Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
Mzee hakuna faith kwenye sayansi.As days goes on i see there is a very thin line between science and faith!! Ifike pahala mmoja amkubali/amsujudie mwenzake ili tutambue/tugundue mambo mengine makubwa zaidi! I think science has to bow down,wafanye combination am sure yataibuka mapya ya ajabu!
Siku wanasayansi watakapoweza kuunda chombo kinachoweza kusafiri kwa kasi ya mwanga, na wakaweza kusafiri kwenye chombo hicho, mengi muno yatawezekana na mengine mengi tu ambayo kwa sasa hata theory zake hazipo; bado hazijawa developed!Mtaalamu Albert Einstein kaacha maswali mengi kuliko majibu kupitia Three dimension (3D) theory, Einstein anasema kwamba kitu chochote kinachokwenda katika mwendo kasi kitaloss gravitation na kucover large space at short time.
Na Ndipo hapa suala la space and time linaleta sintofahamu. Ukitumia speed kubwa sana kuikaribia speed ya mwanga kifizikia 3×10^8m/s una uwezo wa kurudi nyuma ya MUDA(TIME).
Anasema basi mwanadamu atakua na uwezo wa kwenda at the PAST (TIME TRAVELER).
Wataalamu wa Anga na fizikia inawezekanaje hili Jambo kwa dunia ya Sasa? Kuna Siri gani?
Ni kweli mkuu,na Siri nyingi kuhusu dunia ztajulikana na ndio maan imebak theory ,mpaka kuwa practically hatuwez kufikiria kwa technology tuliyonayo sasaSiku wanasayansi watakapoweza kuunda chombo kinachoweza kusafiri kwa kasi ya mwanga, na wakaweza kusafiri kwenye chombo hicho, mengi muno yatawezekana na mengine mengi tu ambayo kwa sasa hata theory zake hazipo; bado hazijawa developed!
The twin paradox proves this to be true.Hii haiwezakani
If we travel to the past then we can change the present and the future
Imagine the consequences
Kwanza kabisa alichosema Albert ni Eye opener kwetu sisi!Mkuu hauwezi kurudi kwa past labda usafiri zaidi ya spidi ya mwanga.
Na hakuna kitu chenye mass kinaweza kusafiri kwa spidi ya mwanga.
Hakuna kitu chochote kinaweza kuvuka spidi ya mwanga
Ukisafiri kwa spidi ya mwanga, muda unasimama.
Yani mfano wewe ukisafiri kwa spidi ya mwanga kwa miaka billioni moja halafu ukasimama...Wewe utaona ni kufumba na kufumbua haijachukua hata sekunde.
You are too gullible to even have an argument with.Kwanza kabisa alichosema Albert ni Eye opener kwetu sisi!
Halafu siyo kweli kwamba Imani inatofautiana na Science.
Inategemea ni nani anatafsiri nini!
Actually Science ndo inajitahidi kutafsiri Magnificence ya Imani...
Kimsingi Binadamu yuko kwenye 2 Dimensions...maybe 3.
Body-which is Matter.
Define Matter.
Na Dimension ya Pili ni Spirit or Soul.
A Spirit plus Body unapata A living Individual.
A Spirit is an Energy....
Define Energy...
Then it is as simple as that....A man can travel as speedier as light....
Through a product of a Spirit which is THOUGHT....
Ukiwa Sehemu moja ya Dunia...tuseme uko hapa Dar es Salaam...Mawazo yakakupeleka pale Newyork Marekani basi ujue wakati huo huo UKO MAREKANI..
BUT TO LIFT YOUR BODY TO USA in that instance...takes a lot....
Einstein ni Mtu aliyetufungua sana akili zetu...lakini TAFSIRI ni tatizo mpk sasa!!
Sasa hapo huyo twin anakua bado hajarudi past....unajua kurudi past inakuaje? Yani aondoke 2022;arudi akute dunia ipo 1985The twin paradox proves this to be true.
Mapacha wawili waliozaliwa siku moja, mmoja anasafiri kwenda anga za mbali akiwa kwenye chombo chenye kasi ya mwanga. Anaondoka hapa duniani akiwa ana umri wa miaka X na hivyo kumwacha pacha wake naye pia akiwa na umri huo huo wa miaka X.
Huyu msafiri anasafiri kwa muda wa miaka 100 bila kutua popote na hatimaye kurudi tena hapa duniani, akimkuta mwenzake alishafikisha miaka 100+X, huku yeye akiwa na umri wa miaka isiyozidi 40!
Hawa watu walizaliwa siku moja lakini leo mmoja ana miaka zaidi ya 100 na mwingine ana miaka chini ya 40. TIME DILATION
Hiki kitu kipo na kinawezekana, tatizo tu lipo kwenye utaalamu wa kuweza kutengeneza chombo chenye uwezo wa kusafiri kwa kasi ya mwanga na mwanadamu akaweza kukaa na kusafiri kwenye chombo cha aina hiyo bila kudhurika
Ni kama ilivyo kwenye effect ya g (acceleration due to gravitaty) kwenye free fall. Jiwe la tani 100 na unyoya wa kuku vyote vinaweza kudondoshwa kutoka juu umbali ulio sawa KWENYE VACUUM na vyote vikatua chini kwa wakati mmoja. Hii haina shaka wala ubishi kwa sababu tayari iko PROVED. Ni kwa sababu for free fall of bodies, the velocity of a body is independent of its MASS.
Alikuwa yuko kwenye past kabla hajarudi duniani na baada ya kurudi akawa amehama tena kutoka kwenye past kuja kwenye present. Wakati anasafiri, alikuwa anarudi kwenye past na wakati huo huo alikuwa anaibdilsha present ya pacha wake aliyemwacha duniani kuwa future yake yeyeSasa hapo huyo twin anakua bado hajarudi past....unajua kurudi past inakuaje? Yani aondoke 2022;arudi akute dunia ipo 1985
Hakuwa kwenye past. Time kwake ilikuwa inamove slowly lakini sio kurudi nyuma.Alikuwa yuko kwenye past kabla hajarudi duniani na baada ya kurudi akawa amehama tena kutoka kwenye past kuja kwenye present. Wakati anasafiri, alikuwa anarudi kwenye past na wakati huo huo alikuwa anaibdilsha present ya pacha wake aliyemwacha duniani kuwa future yake yeye
Kurudi nyuma kwenye past, unadhani itakuja kutokeaje? Lazima kuwe na time travel. Bila hiyo haiwezekaniHakuwa kwenye past. Time kwake ilikuwa inamove slowly lakini sio kurudi nyuma.
Kwenda past ni pale time inarudi nyuma, yani miaka inarudi nyuma.
Kutravel 'Slightly beyond the speed of light' sasa haiwezekani.Kurudi nyuma kwenye past, unadhani itakuja kutokeaje? Lazima kuwe na time travel. Bila hiyo haiwezekani
Kwa mfano[ kila kitu sasa hivi kikimanage kusafiri kwa kasi ya mwanga, kila kitu kinasimama na aging ina stop'. Slightly beyond the speed of light, mtu anaanza kukua kurudi nyuma utotoni. Ndiyo maana huyo jamaa mwingine alirudi akiwa na umri ulio mdogo kuliko ule wa mwenzake
Exactly mkuu theory umeielewa,mf mzuri akaangalie THE ADAM PROJECTSasa hapo huyo twin anakua bado hajarudi past....unajua kurudi past inakuaje? Yani aondoke 2022;arudi akute dunia ipo 1985