Kaka naomba utupe jina la forwader unaetumia, siku ngapi mzigo unafika bongo na kama kuna issue ya kodi TRA.Karibu sana mkuu
Ulichokiandika si kweli bwana mdogo nimeshanunua simu mara nyingi tu ebay, ni kweli hiyo ni bei ya BID PRICE lakini naona hauelewi maana ya BID PRICE kama unaelewa maana ya BID PRICE basi nasikitika kuwa macho yako yameanza kufa ukiwa bado kijana mdogo, Angalia vizuri picha hiyo utaona kuwa hiyo BID hapo ni ended kwa price ya dollar 44 $ maana yake hiyo simu imenunuliwa kwa 44 $ ambayo ndiyo selling price, simu za 105k zipo nyingi tu.Bwana mdogo uliyeweka andikk nahisi hujawahi fanya manunuzi ebay hzo bei za BID price ni kwa ajili ya kutoa/kucalculate SELLING PRICE ya bidhaa husika ..... hakuna iphone 6 ya 105k ebay mkuu tafuta mfano/specimen wenye BUY NOW PRICE tuone
Kaka vipi, mwongozo tafadhali.Ulichokiandika si kweli bwana mdogo nimeshanunua simu mara nyingi tu ebay, ni kweli hiyo ni bei ya BID PRICE lakini naona hauelewi maana ya BID PRICE kama unaelewa maana ya BID PRICE basi nasikitika kuwa macho yako yameanza kufa ukiwa bado kijana mdogo, Angalia vizuri picha hiyo utaona kuwa hiyo BID hapo ni ended kwa price ya dollar 44 $ maana yake hiyo simu imenunuliwa kwa 44 $ ambayo ndiyo selling price, simu za 105k zipo nyingi tu.
Akikujibu nitag pleaseKaka vipi, mwongozo tafadhali.
Kujua namna bora ya kusafirisha kwa bei nafuu na pia kama Tra inahusika pindi mzigo ukifika, na wanakata vipi makato yao..
Naomba connection ya agentSiyo lazima utumie forwading company kuna agent wanaotuma vitu moja kwa moja kutoka USA na UK tena kwa bei nafuu tu, i can prove it to you, pia usidanganye umma kuwa vitu vya marekani ni ghali kuliko huku bongo sababu hata vinavyouzwa huku bongo vinatoka hukohuko majuu.
Hii uzi ni wa muda ila ngoja niweke tu maoni.Ulichokiandika si kweli bwana mdogo nimeshanunua simu mara nyingi tu ebay, ni kweli hiyo ni bei ya BID PRICE lakini naona hauelewi maana ya BID PRICE kama unaelewa maana ya BID PRICE basi nasikitika kuwa macho yako yameanza kufa ukiwa bado kijana mdogo, Angalia vizuri picha hiyo utaona kuwa hiyo BID hapo ni ended kwa price ya dollar 44 $ maana yake hiyo simu imenunuliwa kwa 44 $ ambayo ndiyo selling price, simu za 105k zipo nyingi tu.
Nadhani ubishi wa bei ulikwisha swali ni kwamba mnazifikishaje TZ? Hilo swali kila Moja wenu analikwepa. Wadau wameuliza lakini watu wako kimya.Hii uzi ni wa muda ila ngoja niweke tu maoni.
EBAY bidhaa zinazouzwa bei rahisi sana sana ni simu na FOKOFU ameelezea zaid simu zenye matatizo na kwa ebay kupata simu hzo ni rahisi tena ukiwa mjanja unapata kwa bei rahisi sana mm nilinunua Samsung s7 edge zilikuwa 6 kwa $158 baada ya kushinda kwenye Auction ila zingine zilikuwa na tatizo kdg ya network na nyingne ni crake ndogo sana na nilikuja kuziuza nikapata 50k kwa kila simu moja kama faida.
Ila ukitaka upate kwa bei rahisi lazma address uweke ya USA ndio zitakuja deals mpaka utashangaa tena zile zinazouzwa kwa mafungu kama wewe ni fundi ndio chap.
Now npo kwenye process za kutafuta agent wa korea kusini coz samsung korea ni cheap sana kulinganisha na nchi yoyote hile.
