SIRI Imefichuka Gentamycin Kayatimba kwa Mpenzi wake Baada ya Kwenda Uganda na Kumbe ni Konda kwenye Magali ya Modern Coast

Asante sana Mkuu kwani umemaliza kila Kitu ila kwa huku Kunisifia Kwako nakuomba jiandae kuambiwa hii ID yako ni yangu Mimi GENTAMYCINE kwani hapa JamiiForums kuna baadhi ya Wapumbavu, Wanafiki, Wachawi na wenye Chuki pamoja na Wivu hawataki kuona Mimi naongelewa Positively au Kupendwa ila furaha yao ni kuona Nachukiwa.

Nasisitiza tena ACHENI MWENYEZI MUNGU AITWE MUNGU NA KAMWE MUNGU HUWA HAPANGIWI MUDA WA KUMBARIKI AMTAKAE.

Na bado Kudadadeki.....!!!
 
Kumbe ni comedy
Kwahiyo kabisa na Wewe ulimuanini huyu Damn Fool mleta huu Uzi? Hujui kuwa hapa JamiiForums ili ID yako ijulikane upesi ( trend ) ukimuanzishia tu Uzi MBARIKIWA TUKUKA GENTAMYCINE au ukimchokoza ili AJIBIZANE nawe basi automatically ID yako Members wanaijua haraka nawe pia unakuwa Maarufu?

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King.

Na bodo Kudadadeki.....!!!!
 
Jasusi uchwara, kwenye hoteli za kulindwa na wanajeshi..... hongera sana.
Nini kuwa katika Hoteli inayolindwa na Wanajeshi yaani hata Mimi pia hivi sasa nalindwa na Askari Jeshi tena kutoka SFC.

Na mtanikoma Pumbavu zenu.

Na bado......!!!
 
huyo GENTAMYCINE nani???
Ni.....

!. Purely Talented
2. Charismatic Fella
3. Game Changer
4. Entertainer

Mshindi pekee wa Tuzo ya Mwanachama Bora Jukwaa la Michezo ( Sports ) hapa JamiiForums na bado nitashinda tena.

Kudadadeki zenu.

Na bado.......!!
 
Hila wewe jamaa unapenda sifa sana kama mhaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…