Siri iliyojificha kwenye mtandao wa Ebay na jinsi ya kutumia Ebay kutengeneza pesa

Siri iliyojificha kwenye mtandao wa Ebay na jinsi ya kutumia Ebay kutengeneza pesa

Kwanza ebay vitu ni ghali sana

Pili vitu vingi havitumwi Africa hadi uwe na shipping forward agents wa marekani

Pia vinachukuaga mda mrefu kufika bongo compare to china to tz

Pia shipping cost ni ghali mnoo

Hapo bado kodi kibongobongo
Kodi kinongo bongo Huwa wanakata asilimia ngap mkuu
 
Hii uzi ni wa muda ila ngoja niweke tu maoni.
EBAY bidhaa zinazouzwa bei rahisi sana sana ni simu na FOKOFU ameelezea zaid simu zenye matatizo na kwa ebay kupata simu hzo ni rahisi tena ukiwa mjanja unapata kwa bei rahisi sana mm nilinunua Samsung s7 edge zilikuwa 6 kwa $158 baada ya kushinda kwenye Auction ila zingine zilikuwa na tatizo kdg ya network na nyingne ni crake ndogo sana na nilikuja kuziuza nikapata 50k kwa kila simu moja kama faida.
Ila ukitaka upate kwa bei rahisi lazma address uweke ya USA ndio zitakuja deals mpaka utashangaa tena zile zinazouzwa kwa mafungu kama wewe ni fundi ndio chap.
Now npo kwenye process za kutafuta agent wa korea kusini coz samsung korea ni cheap sana kulinganisha na nchi yoyote hile.
NB:
Ukitaka faida ya chap na unamtaji mdogo cheza na platform za kichina kama alibaba uchukue simu za bei ndogo zina wateja wengi sana na faida kama huna tamaa hukosi 40,000 ila kama unataka faida kubwa utapata mpaka 70,000 kwa simu moja na zinatoka chap sana.
Mkuu Einsten mimi nikushukuru sana kwa kutoa maelezo mazuri uliyoyaongea nakuunga mkono kwa asilimia 100% shida ninayoiyona baadhi yetu tuna mawazo hasi sana nilitoa huu uzi kwa lengo la kusaidia wanajamvi lakn baadhi wamekuwa wakitoa mawazo hasi bila ya kufanya utafiti na wengi wetu tunamawazo ya kutapeliwa mm sijaomba hela ya mtu nimetoa uzoefu wangu tu, hv mtu anakutapeli vipi EBAY wakati ni mtandao upo wordwide ni wewe tu kuingia na kufanya utafiti. Shida yetu ni wavivu kufuatilia mambo ila tunaleta ubishi ndo maana nikautelekeza huu uzi.

NB:kama kitu haukifahamu fanya utafiti au uliza kwanza
Pia kama unaona haiwezekani kwako usidhani kwa wengine haiwezekani.
 
Mkuu Einsten mimi nikushukuru sana kwa kutoa maelezo mazuri uliyoyaongea nakuunga mkono kwa asilimia 100% shida ninayoiyona baadhi yetu tuna mawazo hasi sana nilitoa huu uzi kwa lengo la kusaidia wanajamvi lakn baadhi wamekuwa wakitoa mawazo hasi bila ya kufanya utafiti na wengi wetu tunamawazo ya kutapeliwa mm sijaomba hela ya mtu nimetoa uzoefu wangu tu, hv mtu anakutapeli vipi EBAY wakati ni mtandao upo wordwide ni wewe tu kuingia na kufanya utafiti. Shida yetu ni wavivu kufuatilia mambo ila tunaleta ubishi ndo maana nikautelekeza huu uzi.

NB:kama kitu haukifahamu fanya utafiti au uliza kwanza
Pia kama unaona haiwezekani kwako usidhani kwa wengine haiwezekani.
Tunashukuru Kwa Uzi huu
 
Mkuuu ufafanuzi please nimejisajiri ila wanahitaji fund
Lazima udeposit 5$ ili kuactivate account yako lakini haitakatwa utaikuta kwenye account yako, i mean utaitumia wakat wa kusafirisha mzigo
 
Back
Top Bottom