GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Asante sana Mkuu kwani umemaliza kila Kitu ila kwa huku Kunisifia Kwako nakuomba jiandae kuambiwa hii ID yako ni yangu Mimi GENTAMYCINE kwani hapa JamiiForums kuna baadhi ya Wapumbavu, Wanafiki, Wachawi na wenye Chuki pamoja na Wivu hawataki kuona Mimi naongelewa Positively au Kupendwa ila furaha yao ni kuona Nachukiwa.Screenshot imepigwa na Bosi Mwenye kula Raha zake Hapa Uganda alipokuwa Kawe Mlisema Sana sasa Yupo Uganda mmeanza kumzushia Mara GAIDI..
Huyu Kijana Gentamycin Ndio Genius JF nzima, Mwenye Akili kuliko wote..
Na Bado wapuuzi wataumia Sana..
NASISITIZA KUWA MWACHENI MUNGU AITWE MUNGU MAANA TUMEMDHARAU SANA JF sasa acha kijana..
"Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer"
Na bado..
Nasisitiza tena ACHENI MWENYEZI MUNGU AITWE MUNGU NA KAMWE MUNGU HUWA HAPANGIWI MUDA WA KUMBARIKI AMTAKAE.
Na bado Kudadadeki.....!!!