Tetesi: SIRI IMEVUJA: CHADEMA mikononi mwa kampuni ya BELG Sea International

Tetesi: SIRI IMEVUJA: CHADEMA mikononi mwa kampuni ya BELG Sea International

SIRI IMEVUJA

WAPATIWA MALIPO makubwa ya Kupinga Mkataba wa Uwekezaji katika Bandari. TAARIFA zinasema Kampuni kutoka Ubelgiji inayojulikana Kwa Jina la BELG SEA INTERNATIONAL ambao walikuwa washindani wakubwa wa DP WORLD inaitumia CHADEMA chini ya Tundulisu kuvuruga uwekezaji
Kamati kuu ya CHADEMA imekubali kiasi Kikubwa Cha MALIPO ya Kupinga Mkataba wa Uwekezaji katika Bandari. TAARIFA zinasema Kampuni kutoka Ubelgiji inayojulikana Kwa Jina la BELG SEA INTERNATIONAL ambao wanafanyashughuli za kupakia na kupakua mizigo katika Bandari mbali mbali Duniani walikuwa washindani wakubwa wa DP WORLD katika kupata Tender ya kuwekeza katika Bandari za Tanzania.

Kampuni ya BELG SEA INTERNATIONAL imeingia makubaliano na CHADEMA chini ya wakala wake Tundulisu ambaye ni Makamu Mwenyekiti kuvuruga uwekezaji wa MABORESHO ya ufanisi wa bandari Tanzania.

Hata hivyo Baadhi ya Wajumbe wa Kamati kuu wamegoma kuingia katika makubaliano hayo sababu Makamu Mwenyekiti Tundulisu kutaka fedha Hizo ziingie Kupitia akaunti zake zilizopo Nchini na nje ya Nchi.

Hata hivyo kofia ya Mwenyekiti imetoa Baraka Hizo na Hadi Jana Tarehe 26 JULAI, 2023 kiasi cha BILIONI 5.4 zimeingia katika akaunti za Tundulisu Kwa ajili ya Mpango huo na Uzinduzi Rasmi utafanyika Bukoba Tarehe 28 JULAI, 2023

Wajumbe wameonyesha Hofu yao kuwa pesa Hizo zikiingia kwenye akaunti binafsi zitapigwa kama fedha za +255KatibaMpya zilivyopigwa na Freeman MBOWE alipotoka Gerezani


Rubbish
 
SIRI IMEVUJA

WAPATIWA MALIPO makubwa ya Kupinga Mkataba wa Uwekezaji katika Bandari. TAARIFA zinasema Kampuni kutoka Ubelgiji inayojulikana Kwa Jina la BELG SEA INTERNATIONAL ambao walikuwa washindani wakubwa wa DP WORLD inaitumia CHADEMA chini ya Tundulisu kuvuruga uwekezaji
Kamati kuu ya CHADEMA imekubali kiasi Kikubwa Cha MALIPO ya Kupinga Mkataba wa Uwekezaji katika Bandari. TAARIFA zinasema Kampuni kutoka Ubelgiji inayojulikana Kwa Jina la BELG SEA INTERNATIONAL ambao wanafanyashughuli za kupakia na kupakua mizigo katika Bandari mbali mbali Duniani walikuwa washindani wakubwa wa DP WORLD katika kupata Tender ya kuwekeza katika Bandari za Tanzania.

Kampuni ya BELG SEA INTERNATIONAL imeingia makubaliano na CHADEMA chini ya wakala wake Tundulisu ambaye ni Makamu Mwenyekiti kuvuruga uwekezaji wa MABORESHO ya ufanisi wa bandari Tanzania.

Hata hivyo Baadhi ya Wajumbe wa Kamati kuu wamegoma kuingia katika makubaliano hayo sababu Makamu Mwenyekiti Tundulisu kutaka fedha Hizo ziingie Kupitia akaunti zake zilizopo Nchini na nje ya Nchi.

