,utata wa maandiko n.k na vitabu hivyo ni kama 4 Maccabees, Assumption of Moses, Ethiopic Book of Enoch (1 Enoch), Slavonic Second Book of Enoch,Book of Jubilees,3 Baruch, Letter of Aristeas,Life of Adam and Eve, Ascension of Isaiah, Psalms of Solomon, Sibylline Oracles, 2 Baruch,Testaments of the Twelve Patriarchs na vinginevyo na hii ndio kitovu cha uzi huu embu basi tuchambue kwa pamoja.
View attachment 830333

TATIZO LA UANDISHI
Kuna hoja zilitolewa kwamba hivi vitabu vilivyoachwa kwenye biblia yaani Pseudipigrapha na Apocrypha mfano book of enoch, Book of Adam & Eve n.k kwamba vilitolewa kwenye biblia sababu kuna utata juu ya waandishi na kwamba kurasa zingine ziliongezwa baadae.... Ila leo hii wanatheolojia wote duniani wanakubali kuwa biblia bado ina pseudipigraphi nyingi mfano Isaya iliandikwa karne 8 kabla ya kristo yaani sura 1-39, ila kipande kuanzia sura 40-55 iliandikwa na mtu ambaye hajatambuliwa mpaka leo huko babeli na sura 56 mpaka 66 imegundulika na wanatheolojia dunia nzima kuwa ziliongezwa baadae yaani miaka mia kadhaa tokea isaya akiandike!!!

Hata jeremia kuanzia sura ya 26 iliongezwa miaka mamia baadae!! Hivyo swali la kujiuliza kwanini basi vitabu vingine vilitolewa kwa hoja hii ilihali biblia bado ina vitabu vyenye kasoro zilezile?? Mfano mingine ni waebrania, Wimbo ulio bora vyote vina utata wa uandishi na mikono zaidi ya miwili imehusika kwa gap la miaka zaidi ya 100!! Je sababu ya kupunguza vitabu vingine kwa kisingizio hiki ni halali au kuna mengine tunafichwa???
Wakati ule Yesu akajibu, akasema, Nakushukuru, Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa mambo haya uliwaficha wenye hekima na akili, ukawafunulia watoto wachanga.
Naam, Baba, kwa kuwa ndivyo ilivyopendeza mbele zako.

Akasema, Nimekabidhiwa vyote na baba yangu; wala hakuna amjuaye Mwana, ila Baba; wala hakuna amjuaye Baba, ila Mwana, na ye yote ambaye Mwana apenda kumfunulia.
Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.
Mathayo 11:25-28.

Nimeona niambatanishe hoja yangu na hilo hiyo mistari hapo juu. Unaweza kuwa mjuzi sana mwenye elimu kubwa sana au mwanasayansi mkubwa kama Newton au Einstein, lakini ukashindwa kuyaelewa maandiko.Kuna tofauti Kati ya karama na elimu.
Walioandika biblia walijaliwa karama ya unabii ambapo hata sayansi haina majibu ya unabii.
 
Nimeona niambatanishe hoja yangu na hilo hiyo mistari hapo juu. Unaweza kuwa mjuzi sana mwenye elimu kubwa sana au mwanasayansi mkubwa kama Newton au Einstein, lakini ukashindwa kuyaelewa maandiko.Kuna tofauti Kati ya karama na elimu.
Walioandika biblia walijaliwa karama ya unabii ambapo hata sayansi haina majibu ya unabii.
Biblia ipi unayoongelea NIV au KJV?
Unaongelea septuagint au masoretic??
Unaposema muandishi wa Biblia mfano kitabu cha Mathayo ulichonukuu mpaka leo hajulikani?? Kama unamfahamu naomba ututajie then ndio tutajua alikua na hizo nguvu unazosema au lah.

Ni hivi mkuu imani ya ukristo ni ya ku reason sio ya kuburuzwa kama punda. Shida inakuja unapohoji unaonekana kama shetani fulani au umepungukiwa hekima ingawa kweli kuna hoja zina mashiko.

