Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo Marekani hataki influence nchi jirani na Russia. Hataki influence kwa jirani ya NATO na kuthibitisha kama anaweza kulinda maslahi ya nchi inayomtegemeaSphere of influence.
Kwahiyo Marekani hataki influence nchi jirani na Russia. Hataki influence kwa jirani ya NATO na kuthibitisha kama anaweza kulinda maslahi ya nchi inayomtegemea
Nakukumbysha tu pale Iraq makampuni yake yanachota mafuta ple Afghanistan makampuni yake mengi ylikuwa yanazoa madini apo Syria makampuni yake yanazoa mafuta sasa ukrein anapata nnKuhusu gharama.
Najua US kapigana kule kwa wateleban kwa miaka 20+.
Kaweka jeshi kile Iraq kwa miaka 15+
Kaweka jeshi kule kwa Assad sasa inakaribia 10+.
Nadhani kwenye suala la gharama hawa jamaa wanaweza kaa vitani hata decades 5.
Tofautisha kati ya vita na kukalia kimabavuKuhusu gharama.
Najua US kapigana kule kwa wateleban kwa miaka 20+.
Kaweka jeshi kile Iraq kwa miaka 15+
Kaweka jeshi kule kwa Assad sasa inakaribia 10+.
Nadhani kwenye suala la gharama hawa jamaa wanaweza kaa vitani hata decades 5.
Nakukumbysha tu pale Iraq makampuni yake yanachota mafuta ple Afghanistan makampuni yake mengi ylikuwa yanazoa madini apo Syria makampuni yake yanazoa mafuta sasa ukrein anapata nn
NgadaKule kwa wavaa kobazi wa kiteliban walikua wanachukua rasimali zipi mkuu?
Huko walikuwa wakivuna ila vita hii Ni ngumi mchomoko ,ngumi ndoike Hakuna kuvuna hivyo Ni hasala taslimAfghanistan peke yake US walitumia dola Trillion 2. Kama wakitaka na wakiona kuna sababu za kuendea na hii vita hata miaka 10 wataendelea nayo.
Na Russia, SASA ivi wapo vibaya pia sio mchezo. Anatamani Vita iishe leo na auze gesi Kwa bei Sawa na maji ya kunywa. Yaani Lita 1000 ya maji ni 1,800. Na gesi anataka aiuze Kwa bei iyoMi nimeisoma sehemu nyingine nikaipuuzia!!.. nikajua naota..
Anyway it seems nchi za EU kuanzia January msaad utapungua sana.
US AID kwa ajili ya kuminyana na Kremlin ni kubwa sana kibajeti. US hawez kusaidia ukraine kwa miaka 2 … gharama kubwa hata kama mkopo utalipwaje? For how long?
Na haya ndiyo mawazo ya TumainiEl . Hii inatupa ishara ya wazi malengo ya Ukraine akitumiwa na mabwana zake ni kumtoa Raisi Vladimir Putin madarakani. Wanataka regime change in Russia ili waingize serikali ya viongozi vibaraka wa Marekani na mshirika wake UK kitu ambacho hawatafanikiwa labda Putin akiwa mzee sana wa miaka 85 hadi 90.Wenyewe walifikiri Putin atakufa. 😂 😛🤣 maana wanasema mazungumzo yaendelee kama mwamba ataendelea kuwa rais.
MK254 mmarekani wa Kunya Land pitia hapa.
Na Russia, SASA ivi wapo vibaya pia sio mchezo. Anatamani Vita iishe leo na auze gesi Kwa bei Sawa na maji ya kunywa. Yaani Lita 1000 ya maji ni 1,800. Na gesi anataka aiuze Kwa bei iyo
Na haya ndiyo mawazo ya TumainiEl . Hii inatupa ishara ya wazi malengo ya Ukraine akitumiwa na mabwana zake ni kumtoa Raisi Vladimir Putin madarakani. Wanataka regime change in Russia ili waingize serikali ya viongozi vibaraka wa Marekani na mshirika wake UK kitu ambacho hawatafanikiwa labda Putin akiwa mzee sana wa miaka 85 hadi 90.
Labda aondoke mwenyewe madarakani kwa hiyari au afe kwa natural cause of death.
Kesha ingia mitini,hasa baada ya Urusi kuzifanyia mahesabu makali roketis za HIMARS na kuanza kuzipukutisha kutoka angani kama nzinge, ni nadra kuzisikia tena.
Kikubwa zaidi jeshi la Urusi limefanikiwa vile vile ku-destroy repeaters karibu zote za aridhini huko Ukraine ambazo zilikuwa configured kushirikiana na satellite za USA kufatilia mwenendo wa jeshi la Urusi na kuwapatia taarifa jeshi la Ukraine na kusaidia katika ulengaji shabaha na kuongoza roketi/missiles - sasa kete hiyo Urusi imekwisha ipatia dawa/shughurikia yaani haipo tena, hilo limekuwa pigo sana kwa jeshi la Amerika na jeshi la Ukraine yenyewe walikuwa wanazitegemea sana katika operations zao za kijeshi.
Msifikiri Biden suddenly imefikia uhamuzi wa kuwatumia watu wengine kisiri siri ili wamshurutishe Zelensky afanye mazungumzo na Putin ili wasitishe/maliza vita huko Ukraine - nawambieni si bure, kuna kitu kimemshtua Biden - kitu cha kwanza Biden amegunduwa kwa mara ya kwanza kwamba kumbe jeshi la Urusi ni maji marefu, afadhali akubali yaishe licha ya Biden kupeleka wanajeshi wa US kisiri siri huko Ukraine wanavalishwa uniform za jeshi la Ukraine na kupelekwa front line,hata baadhi ya majeshi ya Ulaya nayo yanahusika kupeleka wanajeshi-hivi sasa actually Urusi inapigana na majeshi ya NATO/USA indirectly. Watu wote wapenda amani Duniani kote wanajua God willing Urusi itawashinda war mongers pamoja na mapreachers wa WNO na Unipolar World.
Dunia inataka Mungu atupe nini zaidi ya a brainy/wiser and mega smart Putin - take it or leave it, up2U.
Nimewaona mchana huu wakitelemsha Pugu mnadani kula mbuzi na Lager! wakirudi sijui km mtaelewana kirahisi! km ujuavyo Msimbazi Kumejaa! yaani maji ya shingo! mvua za msitu wa kisarawe!Subiria waje wamarekani wa pugu kajiungeni.
Atajibu hivi; namnukuu Biden mwenyewe;Jamaa anawasmbaratisha mamluki kama utani. Biden anaogopa pia kitimoto kwamba kwa nini ulienda kupigana kwenye vita ambayo huwezi kuishindaa!!???
Ukraine wanaonesha wazi kuikubalia marekani kuweka base ili kulipiza visasi
Finland hawana sababu hiyo
Zelensky ni unstable maniac ambapo marekani wameona wanaweza kumtumia
Finland can not take that risk
ZRussia ni walevi chakari wa vodkaZRussia wanasema mazungumzo yaihusishe Wahington kwani ndio waamuzi wa Ukraine na sio yule comedian ombaomba
Marekani hatupi hela yakebpasipo na faida. Kwa Ukraine hakuna tangible benefit to USA. Though wanasema mtoto wa Biden ana visima gas/mafuta huko.