The celebrity
JF-Expert Member
- Jul 9, 2020
- 1,972
- 559
hateeb10 hii hujaona sio?1. Kama unasema Kuna milima na mabonde hiyo ni tambarare Gani unayoongelea? Na Hilo Duara tambarare umelithibitisha vipi? Uliona wapi? Picha yake hata CGI tu, ukifika mwisho wake? Au kama umeambiwa au kusoma unauthibiitisho Gani?
2. We umejuaje Jua ndio linamove na sio Dunia ndio inamove? Kama unaona Jua linamove naomba record video leta hapa tuone Jua linamove.
Mfano angalia hii video alafu nambie je hayo majengo yanamove au ni camera ndio inamove? Na kwann?👇👇 hateeb10 pia ajibu hapa.
Chosen Rich Mayu
View attachment 2966325