Sasa mfano Mtume Yuda kanakili mstari wa Kitabu cha Henoko ambacho Biblia haikitambui na inadai cha kishetani ndio maana kanisa ikakitenga Huoni kuna double standards??

Leo hii muandishi wa Mathayo mpaka Yohana hajulikani (kama unamfahamu tusaidie) lakini kwenye Bible kimeachwa ila vitabu vingine kama Jasher vimefutwa sababu eti muandishi hajulikani?? Je huoni kuna siri inafichwa hapa.

Haya maswali nayohoji yana mashiko ndugu yangu ni vizuri uchukue muda wako utafiti uje na majibu kuliko kuishia kutoa kejeli.

Sasa hapo unasema WALIOANDIKA..... But hapo hapo humjui alieandika kitabu cha Mathayo does it make sense??
 
Biblia ipi unayoongelea NIV au KJV?
Unaongelea septuagint au masoretic??
Unaposema muandishi wa Biblia mfano kitabu cha Mathayo ulichonukuu mpaka leo hajulikani?? Kama unamfahamu naomba ututajie then ndio tutajua alikua na hizo nguvu unazosema au lah.

Ni hivi mkuu imani ya ukristo ni ya ku reason sio ya kuburuzwa kama punda. Shida inakuja unapohoji unaonekana kama shetani fulani au umepungukiwa hekima ingawa kweli kuna hoja zina mashiko.

Sasa mfano Mtume Yuda kanakili mstari wa Kitabu cha Henoko ambacho Biblia haikitambui na inadai cha kishetani ndio maana kanisa ikakitenga Huoni kuna double standards??

Leo hii muandishi wa Mathayo mpaka Yohana hajulikani (kama unamfahamu tusaidie) lakini kwenye Bible kimeachwa ila vitabu vingine kama Jasher vimefutwa sababu eti muandishi hajulikani?? Je huoni kuna siri inafichwa hapa.

Haya maswali nayohoji yana mashiko ndugu yangu ni vizuri uchukue muda wako utafiti uje na majibu kuliko kuishia kutoa kejeli.

Sasa hapo unasema WALIOANDIKA..... But hapo hapo humjui alieandika kitabu cha Mathayo does it make sense??

Hata manabii akina Jeremiah na Isaiah wanatambua hii kitu ya watu kuweka mikono kwenye maandiko:

Mfano nabii Jeremiah kwenye Jeremiah 8:8 anasema:

"'How can you say, "We are wise, for we have the law of the LORD," when actually the lying pen of the scribes has handled it falsely?"(Jeremiah 8:8)
 
Biblia ipi unayoongelea NIV au KJV?
Unaongelea septuagint au masoretic??
Unaposema muandishi wa Biblia mfano kitabu cha Mathayo ulichonukuu mpaka leo hajulikani?? Kama unamfahamu naomba ututajie then ndio tutajua alikua na hizo nguvu unazosema au lah.

Ni hivi mkuu imani ya ukristo ni ya ku reason sio ya kuburuzwa kama punda. Shida inakuja unapohoji unaonekana kama shetani fulani au umepungukiwa hekima ingawa kweli kuna hoja zina mashiko.

Sasa mfano Mtume Yuda kanakili mstari wa Kitabu cha Henoko ambacho Biblia haikitambui na inadai cha kishetani ndio maana kanisa ikakitenga Huoni kuna double standards??

Leo hii muandishi wa Mathayo mpaka Yohana hajulikani (kama unamfahamu tusaidie) lakini kwenye Bible kimeachwa ila vitabu vingine kama Jasher vimefutwa sababu eti muandishi hajulikani?? Je huoni kuna siri inafichwa hapa.

Haya maswali nayohoji yana mashiko ndugu yangu ni vizuri uchukue muda wako utafiti uje na majibu kuliko kuishia kutoa kejeli.

