zinc
JF-Expert Member
- May 24, 2013
- 1,391
- 1,068
Ndugu wana JF,
Kwanza niwatakie heri ya mwaka mpya, natumaini kwamba mnaendelea vema wadau wangu wa ukweli.
Leo nitajikita zaidi kuwaongelea wasanii wa muziki wa kizazi kipya katika ukanda wa afrika mashariki, kuna story inayowahusu baadhi ya wasanii wenye majina makubwa ambao ki ukweli wamefanikiwa ki maisha mpaka leo hii, na wengine walifanikiwa waka drop na haijulikani kama watafanikiwa tena (second chance) kupitia mkondo huu wa muziki wa ki dunia (mtindo wa kisasa).
Chameleone, Mr. Nice, Jay Dee na Bushoke
Huyu jamaa ni bingwa wa uchawi asikwambie mtu, na wala simpigi majungu. Anapapenda sana Tanzania kwa sababu moja tu, nayo ni kambi yake kubwa ya uchawi. Kambi yake ipo Ziwa Victoria (wadau waliopo humu watataja eneo maarufu lililo upande wa ziwa victoria ambalo watu mashuhuri hupenda kwenda kwa mambo yao ya uchawi). Na ndiyo maana msanii huyu haivi na wasanii wenzake hata kidogo mfano: bob wine, bebe cool, na pia mdogo wake weasel. Na yote hayo ni mali na pesa jinsi anavyozipata. Huyu jamaa kapata ajali nyingi sana katika mazingira ya kutatanisha (yaani mauzauza) mpaka ikapelekea wenzake wakawa wanamnanga badala ya kuhurumiwa, yeye anajitetea ni mkatoli safi lakini hana lolote. Na huyu C.h.a.m.e.l.e.o.n.e alimshauri sana B.u.s.h.o.k.e afate nyayo zake lakini B.u.s.h.o.k.e alikataa kata, na ikabidi akimbie kabisa kwa muda kuelekea South Afika kwa baba ake. Ilianza hivi, wakati B.u.s.h.o.k.e anaenda Kampala kufanya kazi na C.h.a.m.e.l.e.o.n.e ya MAMA RODA, jamaa alishangazwa na wananchi wanavyompenda jamaa wake wa uganda, yaani ni vurugu ya kupendwa mpaka kero. Sasa B.u.s.h.o.k.e na yeye akatamani haiba ya kupendwa akataka kujua siri yake, mwisho wa siku akaona na kujua siri hiyo akaamua kusaliti na kukimbia huko kwa Madiba. Ndipo baadae akarudi Dsm na kutengeneza kibao kinachoitwa DUNIA NJIA, usikilize ule wimbo kwa makini ndiyo utaelewa vizuri, lakini jamaa hakukaa sana Bongo alirudi kwa Madiba.
Mr N.i.c.e naye alikuwa msafiri kabla hajaanza muziki, ni mchaga ambaye amefanikiwa muziki si kwamba anajua sana kuimba bali kismati. Wimbo wake wa kwanza ni FRIDAY NIGHT, ukiusikiliza ule wimbo utajua kabisa msanii huyu hana kipaji cha kuimba. Na yeye ni mdau wa ziwa victoria kama kawa. Ila sijui kwa nini waligombana na C.h.a.m.e.l.e.o.n.e (kwa sababu enzi zao, Dsm kuku kapanda baiskeli na Kampala kipepeo, watu walikuwa hawakai kwenye viti). Wakati akiwa anajutia na kusema kwenye vyombo vya habari kwamba haelewi ni nini kilichomfanya mpaka afulie kiasi hiki, ndipo wimbo wa HISTORIA ukatungwa na kutolewa fasta na J.i.d.e. Wimbo huu unamhusu Mr N.i.c.e kwa sababu J.i.d.e anamuelewa vyema huyu jamaa, na yeye ni mshirika wa ziwa hilo la victoria kwa miaka mingi tu. Siri ya kuingia ndani ya maji katika Ziwa victoria ni kutumia yai kwa kupasua kwa kurusha kwenye ziwa hilo mpaka lipasuke, ukifanikiwa kupasua yai ndipo unaweza kuzama ndani ya maji ya ziwa hilo.
Naomba niishie hapa, nakaribisha wadau mjadili aina ya mafankio ya wasanii jinsi wanavyoyapata kwa njia ambazo si nzuri kwa upande wangu. Lakini siyo wasanii wote wa afrika wanatumia uchawi bali walio wengi wanatumia ndumba za hatari, hata Gospel artists kwa baadhi yao hapa Tanzania ni uchawi full huwezi amini.
