The celebrity
JF-Expert Member
- Jul 9, 2020
- 1,972
- 559
hateeb10 hii hujaona sio?1. Kama unasema Kuna milima na mabonde hiyo ni tambarare Gani unayoongelea? Na Hilo Duara tambarare umelithibitisha vipi? Uliona wapi? Picha yake hata CGI tu, ukifika mwisho wake? Au kama umeambiwa au kusoma unauthibiitisho Gani?
2. We umejuaje Jua ndio linamove na sio Dunia ndio inamove? Kama unaona Jua linamove naomba record video leta hapa tuone Jua linamove.
Mfano angalia hii video alafu nambie je hayo majengo yanamove au ni camera ndio inamove? Na kwann?👇👇 hateeb10 pia ajibu hapa.
Chosen Rich Mayu
View attachment 2966325
Hivi Ili ubongo ufikrie si unahitaji taarifa? Hapo sasa Kuna aina tofauti tofauti za taarifa, Kuna taarifa Kwa njia ya kuambiwa, kusoma na kutazama.Kwahiyo unakiri kwamba uelewa wako juu ya umbo la Dunia,...ni kutokana na ideas za wengine na sio uchunguzi binafsi Kwa kuhusisha akili yako?
1. Dunia ni mostly tambarare ambapo ndani yake kuna milima,.. mabonde n.k (au huelewi kuhusu hili?)....mimi sikuambii whether Dunia ni sahani round au egg-shaped Kwasababu hiyo sio point ya msingi,...pont ya msingi ni kwamba ni flat kama tunavyoiona na ina make sense logically... tofauti na kusema ni Tufe....hakuna haja ya CGI'S labda kama unataka kuzungumzia imaginary Tufe.1. Kama unasema Kuna milima na mabonde hiyo ni tambarare Gani unayoongelea? Na Hilo Duara tambarare umelithibitisha vipi? Uliona wapi? Picha yake hata CGI tu, ukifika mwisho wake? Au kama umeambiwa au kusoma unauthibiitisho Gani?
2. We umejuaje Jua ndio linamove na sio Dunia ndio inamove? Kama unaona Jua linamove naomba record video leta hapa tuone Jua linamove.
Mfano angalia hii video alafu nambie je hayo majengo yanamove au ni camera ndio inamove? Na kwann?👇👇 hateeb10 pia ajibu hapa.
Chosen Rich Mayu
View attachment 2966325
Naamini ipo siku utakaa chini ufikirie hoja za msingi kuhusu umbo la Dunia.Hivi Ili ubongo ufikrie si unahitaji taarifa? Hapo sasa Kuna aina tofauti tofauti za taarifa, Kuna taarifa Kwa njia ya kuambiwa, kusoma na kutazama.
Kwahy Kwa vyovyote vile nimehusisha akili yangu vyema. We hujiulizi kama ningekuwa napokea navyoambiwa bila kufikiri si ningeshakubaliana na Hekaya zako humu?
Einstein alisema "Gravity sio Force".....Ila ila gravity ipo sio? Yeye alisema gravity sio pull ila akaielezea gravity we unasema haipo halafu unamtumia Einstein kama ushahidi wakat hajawah kusema gravity haipo. Kuwa serious kidg.
Kwahy kwenye video umeona camera inamove au majengo yanamove? Embu kuwa mkweli, why baadhi ya majengo yalionekana mwanzo na baadae yakapotea? Tumia macho yako unachokiona sio unachojua.2. Huwezi ukasema Dunia ina move,.. kwasababu utaonekana kichaa/mzushi.... kwanini nasema hivyo?, Kwasababu hauhisi,hauoni wala kusikia Dunia iki move,...na hiyo haitoshi hata teknolojia haijawahi kuonyesha dunia iki move....... atleast ukisema Jua lina move utaeleweka maana linaonekana kwenye position & point tofauti tofauti depending time husika.
Ndo nimekwambia nimefikria ningekuwa sifikrii ningekubali HEKAYA zako.Naamini ipo siku utakaa chini ufikirie hoja za msingi kuhusu umbo la Dunia.
Sio lazima iwe Leo,.bali hata uzeeni huko,.....busara zitakapoongezeka.
Unasoma au unakurupuka, embu soma upya nilochoandika urudi hapa.Einstein alisema "Gravity sio Force".....
Narudia hayo si maneno yangu.....labda kama unabisha hakutamka hivyo na ukumbuke mpaka mwaka ambao alitoa hiyo kauli unajulikana.
NB:- Wewe muda wote unapambana kupinga kauli ya Einstein,..ukisema kwamba gravity ni force,...sasa tukuamini wewe au Einstein.?
