Siri imefichuka kumbe Transit Camp waliombwa wafungwe Goli nyingi jana ili 'Kushawishi' Mashabiki wajae 'Watu Day' tarehe 6 August, 2022!!!

Siri imefichuka kumbe Transit Camp waliombwa wafungwe Goli nyingi jana ili 'Kushawishi' Mashabiki wajae 'Watu Day' tarehe 6 August, 2022!!!

Mimi nilidhani Jezi Mbovu na Kituko FC hii tabia yenu ya Kipuuzi na Kishamba mmeiacha kumbe bado mpo nayo?

Na bahati karibia 75% ya Wachezaji wa Transit Camp ambao ni Wajeda ( Wanajeshi ) ni Wanangu ( Marafiki ) hivyo wamenipa Ukweli wote.

Kwanza 90% ya Wachezaji wa Kikosi cha Kwanza cha Transit Camp Jana hawakuwepo na wanatakiwa kuanza Pre Season yao Wiki ijayo kwa mujibu wa Mchezaji Mwenzao Mmoja Mwandamizi kabisa.

Na hata Mechi yenu Jezi Mbovu na Kituko FC na Wao jana hawakuitaka ila mliwabembeleza wakubali hivyo hivyo tu Kucheza nanyi huku mkiwopa na Pesa kidogo za Kuwalegeza zaidi ndipo Wakakubali na kuanza kuitana na walipoona hawatoshi wakawachomekea na Vijana wengine wa Kawe na Kutimia Wachezaji 11 na Kucheza.

Na kituko zaidi kulikuwa ni Mmoja wa Viongozi Waandamizi kabisa wa Jezi Mbovu na Kituko FC bila hata Aibu au Kujishtukia akawaambia Wachezaji wa Transit Camp FC kuwa wasikaze sana ( Wasicheze Kijeshi ) na wacheze tu Nyoro Nyoro ( Laini Laini ) ili Wawafunge Magoli mengi na kwakuwa kwa sasa 'Star' Wao ni Bi. Aziza Kii na wanataka Wawaaminishe Mashabiki kuwa hawakulamba 'Garasa' na Wajazane 'Watu Day' na Wapige Hela ya maana basi wahakikishe nae anafunga Goli.

Kaeni tayari Kesho Jumapili au Jumatatu na Jumatano Wazee wa Ushindi wa Michongo Jezi Mbovu na Kituko FC watacheza tena Mechi zao Mbili kabla wa Siku yao ya 'Watu Day' na kama Kawaida hizo Timu zitaombwa ( kwa Ahadi ya Pesa ) zilegeze na zipigwe ( zifungwe ) Magoli mengi ili kuzidisha Ushawishi na Hamasa kusudi tarehe 6 August, 2022 kwa Mkapa kujae ndani mpaka nje, Uwanja wa Uhuru na Mitaa yote ya Temeke.

Na tarehe 13 August, 2022 mtakoma.
Sasa Kama yanga imemaliza msimu mzima bila kufungwa kwa kuviomba vilabu vyote viwalegezee na vicheze nyoro nyoro ikiwemo simba, mi sioni ajabu yoyote kuiomba ata Trans camp pia ifungwe!!! Na msimu ujao pia utakuwa ni mwendo huo huo wa kuviomba vilabu visikaze kumbe ni biashara inayolipa kama inawapa makombe kila msimu ni safi Sana hiyo isiachwe
 
Sasa Kama yanga imemaliza msimu mzima bila kufungwa kwa kuviomba vilabu vyote viwalegezee na vicheze nyoro nyoro ikiwemo simba, mi sioni ajabu yoyote kuiomba ata Trans camp pia ifungwe!!! Na msimu ujao pia utakuwa ni mwendo huo huo wa kuviomba vilabu visikaze kumbe ni biashara inayolipa kama inawapa makombe kila msimu ni safi Sana hiyo isiachwe
Kwa hiyo anataka kusema hata Simba walipewa hela wakaachia jambo?
 
Yanga haitaji kumuhonga mtu Ili aje kuitazama

kwa rekodi tu msimu jana ikiwa mbovu iliongoza kwa kutazamwa uwanjani pia msimu huu sasa izi stori za kibwege bwege unatoa wap?

Ukitazama kwA jicho la wivu utaishia jifariji kuwa jezi mbovu ila toka moyoni una kili ni jezi kali mno

Subiri ufunguzi wa ligi tupige nyau goli za kutosha uje na stori za walihujumu mechi
 
Mimi nilidhani Jezi Mbovu na Kituko FC hii tabia yenu ya Kipuuzi na Kishamba mmeiacha kumbe bado mpo nayo?

Na bahati karibia 75% ya Wachezaji wa Transit Camp ambao ni Wajeda ( Wanajeshi ) ni Wanangu ( Marafiki ) hivyo wamenipa Ukweli wote.

