All 2 all Faraja atabaki kuwa mke mmiliki wa Mali za huyo Twiga wetu mpk cku ya mwisho yeye Twiga wetu km alichelewa kutotoa kivyake Faraja kafunga sasa anakusanya mauzo tu naye ya kodi za mbugani. Wangapi wanazaa nje ya ndoa Kama ...... mbona mkewe anatambulika kimataifa na duniani kote! Shida ipo wapi kwa mwana wa Kotta? Tupakule na wazae tu Bint ataendelea kutesa mpk Mbuga za Ulayaaa!!!
Ohooo,shauri zake....ngoja tuhamie chemba shoga hapa wambea wengi.
Wewe acha tu shoga....yale mambo ya team each other...
Yeye anaweka picha na caption nzuri kumbe wenzie wanamng'ong'a tu.
vilio tuwaachie wafiwa....Haya ndio maneno na mipango.Hakuna muda wa kulia lia siku hizi.
Hahahahaaa ila umeongea kwa ujasiri sana,una experience nini?..lol
Bora ajitochee pesa aweke kando kama mke maana wanaume hawatabiriki. Unakuwa na account yako unajazia mapesa uliyomchota mume maisha nae yanaendelea hadi hapo kama akileta suprise unasepa na bila kusahau kuwekeza.
Bora ajitochee pesa aweke kando kama mke maana wanaume hawatabiriki. Unakuwa na account yako unajazia mapesa uliyomchota mume maisha nae yanaendelea hadi hapo kama akileta suprise unasepa na bila kusahau kuwekeza.
Kama kweli Mr Tembo katishaaa...mijitu miroho unamwacha nyumbani ex miss Tz unapiga kicheche mwee...
vilio tuwaachie wafiwa....
wanamng'ong'a tena???kwani wale divaz na wenyewe wapo hivo?mbn naonaga hawana uswahili wale?
Nimemaanisha wenzake hao wanaochepuka na mumewe.Unadhani watakua hawamfollow?Aah wapi.Ni followers wake wazuri tu.
aaah okay nkahisi ni mashost zake nancy, klyn na wenzi....namuonea huruma ila ndo hivo wanaume walivo
Kwa hiyo mimba ni ya Mbuga zetu?
aaagh labda Iyobo analipwa chezea pesa ndefuuuu
nifah, sster na dinazarde mbona nyinyi watata sana ni nani kawambia hiyo mimba ni ya mh, yeye kakataa nyinyi mnalazimisha mlikuwepo? huu si ndo ushigongo.
Tulikuwepo kabisaa
Umenichekesha.
I guess na shosti wake mkubwa w yeye bado hajanasa toka kwa babu. Maana wawili hao mmmh na kumbe ndio zao na viongozi wa nchi ... Pesa hatari jamani