Daaah,....basi hii ndiyo inasababisha tofauti ya mitazamo.Kwahy kwenye video umeona camera inamove au majengo yanamove? Embu kuwa mkweli, why baadhi ya majengo yalionekana mwanzo na baadae yakapotea? Tumia macho yako unachokiona sio unachojua.
Kiuhalisia majengo yanaonekana kumove from point yaliyokuwepo mpk point nyingne na ndio maana mengine yalipotea. Similarly to the Sun,
Hata mimi sisemi gravity haipo,...bali msimamo wangu muda wote ni kwamba idea ya Gravity ipo overrated na kuna sehemu inatumika ambapo haihusiki kabisa,..huwezi ukasema vitu vinaanguka kwasababu ya gravity......wakati kiuhalisia case ya vitu kupaa na kuanguka inaelezeka vizuri kabisa bila kuhusisha gravity.Unasoma au unakurupuka, embu soma upya nilochoandika urudi hapa.
Umesema Einstein alisema Gravity sio force, it means gravity ipo na ndio maana akasema sio force, na akaielezea Kwa maelezo yake kuwa gravity ni nini, hakuna mahali alisema hakuna gravity.
Wewe hapa unasema hakuna gravity, hauoni unajibu contradict?????
Wewe ni muongo mkubwa😀Niwe mkweli kabisa,... kwenye video uliyoweka naona kabisa Camera ndiyo inafanya movement & hayo majengo unayosema yamepotea ni kutokana na Camera Ku move from point ambayo majengo hayo yapo.
Acha utoto, Unataka ushahidi wa namna gani kama kila ushahidi unaukataa bila kuleta hata proof zako sahihi.Sasa.., hapo Mimi na wewe nani mwenye matatizo binafsi?
Unasema unaishi kwenye dunia Tufe inayojizungusha....ukiambiwa ulete uthibitisho huna, sasa huoni kama una matatizo?
Ndio jinsi ambavyo unashangaa tukikwambia Jua halimove around the earth.Inashangaza sana,...kwamba kwenye hiyo video nyumba ndiyo zina move?
Ooh ushaanza kuchanganyikiwa sasa,.......Wewe ni muongo mkubwa😀
Camera umeiona wapi hapo?
Unaona unavyoji-contradict?Hata mimi sisemi gravity haipo,
Gravity sio force,"...na hayo sio maneno yangu bali ni maneno ya Einstein....maana nikisema mimi utaanza ubishi.
Hujawahi kuleta uthibitisho,.....Acha utoto, Unataka ushahidi wa namna gani kama kila ushahidi unaukataa bila kuleta hata proof zako sahihi.
Contradiction IPO wapi hapo?Unaona unavyoji-contradict?
Hapa alisema nani??
Usijitoe akili, jibu swali umeiona camera hapo? Ndo maana nikakwambia usijibu as if unajua kuwa majengo hayawezi kumove jibu unachoona, ukijifanya mjanja mm ntajifanya mjinga😀. Kwahy nambie we umeiona hiyo camera mpaka useme camera ndio imemove?Ooh ushaanza kuchanganyikiwa sasa,.......
Kwamba nikiwa natazama football,...kisha nikasema "aaah hii camera walivyochukua video Kwa juu uwanja unaonakana mzuri Sana"......
Nitakua nakosea kusema hivyo,.Kwa kuwa sijaona camera?
Then,...nikija kwenye video husika uliyoweka inaweza ikawa sio camera,..inaweza ikawa video effects zimetumika kutengeneza hiyo animation lakini haileti tofauti yoyote na maelezo niliyotoa mwanzo.
Hahaha ona unavyojikoroga sasa, Ushaingia kwenye mfumo wewe.Daaah,....basi hii ndiyo inasababisha tofauti ya mitazamo.
Niwe mkweli kabisa,... kwenye video uliyoweka naona kabisa Camera ndiyo inafanya movement & hayo majengo unayosema yamepotea ni kutokana na Camera Ku move from point ambayo majengo hayo yapo.
Inashangaza sana,...kwamba kwenye hiyo video nyumba ndiyo zina move?
No,.nimejibu kama swali lako ulivyouliza au hujui kama kwenye swali lako umetaja kabisa camera?Usijitoe akili, jibu swali umeiona camera hapo? Ndo maana nikakwambia usijibu as if unajua kuwa majengo hayawezi kumove jibu unachoona, ukijifanya mjanja mm ntajifanya mjinga😀. Kwahy nambie we umeiona hiyo camera mpaka useme camera ndio imemove?