Hata hivyo kofia ya Mwenyekiti imetoa Baraka Hizo na Hadi Jana Tarehe 26 JULAI, 2023 kiasi cha BILIONI 5.4 zimeingia katika akaunti za Tundulisu Kwa ajili ya Mpango huo na Uzinduzi Rasmi utafanyika Bukoba Tarehe 28 JULAI, 2023

Wajumbe wameonyesha Hofu yao kuwa pesa Hizo zikiingia kwenye akaunti binafsi zitapigwa kama fedha za +255KatibaMpya zilivyopigwa na Freeman MBOWE alipotoka Gerezani
Nyuzi kama hizi huwa zinatushtua hata ambao tulikua tunaunga mkono uwekezaji kuanza kua na wasiwasi
 
SIRI IMEVUJA

WAPATIWA MALIPO makubwa ya Kupinga Mkataba wa Uwekezaji katika Bandari. TAARIFA zinasema Kampuni kutoka Ubelgiji inayojulikana Kwa Jina la BELG SEA INTERNATIONAL ambao walikuwa washindani wakubwa wa DP WORLD inaitumia CHADEMA chini ya Tundulisu kuvuruga uwekezaji
Kamati kuu ya CHADEMA imekubali kiasi Kikubwa Cha MALIPO ya Kupinga Mkataba wa Uwekezaji katika Bandari. TAARIFA zinasema Kampuni kutoka Ubelgiji inayojulikana Kwa Jina la BELG SEA INTERNATIONAL ambao wanafanyashughuli za kupakia na kupakua mizigo katika Bandari mbali mbali Duniani walikuwa washindani wakubwa wa DP WORLD katika kupata Tender ya kuwekeza katika Bandari za Tanzania.

Kampuni ya BELG SEA INTERNATIONAL imeingia makubaliano na CHADEMA chini ya wakala wake Tundulisu ambaye ni Makamu Mwenyekiti kuvuruga uwekezaji wa MABORESHO ya ufanisi wa bandari Tanzania.

Hata hivyo Baadhi ya Wajumbe wa Kamati kuu wamegoma kuingia katika makubaliano hayo sababu Makamu Mwenyekiti Tundulisu kutaka fedha Hizo ziingie Kupitia akaunti zake zilizopo Nchini na nje ya Nchi.

Hata hivyo kofia ya Mwenyekiti imetoa Baraka Hizo na Hadi Jana Tarehe 26 JULAI, 2023 kiasi cha BILIONI 5.4 zimeingia katika akaunti za Tundulisu Kwa ajili ya Mpango huo na Uzinduzi Rasmi utafanyika Bukoba Tarehe 28 JULAI, 2023

Wajumbe wameonyesha Hofu yao kuwa pesa Hizo zikiingia kwenye akaunti binafsi zitapigwa kama fedha za +255KatibaMpya zilivyopigwa na Freeman MBOWE alipotoka Gerezani
Hata wakilipwa poa tu.... Dadeki miaka 100 ufala huo bora pavurugike tu
 
SIRI IMEVUJA

WAPATIWA MALIPO makubwa ya Kupinga Mkataba wa Uwekezaji katika Bandari. TAARIFA zinasema Kampuni kutoka Ubelgiji inayojulikana Kwa Jina la BELG SEA INTERNATIONAL ambao walikuwa washindani wakubwa wa DP WORLD inaitumia CHADEMA chini ya Tundulisu kuvuruga uwekezaji
Kamati kuu ya CHADEMA imekubali kiasi Kikubwa Cha MALIPO ya Kupinga Mkataba wa Uwekezaji katika Bandari. TAARIFA zinasema Kampuni kutoka Ubelgiji inayojulikana Kwa Jina la BELG SEA INTERNATIONAL ambao wanafanyashughuli za kupakia na kupakua mizigo katika Bandari mbali mbali Duniani walikuwa washindani wakubwa wa DP WORLD katika kupata Tender ya kuwekeza katika Bandari za Tanzania.

Kampuni ya BELG SEA INTERNATIONAL imeingia makubaliano na CHADEMA chini ya wakala wake Tundulisu ambaye ni Makamu Mwenyekiti kuvuruga uwekezaji wa MABORESHO ya ufanisi wa bandari Tanzania.

Hata hivyo Baadhi ya Wajumbe wa Kamati kuu wamegoma kuingia katika makubaliano hayo sababu Makamu Mwenyekiti Tundulisu kutaka fedha Hizo ziingie Kupitia akaunti zake zilizopo Nchini na nje ya Nchi.

