Siri imefichuka: Mishahara ya Wabunge wa Tanzania ni kuanzia milioni 11 kwa mwezi

Siri imefichuka: Mishahara ya Wabunge wa Tanzania ni kuanzia milioni 11 kwa mwezi

Huyo mfanyabiashara awe na capital sio chini ya 500M ndio atakuwa anakula hizo share kwa mwezi.
Msichukulie kitoto, mshahara wa 20M kwa waziri ambaye ni mbunge pia sio kifala ndio maana Kigwangwise alikuwa anashinda twitter tu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
yani mtaji hapo ni kulamba miguubta wanakamati kuu wakiongozwa na mh jiwe, then ukishateuliwa kugombea tayari wewe ni mbunge.hapo unakesha kwa wataalam wa kamati za ufundi unalamba uwaziri.after hapo ni kupiga pesa ndefuuu.๐Ÿ˜๐Ÿ˜

Yani graduater mwenye degree3 hamwambii kitu king msukuma aliyefundishwa na walim wa mgugumbaro๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Watu wanabeza m 11 in pesa kidogo Ila kiukweli pesa hii ni nyingi kiuhalisia hata walio na pesa nyingi hawawezi kudharau kiasi hiki cha pesa
 
Habari wana JF

Siku zote nimekuwa nikijiuliza jambo moja hapa Tz kwanini Ma Profesa, Wahandisi na wataalamu wabobezi kwenye fani mbalimbali wanaamua kuzipa kisogo fani zao na kukimbilia kwenye siasa hasa ubunge?!

Sasa leo Kisalala mbunge wa jimbo la Sumve amenipatia jibu. Wanafuata maslahi manono sana, kama kwa mwezi mbunge anapokea mshahara milioni 11 yaani huu ni nje ya posho zake unafikiri nani hatamani kupata fedha zote hizi?

Profesa wa chuo kikuu hapa bongo hata 7m hafikishi kwa mwezi sasa kwanini asiache kufundisha akakimbilia siasa?

Hayaaa bhana kuleni tu hizo milioni 11 za kila mwezi sisi wananchi tunaendelea kula msoto.

Wasalaam Xi JinPing

Hiv nasikia hawa wabunge huwa hawakatwi kodi eti,kwa nini wao hawakatwi kodi?
 
Habari wana JF

Siku zote nimekuwa nikijiuliza jambo moja hapa Tz kwanini Ma Profesa, Wahandisi na wataalamu wabobezi kwenye fani mbalimbali wanaamua kuzipa kisogo fani zao na kukimbilia kwenye siasa hasa ubunge?!

Sasa leo Kisalala mbunge wa jimbo la Sumve amenipatia jibu. Wanafuata maslahi manono sana, kama kwa mwezi mbunge anapokea mshahara milioni 11 yaani huu ni nje ya posho zake unafikiri nani hatamani kupata fedha zote hizi?

Profesa wa chuo kikuu hapa bongo hata 7m hafikishi kwa mwezi sasa kwanini asiache kufundisha akakimbilia siasa?

Hayaaa bhana kuleni tu hizo milioni 11 za kila mwezi sisi wananchi tunaendelea kula msoto.

Wasalaam Xi JinPing
Pesa ndefu!! Ndo maana wakiukosa wanakuwa wakali kama mbogo
 
Pengine huenda sababu iliwahi semekana mkuu anapata m9 so hawa wabunge naona wanapiga pesa kuliko boss wao mh! Inabidi kufikiri upya
We uliona wapi MD anapokea mshahara mkubwa kuliko CEO?

Only in TZ!!
 
mi nilikua najua milioni 12
Hnilikua najua wana JF

Siku zote nimekuwa nikijiuliza jambo moja hapa Tz kwanini Ma Profesa, Wahandisi na wataalamu wabobezi kwenye fani mbalimbali wanaamua kuzipa kisogo fani zao na kukimbilia kwenye siasa hasa ubunge?!

Sasa leo Kisalala mbunge wa jimbo la Sumve amenipatia jibu. Wanafuata maslahi manono sana, kama kwa mwezi mbunge anapokea mshahara milioni 11 yaani huu ni nje ya posho zake unafikiri nani hatamani kupata fedha zote hizi?