Kwanza 90% ya Wachezaji wa Kikosi cha Kwanza cha Transit Camp Jana hawakuwepo na wanatakiwa kuanza Pre Season yao Wiki ijayo kwa mujibu wa Mchezaji Mwenzao Mmoja Mwandamizi kabisa.

Na hata Mechi yenu Jezi Mbovu na Kituko FC na Wao jana hawakuitaka ila mliwabembeleza wakubali hivyo hivyo tu Kucheza nanyi huku mkiwopa na Pesa kidogo za Kuwalegeza zaidi ndipo Wakakubali na kuanza kuitana na walipoona hawatoshi wakawachomekea na Vijana wengine wa Kawe na Kutimia Wachezaji 11 na Kucheza.

Na kituko zaidi kulikuwa ni Mmoja wa Viongozi Waandamizi kabisa wa Jezi Mbovu na Kituko FC bila hata Aibu au Kujishtukia akawaambia Wachezaji wa Transit Camp FC kuwa wasikaze sana ( Wasicheze Kijeshi ) na wacheze tu Nyoro Nyoro ( Laini Laini ) ili Wawafunge Magoli mengi na kwakuwa kwa sasa 'Star' Wao ni Bi. Aziza Kii na wanataka Wawaaminishe Mashabiki kuwa hawakulamba 'Garasa' na Wajazane 'Watu Day' na Wapige Hela ya maana basi wahakikishe nae anafunga Goli.

Kaeni tayari Kesho Jumapili au Jumatatu na Jumatano Wazee wa Ushindi wa Michongo Jezi Mbovu na Kituko FC watacheza tena Mechi zao Mbili kabla wa Siku yao ya 'Watu Day' na kama Kawaida hizo Timu zitaombwa ( kwa Ahadi ya Pesa ) zilegeze na zipigwe ( zifungwe ) Magoli mengi ili kuzidisha Ushawishi na Hamasa kusudi tarehe 6 August, 2022 kwa Mkapa kujae ndani mpaka nje, Uwanja wa Uhuru na Mitaa yote ya Temeke.

Na tarehe 13 August, 2022 mtakoma.
Nashauri serikali ifanye mabadiliko haraka saana kwenye Yale maswali yatakayoulizwa kwenye dodoso kipengele cha wagonjwa wa akili kiwepo!,,

Wewe jamaa tulia kwenu uhesabiwe ili taifa liwaweke kwenye mikakati watu kama nyinyi.

Tafadhali kama mlezi wahuyu jamaa anapitia hii post ahakikishe anahesabiwa huyu maana kwa akili yake atasema yeye hayupo kwenye hilo kundi.
 
Mimi nilidhani Jezi Mbovu na Kituko FC hii tabia yenu ya Kipuuzi na Kishamba mmeiacha kumbe bado mpo nayo?

Na bahati karibia 75% ya Wachezaji wa Transit Camp ambao ni Wajeda ( Wanajeshi ) ni Wanangu ( Marafiki ) hivyo wamenipa Ukweli wote.

Kwanza 90% ya Wachezaji wa Kikosi cha Kwanza cha Transit Camp Jana hawakuwepo na wanatakiwa kuanza Pre Season yao Wiki ijayo kwa mujibu wa Mchezaji Mwenzao Mmoja Mwandamizi kabisa.

Na hata Mechi yenu Jezi Mbovu na Kituko FC na Wao jana hawakuitaka ila mliwabembeleza wakubali hivyo hivyo tu Kucheza nanyi huku mkiwopa na Pesa kidogo za Kuwalegeza zaidi ndipo Wakakubali na kuanza kuitana na walipoona hawatoshi wakawachomekea na Vijana wengine wa Kawe na Kutimia Wachezaji 11 na Kucheza.

Na kituko zaidi kulikuwa ni Mmoja wa Viongozi Waandamizi kabisa wa Jezi Mbovu na Kituko FC bila hata Aibu au Kujishtukia akawaambia Wachezaji wa Transit Camp FC kuwa wasikaze sana ( Wasicheze Kijeshi ) na wacheze tu Nyoro Nyoro ( Laini Laini ) ili Wawafunge Magoli mengi na kwakuwa kwa sasa 'Star' Wao ni Bi. Aziza Kii na wanataka Wawaaminishe Mashabiki kuwa hawakulamba 'Garasa' na Wajazane 'Watu Day' na Wapige Hela ya maana basi wahakikishe nae anafunga Goli.

Kaeni tayari Kesho Jumapili au Jumatatu na Jumatano Wazee wa Ushindi wa Michongo Jezi Mbovu na Kituko FC watacheza tena Mechi zao Mbili kabla wa Siku yao ya 'Watu Day' na kama Kawaida hizo Timu zitaombwa ( kwa Ahadi ya Pesa ) zilegeze na zipigwe ( zifungwe ) Magoli mengi ili kuzidisha Ushawishi na Hamasa kusudi tarehe 6 August, 2022 kwa Mkapa kujae ndani mpaka nje, Uwanja wa Uhuru na Mitaa yote ya Temeke.

