Tetesi: SIRI IMEVUJA: CHADEMA mikononi mwa kampuni ya BELG Sea International

Mbwa nyie manguruwe nyie mtajamba sana maushuji pumbavu zenu na mikundu yenu
 
Hizo hela za DP World zimewawehusha kila anayevimbiwa anakuja kujambia humu ili tu kujustfy hiyo asali mliyolbishwa.
 
Takataka..
🚮🚮🚮🚮🚮
 
Porojo za kipumbavu hizi.

Kwa hiyo Cdm ndiyo iliyomlazimisha mbarawa ku sign mkataba usio na kikomo ?! Au ndiyo iliyowalazisha kufauta draft inayoikandamiza Tanganyika na kuipa zanzibar ahueni ?! Wala haijailazimisha bunge kuipitisha kama ilivyo !!. Nonsense

Mbona wamekimbilia kupereka kwenye chama baada ya kuona inanuka uvundo ?
 
Wahi mirembe mkuu.
 
Nimekutukana tusi KUBWA SANA..
 
Weka hapa tarehe ya tenda ya kuuzwa kwa bandari? Tenda ilikuwa inasemaje? Bandari inakodishwa? Inauzwa? Hebu fafanua hiyo tenda ilikuwainasemaje.
 
Uongo wako unatufundisha nini bwana zebwembwe
 
PAKA WA LUMUMBA mna kazi kweli kweli.....!!
 
Kama ni kweli Mungu azidi kuwaunganisha hao CHADEMA na BELG SEA INT. kwani kwa makubaliano yale mabovu, kweli watatusaidia sana kama nchi hii issue ikikwama.
Unakumbuka Enzi zile za RADA ulivyopiga vigelegele kuwa RADA lazima inunuliwa regardless ya ufisadi uliofanyika ila mwisho wa siku Serikali ya Uingereza ikatusaidia ili tupate vichenchi vyetu vilivyochukuliwa na wabongo kwa kushirikiana na akina Vul...

Mungu azidi kuwapa nguvu za kutuonea huruma Enzi BELG SEA INTERNATIONAL
 
Ni Kama mleta Uzi analaana inamfuatilia kiasi kwamba hana habari na maisha yake na kizazi chake.shame on you agents of the devil.
 
CHADEMA ni Hatari sana Kwa mstakabali wa Taifa letu
 
Ni Kama mleta Uzi analaana inamfuatilia kiasi kwamba hana habari na maisha yake na kizazi chake.shame on you agents of the devil.
Shida imekubali kuwa sehemu ya waropokaji wa CHADEMA
 
CHADEMA ni Mawakala wa kuvuruga Maendeleo Nchini na si chama Cha Maendeleo kama kinavyoitwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…