Dunia ni flat , jua lina moveKwa mfano umeprove nn?
Wait!!! Weight? Hii ya mass *gravity au nyingne?Concept ya density au gravity hai make sense sana ni namna nyingn ya kukuelewesha ishu ya weight tu
How hapo Bado umesema tu😀😀Dunia ni flat , jua lina move
So how weight inafanya vitu vifall??Concept ya density au gravity hai make sense sana ni namna nyingn ya kukuelewesha ishu ya weight tu
Unaona ? Unataka twende tena kwenye ishu nyingne ya mass na weight ? Tupaache ,tutumie neno mass au uzitoWait!!! Weight? Hii ya mass *gravity au nyingne?
Vzr, kivipi mass inafanya vitu vifall?Unaona ? Unataka twende tena kwenye ishu nyingne ya mass na weight ? Tupaache ,tutumie neno mass au uzito
Naturally kama kitu hakijashikwa na ni kizito kuzid mgandamizo wa hewa lazima kitaangukaSo
So how weight inafanya vitu vifall??
Naturally??Naturally kama kitu hakijashikwa na ni kizito kuzid mgandamizo wa hewa lazima kitaanguka
Kwamba unataka useme had mvua kunyesha hku chin ni gravity?[emoji16]Naturally??
Kwann kisiende juu au kwann kisikae hapo hapo?
Ndio ivooKwamba unataka useme had mvua kunyesha hku chin ni gravity?[emoji16]
Picha haingii akilini How, Elezea sehemu ambazo una wasi wasi kwenye hiyo pichaSo,..Kwa kutumia hiyo picha hapo juu umethibitisha vipi Dunia kuzunguka na kwamba ni tufe?!
Hiyo picha haiingii akilini.
Uongo wa gravity tulishaufuta humu,...cha ajabu unaurudisha tena.Naturally??
Kwann kisiende juu au kwann kisikae hapo hapo?
Wasiwasi upo sehemu nyingi Tu......ila swali la msingi ni Je, hiyo picha inathibitisha vipi kwamba Dunia inazunguka?Picha haingii akilini How, Elezea sehemu ambazo una wasi wasi kwenye hiyo picha
Inasemakana, inasemakana, inasemakana [emoji28][emoji28][emoji28]Hujaelewa , nmesema tofauti na haya mabara 7 inasemekana Kuna mabara mengine ila barrier iliopo ndio inaitwa ice wall ..... Inasemekana hamna mtu aliewahi kwenda beyond hapo
Unajichanganya Sana .. Hoja ya msingi ni kwamba Jua lina move.,...hizo nyingine ni hadithi tu ambazo huna uhakika nazo umeambiwa ukaamini.Movement nayoongelea ni hii unayofai inasababisha sunrise na sunset au usiku na mchana.
Nilichoongelea hapo nahisi unajitoa akili kama hujanielewa sayari zote zilizopo kwenye mfumo wa Jua with respect to Jua, Jua lipo stationary cause zote zinamove along with the sun.
Antarctica sasa hivi watu wanaenda kutalii, Hata wewe unaweza kwenda ni wewe na pesa yakoNakubali Kuna weakness,hata upande wako wa Dunia duara au tufe , after Antarctica mnasema the same Kuna barafu na hamna binadamu anaeweza ishi huko na hamna evidence ya picha au video
Na kama Dunia ni duara au tufe hilo bara Antarctica Kwa upande wa pili ilitakiwa ipakane na Europe ,je zimepakana?
Inasemekana Dunia inazunguka.Inasemakana, inasemakana, inasemakana [emoji28][emoji28][emoji28]
Kwa kuongezea, Sasa hivi hata watu wa kawaida wanaruhusiwa kwenda kutaliiKwahy hiyo ndo weakness pekee iliyokufanya uache kuamini Dunia ni duara??
Okay we unaweza survive kwenye baridi Kali? Umeambiwa Kuna barafu na baridi Kali sana na ndio maana hakuna mtu anaishi. Ni reserve kwaajili ya researches tu