Kwanza niwatakie heri ya mwaka mpya, natumaini kwamba mnaendelea vema wadau wangu wa ukweli.
Leo nitajikita zaidi kuwaongelea wasanii wa muziki wa kizazi kipya katika ukanda wa afrika mashariki, kuna story inayowahusu baadhi ya wasanii wenye majina makubwa ambao ki ukweli wamefanikiwa ki maisha mpaka leo hii, na wengine walifanikiwa waka drop na haijulikani kama watafanikiwa tena (second chance) kupitia mkondo huu wa muziki wa ki dunia (mtindo wa kisasa).
Chameleone, Mr. Nice, Jay Dee na Bushoke
Huyu jamaa ni bingwa wa uchawi asikwambie mtu, na wala simpigi majungu. Anapapenda sana Tanzania kwa sababu moja tu, nayo ni kambi yake kubwa ya uchawi. Kambi yake ipo Ziwa Victoria (wadau waliopo humu watataja eneo maarufu lililo upande wa ziwa victoria ambalo watu mashuhuri hupenda kwenda kwa mambo yao ya uchawi). Na ndiyo maana msanii huyu haivi na wasanii wenzake hata kidogo mfano: bob wine, bebe cool, na pia mdogo wake weasel. Na yote hayo ni mali na pesa jinsi anavyozipata. Huyu jamaa kapata ajali nyingi sana katika mazingira ya kutatanisha (yaani mauzauza) mpaka ikapelekea wenzake wakawa wanamnanga badala ya kuhurumiwa, yeye anajitetea ni mkatoli safi lakini hana lolote. Na huyu C.h.a.m.e.l.e.o.n.e alimshauri sana B.u.s.h.o.k.e afate nyayo zake lakini B.u.s.h.o.k.e alikataa kata, na ikabidi akimbie kabisa kwa muda kuelekea South Afika kwa baba ake. Ilianza hivi, wakati B.u.s.h.o.k.e anaenda Kampala kufanya kazi na C.h.a.m.e.l.e.o.n.e ya MAMA RODA, jamaa alishangazwa na wananchi wanavyompenda jamaa wake wa uganda, yaani ni vurugu ya kupendwa mpaka kero. Sasa B.u.s.h.o.k.e na yeye akatamani haiba ya kupendwa akataka kujua siri yake, mwisho wa siku akaona na kujua siri hiyo akaamua kusaliti na kukimbia huko kwa Madiba. Ndipo baadae akarudi Dsm na kutengeneza kibao kinachoitwa DUNIA NJIA, usikilize ule wimbo kwa makini ndiyo utaelewa vizuri, lakini jamaa hakukaa sana Bongo alirudi kwa Madiba.
Mr N.i.c.e naye alikuwa msafiri kabla hajaanza muziki, ni mchaga ambaye amefanikiwa muziki si kwamba anajua sana kuimba bali kismati. Wimbo wake wa kwanza ni FRIDAY NIGHT, ukiusikiliza ule wimbo utajua kabisa msanii huyu hana kipaji cha kuimba. Na yeye ni mdau wa ziwa victoria kama kawa. Ila sijui kwa nini waligombana na C.h.a.m.e.l.e.o.n.e (kwa sababu enzi zao, Dsm kuku kapanda baiskeli na Kampala kipepeo, watu walikuwa hawakai kwenye viti). Wakati akiwa anajutia na kusema kwenye vyombo vya habari kwamba haelewi ni nini kilichomfanya mpaka afulie kiasi hiki, ndipo wimbo wa HISTORIA ukatungwa na kutolewa fasta na J.i.d.e. Wimbo huu unamhusu Mr N.i.c.e kwa sababu J.i.d.e anamuelewa vyema huyu jamaa, na yeye ni mshirika wa ziwa hilo la victoria kwa miaka mingi tu. Siri ya kuingia ndani ya maji katika Ziwa victoria ni kutumia yai kwa kupasua kwa kurusha kwenye ziwa hilo mpaka lipasuke, ukifanikiwa kupasua yai ndipo unaweza kuzama ndani ya maji ya ziwa hilo.
Naomba niishie hapa, nakaribisha wadau mjadili aina ya mafankio ya wasanii jinsi wanavyoyapata kwa njia ambazo si nzuri kwa upande wangu. Lakini siyo wasanii wote wa afrika wanatumia uchawi bali walio wengi wanatumia ndumba za hatari, hata Gospel artists kwa baadhi yao hapa Tanzania ni uchawi full huwezi amini.