Sasa hapo unasema WALIOANDIKA..... But hapo hapo humjui alieandika kitabu cha Mathayo does it make sense??
Hivi hivyo vitabu vya Josher,Enoch NK havipo kwenye bibilia ya watu weusi(Ethiopian Orthodox Bible)?
 
Hivi hivyo vitabu vya Josher,Enoch NK havipo kwenye bibilia ya watu weusi(Ethiopian Orthodox Bible)?
Exactly lakini inahesabika sio mainstream Christianity yaani viko grouped kma pseudepigrapha yaani maandiko yenye SHAKA na POTOFU.
 
Exactly lakini inahesabika sio mainstream Christianity yaani viko grouped kma pseudepigrapha yaani maandiko yenye SHAKA na POTOFU.
Ni jambo la kutia shaka ikiwa Ethiopia walipata injili kabla ya rumi iweje ,wakoloni waje kutufundisha injili kuna vitu vinavyoonesha uwakala wao kwa shetani walivipunguza
 
Biblia ipi unayoongelea NIV au KJV?
Unaongelea septuagint au masoretic??
Unaposema muandishi wa Biblia mfano kitabu cha Mathayo ulichonukuu mpaka leo hajulikani?? Kama unamfahamu naomba ututajie then ndio tutajua alikua na hizo nguvu unazosema au lah.

Ni hivi mkuu imani ya ukristo ni ya ku reason sio ya kuburuzwa kama punda. Shida inakuja unapohoji unaonekana kama shetani fulani au umepungukiwa hekima ingawa kweli kuna hoja zina mashiko.

Sasa mfano Mtume Yuda kanakili mstari wa Kitabu cha Henoko ambacho Biblia haikitambui na inadai cha kishetani ndio maana kanisa ikakitenga Huoni kuna double standards??

Leo hii muandishi wa Mathayo mpaka Yohana hajulikani (kama unamfahamu tusaidie) lakini kwenye Bible kimeachwa ila vitabu vingine kama Jasher vimefutwa sababu eti muandishi hajulikani?? Je huoni kuna siri inafichwa hapa.

Haya maswali nayohoji yana mashiko ndugu yangu ni vizuri uchukue muda wako utafiti uje na majibu kuliko kuishia kutoa kejeli.

Sasa hapo unasema WALIOANDIKA..... But hapo hapo humjui alieandika kitabu cha Mathayo does it make sense??
Kuna watu wa imani niliwahoji juu ya hili suala, sasa hivi wananiona mimi nimepotoka
 
Ila kama upo Dini nyingine tuachie wenye Dini
kwahiyo mkuu unaamini dini usiyoijua? Yaani unatii tuu bila kuhoji uhalisia wa chochote usichoelewa??
Anyway Kwa maoni yako mkuu Biblia ipi ni halali NIV au KJV??
 
kama biblia imetungwa na mtu basi huyo mtu atakuwa sio mtu wa kawaida
ni kitabu kilichojaa hekima nguvu uponyaji
hakuna kitabu maarufu dunia zaid ya biblia
mimi huwa nasoma kila siku na kupata vitu vipya

tatizo imani ndio shida usipokuwa na iman utaona kama gazet tu
Ukienda library kuna vitabu vingi vya fani mbali mbali. Kuna vitabu vya Sheria, sociology, Psychology, research, education, engineering, mawasiliano, afya na udaktari, philosophy, uongozi, history, lugha, policies nk. Ni vingi na kila somo kuna vitengo vyenye upana wa kujisimamia na vina vitabu vingi na vingi isiyo na kifani.

Kuna maarifa na weledi mkubwa sana kwenye dunia hii. Watu wengi wameandika vitabu vingi na vyenye mashiko ya hali ya juu kulingana na somo linalofundishwa . Dunia imejaa vitabu na maarifa makubwa kuliko tunavyoona au tunavyofikiri.