Hata hivyo kofia ya Mwenyekiti imetoa Baraka Hizo na Hadi Jana Tarehe 26 JULAI, 2023 kiasi cha BILIONI 5.4 zimeingia katika akaunti za Tundulisu Kwa ajili ya Mpango huo na Uzinduzi Rasmi utafanyika Bukoba Tarehe 28 JULAI, 2023

Wajumbe wameonyesha Hofu yao kuwa pesa Hizo zikiingia kwenye akaunti binafsi zitapigwa kama fedha za +255KatibaMpya zilivyopigwa na Freeman MBOWE alipotoka Gerezani
Hii imekaa kisiasa kuliko kitaalamu
 
SIRI IMEVUJA

WAPATIWA MALIPO makubwa ya Kupinga Mkataba wa Uwekezaji katika Bandari. TAARIFA zinasema Kampuni kutoka Ubelgiji inayojulikana Kwa Jina la BELG SEA INTERNATIONAL ambao walikuwa washindani wakubwa wa DP WORLD inaitumia CHADEMA chini ya Tundulisu kuvuruga uwekezaji
Kamati kuu ya CHADEMA imekubali kiasi Kikubwa Cha MALIPO ya Kupinga Mkataba wa Uwekezaji katika Bandari. TAARIFA zinasema Kampuni kutoka Ubelgiji inayojulikana Kwa Jina la BELG SEA INTERNATIONAL ambao wanafanyashughuli za kupakia na kupakua mizigo katika Bandari mbali mbali Duniani walikuwa washindani wakubwa wa DP WORLD katika kupata Tender ya kuwekeza katika Bandari za Tanzania.

Kampuni ya BELG SEA INTERNATIONAL imeingia makubaliano na CHADEMA chini ya wakala wake Tundulisu ambaye ni Makamu Mwenyekiti kuvuruga uwekezaji wa MABORESHO ya ufanisi wa bandari Tanzania.

Hata hivyo Baadhi ya Wajumbe wa Kamati kuu wamegoma kuingia katika makubaliano hayo sababu Makamu Mwenyekiti Tundulisu kutaka fedha Hizo ziingie Kupitia akaunti zake zilizopo Nchini na nje ya Nchi.

Hata hivyo kofia ya Mwenyekiti imetoa Baraka Hizo na Hadi Jana Tarehe 26 JULAI, 2023 kiasi cha BILIONI 5.4 zimeingia katika akaunti za Tundulisu Kwa ajili ya Mpango huo na Uzinduzi Rasmi utafanyika Bukoba Tarehe 28 JULAI, 2023

Wajumbe wameonyesha Hofu yao kuwa pesa Hizo zikiingia kwenye akaunti binafsi zitapigwa kama fedha za +255KatibaMpya zilivyopigwa na Freeman MBOWE alipotoka Gerezani
Sawa tu bora iwe IVO
 
SIRI IMEVUJA

WAPATIWA MALIPO makubwa ya Kupinga Mkataba wa Uwekezaji katika Bandari. TAARIFA zinasema Kampuni kutoka Ubelgiji inayojulikana Kwa Jina la BELG SEA INTERNATIONAL ambao walikuwa washindani wakubwa wa DP WORLD inaitumia CHADEMA chini ya Tundulisu kuvuruga uwekezaji
Kamati kuu ya CHADEMA imekubali kiasi Kikubwa Cha MALIPO ya Kupinga Mkataba wa Uwekezaji katika Bandari. TAARIFA zinasema Kampuni kutoka Ubelgiji inayojulikana Kwa Jina la BELG SEA INTERNATIONAL ambao wanafanyashughuli za kupakia na kupakua mizigo katika Bandari mbali mbali Duniani walikuwa washindani wakubwa wa DP WORLD katika kupata Tender ya kuwekeza katika Bandari za Tanzania.

Kampuni ya BELG SEA INTERNATIONAL imeingia makubaliano na CHADEMA chini ya wakala wake Tundulisu ambaye ni Makamu Mwenyekiti kuvuruga uwekezaji wa MABORESHO ya ufanisi wa bandari Tanzania.

