Siri imefichuka,Mimba ya Aunty sio ya Moze Iyobo

Siri imefichuka,Mimba ya Aunty sio ya Moze Iyobo

Nimejaribu kuvaa viatu vyake mwenzangu vimenibana!Hili ndio kosa kubwa tunalofanya wanawake la kukubali kuolewa na wanaume malaya kwa kujidanganya kua tutawabadilisha!Yako wapi?

paka hatulii hata kwa steki na maziwa atakimbiza panya tu
 
Nimejaribu kuvaa viatu vyake mwenzangu vimenibana!Hili ndio kosa kubwa tunalofanya wanawake la kukubali kuolewa na wanaume malaya kwa kujidanganya kua tutawabadilisha!Yako wapi?

nilikua namuelezea mdogo wangu the same ulivyoandika
nilikua namuambia viatu vya faraja kota mi naona size 22 halafu skuna
anacheka hapa hadi bas
 
Umeona mwaya eeh?Faraja akajidanganya yeye samaki atamshika paka masikini!

ndoa zina mengi masikini mwenyewe huwa anapost picha na mme wake mmh kumbe maumivu tu....sorry for her
 
warumi umeshaandika huo waraka mtakatifu huko pm?
Maana nimeona ule uzi umeshafungwa!
 
Last edited by a moderator:
nilikua namuelezea mdogo wangu the same ulivyoandika
nilikua namuambia viatu vya faraja kota mi naona size 22 halafu skuna
anacheka hapa hadi bas

Hahahaaaa muambie acheke na ajifunze.Hawa wanaume sio wa kuwaamini kabisa.
 
ndoa zina mengi masikini mwenyewe huwa anapost picha na mme wake mmh kumbe maumivu tu....sorry for her

Wewe acha tu shoga....yale mambo ya team each other...
Yeye anaweka picha na caption nzuri kumbe wenzie wanamng'ong'a tu.
 
Bora ajitochee pesa aweke kando kama mke maana wanaume hawatabiriki. Unakuwa na account yako unajazia mapesa uliyomchota mume maisha nae yanaendelea hadi hapo kama akileta suprise unasepa na bila kusahau kuwekeza.
 
Habari ni Habari gani? Leo hivi, kesho vile, Kila mtu anataja source!
Hapa sina la kuondoka nalo.
Habari Tz! !
 
Hahahaaaa muambie acheke na ajifunze.Hawa wanaume sio wa kuwaamini kabisa.

yani naye ana mme wake kaja kwangu mara moja ndo type hizo za kina mbuga zetu mmewe
yani anacheka sio mazuri anajua yatamkuta siku si ndefuuu
 
yani naye ana mme wake kaja kwangu mara moja ndo type hizo za kina mbuga zetu mmewe
yani anacheka sio mazuri anajua yatamkuta siku si ndefuuu

Masikini mpe pole zake ila mshauri asimvumilie mwanaume wa type hiyo.Maradhi mengi....ohooo
 
Bora ajitochee pesa aweke kando kama mke maana wanaume hawatabiriki. Unakuwa na account yako unajazia mapesa uliyomchota mume maisha nae yanaendelea hadi hapo kama akileta suprise unasepa na bila kusahau kuwekeza.

Haya ndio maneno na mipango.Hakuna muda wa kulia lia siku hizi.
Hahahahaaa ila umeongea kwa ujasiri sana,una experience nini?..lol
 
Masikini mpe pole zake ila mshauri asimvumilie mwanaume wa type hiyo.Maradhi mengi....ohooo

shoga mwenyewe kampenda mie tena nampa moyoo
na mume mshallah pene linacheua ana UCHAWI wa malkia unamfumania anaomba msamaha na shopping za maana na mahela bibiie
mi naogopa kushauri mambo hayo maana uzito wa mzigo anaujua mbebaji unamshauri leo kesho wenzio mahaba mahabaniii
na yenyewe ndoa sio uhawara!!
mi nampaga moyo tuu ila cha moto anakiona
 
Mfupa uliomshinda fisi weye FK utauweza? Anabaki na cheti wenzie wana kula body
 
shoga mwenyewe kampenda mie tena nampa moyoo
na mume mshallah pene linacheua ana UCHAWI wa malkia unamfumania anaomba msamaha na shopping za maana na mahela bibiie
mi naogopa kushauri mambo hayo maana uzito wa mzigo anaujua mbebaji unamshauri leo kesho wenzio mahaba mahabaniii
na yenyewe ndoa sio uhawara!!
mi nampaga moyo tuu ila cha moto anakiona

Ohooo,shauri zake....ngoja tuhamie chemba shoga hapa wambea wengi.
 
All 2 all Faraja atabaki kuwa mke mmiliki wa Mali za huyo Twiga wetu mpk cku ya mwisho yeye Twiga wetu km alichelewa kutotoa kivyake Faraja kafunga sasa anakusanya mauzo tu naye ya kodi za mbugani. Wangapi wanazaa nje ya ndoa Kama ...... mbona mkewe anatambulika kimataifa na duniani kote! Shida ipo wapi kwa mwana wa Kotta? Tupakule na wazae tu Bint ataendelea kutesa mpk Mbuga za Ulayaaa!!!
 
Back
Top Bottom