Magema Jr
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 1,299
- 1,197
yani mtaji hapo ni kulamba miguubta wanakamati kuu wakiongozwa na mh jiwe, then ukishateuliwa kugombea tayari wewe ni mbunge.hapo unakesha kwa wataalam wa kamati za ufundi unalamba uwaziri.after hapo ni kupiga pesa ndefuuu.๐๐Huyo mfanyabiashara awe na capital sio chini ya 500M ndio atakuwa anakula hizo share kwa mwezi.
Msichukulie kitoto, mshahara wa 20M kwa waziri ambaye ni mbunge pia sio kifala ndio maana Kigwangwise alikuwa anashinda twitter tu ๐๐๐
Yani graduater mwenye degree3 hamwambii kitu king msukuma aliyefundishwa na walim wa mgugumbaro๐๐๐๐