Hata hivyo Baadhi ya Wajumbe wa Kamati kuu wamegoma kuingia katika makubaliano hayo sababu Makamu Mwenyekiti Tundulisu kutaka fedha Hizo ziingie Kupitia akaunti zake zilizopo Nchini na nje ya Nchi.

Hata hivyo kofia ya Mwenyekiti imetoa Baraka Hizo na Hadi Jana Tarehe 26 JULAI, 2023 kiasi cha BILIONI 5.4 zimeingia katika akaunti za Tundulisu Kwa ajili ya Mpango huo na Uzinduzi Rasmi utafanyika Bukoba Tarehe 28 JULAI, 2023

Wajumbe wameonyesha Hofu yao kuwa pesa Hizo zikiingia kwenye akaunti binafsi zitapigwa kama fedha za +255KatibaMpya zilivyopigwa na Freeman MBOWE alipotoka Gerezani
UONGO..
Njoo na mpango mzuri..huu umebuma!!..
 
SIRI IMEVUJA

WAPATIWA MALIPO makubwa ya Kupinga Mkataba wa Uwekezaji katika Bandari. TAARIFA zinasema Kampuni kutoka Ubelgiji inayojulikana Kwa Jina la BELG SEA INTERNATIONAL ambao walikuwa washindani wakubwa wa DP WORLD inaitumia CHADEMA chini ya Tundulisu kuvuruga uwekezaji
Kamati kuu ya CHADEMA imekubali kiasi Kikubwa Cha MALIPO ya Kupinga Mkataba wa Uwekezaji katika Bandari. TAARIFA zinasema Kampuni kutoka Ubelgiji inayojulikana Kwa Jina la BELG SEA INTERNATIONAL ambao wanafanyashughuli za kupakia na kupakua mizigo katika Bandari mbali mbali Duniani walikuwa washindani wakubwa wa DP WORLD katika kupata Tender ya kuwekeza katika Bandari za Tanzania.

Kampuni ya BELG SEA INTERNATIONAL imeingia makubaliano na CHADEMA chini ya wakala wake Tundulisu ambaye ni Makamu Mwenyekiti kuvuruga uwekezaji wa MABORESHO ya ufanisi wa bandari Tanzania.

Hata hivyo Baadhi ya Wajumbe wa Kamati kuu wamegoma kuingia katika makubaliano hayo sababu Makamu Mwenyekiti Tundulisu kutaka fedha Hizo ziingie Kupitia akaunti zake zilizopo Nchini na nje ya Nchi.

Hata hivyo kofia ya Mwenyekiti imetoa Baraka Hizo na Hadi Jana Tarehe 26 JULAI, 2023 kiasi cha BILIONI 5.4 zimeingia katika akaunti za Tundulisu Kwa ajili ya Mpango huo na Uzinduzi Rasmi utafanyika Bukoba Tarehe 28 JULAI, 2023

Wajumbe wameonyesha Hofu yao kuwa pesa Hizo zikiingia kwenye akaunti binafsi zitapigwa kama fedha za +255KatibaMpya zilivyopigwa na Freeman MBOWE alipotoka Gerezani

Ngoja tufanye utafiti tutakuja kujibu.

Mimi naunga mkono bandari wapewe mkataba wa kuiendesha DP World lakini hii taarifa yako haijanikalia sawa. Bado sijaikubali.
 
SIRI IMEVUJA

WAPATIWA MALIPO makubwa ya Kupinga Mkataba wa Uwekezaji katika Bandari. TAARIFA zinasema Kampuni kutoka Ubelgiji inayojulikana Kwa Jina la BELG SEA INTERNATIONAL ambao walikuwa washindani wakubwa wa DP WORLD inaitumia CHADEMA chini ya Tundulisu kuvuruga uwekezaji
Kamati kuu ya CHADEMA imekubali kiasi Kikubwa Cha MALIPO ya Kupinga Mkataba wa Uwekezaji katika Bandari. TAARIFA zinasema Kampuni kutoka Ubelgiji inayojulikana Kwa Jina la BELG SEA INTERNATIONAL ambao wanafanyashughuli za kupakia na kupakua mizigo katika Bandari mbali mbali Duniani walikuwa washindani wakubwa wa DP WORLD katika kupata Tender ya kuwekeza katika Bandari za Tanzania.

