Tetesi: Siri imefichuka CUF

Tetesi: Siri imefichuka CUF

Wamiliki wa JF,tunaomba muanzishe jukwaa la udaku,fitna na Majungu watu wawe wanaenda kutoa stress zao huko!Hii sasa ni fedheha
 
Lipumba kichwani hana Taaluma ni profeselii yupo Kama profesa maji marefu , Dili zake za siasa ni za kishamba sana , kageuka kuwa Dalali wa siasa anakula Pesa Kwa kazi ya kuvuruga Ukawa , njaa itamkondesha Safari hii , Lizabon kamgeuza mladi anamchochea wanachukua Pesa za CCM Kisha wanagawana
Mbona maalim alikula 3bilioni za richmonduli hamuziongelei?
 
upload_2016-8-22_11-19-3.png

Kweli kuna demokrasia ndani ya CUF!!!!
 
Lipumba katumwa na CCM. Na hilo linajulikana.

Lakini kwakuwa inasemekana kuwa IQ zetu watz zipo chini ya kiwango, basi wapo watakao amini unachozusha wewe.
Kweli akili zako ziko chini ya Kiwango
 
Kisa cha Prof Ibrahim Haruna Lipumba kutaka kurejelea kiti chake cuf imefichuka. Maalim Seif alipanga kumfuta kabisa uanachama wa chama icho. Ikumbukwe kuwa Prof Ibrahim Lipumba alitangaza kujiuzulu uwenyekiti wa cuf mwaka Jana 2015 lkn aliamua kubaki mwanachama wa kawaida lakini gafla chadema wakashtuka baada ya kugundua kuwa Lipumba bado ananguvu ndani ya chama icho kitendo ambacho kitawazuia kukitumia chama icho ndipo walipomuuzia wazo Maalim Seif kumtimua ktk chama icho Prof Lipumba na Maalim Seif kiafiki wazo hilo ndipo mpango ukaanza kusukwa na ustadi mkubwa na kukabidhiwa kijana machachari wa chama icho Julius Sunday Mtatiro kuwashawishi wanachama wa Cuf bara huku akihadiwa kusaidiwa kifedha kuukwaa uenyekiti cuf na kuna tetesi kuwa alipewa gari na kiongozi mpya wa Cdm. Baada ya Prof Lipumba kunasa mkakati huo ndipo alipoamua kutaka kurejea ktk nafasi yake ili kupimana na nguvu na Maalim Seif. Tetesi zilizopatikana usiku huu zinadai Julius Mtatiro anajiaandaa kuhamia Cdm baada ya mapinduzi yake dhidi ya Lipumba kushindwa kufanikiwa jambo ambalo linamweka ktk wkt mgumu kisiasa ktk chama icho na uwenda akatimuliwa uanachama ndani ya Cuf.
MTATIRO AENDE KWA WENZIE AICHE CUF SALAMA
 
Lipumba katumwa na CCM. Na hilo linajulikana.

Lakini kwakuwa inasemekana kuwa IQ zetu watz zipo chini ya kiwango, basi wapo watakao amini unachozusha wewe.
Una ushahidi wa kuwa Prof. katumwa na CCM?
 
Mtatiro wa hovyo kabisa, watakiwa wamepooza njaa zake maana huku mitandaoni ni kama vuvuzela la Lowassa.
 
Kisa cha Prof Ibrahim Haruna Lipumba kutaka kurejelea kiti chake cuf imefichuka. Maalim Seif alipanga kumfuta kabisa uanachama wa chama icho. Ikumbukwe kuwa Prof Ibrahim Lipumba alitangaza kujiuzulu uwenyekiti wa cuf mwaka Jana 2015 lkn aliamua kubaki mwanachama wa kawaida lakini gafla chadema wakashtuka baada ya kugundua kuwa Lipumba bado ananguvu ndani ya chama icho kitendo ambacho kitawazuia kukitumia chama icho ndipo walipomuuzia wazo Maalim Seif kumtimua ktk chama icho Prof Lipumba na Maalim Seif kiafiki wazo hilo ndipo mpango ukaanza kusukwa na ustadi mkubwa na kukabidhiwa kijana machachari wa chama icho Julius Sunday Mtatiro kuwashawishi wanachama wa Cuf bara huku akihadiwa kusaidiwa kifedha kuukwaa uenyekiti cuf na kuna tetesi kuwa alipewa gari na kiongozi mpya wa Cdm. Baada ya Prof Lipumba kunasa mkakati huo ndipo alipoamua kutaka kurejea ktk nafasi yake ili kupimana na nguvu na Maalim Seif. Tetesi zilizopatikana usiku huu zinadai Julius Mtatiro anajiaandaa kuhamia Cdm baada ya mapinduzi yake dhidi ya Lipumba kushindwa kufanikiwa jambo ambalo linamweka ktk wkt mgumu kisiasa ktk chama icho na uwenda akatimuliwa uanachama ndani ya Cuf.

