Tetesi: Siri imefichuka CUF

So
Source?
 
Porojo za vijiweni!!
 
Mradi mwingine wa CCM uliofeli. Hongera kwa kazi nzuri ya propaganda mfu.
 
Mimi nahisi ufike Mda Admin afanye kazi ya kupima watu akili kabla hawajaruhusiwa kua Member, maana kuna watu kupoteza wenzao mda tuu kwa kusoma umbumbu
 
Huyu lipumba kitu cha kwanza akirudi Cuf ni kufunja ukawa.maana sioni sababu inayomrudisha .kwani Sababu zilizomtoa bado zipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…