GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mimi nilidhani Jezi Mbovu na Kituko FC hii tabia yenu ya Kipuuzi na Kishamba mmeiacha kumbe bado mpo nayo?
Na bahati karibia 75% ya Wachezaji wa Transit Camp ambao ni Wajeda ( Wanajeshi ) ni Wanangu ( Marafiki ) hivyo wamenipa Ukweli wote.
Kwanza 90% ya Wachezaji wa Kikosi cha Kwanza cha Transit Camp Jana hawakuwepo na wanatakiwa kuanza Pre Season yao Wiki ijayo kwa mujibu wa Mchezaji Mwenzao Mmoja Mwandamizi kabisa.
Na hata Mechi yenu Jezi Mbovu na Kituko FC na Wao jana hawakuitaka ila mliwabembeleza wakubali hivyo hivyo tu Kucheza nanyi huku mkiwopa na Pesa kidogo za Kuwalegeza zaidi ndipo Wakakubali na kuanza kuitana na walipoona hawatoshi wakawachomekea na Vijana wengine wa Kawe na Kutimia Wachezaji 11 na Kucheza.
Na kituko zaidi kulikuwa ni Mmoja wa Viongozi Waandamizi kabisa wa Jezi Mbovu na Kituko FC bila hata Aibu au Kujishtukia akawaambia Wachezaji wa Transit Camp FC kuwa wasikaze sana ( Wasicheze Kijeshi ) na wacheze tu Nyoro Nyoro ( Laini Laini ) ili Wawafunge Magoli mengi na kwakuwa kwa sasa 'Star' Wao ni Bi. Aziza Kii na wanataka Wawaaminishe Mashabiki kuwa hawakulamba 'Garasa' na Wajazane 'Watu Day' na Wapige Hela ya maana basi wahakikishe nae anafunga Goli.
Kaeni tayari Kesho Jumapili au Jumatatu na Jumatano Wazee wa Ushindi wa Michongo Jezi Mbovu na Kituko FC watacheza tena Mechi zao Mbili kabla wa Siku yao ya 'Watu Day' na kama Kawaida hizo Timu zitaombwa ( kwa Ahadi ya Pesa ) zilegeze na zipigwe ( zifungwe ) Magoli mengi ili kuzidisha Ushawishi na Hamasa kusudi tarehe 6 August, 2022 kwa Mkapa kujae ndani mpaka nje, Uwanja wa Uhuru na Mitaa yote ya Temeke.
Na tarehe 13 August, 2022 mtakoma.
Na bahati karibia 75% ya Wachezaji wa Transit Camp ambao ni Wajeda ( Wanajeshi ) ni Wanangu ( Marafiki ) hivyo wamenipa Ukweli wote.
Kwanza 90% ya Wachezaji wa Kikosi cha Kwanza cha Transit Camp Jana hawakuwepo na wanatakiwa kuanza Pre Season yao Wiki ijayo kwa mujibu wa Mchezaji Mwenzao Mmoja Mwandamizi kabisa.
Na hata Mechi yenu Jezi Mbovu na Kituko FC na Wao jana hawakuitaka ila mliwabembeleza wakubali hivyo hivyo tu Kucheza nanyi huku mkiwopa na Pesa kidogo za Kuwalegeza zaidi ndipo Wakakubali na kuanza kuitana na walipoona hawatoshi wakawachomekea na Vijana wengine wa Kawe na Kutimia Wachezaji 11 na Kucheza.
Na kituko zaidi kulikuwa ni Mmoja wa Viongozi Waandamizi kabisa wa Jezi Mbovu na Kituko FC bila hata Aibu au Kujishtukia akawaambia Wachezaji wa Transit Camp FC kuwa wasikaze sana ( Wasicheze Kijeshi ) na wacheze tu Nyoro Nyoro ( Laini Laini ) ili Wawafunge Magoli mengi na kwakuwa kwa sasa 'Star' Wao ni Bi. Aziza Kii na wanataka Wawaaminishe Mashabiki kuwa hawakulamba 'Garasa' na Wajazane 'Watu Day' na Wapige Hela ya maana basi wahakikishe nae anafunga Goli.
Kaeni tayari Kesho Jumapili au Jumatatu na Jumatano Wazee wa Ushindi wa Michongo Jezi Mbovu na Kituko FC watacheza tena Mechi zao Mbili kabla wa Siku yao ya 'Watu Day' na kama Kawaida hizo Timu zitaombwa ( kwa Ahadi ya Pesa ) zilegeze na zipigwe ( zifungwe ) Magoli mengi ili kuzidisha Ushawishi na Hamasa kusudi tarehe 6 August, 2022 kwa Mkapa kujae ndani mpaka nje, Uwanja wa Uhuru na Mitaa yote ya Temeke.
Na tarehe 13 August, 2022 mtakoma.