Ama kweli Tanzania itakuwa nchi ya viwanda , nakiona kiwanda kikuuuubwa cha uongo, umbea na uzushi hapo Lumumba katika ubora wake.
 
Kisa cha Prof Ibrahim Haruna Lipumba kutaka kurejelea kiti chake cuf imefichuka. Maalim Seif alipanga kumfuta kabisa uanachama wa chama icho. Ikumbukwe kuwa Prof Ibrahim Lipumba alitangaza kujiuzulu uwenyekiti wa cuf mwaka Jana 2015 lkn aliamua kubaki mwanachama wa kawaida lakini gafla chadema wakashtuka baada ya kugundua kuwa Lipumba bado ananguvu ndani ya chama icho kitendo ambacho kitawazuia kukitumia chama icho ndipo walipomuuzia wazo Maalim Seif kumtimua ktk chama icho Prof Lipumba na Maalim Seif kiafiki wazo hilo ndipo mpango ukaanza kusukwa na ustadi mkubwa na kukabidhiwa kijana machachari wa chama icho Julius Sunday Mtatiro kuwashawishi wanachama wa Cuf bara huku akihadiwa kusaidiwa kifedha kuukwaa uenyekiti cuf na kuna tetesi kuwa alipewa gari na kiongozi mpya wa Cdm. Baada ya Prof Lipumba kunasa mkakati huo ndipo alipoamua kutaka kurejea ktk nafasi yake ili kupimana na nguvu na Maalim Seif. Tetesi zilizopatikana usiku huu zinadai Julius Mtatiro anajiaandaa kuhamia Cdm baada ya mapinduzi yake dhidi ya Lipumba kushindwa kufanikiwa jambo ambalo linamweka ktk wkt mgumu kisiasa ktk chama icho na uwenda akatimuliwa uanachama ndani ya Cuf.
Lipumba ALISHAJIUZURU fullstop
 
Nimeshuhudia mkutano ule nikiwa na kazi maalum pale hatua ya kwanza hadi ya mwisho

Lipumba aliaandaa kigenge kwa ajili ya kufanya fujo kwenye mkutano.
 
Nimeshuhudia mkutano ule nikiwa na kazi maalum pale hatua ya kwanza hadi ya mwisho

Lipumba aliaandaa kigenge kwa ajili ya kufanya fujo kwenye mkutano.
Wee chadema ulifuata nini mkutano wa ndani wa Cuf? Au nyie ndiyo Redbridge mliyopelekwa kumlinda Mtatiro?
 
Mbona maalim alikula 3bilioni za richmonduli hamuziongelei?
Richmond ni ya kikwete sasa Kama alikula za kikwete angekubali Lipumba arejeshe Pumba , Lowasa Pesa hiyo kumbuka nyie mna serikali Pesa mnapata Hazina mkitaka Pesa popote mnapata mda wowote, hata mkutano Mkuu wa CCM michota mkaufanya japo CCM makao makuu walikuwa wamechalala, Usikariri propaganda za February yy analipwa kwa kubambikia Ukawa Uongo .
 
Hao ni CHADEMA ndo wanatapatapa, CUF wenyewe wanamjua Lipumba na siyo vinginevyo
Nani anamjua Lipumba zaidi ya wale ambao kawagawia Pesa alizopewa na CCM kwa ajili ya kwenda kuvuruga CUF ?
 
Nimeshuhudia mkutano ule nikiwa na kazi maalum pale hatua ya kwanza hadi ya mwisho

Lipumba aliaandaa kigenge kwa ajili ya kufanya fujo kwenye mkutano.
Njaa inamsumbua Lipumba ile Pesa milion 1.5 Dola alipewa na Membe akawakacha wenzake imeisha baada ya kununua nyumba Rwanda na ingine akala na michepuko utitiri imekwisha ndipo kabuni Mladi mpya kapeleka CCM wameamua kumfadhili sasa , madalali wa siasa wanakula Pesa nyingi kupitia mgongo wa Lipumba .
 
Back
Top Bottom