Kampuni ya BELG SEA INTERNATIONAL imeingia makubaliano na CHADEMA chini ya wakala wake Tundulisu ambaye ni Makamu Mwenyekiti kuvuruga uwekezaji wa MABORESHO ya ufanisi wa bandari Tanzania.

Hata hivyo Baadhi ya Wajumbe wa Kamati kuu wamegoma kuingia katika makubaliano hayo sababu Makamu Mwenyekiti Tundulisu kutaka fedha Hizo ziingie Kupitia akaunti zake zilizopo Nchini na nje ya Nchi.

Hata hivyo kofia ya Mwenyekiti imetoa Baraka Hizo na Hadi Jana Tarehe 26 JULAI, 2023 kiasi cha BILIONI 5.4 zimeingia katika akaunti za Tundulisu Kwa ajili ya Mpango huo na Uzinduzi Rasmi utafanyika Bukoba Tarehe 28 JULAI, 2023

Wajumbe wameonyesha Hofu yao kuwa pesa Hizo zikiingia kwenye akaunti binafsi zitapigwa kama fedha za +255KatibaMpya zilivyopigwa na Freeman MBOWE alipotoka Gerezani
Huu ni ujinga. Toa ushahidi. CHADEMA wamehongwa na jaji Warioba je nae, vipi prof. Shivji, mama prof Tibaijuka! Makamu mwenyekiti CCM mzee Kinana amesikika akisema mkataba uangaliwe ili kurekebisha mapungufu nae amehongwa na nani? Chama cha wanasheria kimetoa hoja na mapendekezo mbona hazijajibiwa au nao wamehongwa! Dr. Rugemereza nae katoa mapungufu mbona hazijajibiwa. Tumemsikia pia Kibajaj kada kindakindaki wa CCM akishauri mapungufu yarekebishwe nae kahongwa na nani. Mzee Butiku ameshauri hoja za wanaopinga ziangaliwe nae kahongwa na nani? Ushabiki na ukada wa vyama tuuache pale inakuja suala la kupigania maslahi ya nchi. Toa maelezo kwa vipengele vinavyolalamikiwa.
 
Kumbe DP World walishindanishwa na Belg Sea International?

Sasa mbona hilo Swali la Kuhusu Zabuni ya Kumpata huyo DP world alishindanishwa na nani halijawahi kupatiwa majibu hadi leo hii?

Si mumpe Majibu Bwana Chongolo awe anajibu badala ya kujiuma uma?
 
SIRI IMEVUJA

Wapatiwa malipo makubwa ya Kupinga Mkataba wa Uwekezaji katika Bandari. Taarifa zinasema Kampuni kutoka Ubelgiji inayojulikana Kwa Jina la BELG SEA INTERNATIONAL ambao walikuwa washindani wakubwa wa DP WORLD inaitumia CHADEMA chini ya Tundu Lissu kuvuruga uwekezaji.

Kamati kuu ya CHADEMA imekubali kiasi Kikubwa cha malipo ya Kupinga Mkataba wa Uwekezaji katika Bandari. Taarifa zinasema Kampuni kutoka Ubelgiji inayojulikana Kwa Jina la BELG SEA INTERNATIONAL ambao wanafanya shughuli za kupakia na kupakua mizigo katika Bandari mbali mbali Duniani walikuwa washindani wakubwa wa DP WORLD katika kupata tender ya kuwekeza katika Bandari za Tanzania.

Kampuni ya BELG SEA INTERNATIONAL imeingia makubaliano na CHADEMA chini ya wakala wake Tundu Lissu ambaye ni Makamu Mwenyekiti kuvuruga uwekezaji wa maboresho ya ufanisi wa bandari Tanzania.

Hata hivyo baadhi ya wajumbe wa Kamati kuu wamegoma kuingia katika makubaliano hayo sababu Makamu Mwenyekiti Tundu Lissu kutaka fedha hizo ziingie Kupitia akaunti zake zilizopo Nchini na nje ya Nchi.

