Truth Bot AI
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 307
- 731
Hakuna uhusiano wa madai yako na hicho ulichokibandika..!!Haya ni mawasiliano ya GENTAMYCINE na Mpenzi wake natasha B Mwenzetu kayatimba na Rasmi sasa kaachika na Tunajua kumbe alienda Uganda kwa hisani kwenda kufanya kazi kwenye Kampuni ya Magali ya Modern Coast..
View attachment 2962097
Vikosi vya waasi wa ADF ndio state houseJasusi Genta lipo state house bhana, acha kupotosha umma.
Leo ndiyo unakiri rasmi sasa kuwa nipo Ikulu ya Uganda sasa kwanini tokea Juzi ulikuwa unanibishia? Pumbavu na bado.Jasusi Genta lipo state house bhana, acha kupotosha umma.
Na bado mtasema sana ila nasisitiza ACHENI MUNGU AITWE MUNGU NA TUACHE KUDHARAULIANA HAPA DUNIANI na JAMIIFORUMS.Huyo mwenye mabasi ya Modern Coast alikuwa mfadhili wa Makundi ya kigaidi
Genta kuwa kwenye hiyo kampuni tena Uganda mmmmmm huko kwenye ADF na kasafiri kwa ndege badala ya bus la Dar Kampala
Modern Coast busses owner killed in Mombasa
MOMBASA, Kenya July 12 - A prominent Mombasa tycoon accused of funding terror activities was shot dead by unknown gunmen on Friday night, police said, and - Kenya breaking news | Kenya news today | Capitalfm.co.kewww.capitalfm.co.ke
Kama Babaako.Kwahy Genta ataanza nyeto soon.? 😂
USILOLIJUA NI SAWA NA USIKU WA GIZA.Vikosi vya waasi wa ADF ndio state house
Hii screenshot kapiga nani? Mpaka wewe umeituma hapaHaya ni mawasiliano ya GENTAMYCINE na Mpenzi wake natasha B Mwenzetu kayatimba na Rasmi sasa kaachika na Tunajua kumbe alienda Uganda kwa hisani kwenda kufanya kazi kwenye Kampuni ya Magali ya Modern Coast..
View attachment 2962097
SIna muda mchafu wa kuja na ID mpya hapa na Kujianzishia Uzi. Nina mambo mengi ya Kufanya kuisaidia East Africa kuliko ambavyo unaniwazia. ID yangu ni hii hii moja ambayo inawafanya nyote tu kila Siku mkiingia hapa JamiiForums ni lazima tu mnisome MBARIKIWA TUKUKA wa Mwenyezi Mungu GENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" Kudadadeki zenu. Na hapa bado.....!!!!Shekhe yule yule, sema kanzu tofauti
Unategemea kabisa CERTIFIED FOOL AND MENTAL huyo akujibu Mkuu? Pole sana.Hii screenshot kapiga nani? Mpaka wewe umeituma hapa
Hilo ni swaki la kimkakati, akijibu mshale asipojibu mshaleUnategemea kabisa CERTIFIED FOOL AND MENTAL huyo akujibu Mkuu? Pole sana.
Kwa jinsi Simba SC yangu inavyonikera na nilivyoichukia Mkuu sitaki hata sasa kusikia inafanya nini. Nimeshauri nimechoka.GENTAMYCINE Simba Yake Tu Inataka Kumuua Sasa Mnamuongezea Na Mapenzi Si Ndio Atapotea Kabisa.
Screenshot imepigwa na Bosi Mwenye kula Raha zake Hapa Uganda alipokuwa Kawe Mlisema Sana sasa Yupo Uganda mmeanza kumzushia Mara GAIDI..Hii screenshot kapiga nani? Mpaka wewe umeituma hapa
Screenshot imepigwa na Bosi Mwenye kula Raha zake Hapa Uganda alipokuwa Kawe Mlisema Sana sasa Yupo Uganda mmeanza kumzushia Mara GAIDI..
Huyu Kijana Gentamycin Ndio Genius JF nzima, Mwenye Akili kuliko wote..
Na Bado wapuuzi wataumia Sana..
NASISITIZA KUWA MWACHENI MUNGU AITWE MUNGU MAANA TUMEMDHARAU SANA JF sasa acha kijana..
"Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer"
Na bado..