Kwa aina ya watu wa nchi za magharibi na utamaduni wao wa kujibidisha kuandika, hawawezi kushindwa kuandika Bible. Maarifa ya biblia ni ya kawaida sana kwa sababu yamejaa history za jamii za watu ambazo ni rahisi kwa mtu mwenye kichwa cha akili. KINACHOTOFAUTISHA BIBLE NA VITABU VINGINE NI KULE KUPEWA HADHI YA UMUNGU. Hali hiyo kimekifanya kitabu hicho kionekane tofauti lakini si kweli kwa sababu hakuna panapojidhihirisha kuwa ni cha Mungu.
 
Habari za jioni wana JF mada ya leo pia ni sensitive kidogo maana inagusa imani za watu ila kutokana na kuwepo hitaji la kuweka rekodi sawa nimeona nilete uzi huu ili tujifunze zaidi. Na sababu kubwa ya kuleta uzi huu ni kutokana na mada nazoleta humu nyingi zinatumia pia vitabu nje ya biblia kama source ya taarifa na kumekuwa na wengi wanaokuja na hoja kwamba chochote kilicho nje ya biblia sio kweli yaani quran,midrash,tanakh/torah,zohar,apocrypha,Pseudipigrapha zote ni batili sasa ni kutokana na hoja hiyo imenipelekea kuandaa uzi huu hivyo tuusome kwa makini na tuujadili kwa ustaarabu tu yote kwa yote kujifunza. Nitaugawa uzi huu kwa sehemu mbili ili iwe rahisi kuusoma na ningependa kabla ya kuchangia uusome wote na kuuelewa. Karibuni
View attachment 830330

UTANGULIZI
1. Biblia ni mjumuiko wa vitabu vya manabii walivyoandika kuhifadhi matukio katika historia ya imani yao kwa Mungu na ilikusanywa katika karne ya 3 baada ya Yesu baada ya kuonekana vitabu vya kiimani viko vingi vinakinzana hivyo wakaamua wawe na kitabu kimoja cha kutumika na wote na ilikuwa katika kigiriki na kiebrania. Baada ya karne zaidi ya 10 kupita biblia ya mapema kabisa kutafsiriwa kuingia kwenye kilatin iliyokuwa lugha ya Roma, ilikuwa ''vulgate'' iliyotoholewa kutoka kiebrania na kigiriki kwenda kilatin na padre Jerome karne ya 14 ila tafsiri ya kiingereza ilikuwa king james version karne ya 15 ambayo hata biblia za kiswahili na lugha zingine maelfu zimetoholewa hapo na ambacho wengi hatujui ni kwamba vitabu ambavyo leo tunaviita apocrypha vilikuwepo kwenye KJV ya kwanza ila mataifa mengi yalipotafsiri hayakuvijumuisha hivyo vitabu 14!!! Na leo hii ukivitumia humu JF kujenga hoja utaambiwa ni vya kishetani wakati biblia ya kwanza ya english iliviweka??

Miaka mingi ikapita ndipo yakaja matoleo mengine tofauti ila kwa karne hii biblia inayotambulika kutumika dunia nzima ni NIV yaani New International Version ya 1973, ambayo ilikuja kufanya utafiti na kutumia vyanzo mbalimbali vya nyuma zaidi na kutengeneza tafsiri yake na muhimu hapa tufahamu NIV iligundua makosa kwenye KJV na ikafuta mistari hiyo kwa kigezo kwamba mistari hiyo haikuwepo kwenye vyanzo vya mwanzo ikimaanisha viliongezwa baadae sana. Baadhi ya mistari ilioongezwa na ambayo NIV imeifuta ama kutoitambua Ni Marko 11:26, 15:28,9:44,9:46 Mathayo 23:14,18:11,17:21, Luka 17:36 Yohana 5:3-4, Matendo 8:37 n.k kwa uchache wake ila mingi zaidi iligundulika haikuepo kwenye vyanzo vya mwanzoni kabisa na kwamba vimeongezwa kinyemela.

