Maelezo nimetoa through observational research...Nijibu swali langu acha propaganda, we umetoa wapi hayo maelezo unayonambia, maana mwisho wa siku namm naweza kujiongezea tu vitu visivyo vya kweli.
I mean kwanini Dunia inazunguka constantly lakini ukanda mmoja wenyewe constantly milele na milele directly unakua unapigwa na Jua?Kuona mabadiriko yoyote kivipi?
Hivi unaelewa kweli?Hiyo inathibitisha wazi kabisa kwamba Dunia ipo stationary...... ingekua inazunguka hakuna ukanda wowote wa Dunia ungekua unapitia direct sunlight milele na milele.....sio ukanda wowote Kati ya:-
1. Equator
2. Tropic of Cancer
3. Tropic of Capricorn
4. Arctic Circle
5. Antarctic Circle
Umeshasema kilaza. Kwahy naww ni kilaza?Maelezo nimetoa through observational research...
Toka nje hapo muulize hata kilaza yoyote kwamba,...Je.,Una weight ya ngapi?
Uone kama atahusisha masuala ya gravity,...hiyo ni Kwasababu gravity kuihusisha na uzito wa object ina apply kwenye makaratasi tu.
Nahisi huelew nachokwambia au unajitoa akiliI mean kwanini Dunia inazunguka constantly lakini ukanda mmoja wenyewe constantly milele na milele directly unakua unapigwa na Jua?
Kiasi ambacho hata winter season isitokee kabisa?
Don't you think kwamba only in a stationary earth hilo ndiyo linawezekana?
Sasa mbona dunia haijavutwa na hiyo black hole?Kwamba nje ya Dunia hakuna nguvu ya mvutano ya kuvuta vitu?
Umesahau kwamba unaambiwa kwenye Black hole hata Mwanga ukikatiza unavutwa na kupotelezewa mbali?
Inaonyesha haupo detailed vya kutosha mkuu...
Kwani wewe Mtu akikuuliza,. How much do you weigh?" Utamuambia inategemea na gravity?Umeshasema kilaza. Kwahy naww ni kilaza?
Nimekuuliza swali ukipima weight na ukapima mass numeric value zitakuwa exactly the same?Kwani wewe Mtu akikuuliza,. How much do you weigh?" Utamuambia inategemea na gravity?
Jaribu kupitia kidogo 👇🏼
How much do you weigh?.....It is a question that inquires about a person's weight, typically asking for the measurement in units such as pounds (lbs) or kilograms (kg). This question can be seen as personal, and how one chooses to respond can depend on their comfort level with the topic and their relationship with the person asking.
Uki complicate mambo ndiyo utaanza,..ooh weight inategemea gravity,. Kitu ambacho sio sahihi mtaalamu.
Mimi nadhani unanisingizia,.. atleast ungewaita wagonjwa hao waliosema kwamba Black hole inavuta kila kitu kitakchopita distance Fulani,...ambao ndiyo hao hao waliokuambia kwamba Dunia ni Tufe linalozunguka ukaamini,..sasa kama wao ni wagonjwa na unahisi wamekulisha matango pori,...Then wewe utakua mzima kweli?Sasa mbona dunia haijavutwa na hiyo black hole?
We ni mgonjwa kumbe!
Unajizungusha maelezo mengii, nilikuuliza mass ni scalar au vector quantity? Hukujibu unaleta siasaKwani wewe Mtu akikuuliza,. How much do you weigh?" Utamuambia inategemea na gravity?
Jaribu kupitia kidogo 👇🏼
How much do you weigh?.....It is a question that inquires about a person's weight, typically asking for the measurement in units such as pounds (lbs) or kilograms (kg). This question can be seen as personal, and how one chooses to respond can depend on their comfort level with the topic and their relationship with the person asking.
Uki complicate mambo ndiyo utaanza,..ooh weight inategemea gravity,. Kitu ambacho sio sahihi mtaalamu.
Ndiyo ukitumia S.I Unit ambazo sio za kukariri basi utapata jibu hilo hilo moja.Nimekuuliza swali ukipima weight na ukapima mass numeric value zitakuwa exactly the same?
Hakuna lolote sisi waafrika tunapenda kuweka ujuaji kwenye kila kitu.. leo hata dini kuna watu wanajifanya wanaijua kuliko waliozileta.Jitahidi ufikirie zaidi...hiyo haitoshi.
Ukitumia SI unit unamaana Gani? Kwamba ukipima mass na ukipima weight numeric value ni sawa ila tofaut ni SI unit?Ndiyo ukitumia S.I Unit ambazo sio za kukariri basi utapata jibu hilo hilo moja.
Concern yangu ni kwamba weight & Mass ni maneno yenye maana sawa tu....tukiondoa hadithi za gravity.Ukitumia SI unit unamaana Gani? Kwamba ukipima mass na ukipima weight numeric value ni sawa ila tofaut ni SI unit?
Kwahiyo unaamini wanao question ni Waafrika Tu?Hakuna lolote sisi waafrika tunapenda kuweka ujuaji kwenye kila kitu.. leo hata dini kuna watu wanajifanya wanaijua kuliko waliozileta.
Hapa watu wanabishana lakini intarnet unayotumia katengeneza mzungu,simu,gari nk yeye bado unaleta ujuaji.
Nimekuuliza wewe hayo umetoa wapi?Concern yangu ni kwamba weight & Mass ni maneno yenye maana sawa tu....tukiondoa hadithi za gravity.
Nje wapi unamaanisha?Kwa hiyo unakubali kwamba hakuna mvutano wa kuyavuta maji nje?
Nimekupa uthibitisho wa jinsi neno "weight" lilivyotumika kabla ya Newton...Nimekuuliza wewe hayo umetoa wapi?
We jamaa bishi sana, nimekuuliza ukipima weight na ukapima mass numeric value zitakuwa the same?Nimekupa uthibitisho wa jinsi neno "weight" lilivyotumika kabla ya Newton...
Unashindwa vipi kuelewa logic ndogo hiyo.
Kwa hiyo unakubali kwamba hakuna mvutano wa kuyavuta maji kwenda nje ya dunia?kuhusu black hole kuvuta kila kitu,...ni kwamba wao wanasema kuna distance fulani from black hole ukiifikia ndiyo hautoweza Ku escape hata mwanga pia hauwezi.