Na tarehe 13 August, 2022 mtakoma.
Una matatizo wewe si bure.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wakomesheeeee!!!!

Charismatic fella. [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Gentamycine ukimsikia ndio unajua Mungu yupo bana, coz kamuumba tofauti na sisi binadamu
 
Gentamycine ukimsikia ndio unajua Mungu yupo bana, coz kamuumba tofauti na sisi binadamu
 
Nasubiri waje Kukanusha niwaumbue zaidi Wapuuzi hawa. Na nawaomba hivi hivi wanavyopenda Kuhonga Timu na Wachezaji wakicheza Mechi zao za 'Preliminaries' za CAFCL wafanye hivi hivi waone kama hawakupigwa Goli 9 Kwa Mkapa na Goli 17 Ugenini na Kurejea kuendelea na NBC Premier League wanayoimudu pekee kwa Kuwahonga Marefa na Wachezaji wenye Mahaba nao Kiasili.
Ule mchi wa Feisal mechi ya FA ulihongwa shilingi ngapi?
 
Mimi nilidhani Jezi Mbovu na Kituko FC hii tabia yenu ya Kipuuzi na Kishamba mmeiacha kumbe bado mpo nayo?

Na bahati karibia 75% ya Wachezaji wa Transit Camp ambao ni Wajeda ( Wanajeshi ) ni Wanangu ( Marafiki ) hivyo wamenipa Ukweli wote.

Kwanza 90% ya Wachezaji wa Kikosi cha Kwanza cha Transit Camp Jana hawakuwepo na wanatakiwa kuanza Pre Season yao Wiki ijayo kwa mujibu wa Mchezaji Mwenzao Mmoja Mwandamizi kabisa.

Na hata Mechi yenu Jezi Mbovu na Kituko FC na Wao jana hawakuitaka ila mliwabembeleza wakubali hivyo hivyo tu Kucheza nanyi huku mkiwopa na Pesa kidogo za Kuwalegeza zaidi ndipo Wakakubali na kuanza kuitana na walipoona hawatoshi wakawachomekea na Vijana wengine wa Kawe na Kutimia Wachezaji 11 na Kucheza.

Na kituko zaidi kulikuwa ni Mmoja wa Viongozi Waandamizi kabisa wa Jezi Mbovu na Kituko FC bila hata Aibu au Kujishtukia akawaambia Wachezaji wa Transit Camp FC kuwa wasikaze sana ( Wasicheze Kijeshi ) na wacheze tu Nyoro Nyoro ( Laini Laini ) ili Wawafunge Magoli mengi na kwakuwa kwa sasa 'Star' Wao ni Bi. Aziza Kii na wanataka Wawaaminishe Mashabiki kuwa hawakulamba 'Garasa' na Wajazane 'Watu Day' na Wapige Hela ya maana basi wahakikishe nae anafunga Goli.

Kaeni tayari Kesho Jumapili au Jumatatu na Jumatano Wazee wa Ushindi wa Michongo Jezi Mbovu na Kituko FC watacheza tena Mechi zao Mbili kabla wa Siku yao ya 'Watu Day' na kama Kawaida hizo Timu zitaombwa ( kwa Ahadi ya Pesa ) zilegeze na zipigwe ( zifungwe ) Magoli mengi ili kuzidisha Ushawishi na Hamasa kusudi tarehe 6 August, 2022 kwa Mkapa kujae ndani mpaka nje, Uwanja wa Uhuru na Mitaa yote ya Temeke.

Na tarehe 13 August, 2022 mtakoma.

Popoma unazingua sana hata watu wa chuo cha SAUT watakuona unazingua[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi kwa wiki Huwa unaandikaga nyuzi ngapi kuizingumzia Yanga Mkuu..?
 
Kiranga Mshana Jr kaka zangu wakubwa hebu nisaidieni kujua aina ya ugonjwa anao umwa huyu mtoa mada.

Amezaliwa Bunda, amekulia Bunda anaishi Bunda. Dar hajawahi kufika ila anapost uzi akijifanya anaishi Dar. We jamaa una tatizo kubwa sana la afya ya akili. Something is missing in ur head.

Okay back to you mtoka mara, tutajie majina ya wachezaji watatu wa Transit Camp.

2. Makao makuu ya Transit Camp yapo mtaa gani?

Unahitaji maombi ya nguvu sana wewe kaka/dada
 
Unaambia hao transit camp msimu ulioisha hawajapoteza hata mechi moja halafu walifika final CAF champion's league ila utopolo ndo maana yule zeru zeru anaona aibu hata kupost huo utumbo maana kuna tofauti kubwa sana kati ya anayecheza na dereva taxi na watu wa camp.
 
Back
Top Bottom