Simply ikimaanisha biblia ya kiswahili tunayotumia hii ya chama cha biblia iliyotokana na KJV tumepotoshwa?? Je wakristo tumeambiwa haya kanisani?

Je nani mkweli kati ya KJV na NIV??
View attachment 830331
VITABU VILIVYOPUNGUZWA
Baada ya biblia ya nwanzoni kabisa ya kilatin kuwa na vitabu zaidi ya 76 na version zingine hadi 84 kuna vitabu vilitolewa na kina Jerome kwa sababu mbalimbali ikiwemo kughushiwa majina, kutovuviwa na Roho mtakatifu, kukinzana na vitabu vingine vya Biblia,kuandikwa na manabii wa uongo,utata wa maandiko n.k na vitabu hivyo ni kama 4 Maccabees, Assumption of Moses, Ethiopic Book of Enoch (1 Enoch), Slavonic Second Book of Enoch,Book of Jubilees,3 Baruch, Letter of Aristeas,Life of Adam and Eve, Ascension of Isaiah, Psalms of Solomon, Sibylline Oracles, 2 Baruch,Testaments of the Twelve Patriarchs na vinginevyo na hii ndio kitovu cha uzi huu embu basi tuchambue kwa pamoja.
View attachment 830333

TATIZO LA UANDISHI
Kuna hoja zilitolewa kwamba hivi vitabu vilivyoachwa kwenye biblia yaani Pseudipigrapha na Apocrypha mfano book of enoch, Book of Adam & Eve n.k kwamba vilitolewa kwenye biblia sababu kuna utata juu ya waandishi na kwamba kurasa zingine ziliongezwa baadae.... Ila leo hii wanatheolojia wote duniani wanakubali kuwa biblia bado ina pseudipigraphi nyingi mfano Isaya iliandikwa karne 8 kabla ya kristo yaani sura 1-39, ila kipande kuanzia sura 40-55 iliandikwa na mtu ambaye hajatambuliwa mpaka leo huko babeli na sura 56 mpaka 66 imegundulika na wanatheolojia dunia nzima kuwa ziliongezwa baadae yaani miaka mia kadhaa tokea isaya akiandike!!!

Hata jeremia kuanzia sura ya 26 iliongezwa miaka mamia baadae!! Hivyo swali la kujiuliza kwanini basi vitabu vingine vilitolewa kwa hoja hii ilihali biblia bado ina vitabu vyenye kasoro zilezile?? Mfano mingine ni waebrania, Wimbo ulio bora vyote vina utata wa uandishi na mikono zaidi ya miwili imehusika kwa gap la miaka zaidi ya 100!! Je sababu ya kupunguza vitabu vingine kwa kisingizio hiki ni halali au kuna mengine tunafichwa???
Kitendo cha Bible kuitwa kitabu kitakatifu cha Mungu au kitabu chochote haimaanishi ni cha Mungu. Kuingiza neno "Mungu" au "Yesu" au "Roho mtakatifu" haimaanishi kinakuwa cha Mungu. Kitabu chochote kinaweza kubandikwa kitabu cha Mungu, mtu yeyote anaweza kukiita kitu chochote kuwa ni cha Mungu.

Udhaifu wa binadamu katika kuumbwa kwake ni kuwa maarifa ya binadamu hutokana na kujifunza katika mazingira yake. Mtu mmoja au kundi la watu laweza kufundisha watu wengine mfumo fulani wa maisha na ikafanya kuwa ndio mfumo sahihi.

Hoja hiyo huwa inawahiwa na wafia imani au watumwa wa dini kuwa ni Mungu anayefanya hivo au yeye ndo amesema au yeye ndo kasimamia uandishi. Kwa vile binadamu hujifunza kwa milango yake mitano ya fahamu, akisikia au kuona/kusoma au kuhisi maumivu au furaha na kuyaita ni ya kimungu ataelewa hivo.