NB:
Ukitaka faida ya chap na unamtaji mdogo cheza na platform za kichina kama alibaba uchukue simu za bei ndogo zina wateja wengi sana na faida kama huna tamaa hukosi 40,000 ila kama unataka faida kubwa utapata mpaka 70,000 kwa simu moja na zinatoka chap sana.
Natamani ungeendelea kufafanua zaid mkuuHii uzi ni wa muda ila ngoja niweke tu maoni.
EBAY bidhaa zinazouzwa bei rahisi sana sana ni simu na FOKOFU ameelezea zaid simu zenye matatizo na kwa ebay kupata simu hzo ni rahisi tena ukiwa mjanja unapata kwa bei rahisi sana mm nilinunua Samsung s7 edge zilikuwa 6 kwa $158 baada ya kushinda kwenye Auction ila zingine zilikuwa na tatizo kdg ya network na nyingne ni crake ndogo sana na nilikuja kuziuza nikapata 50k kwa kila simu moja kama faida.
Ila ukitaka upate kwa bei rahisi lazma address uweke ya USA ndio zitakuja deals mpaka utashangaa tena zile zinazouzwa kwa mafungu kama wewe ni fundi ndio chap.
Now npo kwenye process za kutafuta agent wa korea kusini coz samsung korea ni cheap sana kulinganisha na nchi yoyote hile.
NB:
Ukitaka faida ya chap na unamtaji mdogo cheza na platform za kichina kama alibaba uchukue simu za bei ndogo zina wateja wengi sana na faida kama huna tamaa hukosi 40,000 ila kama unataka faida kubwa utapata mpaka 70,000 kwa simu moja na zinatoka chap sana.
mjibu hivi Dar es Salaam PortMchina kaniuliza hivi👇
Can I know your supplier's port?
naomba kujua pale bandarini Supplier port ndo nani?
Kuhusu kufikisha dar mm natumia MYUS account wanakupa address ya USA alaf unaiandika kwenye address space Ebay then supplier atakuwa anakutumia humo ikiingia utaona kwenye account yako ndio utaanza safar mpya kuileta dar ila kama ndio unaanza biashara na mtaji sio rafiki nakushauri sana tumia makampun ya kichinaNadhani ubishi wa bei ulikwisha swali ni kwamba mnazifikishaje TZ? Hilo swali kila Moja wenu analikwepa. Wadau wameuliza lakini watu wako kimya.
Jaribu kuongea na Shipping Agents waliopo Bongo kama silent Ocean, Shamwaa cargo watakupa address ya china then hyo address ndio unawapa wachina.Mchina kaniuliza hivi[emoji116]
Can I know your supplier's port?
naomba kujua pale bandarini Supplier port ndo nani?
Nahitaji vitu binafsi siyo vya biashara. MYUS hawa nawapata je?Kuhusu kufikisha dar mm natumia MYUS account wanakupa address ya USA alaf unaiandika kwenye address space Ebay then supplier atakuwa anakutumia humo ikiingia utaona kwenye account yako ndio utaanza safar mpya kuileta dar ila kama ndio unaanza biashara na mtaji sio rafiki nakushauri sana tumia makampun ya kichina
Acha uvivu search mtandaon connections za wakina dada mnajua kuzisaka ila vitu vya maana mpaka muwekewe full linkNahitaji vitu binafsi siyo vya biashara. MYUS hawa nawapata je?
Acha ukum* basi hukulazimishwa kujibu matako ya bb yakoAcha uvivu search mtandaon connections za wakina dada mnajua kuzisaka ila vitu vya maana mpaka muwekewe full link
Kama hujui ulikua huna sababu ya kumjibu hivi mdau unakausha kama mwanaume sio vimaneno kama binti, wabongo wachawi sana sasa ukimpa link utakufa au utapungukiwa nini,Acha uvivu search mtandaon connections za wakina dada mnajua kuzisaka ila vitu vya maana mpaka muwekewe full link
Mbona hio pesa ni bila shipping au.?SIRI ILIYOJIFICHA KWENYE MTANDAO WA EBAY NA JINSI YA KUTUMIA EBAY KUTENGENEZA PESA.
Ebay?
Ndiyo ni Ebay!!!