Hata hivyo kofia ya Mwenyekiti imetoa baraka hizo na hadi jana Julai 26, 2023 kiasi cha Bilioni 5.4 zimeingia katika akaunti za Tundu Lissu Kwa ajili ya Mpango huo na uzinduzi rasmi utafanyika Bukoba Julai 28, 2023.

Wajumbe wameonesha hofu yao kuwa pesa hizo zikiingia kwenye akaunti binafsi zitapigwa kama fedha za +255KatibaMpya zilivyopigwa na Freeman Mbowe alipotoka Gerezani.

Nimetafuta kwenye mtandao sijaiona kampuni inayoitwa "BELG SEA INTERNATIONAL".

Tupatie website yake, au umekuja kujaza watu ujinga kijinga jinga hapa?

Tumpe 1 hour huyu atupatie website ya hiyo kampuni, akishindwa napendekeza apigwe ban.

Watu tupo kwenye maslahi ya taifa, kila mmoja kwa muono wake wewe unaleta ujinga kama hawa chadema?
 
SIRI IMEVUJA

Wapatiwa malipo makubwa ya Kupinga Mkataba wa Uwekezaji katika Bandari. Taarifa zinasema Kampuni kutoka Ubelgiji inayojulikana Kwa Jina la BELG SEA INTERNATIONAL ambao walikuwa washindani wakubwa wa DP WORLD inaitumia CHADEMA chini ya Tundu Lissu kuvuruga uwekezaji.

Kamati kuu ya CHADEMA imekubali kiasi Kikubwa cha malipo ya Kupinga Mkataba wa Uwekezaji katika Bandari. Taarifa zinasema Kampuni kutoka Ubelgiji inayojulikana Kwa Jina la BELG SEA INTERNATIONAL ambao wanafanya shughuli za kupakia na kupakua mizigo katika Bandari mbali mbali Duniani walikuwa washindani wakubwa wa DP WORLD katika kupata tender ya kuwekeza katika Bandari za Tanzania.

Kampuni ya BELG SEA INTERNATIONAL imeingia makubaliano na CHADEMA chini ya wakala wake Tundu Lissu ambaye ni Makamu Mwenyekiti kuvuruga uwekezaji wa maboresho ya ufanisi wa bandari Tanzania.

Hata hivyo baadhi ya wajumbe wa Kamati kuu wamegoma kuingia katika makubaliano hayo sababu Makamu Mwenyekiti Tundu Lissu kutaka fedha hizo ziingie Kupitia akaunti zake zilizopo Nchini na nje ya Nchi.

Hata hivyo kofia ya Mwenyekiti imetoa baraka hizo na hadi jana Julai 26, 2023 kiasi cha Bilioni 5.4 zimeingia katika akaunti za Tundu Lissu Kwa ajili ya Mpango huo na uzinduzi rasmi utafanyika Bukoba Julai 28, 2023.

Wajumbe wameonesha hofu yao kuwa pesa hizo zikiingia kwenye akaunti binafsi zitapigwa kama fedha za +255KatibaMpya zilivyopigwa na Freeman Mbowe alipotoka Gerezani.

 
SIRI IMEVUJA

Wapatiwa malipo makubwa ya Kupinga Mkataba wa Uwekezaji katika Bandari. Taarifa zinasema Kampuni kutoka Ubelgiji inayojulikana Kwa Jina la BELG SEA INTERNATIONAL ambao walikuwa washindani wakubwa wa DP WORLD inaitumia CHADEMA chini ya Tundu Lissu kuvuruga uwekezaji.

Kamati kuu ya CHADEMA imekubali kiasi Kikubwa cha malipo ya Kupinga Mkataba wa Uwekezaji katika Bandari. Taarifa zinasema Kampuni kutoka Ubelgiji inayojulikana Kwa Jina la BELG SEA INTERNATIONAL ambao wanafanya shughuli za kupakia na kupakua mizigo katika Bandari mbali mbali Duniani walikuwa washindani wakubwa wa DP WORLD katika kupata tender ya kuwekeza katika Bandari za Tanzania.