Profesa wa chuo kikuu hapa bongo hata 7m hafikishi kwa mwezi sasa kwanini asiache kufundisha akakimbilia siasa?

Hayaaa bhana kuleni tu hizo milioni 11 za kila mwezi sisi wananchi tunaendelea kula msoto.

Wasalaam Xi JinPing
 
Hata wenye pesa nyingi hawezi kudharau kiasi hiki cha pesa isipokuwa wavivu wa kutafuta hurahisisha mambo.
We uliona wapi MD anapokea mshahara mkubwa kuliko CEO?

Only in TZ!!
Hapo ndo wanapokosea kutuona kama watu tusio tafakari sawasawa ili hali ni uongo ulio waz
 
Na ukumbuke huo mshahara walijipangia wao wenyewe na kuupitisha kwa kura zote za ndiyooooo
Habari wana JF

Siku zote nimekuwa nikijiuliza jambo moja hapa Tz kwanini Ma Profesa, Wahandisi na wataalamu wabobezi kwenye fani mbalimbali wanaamua kuzipa kisogo fani zao na kukimbilia kwenye siasa hasa ubunge?!

Sasa leo Kisalala mbunge wa jimbo la Sumve amenipatia jibu. Wanafuata maslahi manono sana, kama kwa mwezi mbunge anapokea mshahara milioni 11 yaani huu ni nje ya posho zake unafikiri nani hatamani kupata fedha zote hizi?

Profesa wa chuo kikuu hapa bongo hata 7m hafikishi kwa mwezi sasa kwanini asiache kufundisha akakimbilia siasa?

Hayaaa bhana kuleni tu hizo milioni 11 za kila mwezi sisi wananchi tunaendelea kula msoto.

Wasalaam Xi JinPing
 
yani mtaji hapo ni kulamba miguubta wanakamati kuu wakiongozwa na mh jiwe, then ukishateuliwa kugombea tayari wewe ni mbunge.hapo unakesha kwa wataalam wa kamati za ufundi unalamba uwaziri.after hapo ni kupiga pesa ndefuuu.๐Ÿ˜๐Ÿ˜

Yani graduater mwenye degree3 hamwambii kitu king msukuma aliyefundishwa na walim wa mgugumbaro๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
We ni kuunga mkono Juhudi tu
 
Habari wana JF

Siku zote nimekuwa nikijiuliza jambo moja hapa Tz kwanini Ma Profesa, Wahandisi na wataalamu wabobezi kwenye fani mbalimbali wanaamua kuzipa kisogo fani zao na kukimbilia kwenye siasa hasa ubunge?!

Sasa leo Kisalala mbunge wa jimbo la Sumve amenipatia jibu. Wanafuata maslahi manono sana, kama kwa mwezi mbunge anapokea mshahara milioni 11 yaani huu ni nje ya posho zake unafikiri nani hatamani kupata fedha zote hizi?

Profesa wa chuo kikuu hapa bongo hata 7m hafikishi kwa mwezi sasa kwanini asiache kufundisha akakimbilia siasa?

Hayaaa bhana kuleni tu hizo milioni 11 za kila mwezi sisi wananchi tunaendelea kula msoto.

Wasalaam Xi JinPing
Daktari aliesoma miaka 5 na mwaka mmoja wa intern akiajiriwa halmashauri analipwa 1.48M sasa iyo Ni basic akikatwa anabaki na laki 8 na upuuzi...Inamaana take home ya daktari kwa mwaka mmoja ndio take home ya mbunge ya mwezi mmoja ...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jamani nyie
 
Hiyo hela ni ndogo. Miaka yake miwili ya kwanza anafidia madeni ya uchaguzi. Hiyo mitatu inayobaki hafikishi 1bn. Kama anarudi tena utakuta hajapiga hatua unless kuna biashara ya maana au uwekezaji mkubwa kafanya. Au katumia goodwill kama mbunge akapata gedha sehemu nyingine
Kwa nini walala hoi wabebeshwe matatizo yake? Alifanya kampeni au alihonga pesa zote hizo?
 
Back
Top Bottom