Natumai umeshawahi kusikia au kukutana na kitu
kinaitwa EBAY katika makala hii nitakupa siri
iliyojificha kwenye mtandao wa EBAY na
nitakufundisha jinsi ya kutumia EBAY kutengeneza
pesa na jinsi gani unaweza ukapata bidhaa kama
simu na nyinginezo za matumizi binafsi kwa bei
rahisi
Ebay ni nini?
Ebay ni mtandao wa kimarekani [emoji1258] unaokutanisha
wauzaji na wanunuzi wa bidhaa mbalimbali kama
simu,laptop,saa,nguo,viatu na n.k
Ni mtandao ambao unamuwezesha mnunuzi kuweza
kununua bidhaa mtandaoni bila ya kuonana ana kwa
ana na muuzaji.
[emoji383]JINSI YA KUTUMIA EBAY KUTENGENEZA PESA [emoji383]
1. kwa kununua kwa bei ndogo kutoka USA kisha
kuja kuuza kwa bei kubwa huku bongo.
Katika mtandao wa EBAY unapata bidhaa kama simu
kwa bei rahisi sana na unachofanya ni kununua
kutoka ebay na kuja kuziuza huku bongo kama
unavyoona hapo kwenye picha IPHONE 6 PLAIN
unapata kwa 105,000/= so unaweza kununua kwa
105,000 na kuja kuziuza kwa 180,000/= mpaka
200,000/= hapo unatengeneza faida ya kati ya
75,000/= mpaka 95,000/=
2. HII INA FAIDA ZAIDI ( kwa kununua simu mbovu na kuzitengeneza) INAHITAJI MZOEFU
Hii ni njia ninayoitumia kutengeneza faida kubwa
huwa nanunua simu zenye shida ndogo kama
zilizopasuka vioo na shida nyingine ndogo ndogo
ambazo zinatengenezeka kama mnavyojua wenzetu
waliopo majuu huwa hawatumii kitu mpaka kichoke
sana na wengi wao huwa hawamini kupeleka simu
kwa fundi mfano simu ikidondoka na kuweka
kampasuko kidogo kwa mzungu hiyo haifai tena
huwa wanaziuza kupitia mtandao wa EBAY na huwa
zinauzwa kwa bei ndogo sana mfano angalia picha
za IPHONE 8 ambayo naweza kununua kwa 200,000
kama mnavyoona kwenye picha namba 3 na 4 na
nikairekebisha kioo ambacho bei haizidi 40,000
mimi nakuja kuiuza kuanzia 300,000/= mpaka
400,000/= na kwa jinsi inavyoonekana kwenye picha
naweza nikaiuza hivyo hivyo bila ya kuirekebisha
maana crack yake ni ndogo sana.
[emoji3591] NIMETUMIA MFANO WA SIMU MAANA NI RAHISI
ILA EBAY UNAWEZA UKANUNUA CHOCHOTE VITU
KAMA LAPTOP, SAA,NGUO, PLAYSTATION,
PRINTER,TV N.K
[emoji3591] PIA NIMETUMIA EBAY MAANA NI MTANDAO
RAHISI KUTUMIA LAKINI UNAWEZA UKATUMIA
MITANDAO KAMA ALIEXPRESS, AMAZON, BESTBUY,
WALMART, SWAPPA, ALIBABA NA N.K
[emoji3591] NAJUA BADO UNA MASWALI MENGI KICHWANI
1.Nitawezaje kufanya malipo?
2. Nitawezaje kuisafirisha kutoka marekani?
3. Siwezi kutapeliwa?
4. Mzigo unachukua siku ngapi kufika?
5. Jinsi ya kujaza anuani yangu?
6. Muuzaji hatumi mzigo bongo?
7. Bei ya kusafirisha kubwa?
SIWEZI KUANDIKA KILA KITU HUMU KWA MSAADA
ZAIDI UNAWEZA UKAKOMENTI, UKANICHEKI INBOX
NITAKUFUNDISHA STEP BY STEP PIA USISAHAU
KULIKE PAGE YANGU ILI USIKOSE MAKALA NYINGI
ZAIDI
KWA MAWASILIANO ZAIDI
[emoji338] 0777821974 (call & whatsapp)m