Kampuni ya BELG SEA INTERNATIONAL imeingia makubaliano na CHADEMA chini ya wakala wake Tundu Lissu ambaye ni Makamu Mwenyekiti kuvuruga uwekezaji wa maboresho ya ufanisi wa bandari Tanzania.

Hata hivyo baadhi ya wajumbe wa Kamati kuu wamegoma kuingia katika makubaliano hayo sababu Makamu Mwenyekiti Tundu Lissu kutaka fedha hizo ziingie Kupitia akaunti zake zilizopo Nchini na nje ya Nchi.

Hata hivyo kofia ya Mwenyekiti imetoa baraka hizo na hadi jana Julai 26, 2023 kiasi cha Bilioni 5.4 zimeingia katika akaunti za Tundu Lissu Kwa ajili ya Mpango huo na uzinduzi rasmi utafanyika Bukoba Julai 28, 2023.

Wajumbe wameonesha hofu yao kuwa pesa hizo zikiingia kwenye akaunti binafsi zitapigwa kama fedha za +255KatibaMpya zilivyopigwa na Freeman Mbowe alipotoka Gerezani.

Mashudu matupu
 
SIRI IMEVUJA

Wapatiwa malipo makubwa ya Kupinga Mkataba wa Uwekezaji katika Bandari. Taarifa zinasema Kampuni kutoka Ubelgiji inayojulikana Kwa Jina la BELG SEA INTERNATIONAL ambao walikuwa washindani wakubwa wa DP WORLD inaitumia CHADEMA chini ya Tundu Lissu kuvuruga uwekezaji.

Kamati kuu ya CHADEMA imekubali kiasi Kikubwa cha malipo ya Kupinga Mkataba wa Uwekezaji katika Bandari. Taarifa zinasema Kampuni kutoka Ubelgiji inayojulikana Kwa Jina la BELG SEA INTERNATIONAL ambao wanafanya shughuli za kupakia na kupakua mizigo katika Bandari mbali mbali Duniani walikuwa washindani wakubwa wa DP WORLD katika kupata tender ya kuwekeza katika Bandari za Tanzania.

Kampuni ya BELG SEA INTERNATIONAL imeingia makubaliano na CHADEMA chini ya wakala wake Tundu Lissu ambaye ni Makamu Mwenyekiti kuvuruga uwekezaji wa maboresho ya ufanisi wa bandari Tanzania.

Hata hivyo baadhi ya wajumbe wa Kamati kuu wamegoma kuingia katika makubaliano hayo sababu Makamu Mwenyekiti Tundu Lissu kutaka fedha hizo ziingie Kupitia akaunti zake zilizopo Nchini na nje ya Nchi.

Hata hivyo kofia ya Mwenyekiti imetoa baraka hizo na hadi jana Julai 26, 2023 kiasi cha Bilioni 5.4 zimeingia katika akaunti za Tundu Lissu Kwa ajili ya Mpango huo na uzinduzi rasmi utafanyika Bukoba Julai 28, 2023.

Wajumbe wameonesha hofu yao kuwa pesa hizo zikiingia kwenye akaunti binafsi zitapigwa kama fedha za +255KatibaMpya zilivyopigwa na Freeman Mbowe alipotoka Gerezani.

Hivi huwa mnalipwa kiasi gani hadi mnaweza kujitoa ufahamu kiasi hiki? Ni vyema mkajipanga kwa hoja kuliko kuwarushia matope watu ili mchafuke wote
 
Okay na wengine ambao sio CHADEMA tupo mikononi mwa nani ?

Yaani Kama ni Mkataba / Makubaliano ya Hovyo; hata kama ni shetani ndio atayatetea nitaungana nae.....
 
Nimetafuta kwenye mtandao sijaiona kampuni inayoitwa "BELG SEA INTERNATIONAL".

Tupatie website yake, au umekuja kujaza watu ujinga kijinga jinga hapa?

Tumpe 1 hour huyu atupatie website ya hiyo kampuni, akishindwa napendekeza apigwe ban.

Watu tupo kwenye maslahi ya taifa, kila mmoja kwa muono wake wewe unaleta ujinga kama hawa chadema?
Kachume bakora Bi Mkubwa
 
Back
Top Bottom