Siri kubwa iliyojificha ambayo inawatafuna wasanii hawa wa Afrika Mashariki

Kama uchawi ungekuwa kila kitu leo mwaka wa ngapi rukwa na kigoma hawana timu ligi kuu? wachina na wahindi wangekuwa wanapokezana world cup. Nigeria na Senegal wangebeba african cup kila mkiandaa. Uchawi upo na umetajwa vitabuni lakini sio kila anaefanikiwa tawileee! jamani hizi khabari za kuungaunga hizi!
 

Hizo ni imani za kijinga tu,mimi nko mgodini hyo mambo tumeyaona sana n mwisho w siku ni kufilisika 2 mtu anatoa kafara kila wiki bt madini hapati.cku zote mtaji+juhudi ndio huleta maendeleo mtu unachimba mgodi kisasa n baruti zinapigwa kwa kufuata maelekezo y geologist kwanini nsipate madini
 

Hizo ni imani tu ukizoea ushirikina utateseka sana kwenye maisha yko.hata ukijikwaa unakimbilia kwa mganga atakula hela zko mpka uishiwe.mimi nao wa2 wenye migodi hku wanaoendekeza kafara hawana ki2 ila wanaochimba kisasa n kufuata ushauri wa ma geologist kila mara wanapata madini.hivi mganga yeye maskini w kutupwa akupe wewe utajiri yeye hautaki,au kwanini asiwape familia yke nao watoke kimaisha
 

Ushirikina hauna mana hivi mganga gani tajiri au ndgu,wanae hawataki huo utajiri wanapenda umasikini tu.hku mererani kuna wa2 walikua wanaendekeza makafara kwa ushauri w waganga ila leo hawana hata mia n migodi imefungwa.
Ukiwa umeinvest kwenye mgodi kwa vifaa vya kisasa kma monorope,umeme,skip pia umeajiri geologist anaejua miamba kwanini usitoe madini kila mara.mgodi unataka uchimbaji w kisasa n mtaji lazma upate madini hata mara 3 kwa mwaka
 
vanilla ice,epmd,ja rule,cisco,warren g,coolio,keith sweat,112 etc etc wote walikuwa wanaenda kwa waganga sasa hivi wamefulia kimziki.
 

Sina chuki na J.i.d.e. Hanijui simjui, hii story wanayo watu muhimu sana nchi hii. Nimejaribu kuimega ili niwape na nyie mujadili. So! Acha mahaba
 
Mkuu mwaga

Mkuu! Hakuna binadamu anayejua kuimba kama Lucifer, hakuna na haitokaa itokee. Ili uweze kufanikiwa kuteka zaidi, anahusika sana Lucifer hapa. Usione vyaelea ujue vimeundwa, sasa je vimeundwaje undwaje???!!! Anakonda ni ishara ya Lucifer, huko kwingine sitaendelea kiongozi, nisamehe
 

Huyo lucifer unamuonaje ukimtakaaa
 
Hahahahahaaaaa hahahahahaaaaa hahahahahaaaaa hahahahahaaaaa hahahahahaaaaa hahahahahaaaaa hahahahahaaaaa nilipoangalia
 
So Jide yeye alichagua mali badala ya watoto, na chameleone yeye alichagua mali badala nini? Na masharti yaliyomfanya Bushoke akimbie ni masharti gani hao?
 

Ndo hapo sasa...
Juhudi zinalipa sana
 
Ndo hapo sasa...
Juhudi zinalipa sana

Siyo kila thread ninayoianzisha ukafikiri ni masihara. Hii story ni moto, hata ufanye vp. Upande wa pili dunia ipo hivi ndugu yangu
 
nina mashaka na Diamond atakuwa nae ni mdau wa Ziwa Victoria, diamond hana kipaji,hajui kuimba, Video mbovu lakini anapendwa hatari,, pesa zake hazieleweki kapata wapi nina mashaka nae sana

and the opposite is very true
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…