SIRI Imefichuka Gentamycin Kayatimba kwa Mpenzi wake Baada ya Kwenda Uganda na Kumbe ni Konda kwenye Magali ya Modern Coast

Huyo mwenye mabasi ya Modern Coast alikuwa mfadhili wa Makundi ya kigaidi
Genta kuwa kwenye hiyo kampuni tena Uganda mmmmmm huko kwenye ADF na kasafiri kwa ndege badala ya bus la Dar Kampala


 
Na bado mtasema sana ila nasisitiza ACHENI MUNGU AITWE MUNGU NA TUACHE KUDHARAULIANA HAPA DUNIANI na JAMIIFORUMS.
 
Shekhe yule yule, sema kanzu tofauti
SIna muda mchafu wa kuja na ID mpya hapa na Kujianzishia Uzi. Nina mambo mengi ya Kufanya kuisaidia East Africa kuliko ambavyo unaniwazia. ID yangu ni hii hii moja ambayo inawafanya nyote tu kila Siku mkiingia hapa JamiiForums ni lazima tu mnisome MBARIKIWA TUKUKA wa Mwenyezi Mungu GENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" Kudadadeki zenu. Na hapa bado.....!!!!
 
Hii screenshot kapiga nani? Mpaka wewe umeituma hapa
Screenshot imepigwa na Bosi Mwenye kula Raha zake Hapa Uganda alipokuwa Kawe Mlisema Sana sasa Yupo Uganda mmeanza kumzushia Mara GAIDI..

Huyu Kijana Gentamycin Ndio Genius JF nzima, Mwenye Akili kuliko wote..

Na Bado wapuuzi wataumia Sana..
NASISITIZA KUWA MWACHENI MUNGU AITWE MUNGU MAANA TUMEMDHARAU SANA JF sasa acha kijana..
"Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer"
Na bado..
 
Kumbe ni comedy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…