Sambinyakwe kitololo
JF-Expert Member
- Nov 15, 2022
- 2,419
- 2,940
Tulishazungumza huko nyuma wewe umefanya dandia treni kwa mbeleNgoja nikusaidie,...ili swali lako liwe na mantiki unatakiwa ufafanue:-
1. Nzi haachwi na Gari akiwa ndani ya Gari lilofungwa kila kitu.
2. Nzi haachwi na Gari akiwa ndani ya Gari ambayo ipo open juu/pembeni n.k
3. Nzi haachwi na Gari akiwa nje ya Gari.
Hapo atleast Inakua simple Kwa Mtu kukujibu kulingana na swali lako.
Embu wewe tuambie ndugu, tuelezee curvature vizuri, kwanini tukiwa angani hatuoni Dunia ikispin, kwanini pilots wote wanatumia flat earth map na sio globe??. Tuanzie hapa kwanza
Okay vizuri.Simple sana nakutafutia link soon nitashare upate elimu.
Ntakujibu, ila ngoja nikuulize kwanza, unaamini ramani ya Dunia? Ilichorwa vipi?Embu wewe tuambie ndugu, tuelezee curvature vizuri, kwanini tukiwa angani hatuoni Dunia ikispin, kwanini pilots wote wanatumia flat earth map na sio globe??. Tuanzie hapa kwanza
Huwezi kuona Dunia ikispin Kwa sababu Dunia pamoja na atmosphere yake vinaspin Kwa pamoja Kwa speed sawa ukiwapo pamoja naww uliyeanganiEmbu wewe tuambie ndugu, tuelezee curvature vizuri, kwanini tukiwa angani hatuoni Dunia ikispin, kwanini pilots wote wanatumia flat earth map na sio globe??. Tuanzie hapa kwanza
Ndio ujiulizeNdo umejibu hapo swali?
Nimekuuliza kwanini Pilots wanatumia flat earth map?Ndio ujiulize
Bado hujapata link, unaweza kuelezea unavyojua tuNimekuuliza kwanini Pilots wanatumia flat earth map?
Acha siasa.Kwani ili ujue kwamba umeona kitu wrongfully Kwasababu ya perspective,... hutumii akili ya ulichokiona?
Yani nikidumbukiza mti kwenye ndoo yenye maji kisha nikaona umepinda......macho hayo hayo ndiyo nitayatumia ili kujua kama nilichokiona ni real or just a refraction
Acha siasa wewe.
Umenena mkuu,Nimeshakwambia utachoka Bure, he can't even explain what he says. Anaruka ruka tu.
Usihangaikenae, Kuna vitu vingi tu vinaoperate Kwa kutumia nadharia(ambayo saivi ni fact) ya Dunia ni ellipsoidal.
Kila kinachoweza kuelezea umbo la Dunia kuwa ni tufe wanakitoa wanasema hakipo, watasema hakuna gravity Bali ni density mara buoyancy, saivi wameanza kukataa Jua kuzama, hivo hivo watakataa as long as vitathibitisha umbo la Dunia ambayo sio tufe.
So nakushauri achananae he add nothing to your head, atleast angekuwa straight na ana-make sense, yeye anarukaruka na kukataa vitu na kukimbia maswali.
Mkuu,.kwanza unapaswa uelewe kwanini watu wanapinga baadhi ya theories ambazo wewe unadai ni facts.Nimeshakwambia utachoka Bure, he can't even explain what he says. Anaruka ruka tu.
Usihangaikenae, Kuna vitu vingi tu vinaoperate Kwa kutumia nadharia(ambayo saivi ni fact) ya Dunia ni ellipsoidal.
Kila kinachoweza kuelezea umbo la Dunia kuwa ni tufe wanakitoa wanasema hakipo, watasema hakuna gravity Bali ni density mara buoyancy, saivi wameanza kukataa Jua kuzama, hivo hivo watakataa as long as vitathibitisha umbo la Dunia ambayo sio tufe.
So nakushauri achananae he add nothing to your head, atleast angekuwa straight na ana-make sense, yeye anarukaruka na kukataa vitu na kukimbia maswali.
Kaa ukijua.Mkuu,.kwanza unapaswa uelewe kwanini watu wanapinga baadhi ya theories ambazo wewe unadai ni facts.
Watu wanapinga Kwasababu kwenye hizo theories unazosema ni facts...kuna loopholes zinazoruhusu watu kupinga.
