ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Sio 11 Ni 12
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zaidi ya iyo hela
Mm nazungumzia mfanyakazi wa kawaida,,Mfanyabiashara wa uchumi wa kati anaingiza zaidi ya iyo pesa[emoji5]
TrueMm nazungumzia mfanyakazi wa kawaida,,
Kupewa pesa hizo ni nyingi sana.
Ukileta mambo ya wafanyabiashara basi hata 100 milioni ni ndogo sana pia.
Mkuu kwani hukujua ndo umejua leo mbona mishahra yao iko wazi muda kama antena juu ya batiWacha niendelee kufuatilia mkuu kwasababu wanalipwa kutokana na kodi ninayo lipa.
Ni ya kawaida sana ukiwa tuseme nchi kama Marekani, maana purchasing power ya dollar 4800 ukiwa Marekani ni sawa na purchahsing power ya kama shilling million 4 za mtu aliye Tanzania. Dollar 4800 kwa mtu aliye Tanzania zina purcahing power inayoweza kulingana na dola elfu 12 za mtu aliye Marekani. Naomba usisahau hilo tafadhali!Kama USD4800.00
Pesa ya kawaida sanaa
Yani kila mwezi unaweza kuagiza IST bila kuteseka na njaa hebu fikiria tu.11 mm nimzigo wakutosha kabisa
Af kuna mtu atamaindi mie kucheka hapa 😂😂😂Mkuu kwani hukujua ndo umejua leo mbona mishahra yao iko wazi muda kama antena juu ya bati
Watakuwa wanachukulia mambo serious kama H.Baba 😅 😅 😅 😅Af kuna mtu atamaindi mie kucheka hapa 😂😂😂
Af mnamcheka mzee wa nje ya Box dah! 😂😂😂Ndo unajua leo mkuu??
Mbunge kwa mwezi anavuta m12 pamoja na posho 360k per kikao
Waziri anavuta m8,so msela akiwa mbunge halafu no waziri anavuta 20m +posho ya ubunge +posho ya uwaziri😛😛
Yani neema tupu!!
Huyo mfanyabiashara awe na capital sio chini ya 500M ndio atakuwa anakula hizo share kwa mwezi.Mfanyabiashara wa uchumi wa kati anaingiza zaidi ya iyo pesa☺
Mkuu sio 11 m tu jumlisha marupurupu ya kila kikao laki tatu pamoja mafuta ya Gari Lita 2000 kwa mwezi,na Ela za Jimbo.Habari wana JF
Siku zote nimekuwa nikijiuliza jambo moja hapa Tz kwanini Ma Profesa, Wahandisi na wataalamu wabobezi kwenye fani mbalimbali wanaamua kuzipa kisogo fani zao na kukimbilia kwenye siasa hasa ubunge?!
Sasa leo Kisalala mbunge wa jimbo la Sumve amenipatia jibu. Wanafuata maslahi manono sana, kama kwa mwezi mbunge anapokea mshahara milioni 11 yaani huu ni nje ya posho zake unafikiri nani hatamani kupata fedha zote hizi?
Profesa wa chuo kikuu hapa bongo hata 7m hafikishi kwa mwezi sasa kwanini asiache kufundisha akakimbilia siasa?
Hayaaa bhana kuleni tu hizo milioni 11 za kila mwezi sisi wananchi tunaendelea kula msoto.
Wasalaam Xi JinPing
Hata Mwalimu analipwa Kodi yako...vipi nae unafuatilia mshahara wake?...Wacha niendelee kufuatilia mkuu kwasababu wanalipwa kutokana na kodi ninayo lipa.