Kwa mantiki hiyo, kinachojadiliwa kuhusu vitabu vya biblia, tunajadili mafundisho au taarifa tulizopewa au kufundishwa kwa kusoma au kusikiliza. Biblia ipo na kuna tofauti za biblia lakini inawezekana hakuna hata kimoja kilichowahi kuwepo na maisha yakaendelea .

Ebu chunguza hili jambo dogo la mfano, harafu jiulize. Tumefundishwa symbol au alama "a", fanya kuisoma/kuitamka. Ebu fikiria, hivi kuna uhusiano wowote kati ya hiyo alama "a" na sauti uliyoitoa wakati unasoma?
Je, mtu ambaye hakukulia au kufundishwa hizi Roman alphabets hatamki huyo herufi ? Fikiria tu. Je unadhani watu wa jamii ya China, uarabuni na Korea kwa mfano ambao hawakutawaliwa, kuathiriwa au kufundishwa hizi Roman alphabets, kwa mfano wetu "a" hawaitamki? Yaani hakuna sauti "a" kwenye lugha zao? Jibu ni kuwa sauti hiyo ipo, ila haiandikwi hivo. Kwa hiyo ni mafundisho, ni mapokeo ya jamii ndiyo humtrngeneza binadamu alivyo.

Kwa maana hiyo, kama sauti tu ya herufi fulani kama "a" tunaamini baada ya kufundishwa kuwa inatamkika hivyo, ni rahisi kutuaminisha baada ya kutufundisha kuwa kitabu fulani na mistari yake ni vitakatifu au vya ki-Mungu labda na vingine si vya ki-Mungu. Na tukapata shida sana na kuona kuna agenda iliyopo. Hii ni kwa sababu ya yale madhaifu ya binadamu katika kutengeneza.

Na kibaya zaidi, maarifa ya awali huonekana kweli kuliko yanayofuata, ndo maana watu wanahamaki watu wakisema kuna shida au uongo au changamoto kwenye vitabu vilivyoitwa vya ki-Mungu.

Kunaweza kukawa na uongo mkubwa kwenye vitabu hivi viwili vya imani kuliko uongo mwingine kiimani duniani. Mfano, siku za hivi karibuni kuna kiongozi mkubwa wa kiimani duniani alisikika akisema kuwa hadithi ya Eden juu ya Adam and Eve ni story ya kutungwa na haina ukweli. Sasa jiulize, yule kiongozi ndo wenye hii Bible na ndo wenye ukristo na wanajua ndani nje ya hii imani, sasa kama Adam and Eve ni fake story unadhani kuna maandishi yoyote kwenye Bible yatakayofuata yakiwa na ukweli? Utatoka wapi wakati kizazi cha Adam and Eve hakina ukweli wowote!? Na ndo maana kiongozi huyo huyo akaja na hoja pia kuwa hata moto wa milele wa jehanamu haupo.

Kwa kumrejelea huyo kiongozi na ambaye ni mweledi mkubwa wa biblia na mambo ya imani, maana yake biblia ina uongo mwingi. Wanafahamu uongo uliomo kwa wao walishiriki kujumuisha biblia. Wanafahamu malengo ya kufanya hivo, wameshafanikiwa lkn wanaona binadamu bado ametopea kwenye uongo na ujinga waliotengeneza. Sasa wanakuja hadharani kutaka kumuondoa kwenye dimbwi la uongo??

Jiulize, kama imani, dini na vitabu vyake vina uwezo na nguvu zilizotamalaki, kwa nini hawawekezi kwenye vitabu hivyo? Wako busy na elimu, wako busy na nguvu za kijeshi, wako busy na science and technology, wako busy na kwenda kwenye sayari nyingine, wako busy kutafuta utajiri na Mali kwa ajili ya vizazi vyao, wako busy kuhakikisha wanatawala dunia.
 
Back
Top Bottom