Loophole ya kwanza ni kukosekana Kwa uthibitisho usio na shaka unaothibitisha hizo unazosema ni theories zenye facts,..nasema hivyo Kwasababu mpaka sasa hakuna uthibitisho usio na shaka kuhusu:-
(a) Dunia Tufe [emoji288]
(b) Dunia ku rotate
(c) Gravity inayoshikilia maji kwenye dunia Tufe.
Ingekua kuna ushahidi usio na shaka kuhusu hizo nadharia,..usingeona watu wanapinga!
NB:- Nahitimisha Kwa kusema panicking na kuona eti watu ni wajinga hakutoshi kuwa uthibitisho kwamba Dunia ni Tufe, gravity ni real, Dunia ina spin,.....kitu cha msingi unachotakiwa kufanya ni kuweka uthibitisho.
UTHIBITISHO UTHIBITISHO UTHIBITISHO....!!
Sawa,. nadhani ni vizuri tukubaliane kwamba tunahitimisha mjadala huu Kwa sasa kukiwa hakuna uthibitisho wowote juu ya:-Umenena mkuu,
Hata hivyo nmefika hitimisho nae, acha tumuache na ujinga alionao.
Japo naamini mpaka muda huu kuna maswali yanamuumiza kichwa ila hatoweza kukiri hapa.
Hahh hizo katuni unazitolea wapi Mkuu..Kaa ukijua.View attachment 2921838
Kwanza sijakataa watu kuhoji, ila tatizo ni wewe, hujibu maswali unayoulizwa, ukijibiwa maswali yako unayakataa majibu bila sababu. Yaani huna fact zozote unazotoa haupo straight kwenye mada Moja unarukaruka.Mkuu,.kwanza unapaswa uelewe kwanini watu wanapinga baadhi ya theories ambazo wewe unadai ni facts.
Watu wanapinga Kwasababu kwenye hizo theories unazosema ni facts...kuna loopholes zinazoruhusu watu kupinga.
Loophole ya kwanza ni kukosekana Kwa uthibitisho usio na shaka unaothibitisha hizo unazosema ni theories zenye facts,..nasema hivyo Kwasababu mpaka sasa hakuna uthibitisho usio na shaka kuhusu:-
(a) Dunia Tufe π
(b) Dunia ku rotate
(c) Gravity inayoshikilia maji kwenye dunia Tufe.
Ingekua kuna ushahidi usio na shaka kuhusu hizo nadharia,..usingeona watu wanapinga!
NB:- Nahitimisha Kwa kusema panicking na kuona eti watu ni wajinga hakutoshi kuwa uthibitisho kwamba Dunia ni Tufe, gravity ni real, Dunia ina spin,.....kitu cha msingi unachotakiwa kufanya ni kuweka uthibitisho.
UTHIBITISHO UTHIBITISHO UTHIBITISHO....!!
Kwann unakataa uwepo wa gravity?Sawa,. nadhani ni vizuri tukubaliane kwamba tunahitimisha mjadala huu Kwa sasa kukiwa hakuna uthibitisho wowote juu ya:-
(a) Dunia Tufe linalozunguka ππΌπ
(b) Gravity inayoshikilia maji kwenye tufe.
Refraction haifanyi kitu kipotee,..bali hupelekea kitu kubend na kuonekana ni kikubwa kuliko uhalisia wake.Nimekwambia stop being ignorant.
Kwamba tunachokiona ni refraction? How refraction inafanya kitu kipotee kisionekane, How?
Umeandika maelezo mengi lakini Mimi naomba nikuulize swali moja Tu mtaalamu,.....Alafu unapokaza kichwa kusema tunaona Jua linamove, lini umeona Jua linamove ww ni lini hiyo?, em kaa angalia Jua Kwa muda nambie kama unaona linamove.
Kinachotokea ni kwamba after some time utaona Jua halipo kwenye position lililokuwepo. Ukitaka kuelewa nachosema, ulishawahi kusafiri alafu upo ndani ya gari unaona mlima upo Kwa mbali tuseme upo kulia mwa direction mnayoenda, mlima upo stationary nanyi mna-move lakin utakuwa unaona mlima upo pale pale(position) lakn after some time ndo utaona mmeupita mlima.
Kama pia utatumia akili utanielewa.
Kwasababu hakuna uthibitisho juu ya uwepo wake kwenye uhalisia,...ilipaswa tuone kweli jinsi gravity inavyoshikilia maji kwenye dunia Tufe.Kwann unakataa uwepo wa gravity?